Kufuatia kutumbuliwa kwa DC wa Sumbawanga, kuna vitu havipo sawa nchini na ni lazima visemwe

Kufuatia kutumbuliwa kwa DC wa Sumbawanga, kuna vitu havipo sawa nchini na ni lazima visemwe

Wewe upo kwenye System unamuelekeza Dunga embee ambae lengo lake ni kubishaa tuu... Achana naee.. Ila kama zilitumika Risasi za moto kabisaa yule DC alipaswa afukuzwee usiku ule uleee yani mapema tu.
Punguza mihemko . Kijana mdogo ww. Utazeeka mapema.

Igizo lile lilikuwa well displayed.. perferctly role played..
 
Safi umeeleza vizuri na hata mimi binafsi naelewa maelezo yako. Ila naomba uendelee kunielimisha sehemu moja, natoka nje kidogo, kama utakuwa na uelewa nako; wale waigizaji wa marekani wanaigiza hadi ndani ya ikulu kabisa (White house) na kuhusisha hata hotuba za marais rasmi wa marekani inakuaje? Au kwa vile tuna sera tofauti? Niliangalia series ya 24 season 7, magaidi wameingia ikulu kabisa na kumteka raisi; hii imekaaje tukiliangalia na tukio letu husika?!!!
Atakujibu kwamba hizo ni muvi zinachezwa na Hollywood actors na yule pale alikuwa ni DC wa Sumbawanga .

Hakuna jibu jingine mtu wa CCM anaweza kukupa..
 
Safi umeeleza vizuri na hata mimi binafsi naelewa maelezo yako. Ila naomba uendelee kunielimisha sehemu moja, natoka nje kidogo, kama utakuwa na uelewa nako; wale waigizaji wa marekani wanaigiza hadi ndani ya ikulu kabisa (White house) na kuhusisha hata hotuba za marais rasmi wa marekani inakuaje? Au kwa vile tuna sera tofauti? Niliangalia series ya 24 season 7, magaidi wameingia ikulu kabisa na kumteka raisi; hii imekaaje tukiliangalia na tukio letu husika?!!!
Wale ni waigizaji jo. Huyu ni mtumishi wa umma.
 
Safi umeeleza vizuri na hata mimi binafsi naelewa maelezo yako. Ila naomba uendelee kunielimisha sehemu moja, natoka nje kidogo, kama utakuwa na uelewa nako; wale waigizaji wa marekani wanaigiza hadi ndani ya ikulu kabisa (White house) na kuhusisha hata hotuba za marais rasmi wa marekani inakuaje? Au kwa vile tuna sera tofauti? Niliangalia series ya 24 season 7, magaidi wameingia ikulu kabisa na kumteka raisi; hii imekaaje tukiliangalia na tukio letu husika?!!!
Uhuru wa kisanaa kwa nchi ya marekani ni mpana sana kiasi ambacho hata kucheza filamu za porn kunaruhusiwa, hivyo hata filamu za kiusalama zinatengenezwa sana.

Lakini movie zote za kimarekani huwa zinaigizwa na wasanii (sio maafisa usalama ndani ya serikali yao), hawaruhusu kabisa afisa usalama aende akaigize movie yenye kubeba uhalisia wa uafisa usalama wake. Hiyo kitaalamu inaitwa conflict of interest, ni kinyume cha sheria za uajiri na copyright kwao. Mtu akifanya hivyo tu, mara moja anapoteza kazi na kushtakiwa kulipa fidia kubwa.
 
Ukiwa kazini au umestaafu, hatatoa siri za jamhuri ya muungano wa tanzania kwa kuongea, kuandika, kuigiza, kuimba, au kuchora au kwa njia yoyote.


Huyu dc, rso, dso, rpc kamanda wa ffu na ocd wanapaswa muda huu wawe wanatoka kunywa uji butimba, keko na segerda.
 
Safi umeeleza vizuri na hata mimi binafsi naelewa maelezo yako. Ila naomba uendelee kunielimisha sehemu moja, natoka nje kidogo, kama utakuwa na uelewa nako; wale waigizaji wa marekani wanaigiza hadi ndani ya ikulu kabisa (White house) na kuhusisha hata hotuba za marais rasmi wa marekani inakuaje? Au kwa vile tuna sera tofauti? Niliangalia series ya 24 season 7, magaidi wameingia ikulu kabisa na kumteka raisi; hii imekaaje tukiliangalia na tukio letu husika?!!!

Wale ni Waigizaji, Wao kama Fanani uhusika wao ni kwenye filamu, hadhira yao haipo kwenye filamu, Ipo kwenye Ulimwengu Halisi ambao ni Sisi.

Je Kwa upande wa DC Fanani uhusika wao umefanyika kwenye Filamu au mazingira halisi? Je hadhira Ipo kwenye filamu au Ipo kwenye mazingira halisi?

Je dhamira juu ya igizo hilo ni ipi?
Ujumbe wake ni upi?
Fanani ambaye yupo kwenye mazingira halisi alitaka hadhira yake ipate ujumbe gani?

Vipi Fanani ni nani na majukumu yake ni yapi katika mazingira halisi?
 
Mkuu, kuna mambo mengi DC anatakiwa kufanya ikiwemo kutatua kero lukuki za wananchi, kuwa na mipango endelevu kama ujenzi wa shule, zahanati, maji nk, sio kuigiza vitu visivyokuwa na tija. Nadhani DC hakuwa sahihi hata kidogo. Rais anapokuteua kwa ngazi yoyote, amekuamini, kwahiyo unavaa urais nafasi ya Urais kwa sehemu husika. Sasa kama Dr. Samia naye angekuwa anaigiza igiza, sisi wananchi tengemwelewaje?? Watanzania tuwe serious kidogo.
 
Safi umeeleza vizuri na hata mimi binafsi naelewa maelezo yako. Ila naomba uendelee kunielimisha sehemu moja, natoka nje kidogo, kama utakuwa na uelewa nako; wale waigizaji wa marekani wanaigiza hadi ndani ya ikulu kabisa (White house) na kuhusisha hata hotuba za marais rasmi wa marekani inakuaje? Au kwa vile tuna sera tofauti? Niliangalia series ya 24 season 7, magaidi wameingia ikulu kabisa na kumteka raisi; hii imekaaje tukiliangalia na tukio letu husika?!!!
Ukiacha kuwa wao ni watumishi wa umma kujikita katika maigizo ya protocal za kiusalama kitu ambacho si sahihi lakini ile display ya risasi za moto mbele ya raia DAMN!!!! ni kitu cha ajabu sana kwa nchi zetu,
Niliwahi kudokezwa kuwa hata maonesho ya sherehe za uhuru na nyinginezo huwa yana vibali maalum,
Lengo lake lilikua ni zuri lakini hapana acha aende tu 😂😂😂😂😂😂
 
Safi umeeleza vizuri na hata mimi binafsi naelewa maelezo yako. Ila naomba uendelee kunielimisha sehemu moja, natoka nje kidogo, kama utakuwa na uelewa nako; wale waigizaji wa marekani wanaigiza hadi ndani ya ikulu kabisa (White house) na kuhusisha hata hotuba za marais rasmi wa marekani inakuaje? Au kwa vile tuna sera tofauti? Niliangalia series ya 24 season 7, magaidi wameingia ikulu kabisa na kumteka raisi; hii imekaaje tukiliangalia na tukio letu husika?!!!

Nilichogundua nchi masikini hazijiamini kwa lolote[emoji3][emoji3]

Marekani wanaigiza siri nzito za serikali tena ambazo zinaionesha marekani ikifadhili ugaidi au ikipanga shambulio ona series kama Condor,odyses,deep state

Kifupi nchi masikini zinawasiwasi! katika kuigiza wenzetu ndio wanaongeza kufikiri kuboresha, na kuangalia mianya ambayo wao hawakuiona

Mfano mwingine :
budget ya ulinzi
vifaa vya kijeshi nk huwezi pata tz lakini mabeberu wanazo na wanatengeneza video za firepower index.Lakin huku izi taarifa zinAfichwa balaa sasa najiuliza zinafichwa kwa kumlenga nani??
Nchi za nje wanajua hata vya siri? maadui wanazo sisi tunamficha layman au wananchi wasio na hata impact
 
Kuna haja ya kuwapima hawa watu "afya ya akili" kabla ya teuzi kwani ile haikuwa kawaida!
hata vaa yake kuna kitu hakiko sawa kwa yule Binti, I'm so sorry
 
'Umenipa madaraka ya kuleevya....' Ilisikika sauti ya mlevi hiviii.
 
Kwanza kabisa naanza kwa kumsalimia Rais wetu kipenzi Dr. Samia Suluhu Hassa. Kwa heshima zote kabisa maana najua atasoma uzi huu..kwani anapita humu na tupo naye.

Ni swali la moja kwa moja tu ...kama ni kweli yule DC wa Sumbawanga katolewa kwa Igizo lile basi hatuna budi kujitafakari upya lakini pia kuwa watu wa kuhimili mihemko yetu.!!?

Shida ilikuwa ni nini!? Kuuvaa uhusika wa kimamlaka kuu au kuleta taharuki!? Je raharuki ilitokea!?
Kama ishu ilikuwa ni kuuvaa uhusika wa Mamlaka kuu ya nchi kwa kuigiza kama Mama (kwa kile kilemba alichovaa) mbona marais wootee nchini huchezwa kinaigizo na wengine huchoorwa na sauti zao zinaigwa.

Mbona hii video hapa ilisherekewa...


Kwanini hapo ilikuwa ni sawa na ionekane DC huyu wa Sumbawanga kakosea wakati alikuwa akionesha ukakamavu na utayari wa jeshi la kina mama panapotokea shida.

Sasa maswali mengi tunajiuliza, Je ni watu tu wamejipendekeza ili waonekane au ni fitna tu na husda kwa aliyetumbuliwa.

Bado nachelea kuamini Rais ndo kamtengua huyu DC. AU LA KASHAURIWA VIBAYA ..

Kama umeshindwa kung’amua hili basi ungekuwa mwanasiasa mbaya kabisa!
 
Back
Top Bottom