Ipo ukihudhuria baadhi ya shughuli zao huwa wanakusomea kabisa tena ni wakali kuliko kawaida na huwa imeelekeza sana kwa hao big 3 ukiweka na mwengeKama hiyo sheria ipo kwa public ni ruksa kutupatia kifungu Mkuu.
Yule ni mwakilishi wa rais sio comedian kama Joti ana itifaki za kufuataMkuu kazi yeyote inayohusisha utunzi wa kifasihi.. huchukuliwa tofauti vile kila mmoja alivyoelewa..
Lile ni IGIZO tu. OVER.
Acheni siasa. Unnecessary complications.
Level ya security katika kila Taifa.Safi umeeleza vizuri na hata mimi binafsi naelewa maelezo yako. Ila naomba uendelee kunielimisha sehemu moja, natoka nje kidogo, kama utakuwa na uelewa nako; wale waigizaji wa marekani wanaigiza hadi ndani ya ikulu kabisa (White house) na kuhusisha hata hotuba za marais rasmi wa marekani inakuaje? Au kwa vile tuna sera tofauti? Niliangalia series ya 24 season 7, magaidi wameingia ikulu kabisa na kumteka raisi; hii imekaaje tukiliangalia na tukio letu husika?!!!
Wameigiza ikulu au mfanano wa ikulu au ni pazia la kijani?Safi umeeleza vizuri na hata mimi binafsi naelewa maelezo yako. Ila naomba uendelee kunielimisha sehemu moja, natoka nje kidogo, kama utakuwa na uelewa nako; wale waigizaji wa marekani wanaigiza hadi ndani ya ikulu kabisa (White house) na kuhusisha hata hotuba za marais rasmi wa marekani inakuaje? Au kwa vile tuna sera tofauti? Niliangalia series ya 24 season 7, magaidi wameingia ikulu kabisa na kumteka raisi; hii imekaaje tukiliangalia na tukio letu husika?!!!
Lakini wanausalama hutumika kama consultant kuwaelezea directors mambo ya protoko, sijui kama niko sahihi.Uhuru wa kisanaa kwa nchi ya marekani ni mpana sana kiasi ambacho hata kucheza filamu za porn kunaruhusiwa, hivyo hata filamu za kiusalama zinatengenezwa sana.
Lakini movie zote za kimarekani huwa zinaigizwa na wasanii (sio maafisa usalama ndani ya serikali yao), hawaruhusu kabisa afisa usalama aende akaigize movie yenye kubeba uhalisia wa uafisa usalama wake. Hiyo kitaalamu inaitwa conflict of interest, ni kinyume cha sheria za uajiri na copyright kwao. Mtu akifanya hivyo tu, mara moja anapoteza kazi na kushtakiwa kulipa fidia kubwa.
Sio kujadili mifumo tu ya uongozi hata sehemu za kutembelea unakatazwa, haiwezekani wewe ni mteule wa Rais bado unaenda bar za uchochoroniKuna vitu vya kuigiza, kuna watu wa kuigiza na kuna mahali pa kuigiza. Tatizo sio kuigiza uhusika wa Rais, tatizo ni Kiongozi wa kiserikali kuigiza (kuruhusu igizo) la uhusika wa kiongozi wa nchi akiokolewa kwenye jaribio la kuuwawa kwa risasi mbele ya watu.
Kwa kifupi sana, ukishakuwa kiongozi wa kiserikali, hupaswi kabisa kuijadili au kuizungumzia mifumo rasmi binafsi ya usalama wa rais hadharani. Kufanya hivyo ni kosa kubwa sana. Ni sawa na mke/mume kuja hadharani kuzungumzia namna anavyofanya mapenzi na mkewe/mumewe kitandani.