Kufuatia kutumbuliwa kwa DC wa Sumbawanga, kuna vitu havipo sawa nchini na ni lazima visemwe

Kufuatia kutumbuliwa kwa DC wa Sumbawanga, kuna vitu havipo sawa nchini na ni lazima visemwe

Kama hiyo sheria ipo kwa public ni ruksa kutupatia kifungu Mkuu.
Ipo ukihudhuria baadhi ya shughuli zao huwa wanakusomea kabisa tena ni wakali kuliko kawaida na huwa imeelekeza sana kwa hao big 3 ukiweka na mwenge
 
Mkuu kazi yeyote inayohusisha utunzi wa kifasihi.. huchukuliwa tofauti vile kila mmoja alivyoelewa..

Lile ni IGIZO tu. OVER.

Acheni siasa. Unnecessary complications.
Yule ni mwakilishi wa rais sio comedian kama Joti ana itifaki za kufuata
 
Kuna
Safi umeeleza vizuri na hata mimi binafsi naelewa maelezo yako. Ila naomba uendelee kunielimisha sehemu moja, natoka nje kidogo, kama utakuwa na uelewa nako; wale waigizaji wa marekani wanaigiza hadi ndani ya ikulu kabisa (White house) na kuhusisha hata hotuba za marais rasmi wa marekani inakuaje? Au kwa vile tuna sera tofauti? Niliangalia series ya 24 season 7, magaidi wameingia ikulu kabisa na kumteka raisi; hii imekaaje tukiliangalia na tukio letu husika?!!!
Level ya security katika kila Taifa.
Unafanya kosa kubwa sana kulinganisha USA na Tanzania ktk masuala ya usalama.
This is to say,We are more vulnerable to security threats than USA and other developed nations.
As a nation therefore,we have set some features regardless if applied in other nations.
 
Safi umeeleza vizuri na hata mimi binafsi naelewa maelezo yako. Ila naomba uendelee kunielimisha sehemu moja, natoka nje kidogo, kama utakuwa na uelewa nako; wale waigizaji wa marekani wanaigiza hadi ndani ya ikulu kabisa (White house) na kuhusisha hata hotuba za marais rasmi wa marekani inakuaje? Au kwa vile tuna sera tofauti? Niliangalia series ya 24 season 7, magaidi wameingia ikulu kabisa na kumteka raisi; hii imekaaje tukiliangalia na tukio letu husika?!!!
Wameigiza ikulu au mfanano wa ikulu au ni pazia la kijani?
 
Uhuru wa kisanaa kwa nchi ya marekani ni mpana sana kiasi ambacho hata kucheza filamu za porn kunaruhusiwa, hivyo hata filamu za kiusalama zinatengenezwa sana.

Lakini movie zote za kimarekani huwa zinaigizwa na wasanii (sio maafisa usalama ndani ya serikali yao), hawaruhusu kabisa afisa usalama aende akaigize movie yenye kubeba uhalisia wa uafisa usalama wake. Hiyo kitaalamu inaitwa conflict of interest, ni kinyume cha sheria za uajiri na copyright kwao. Mtu akifanya hivyo tu, mara moja anapoteza kazi na kushtakiwa kulipa fidia kubwa.
Lakini wanausalama hutumika kama consultant kuwaelezea directors mambo ya protoko, sijui kama niko sahihi.

Kama ulivyosema uhuru wa kisanaa kwao ni mpana sana.
 
Kuna vitu vya kuigiza, kuna watu wa kuigiza na kuna mahali pa kuigiza. Tatizo sio kuigiza uhusika wa Rais, tatizo ni Kiongozi wa kiserikali kuigiza (kuruhusu igizo) la uhusika wa kiongozi wa nchi akiokolewa kwenye jaribio la kuuwawa kwa risasi mbele ya watu.

Kwa kifupi sana, ukishakuwa kiongozi wa kiserikali, hupaswi kabisa kuijadili au kuizungumzia mifumo rasmi binafsi ya usalama wa rais hadharani. Kufanya hivyo ni kosa kubwa sana. Ni sawa na mke/mume kuja hadharani kuzungumzia namna anavyofanya mapenzi na mkewe/mumewe kitandani.
Sio kujadili mifumo tu ya uongozi hata sehemu za kutembelea unakatazwa, haiwezekani wewe ni mteule wa Rais bado unaenda bar za uchochoroni
 
Back
Top Bottom