Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Mungu ni wakwanza kwenye kila kitu, hata makanisa tu yanachafuana unadhani ni kwanini?Mtangulize Mungu....
Biashara haiitaji huruma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu ni wakwanza kwenye kila kitu, hata makanisa tu yanachafuana unadhani ni kwanini?Mtangulize Mungu....
Zile 3 kwa sufuri za CR...hakuona marudio? Mlirudisha zote na nyongeza ya mabao 2...ZBC 2 wanaonesha marudio ya mechi kati ya Simba na Waydad na hadi sasa Simba anaongoza 3 kwa 1. Kumbe jana mlisawazisha na kuongeza mengine mawiliView attachment 2838824 alafu hatuambiani.
Naogopa sana fitna kwenye biashara.huwa nawaza sijui itakuaje?Fitna kwenye biashara n kawaida sana.
Una bahati kweli kweli,Na Mungu akiwa upande wako...
Mimi Nina ushuhuda bro..
Sema Kila nikipanga nipandishe Uzi naona watu wengi humu wataona Nina weka kujidai....
Huu Uzi umenifanya niufungue kutokana na "taito' yake maana na Mimi nipo kwenye mishe hizo hizo..
Yaani ulimwengi WA pesa shetani ndo kautawala ila ukiwa na Mungu....
Eee...ushawahigi kufanya biashara watu wanakuamini tu....kuanzia masuplier mpaka wateja.....yaani pesa zinapishana tu huku na kule?
Basi Mtangulize Mungu
Bahati nzuri sifanyi biashara direct ila nafanya kwenye kampuni ya mtu naona vingiNakubaliana nawe mkuu, kama huna uvumilivu wa yanayoendelea kwenye biashara huwezi kufanya utakufa na stress. Kuna muda uliemuinua ukamfundsha biashara ndio anakufitini vibaya mno na kama ndio anazidi kufanikiwa hakuna rangi utaacha ona. Sio kila mtu anaweza kufanya biashara.
Ni kama ilivyo kwa madalali na udalali, dhuluma na kuzungukana ni kwingi, ukiwa hujui hayo utaumia sana ila n kawaida.
Madam mambo mazuri! Kuna mda unafeel we ni last born wa MunguNa Mungu akiwa upande wako...
Mimi Nina ushuhuda bro..
Sema Kila nikipanga nipandishe Uzi naona watu wengi humu wataona Nina weka kujidai....
Huu Uzi umenifanya niufungue kutokana na "taito' yake maana na Mimi nipo kwenye mishe hizo hizo..
Yaani ulimwengi WA pesa shetani ndo kautawala ila ukiwa na Mungu....
Eee...ushawahigi kufanya biashara watu wanakuamini tu....kuanzia masuplier mpaka wateja.....yaani pesa zinapishana tu huku na kule?
Basi Mtangulize Mungu
Acha wivu mkuu!Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!
Kuna kuna watanzania ambao wanajiona wameyapatia maisha kuliko watanzania wote,basi ni hao wanaofuata bidhaa hapo China!.
Aisee,asikwambie mtu jamaa wanajiona wako matawi kinoma!.
Bidhaa zenyewe mnaleta feki na kama ni nguo basi ni midosho ya kufa mtu!.
Acheni ulimbukeni badilikeni!.
Kuna Mpumbavu mmoja alikuwa winga hapo Kariakoo akachukuliwa na Bosi aitwaye Mama Carlen akapelekwa China kuwa mpiga Debe lakini leo anajiona mjanja na kudharau watu!.
Wewe Hassan Mwehu,nakuonya na nafahamu fika uko humu JF!,unajua ulichokifanya Fala wewe!,Acha kujiona mjanja na kuzibia watu riziki zao!.
Mimi kufahamiana na Jayma wewe unaumia nini,umeenda ukapiga uongo wako kiasi kwamba nakosa pesa kwasababu yako Mpumbavu mmoja wewe!.
Nakusubiri kwa hamu bongo najua utakuja tu kwasababu China upo kwa mkopo!,Nataka Nije nikusukumie Mianzi hadharani Mpumbavu wewe!.
Tupe code tuwauzie wanaijeria kesi mkuu...wamfundishe adabu kidogo..Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!
Kuna kuna watanzania ambao wanajiona wameyapatia maisha kuliko watanzania wote,basi ni hao wanaofuata bidhaa hapo China!.
Aisee,asikwambie mtu jamaa wanajiona wako matawi kinoma!.
Bidhaa zenyewe mnaleta feki na kama ni nguo basi ni midosho ya kufa mtu!.
Acheni ulimbukeni badilikeni!.
Kuna Mpumbavu mmoja alikuwa winga hapo Kariakoo akachukuliwa na Bosi aitwaye Mama Carlen akapelekwa China kuwa mpiga Debe lakini leo anajiona mjanja na kudharau watu!.
Wewe Hassan Mwehu,nakuonya na nafahamu fika uko humu JF!,unajua ulichokifanya Fala wewe!,Acha kujiona mjanja na kuzibia watu riziki zao!.
Mimi kufahamiana na Jayma wewe unaumia nini,umeenda ukapiga uongo wako kiasi kwamba nakosa pesa kwasababu yako Mpumbavu mmoja wewe!.
Nakusubiri kwa hamu bongo najua utakuja tu kwasababu China upo kwa mkopo!,Nataka Nije nikusukumie Mianzi hadharani Mpumbavu wewe!.
EEEH DOGO HASSAN HUYU HAPA WADAU 🤣🤣🤣😂Wivu ni sumu bro, utakufa sikia huwezi nifanya kitu mtoto mdogo sana wewe
Mkuu fitna zipo mno ni kukabiliana nazo tu, kwenye hizi biashara umakini unahitajika sana hasa hizi za masokoni maana kufilisika na kuanguka kibiashara ni kugusa tu.Naogopa sana fitna kwenye biashara.huwa nawaza sijui itakuaje?
😂😂😂😂EEEH DOGO HASSAN HUYU HAPA WADAU 🤣🤣🤣😂
KAZIBA RIKIZI YA MKULUNGWA 🤣🤣🤣
Ni nomaaa mkuu!. Ndio maana wanasema biashara ni vitaaMkuu fitna zipo mno ni kukabiliana nazo tu, kwenye hizi biashara umakini unahitajika sana hasa hizi za masokoni maana kufilisika na kuanguka kibiashara ni kugusa tu.
Mfano, mchina anazalisha bidhaa leo kwa tsh 2,000, wewe kama supplier/wholesaler unaichukua na kuiuza kwa tsh 2,200. Faida 200.
Kesho unaamka yule yule mchina baada ya kumaliza mzigo wake, anaingiza sokoni bidhaa ile ile kwa tsh 1,700 kwa kumtumia supplier/wholesaler mwingine. Yeye atauza tsh 1,900. Hapo unadhani wauzaji wa mwsho watakimbilia kwa nani kufuata bidhaa?
DOGO HASSAN MUNGU ANAKUONA UJUE 🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂
Ni vita kweli kweli kuna kuchafuana sana kuanzia wenye brand zao mjini mpaka wafanya biashara wadogo.Ni nomaaa mkuu!. Ndio maana wanasema biashara ni vitaa
Mambo ni mengi nimeshafanya ya watu nimeona fitna nyingi, nimefanya yangu nimeona pia mengi. Biashara ni kukomaa haswa vinginevyo utajifia na mapresha au kujikatia tamaa.Bahati nzuri sifanyi biashara direct ila nafanya kwenye kampuni ya mtu naona vingi
Biashara risk sanaMkuu fitna zipo mno ni kukabiliana nazo tu, kwenye hizi biashara umakini unahitajika sana hasa hizi za masokoni maana kufilisika na kuanguka kibiashara ni kugusa tu.
Mfano, mchina anazalisha bidhaa leo kwa tsh 2,000, wewe kama supplier/wholesaler unaichukua na kuiuza kwa tsh 2,200. Faida 200.
Kesho unaamka yule yule mchina baada ya kumaliza mzigo wake, anaingiza sokoni bidhaa ile ile kwa tsh 1,700 kwa kumtumia supplier/wholesaler mwingine. Yeye atauza tsh 1,900. Hapo unadhani wauzaji wa mwsho watakimbilia kwa nani kufuata bidhaa?
Sana mkuu ukiona mtu kaanzia chini na hana msaada anapambana mwenyewe na kasimama kibiashara ujue kapitia mengi mno. Nna jamaa yangu amepitia mengi mno kwenye biashara ila namuona mbali sana, nlichojifunza kwake ni nidham ya fedha na kutokukata tamaa.Biashara risk sana
Kwahyo umeamua kuloga na wewe...Mambo ni mengi nimeshafanya ya watu nimeona fitna nyingi, nimefanya yangu nimeona pia mengi. Biashara ni kukomaa haswa vinginevyo utajifia na mapresha au kujikatia tamaa.
Yaani nikiwaga nasali naongea na Mungu kama vile yaani dah nafeel special.,Madam mambo mazuri! Kuna mda unafeel we ni last born wa Mungu
Hapana mimi sio mlozi ila inapokuja ishu ya kwanini uchukue bidhaa yangu na uache yao kuipamba bidhaa yangu na uongo na kukandia za wengine ni muhimu.Kwahyo umeamua kuloga na wewe...