Punguza mihemko . Kijana mdogo ww. Utazeeka mapema.Wewe upo kwenye System unamuelekeza Dunga embee ambae lengo lake ni kubishaa tuu... Achana naee.. Ila kama zilitumika Risasi za moto kabisaa yule DC alipaswa afukuzwee usiku ule uleee yani mapema tu.
Atakujibu kwamba hizo ni muvi zinachezwa na Hollywood actors na yule pale alikuwa ni DC wa Sumbawanga .Safi umeeleza vizuri na hata mimi binafsi naelewa maelezo yako. Ila naomba uendelee kunielimisha sehemu moja, natoka nje kidogo, kama utakuwa na uelewa nako; wale waigizaji wa marekani wanaigiza hadi ndani ya ikulu kabisa (White house) na kuhusisha hata hotuba za marais rasmi wa marekani inakuaje? Au kwa vile tuna sera tofauti? Niliangalia series ya 24 season 7, magaidi wameingia ikulu kabisa na kumteka raisi; hii imekaaje tukiliangalia na tukio letu husika?!!!
Wale ni waigizaji jo. Huyu ni mtumishi wa umma.Safi umeeleza vizuri na hata mimi binafsi naelewa maelezo yako. Ila naomba uendelee kunielimisha sehemu moja, natoka nje kidogo, kama utakuwa na uelewa nako; wale waigizaji wa marekani wanaigiza hadi ndani ya ikulu kabisa (White house) na kuhusisha hata hotuba za marais rasmi wa marekani inakuaje? Au kwa vile tuna sera tofauti? Niliangalia series ya 24 season 7, magaidi wameingia ikulu kabisa na kumteka raisi; hii imekaaje tukiliangalia na tukio letu husika?!!!
Uhuru wa kisanaa kwa nchi ya marekani ni mpana sana kiasi ambacho hata kucheza filamu za porn kunaruhusiwa, hivyo hata filamu za kiusalama zinatengenezwa sana.Safi umeeleza vizuri na hata mimi binafsi naelewa maelezo yako. Ila naomba uendelee kunielimisha sehemu moja, natoka nje kidogo, kama utakuwa na uelewa nako; wale waigizaji wa marekani wanaigiza hadi ndani ya ikulu kabisa (White house) na kuhusisha hata hotuba za marais rasmi wa marekani inakuaje? Au kwa vile tuna sera tofauti? Niliangalia series ya 24 season 7, magaidi wameingia ikulu kabisa na kumteka raisi; hii imekaaje tukiliangalia na tukio letu husika?!!!
Mkuu kazi yeyote inayohusisha utunzi wa kifasihi.. huchukuliwa tofauti vile kila mmoja alivyoelewa..
Lile ni IGIZO tu. OVER.
Acheni siasa. Unnecessary complications.
Safi umeeleza vizuri na hata mimi binafsi naelewa maelezo yako. Ila naomba uendelee kunielimisha sehemu moja, natoka nje kidogo, kama utakuwa na uelewa nako; wale waigizaji wa marekani wanaigiza hadi ndani ya ikulu kabisa (White house) na kuhusisha hata hotuba za marais rasmi wa marekani inakuaje? Au kwa vile tuna sera tofauti? Niliangalia series ya 24 season 7, magaidi wameingia ikulu kabisa na kumteka raisi; hii imekaaje tukiliangalia na tukio letu husika?!!!
Wewe utakuwa na uelewa 0 00%Kwahiyo pale ametoa au amehatarisha nini au alitoa clue gani au alivujisha nini ktk mambo yanayohusiana na usalama wa Rais!??
Ukiacha kuwa wao ni watumishi wa umma kujikita katika maigizo ya protocal za kiusalama kitu ambacho si sahihi lakini ile display ya risasi za moto mbele ya raia DAMN!!!! ni kitu cha ajabu sana kwa nchi zetu,Safi umeeleza vizuri na hata mimi binafsi naelewa maelezo yako. Ila naomba uendelee kunielimisha sehemu moja, natoka nje kidogo, kama utakuwa na uelewa nako; wale waigizaji wa marekani wanaigiza hadi ndani ya ikulu kabisa (White house) na kuhusisha hata hotuba za marais rasmi wa marekani inakuaje? Au kwa vile tuna sera tofauti? Niliangalia series ya 24 season 7, magaidi wameingia ikulu kabisa na kumteka raisi; hii imekaaje tukiliangalia na tukio letu husika?!!!
Safi umeeleza vizuri na hata mimi binafsi naelewa maelezo yako. Ila naomba uendelee kunielimisha sehemu moja, natoka nje kidogo, kama utakuwa na uelewa nako; wale waigizaji wa marekani wanaigiza hadi ndani ya ikulu kabisa (White house) na kuhusisha hata hotuba za marais rasmi wa marekani inakuaje? Au kwa vile tuna sera tofauti? Niliangalia series ya 24 season 7, magaidi wameingia ikulu kabisa na kumteka raisi; hii imekaaje tukiliangalia na tukio letu husika?!!!
Tatizo hao watu hawapewi seminar elekezi za kutosha baada ya kuteuliwa ili wajua jod description zao, hapo Dc alivuka red-tapeAlichofanya huyo DC hakiko katika mtiririko wa kazi za u-dc.
Akajiunge na waigizaji wa bongo movie.
Kama umeshindwa kungβamua hili basi ungekuwa mwanasiasa mbaya kabisa!Kwanza kabisa naanza kwa kumsalimia Rais wetu kipenzi Dr. Samia Suluhu Hassa. Kwa heshima zote kabisa maana najua atasoma uzi huu..kwani anapita humu na tupo naye.
Ni swali la moja kwa moja tu ...kama ni kweli yule DC wa Sumbawanga katolewa kwa Igizo lile basi hatuna budi kujitafakari upya lakini pia kuwa watu wa kuhimili mihemko yetu.!!?
Shida ilikuwa ni nini!? Kuuvaa uhusika wa kimamlaka kuu au kuleta taharuki!? Je raharuki ilitokea!?
Kama ishu ilikuwa ni kuuvaa uhusika wa Mamlaka kuu ya nchi kwa kuigiza kama Mama (kwa kile kilemba alichovaa) mbona marais wootee nchini huchezwa kinaigizo na wengine huchoorwa na sauti zao zinaigwa.
Mbona hii video hapa ilisherekewa...
Kwanini hapo ilikuwa ni sawa na ionekane DC huyu wa Sumbawanga kakosea wakati alikuwa akionesha ukakamavu na utayari wa jeshi la kina mama panapotokea shida.
Sasa maswali mengi tunajiuliza, Je ni watu tu wamejipendekeza ili waonekane au ni fitna tu na husda kwa aliyetumbuliwa.
Bado nachelea kuamini Rais ndo kamtengua huyu DC. AU LA KASHAURIWA VIBAYA ..