Bosi wa kisarawe[emoji3][emoji3]Kuna jamaa Tanzania wana ukwasi kuliko hata hao wanaojulikana na hawataki kujulikana. Kuna investor wa kibongo kawekeza kwenye madini ana pesa chafu na wafanyakazi wake wanaishi maisha ya kifahari huko kanda ya ziwa.
Kuna mwaka Forbes waliwahi muweka kwenye list ya matajiri wajao bosi wa Kisarawe. Hiyo tusubiri na tumuombee litokee.
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Mwana nimekuelewa cheers[emoji482]Watu kwa kukosa uelewa wa biashara, pia wanashindwa kumwelewa Diamond kwa kumuona ana-force aonekane nae ni tajiri!!!
Hizi Forbes list zina-determine thamani ya mikataba ijayo anayoweza kuingia!!!
Kama Forbes wanasema utajiri wako, mathalani ni US$ 5 Million, maana yake kampuni ikitaka kuja kufanya kazi na wewe inajua kabisa kwamba thamani yako ni US$ 5 Million, kwahiyo hata mkataba wa US$ 200,000 utakuwa unaendana na thamani yako (ya USD 200K)!!
Kinyume chake, iwe kweli au si kweli lakini kwenye Forbes list unatokea ukiwa na "utajiri" wa US$ 50 Million... hapa hata zile kampuni zinazotaka kufanya biashara na wewe HAZIWEZI tena kufikiria kukupa mkataba wa US$ 200, 000 kwa sababu wanaamini, as per Forbes, una thamani ya millions of dollars!!!
Ni kutokana na hilo, ndo maana Wajanja kama DonJazz unakuta wanamuunga mkono Diamond kwa sababu wanafahamu hizi Forbes list zina-determine future yako!!!
Akina sie tusiejua mambo kama haya tunadhani jamaa ana-force kuonekana tajiri kumbe it's all about business!!!
Eti jamani eti ana " trillion [emoji849][emoji849][emoji16]hawa forbes waliwahi kumpandisha ubillionea mdogo wa kim kardashian ila baaday wakagundua wamepigwa changa fasta wakamtoa
Afanye kama kanye west ama maana alipeleka mpaka risiti forbesDomo aache kulia lia, aweke financial Account zake tuone assets, na liabilities zake na kiasi Cha Kodi anacholipa
Niazime nipigie pichaMi namiliki milioni 100, ila najiona kapuku sana[emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Sometimes in year Kanye huwaga mwezi mchangaMimi huwa nawaona ni wendawazimu tu.
Kanye West na Jay Z walikuwa marafiki sana ila baadaye urafiki wao ni kama ukafa.
Baadaye Forbes wenyewe wakafanya uchunguzi wao wakasema Jigga ni billionnaire. Kanye akaona yeye kimya, akawa anawafuata anawambia na yeye ni billionnaire mpaka mzigo wa receipt akachukua akawapelekea ndio wakamtangaza ila kwa kiwango kidogo kuliko ambacho mwenyewe alitamba anacho.
Sasa huu huwa ni uchizi plain.
Hata mimi nimeingia Google sijaona kitu cha maana kuhusu jamaa ambacho kinaweza ku prove wrong list ya Forbes...ni kiki tu hiziIzo akaunti ni zao kweli???
Jamaa anasema tuulize google mie nimeuliza wameniletea forbes[emoji3][emoji3][emoji3]
Huyo gsm anakula na mtu wa serikalini huko akiiba anapewa yeye asimamie.....Kuna watu wana mkwanja asee, Kama huyu tajiri wa Gsm ni noma, juzi ndio nilikutana naye pale kwenye mjengo wake mpya Salamander Tower, halafu jamaa very simple Sana, hana makuu..
Hiyo ni ya vocha tu ili usome commentsJamani sie tunaomiliki 40k tukakoment wapi?
Forbes hawafuatilii sana utajiri private. Labda ukawambie wewe mwenyewe au uingie mchongo na content creators. Forbes wao wanaangalia utajiri wa wahusika kupitia hisa kwenye masoko ya hisa.Sometimes in year Kanye huwaga mwezi mchanga
Mpuuzeni,watamuoneaje yeye tu,hamkumbuki kuna kipindi Kanye alikuwa chawa wa Trump hapa na aliwahi kumuomba Trump 50mil USD afanyie biashara halafu huyo huyo anawalalamikia Forbes ati yeye bilionea labda kwa sasa Yeezy inafanya vizuri sana dunia nzima anaweza fikia huo ubilionea...
Hawa wengine hapa bongo tushawazoea kwa kiki japo naamini Diamond ni zaidi ya vile list ya Forbes navyoonesha hivyo vingine Forbes wataendelea ku-dig kwasababu wasanii wa Afrika ni ngumu sana kujua kila kitu wanafanya kwenye shughuli zao za uchumi tunafanya vitu local sana...
GSM ni Home shopping center. Kina Kikwete wana mkono hapo. Hata huko Yanga Kikwete ndiye kampeleka.Huyo gsm anakula na mtu wa serikalini huko akiiba anapewa yeye asimamie.....
Hii ishu ipo sana afrika
Hakuna kelele wala Forbes wala motivational speaking. Wala hawatumii energy kujulisha watu kwamba ni matajiri Kwasababu haiwaongezei hata mia yaani.Hao wahindi mzee na ndio ma Tycoon wenye pesa ndefu hapa bongo
Elewa kitu kimoja chief , ukitafta matajiri 1000 bongo usishangae diamond kutoliona jina lake , Ila ndo mtu maarufu zaidi bongo right now ukiondoa Maghufuli aliyefariki.Kuna jamaa Tanzania wana ukwasi kuliko hata hao wanaojulikana na hawataki kujulikana. Kuna investor wa kibongo kawekeza kwenye madini ana pesa chafu na wafanyakazi wake wanaishi maisha ya kifahari huko kanda ya ziwa.
Kuna mwaka Forbes waliwahi muweka kwenye list ya matajiri wajao bosi wa Kisarawe. Hiyo tusubiri na tumuombee litokee.
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app