Kufuata Bidhaa hapo China kusikufanye ukajiona umeyapatia maisha ukadharau watu!

Kufuata Bidhaa hapo China kusikufanye ukajiona umeyapatia maisha ukadharau watu!

Na Mungu akiwa upande wako...
Mimi Nina ushuhuda bro..
Sema Kila nikipanga nipandishe Uzi naona watu wengi humu wataona Nina weka kujidai....
Huu Uzi umenifanya niufungue kutokana na "taito' yake maana na Mimi nipo kwenye mishe hizo hizo..
Yaani ulimwengi WA pesa shetani ndo kautawala ila ukiwa na Mungu....
Eee...ushawahigi kufanya biashara watu wanakuamini tu....kuanzia masuplier mpaka wateja.....yaani pesa zinapishana tu huku na kule?
Basi Mtangulize Mungu
Una bahati kweli kweli,
 
Nakubaliana nawe mkuu, kama huna uvumilivu wa yanayoendelea kwenye biashara huwezi kufanya utakufa na stress. Kuna muda uliemuinua ukamfundsha biashara ndio anakufitini vibaya mno na kama ndio anazidi kufanikiwa hakuna rangi utaacha ona. Sio kila mtu anaweza kufanya biashara.
Ni kama ilivyo kwa madalali na udalali, dhuluma na kuzungukana ni kwingi, ukiwa hujui hayo utaumia sana ila n kawaida.
Bahati nzuri sifanyi biashara direct ila nafanya kwenye kampuni ya mtu naona vingi
 
Na Mungu akiwa upande wako...
Mimi Nina ushuhuda bro..
Sema Kila nikipanga nipandishe Uzi naona watu wengi humu wataona Nina weka kujidai....
Huu Uzi umenifanya niufungue kutokana na "taito' yake maana na Mimi nipo kwenye mishe hizo hizo..
Yaani ulimwengi WA pesa shetani ndo kautawala ila ukiwa na Mungu....
Eee...ushawahigi kufanya biashara watu wanakuamini tu....kuanzia masuplier mpaka wateja.....yaani pesa zinapishana tu huku na kule?
Basi Mtangulize Mungu
Madam mambo mazuri! Kuna mda unafeel we ni last born wa Mungu
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!


Kuna kuna watanzania ambao wanajiona wameyapatia maisha kuliko watanzania wote,basi ni hao wanaofuata bidhaa hapo China!.

Aisee,asikwambie mtu jamaa wanajiona wako matawi kinoma!.

Bidhaa zenyewe mnaleta feki na kama ni nguo basi ni midosho ya kufa mtu!.

Acheni ulimbukeni badilikeni!.


Kuna Mpumbavu mmoja alikuwa winga hapo Kariakoo akachukuliwa na Bosi aitwaye Mama Carlen akapelekwa China kuwa mpiga Debe lakini leo anajiona mjanja na kudharau watu!.

Wewe Hassan Mwehu,nakuonya na nafahamu fika uko humu JF!,unajua ulichokifanya Fala wewe!,Acha kujiona mjanja na kuzibia watu riziki zao!.

Mimi kufahamiana na Jayma wewe unaumia nini,umeenda ukapiga uongo wako kiasi kwamba nakosa pesa kwasababu yako Mpumbavu mmoja wewe!.

Nakusubiri kwa hamu bongo najua utakuja tu kwasababu China upo kwa mkopo!,Nataka Nije nikusukumie Mianzi hadharani Mpumbavu wewe!.
Acha wivu mkuu!
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!


Kuna kuna watanzania ambao wanajiona wameyapatia maisha kuliko watanzania wote,basi ni hao wanaofuata bidhaa hapo China!.

Aisee,asikwambie mtu jamaa wanajiona wako matawi kinoma!.

Bidhaa zenyewe mnaleta feki na kama ni nguo basi ni midosho ya kufa mtu!.

Acheni ulimbukeni badilikeni!.


Kuna Mpumbavu mmoja alikuwa winga hapo Kariakoo akachukuliwa na Bosi aitwaye Mama Carlen akapelekwa China kuwa mpiga Debe lakini leo anajiona mjanja na kudharau watu!.

Wewe Hassan Mwehu,nakuonya na nafahamu fika uko humu JF!,unajua ulichokifanya Fala wewe!,Acha kujiona mjanja na kuzibia watu riziki zao!.

Mimi kufahamiana na Jayma wewe unaumia nini,umeenda ukapiga uongo wako kiasi kwamba nakosa pesa kwasababu yako Mpumbavu mmoja wewe!.

Nakusubiri kwa hamu bongo najua utakuja tu kwasababu China upo kwa mkopo!,Nataka Nije nikusukumie Mianzi hadharani Mpumbavu wewe!.
Tupe code tuwauzie wanaijeria kesi mkuu...wamfundishe adabu kidogo..
POLE SANA ILA USIKATE TAMAA BRO
 
Naogopa sana fitna kwenye biashara.huwa nawaza sijui itakuaje?
Mkuu fitna zipo mno ni kukabiliana nazo tu, kwenye hizi biashara umakini unahitajika sana hasa hizi za masokoni maana kufilisika na kuanguka kibiashara ni kugusa tu.

Mfano, mchina anazalisha bidhaa leo kwa tsh 2,000, wewe kama supplier/wholesaler unaichukua na kuiuza kwa tsh 2,200. Faida 200.

Kesho unaamka yule yule mchina baada ya kumaliza mzigo wake, anaingiza sokoni bidhaa ile ile kwa tsh 1,700 kwa kumtumia supplier/wholesaler mwingine. Yeye atauza tsh 1,900. Hapo unadhani wauzaji wa mwsho watakimbilia kwa nani kufuata bidhaa?
 
Mkuu fitna zipo mno ni kukabiliana nazo tu, kwenye hizi biashara umakini unahitajika sana hasa hizi za masokoni maana kufilisika na kuanguka kibiashara ni kugusa tu.

Mfano, mchina anazalisha bidhaa leo kwa tsh 2,000, wewe kama supplier/wholesaler unaichukua na kuiuza kwa tsh 2,200. Faida 200.

Kesho unaamka yule yule mchina baada ya kumaliza mzigo wake, anaingiza sokoni bidhaa ile ile kwa tsh 1,700 kwa kumtumia supplier/wholesaler mwingine. Yeye atauza tsh 1,900. Hapo unadhani wauzaji wa mwsho watakimbilia kwa nani kufuata bidhaa?
Ni nomaaa mkuu!. Ndio maana wanasema biashara ni vitaa
 
Bahati nzuri sifanyi biashara direct ila nafanya kwenye kampuni ya mtu naona vingi
Mambo ni mengi nimeshafanya ya watu nimeona fitna nyingi, nimefanya yangu nimeona pia mengi. Biashara ni kukomaa haswa vinginevyo utajifia na mapresha au kujikatia tamaa.
 
Mkuu fitna zipo mno ni kukabiliana nazo tu, kwenye hizi biashara umakini unahitajika sana hasa hizi za masokoni maana kufilisika na kuanguka kibiashara ni kugusa tu.

Mfano, mchina anazalisha bidhaa leo kwa tsh 2,000, wewe kama supplier/wholesaler unaichukua na kuiuza kwa tsh 2,200. Faida 200.

Kesho unaamka yule yule mchina baada ya kumaliza mzigo wake, anaingiza sokoni bidhaa ile ile kwa tsh 1,700 kwa kumtumia supplier/wholesaler mwingine. Yeye atauza tsh 1,900. Hapo unadhani wauzaji wa mwsho watakimbilia kwa nani kufuata bidhaa?
Biashara risk sana
 
Biashara risk sana
Sana mkuu ukiona mtu kaanzia chini na hana msaada anapambana mwenyewe na kasimama kibiashara ujue kapitia mengi mno. Nna jamaa yangu amepitia mengi mno kwenye biashara ila namuona mbali sana, nlichojifunza kwake ni nidham ya fedha na kutokukata tamaa.
 
Kwahyo umeamua kuloga na wewe...
Hapana mimi sio mlozi ila inapokuja ishu ya kwanini uchukue bidhaa yangu na uache yao kuipamba bidhaa yangu na uongo na kukandia za wengine ni muhimu.

Kwenye zone yenu huko kuna mtu alinifanyia fitna sana nikapoteza uaminifu kwa wateja wangu wakubwa watatu, siku hiyo nilijiskia vibaya mno ila nikakubali uhalisia wa biashara. Kuna muda ni lazima umchafue mwenzio ili uteke soko/uuze vinginevyo utajiuzia mwenyewe au bidhaa zikuharibikie.
 
Back
Top Bottom