Kufuatia kutumbuliwa kwa DC wa Sumbawanga, kuna vitu havipo sawa nchini na ni lazima visemwe

Kufuatia kutumbuliwa kwa DC wa Sumbawanga, kuna vitu havipo sawa nchini na ni lazima visemwe

Watu aina ya DC wapo wengi tu serikalini...
 
Unamfahamu DC wa Sumbawanga kwa sura? Yule aliyeigiza si DC wa Sumbawanga ni polisi na walikuwa wanaigiza tu.Mgeni rasmi alikuwa mkuu wa wilaya ya Kalambo.
Sura ya wa sumbawanga na muonekano wake unashtua kidogo ni kama waleeeee wa lile kundi
 
Kwanza kabisa naanza kwa kumsalimia Rais wetu kipenzi Samia Suluhu Hassan kwa heshima zote kabisa maana najua atasoma uzi huu kwani anapita humu na tupo naye.

Ni swali la moja kwa moja tu, kama ni kweli yule DC wa Sumbawanga katolewa kwa igizo lile basi hatuna budi kujitafakari upya lakini pia kuwa watu wa kuhimili mihemko yetu.

Shida ilikuwa ni nini? Kuuvaa uhusika wa kimamlaka kuu au kuleta taharuki? Je, taharuki ilitokea? Kama ishu ilikuwa ni kuuvaa uhusika wa Mamlaka Kuu ya Nchi kwa kuigiza kama Mama (kwa kile kilemba alichovaa) mbona Marais wote nchini huchezwa kimaigizo na wengine huchorwa na sauti zao zinaigwa?

Mbona hii video hapa ilisherekewa.
View attachment 2545703

Kwanini hapo ilikuwa ni sawa na ionekane DC huyu wa Sumbawanga kakosea wakati alikuwa akionesha ukakamavu na utayari wa jeshi la kina mama panapotokea shida.

Sasa maswali mengi tunajiuliza, je, ni watu tu wamejipendekeza ili waonekane au ni fitna tu na husda kwa aliyetumbuliwa?

Bado nachelea kuamini Rais ndio kamtengua huyu DC au la kashauriwa vibaya.
Huyo DC aliyetumbuliwa ndugu yako Nini, au mtu poa anajua kuishi na watu, wakati wenzio DC wetu alivyotumbuliwa tulifurahi, alikuwa mtu wa roho mbaya, nilikuwa nyumbani mpaka nikapigiwa simu.
 
Ndiyo maana wale jamaa wa chama cha walimu waligomaea teuzi kwa mambo kama haya sasa.
 
Kwanza kabisa naanza kwa kumsalimia Rais wetu kipenzi Samia Suluhu Hassan kwa heshima zote kabisa maana najua atasoma uzi huu kwani anapita humu na tupo naye.

Ni swali la moja kwa moja tu, kama ni kweli yule DC wa Sumbawanga katolewa kwa igizo lile basi hatuna budi kujitafakari upya lakini pia kuwa watu wa kuhimili mihemko yetu.

Shida ilikuwa ni nini? Kuuvaa uhusika wa kimamlaka kuu au kuleta taharuki? Je, taharuki ilitokea? Kama ishu ilikuwa ni kuuvaa uhusika wa Mamlaka Kuu ya Nchi kwa kuigiza kama Mama (kwa kile kilemba alichovaa) mbona Marais wote nchini huchezwa kimaigizo na wengine huchorwa na sauti zao zinaigwa?

Mbona hii video hapa ilisherekewa.
View attachment 2545703

Kwanini hapo ilikuwa ni sawa na ionekane DC huyu wa Sumbawanga kakosea wakati alikuwa akionesha ukakamavu na utayari wa jeshi la kina mama panapotokea shida.

Sasa maswali mengi tunajiuliza, je, ni watu tu wamejipendekeza ili waonekane au ni fitna tu na husda kwa aliyetumbuliwa?

Bado nachelea kuamini Rais ndio kamtengua huyu DC au la kashauriwa vibaya.
Tuanze na Protocol, je ilikua sahihi kwa kiongoz huyo kua act at that security levels?
 


Ushamba tu wa Tanzania watu wanafanya mazoezi intense kushinda yale hadharani.

Halafu ile ukiangalia ni nyepesi mno bi tozo alindwi vile kuna circle ya nguzo, wale wanaomzunguka hadi wawe wa kwanza kufyatua basi itakuwa security ya ovyo mno.
 
Ukisoma sheria ya usalama wa taifa sitaki kusema kifungu huwa inazuia kuigiza baadhi ya mambo nadhani na Hilo ni Moja wapo
Kama hiyo sheria ipo kwa public ni ruksa kutupatia kifungu Mkuu.
 
Wewe upo kwenye System unamuelekeza Dunga embee ambae lengo lake ni kubishaa tuu... Achana naee.. Ila kama zilitumika Risasi za moto kabisaa yule DC alipaswa afukuzwee usiku ule uleee yani mapema tu.
Ni risasi baridi zile.
 


Ushamba tu wa Tanzania watu wanafanya mazoezi intense kushinda yale hadharani.

Halafu ile ukiangalia ni nyepesi mno bi tozo alindwi vile kuna circle ya nguzo, wale wanaomzunguka hadi wawe wa kwanza kufyatua basi itakuwa security ya ovyo mno.
Kama dc ni ndugu yako ndo basi Tena kitumbua kimeshaingia mchanga.
 
Kama dc ni ndugu yako ndo basi Tena kitumbua kimeshaingia mchanga.


Wana jeshi wengine hao hapo wakike wakionyesha walivyosherekea siku yao duniani na hatua walizopiga jeshini. Kwanini iwe shida askari wa kike bongo kuonyesha uwezo wao.

Kusimamishwa kazi kwa huyo DC hakuni sumbui kichwa hila evolution ya thinking ndio shida. Issue ndogo kama ile sio ya kumfukuza mtu kazi au kuwa big deal dunia ya leo security wise.
 
Shida ilikuwa ni nini? Kuuvaa uhusika wa kimamlaka kuu au kuleta taharuki? Je, taharuki ilitokea? Kama ishu ilikuwa ni kuuvaa uhusika wa Mamlaka Kuu ya Nchi kwa kuigiza kama Mama (kwa kile kilemba alichovaa) mbona Marais wote nchini huchezwa kimaigizo na wengine huchorwa na sauti zao zinaigwa?
Wanaocheza maigizo ni comedians wanaeleweka siyo mkuu wa Wilaya au Mkoa.

Hiyo siyo sawa kabisa. Kingekuja kikundi cha maigizo kikafanya hayo tungecheka na kufurahi lakini kwa kweli mimi sikuona mantiki ya DC kufanya hivyo.
 
Uhuru wa kisanaa kwa nchi ya marekani ni mpana sana kiasi ambacho hata kucheza filamu za porn kunaruhusiwa, hivyo hata filamu za kiusalama zinatengenezwa sana.

Lakini movie zote za kimarekani huwa zinaigizwa na wasanii (sio maafisa usalama ndani ya serikali yao), hawaruhusu kabisa afisa usalama aende akaigize movie yenye kubeba uhalisia wa uafisa usalama wake. Hiyo kitaalamu inaitwa conflict of interest, ni kinyume cha sheria za uajiri na copyright kwao. Mtu akifanya hivyo tu, mara moja anapoteza kazi na kushtakiwa kulipa fidia kubwa.
Hata hivyo kuna baadhi ya vitu wanapofanya acting kuhusu usalama (FBI au CIA) lazima wapate clearance kutoka taasisi husika ili wasivuke mipaka ya uigizaji wao.
 
Safi umeeleza vizuri na hata mimi binafsi naelewa maelezo yako. Ila naomba uendelee kunielimisha sehemu moja, natoka nje kidogo, kama utakuwa na uelewa nako; wale waigizaji wa marekani wanaigiza hadi ndani ya ikulu kabisa (White house) na kuhusisha hata hotuba za marais rasmi wa marekani inakuaje? Au kwa vile tuna sera tofauti? Niliangalia series ya 24 season 7, magaidi wameingia ikulu kabisa na kumteka raisi; hii imekaaje tukiliangalia na tukio letu husika?!!!
Mkuu ile huwa siyo ikulu ni MOVIE MAKING THEATER - wanafanya simulation ya eneo husika kama lilivyo
 
Back
Top Bottom