Kufuatia tishio la wanachadema kufanya fujo, Dar es salaam yote iwekwe chini ya uangalizi maalum wa vyombo vya ukinzi na usalama

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
NAshauri hilo lifanyike kwa kuhusisha vyombo vyote vya ulinzi na usalama. Nyumba za wageni zikqguliwe mara kwa mara kubaini watu waliokuja Dar kwa ajili ya uhalifu huo, nyumba za biongozi wa chadema Dar ws salaam nzima zifuatiliwe kwa karibu, wageni wanaoingia na kutoka.

Ofisi za chadema zote nchi nzima ziwekqe chini ya uangalizi (surveillance), njia kuu za kuingilia na kutoka Dar, makutano ya barabara yote kwa mwezi mzima yawekwe chini ya uangalizi maalum.

Kwa mikoani, viongozi wa chama hichi wawekwe chini ya uangalizi na database ya kufuatilia mienendo na mizunguko yao, vikao vyao, na kila kitu, vituo vyote vya mabasi nchi nzima viangaliwe pamoja na magari ya kukodi, na wenye kamouni hizo nchi nzima waonywe kuhusu kukodisha magari yao yakafanye uhalifu.

Kila mkoa utoe maafisa kadhaa walioiva katika kazi ya kutuliza ghasia, na pia mapolisi jeshi (MP) nchi nzima wakqe mkao wa utayari kuilinda nchi
 
NAshauri hilo lifanyike kwa kuhusisha vyombo vyote vya ulinzi na usalama. Nyumba za wageni zikqguliwe mara kwa mara kubaini watu waliokuja Dar kwa ajili ya uhalifu huo, nyumba za biongozi wa chadema Dar ws salaam nzima zifuatiliwe kwa karibu, wageni wanaoingia na kutoka.

Ofisi za chadema zote nchi nzima ziwekqe chini ya uangalizi (surveillance), njia kuu za kuingilia na kutoka Dar, makutano ya barabara yote kwa mwezi mzima yawekwe chini ya uangalizi maalum.

Kwa mikoani, viongozi wa chama hichi wawekwe chini ya uangalizi na database ya kufuatilia mienendo na mizunguko yao, vikao vyao, na kila kitu, vituo vyote vya mabasi nchi nzima viangaliwe pamoja na magari ya kukodi, na wenye kamouni hizo nchi nzima waonywe kuhusu kukodisha magari yao yakafanye uhalifu.

Kila mkoa utoe maafisa kadhaa walioiva katika kazi ya kutuliza ghasia, na pia mapolisi jeshi (MP) nchi nzima wakqe mkao wa utayari kuilinda nchi
Magoti yako yanatetemeka kwa uoga.Tulia.Huu siyo mwaka 1963.Ikibidi yatokee,yatatokea tu hata ukijiliza.Muda ni mwalimu mkuu.
 
NAshauri hilo lifanyike kwa kuhusisha vyombo vyote vya ulinzi na usalama. Nyumba za wageni zikqguliwe mara kwa mara kubaini watu waliokuja Dar kwa ajili ya uhalifu huo, nyumba za biongozi wa chadema Dar ws salaam nzima zifuatiliwe kwa karibu, wageni wanaoingia na kutoka.

Ofisi za chadema zote nchi nzima ziwekqe chini ya uangalizi (surveillance), njia kuu za kuingilia na kutoka Dar, makutano ya barabara yote kwa mwezi mzima yawekwe chini ya uangalizi maalum.

Kwa mikoani, viongozi wa chama hichi wawekwe chini ya uangalizi na database ya kufuatilia mienendo na mizunguko yao, vikao vyao, na kila kitu, vituo vyote vya mabasi nchi nzima viangaliwe pamoja na magari ya kukodi, na wenye kamouni hizo nchi nzima waonywe kuhusu kukodisha magari yao yakafanye uhalifu.

Kila mkoa utoe maafisa kadhaa walioiva katika kazi ya kutuliza ghasia, na pia mapolisi jeshi (MP) nchi nzima wakqe mkao wa utayari kuilinda nchi
Hamna mahali wametishia usalama, punguza kujishtukia
Chadema hawana uwezo huo
 
Hela alizopora zilitunza family yake yeye akiwa kafungiwa kabatini.
Hamna mahali wametishia usalama, punguza kujishtukia
Chadema hawana uwezo huo
Usimdharau mtu. Hamas mwaka huu Letanyahu anatoka mafua. Licha yabkupewa silaha zote za dunia anaua watoto na wanawake huku majeshi ya Palestina wakiwatoa jasho
 
Usimdharau mtu. Hamas mwaka huu Letanyahu anatoka mafua. Licha yabkupewa silaha zote za dunia anaua watoto na wanawake huku majeshi ya Palestina wakiwatoa jasho
Letanyahu ndiyo kitu gani?Andika vizuri jina la mtu ueleweke.Kila mara unaandika hivyohivyo. Hata kama humpendi huna mamlaka ya kubadilisha jina lake.
 
nadhani liko Tatizo katika uelewa na ufahamu wa masuala ya ustaarabu na sheria za kimataifa.
bilashaka ni kwasababu ya taasisi za kisiasa kutokua uwezo lakini pia watu makini wabobevu katika eneo hilo ili kutoa uelekeo na jinsi ya viongozi waandamizi wanavyoweza kuyazungumzia masuala haya mbele ya umma..

masuala ya kimataifa hayaendeshwi kwa msukumo binafsi, hisia au kutumia kinywaji cha kuchochea mtu awe jasiri, mwenye shauku na kujiamini bila kujali anazungumza mambo kinyume na miiko na utamaduni wa kimataifa....

haiwezekani unatoa wito wa kiuchunguzi wa kimataifa kulingana na hisia zako dhidi ya vyombo vya ulinzi na usalama wa nchi yako, lakini pia ukiwa na record za uchochezi na ugaidi...

wakati huo huo unachochea chuki dhidi ya serikali na kuhamasisha mapinduzi ya serikali iliyopo madarakani kidemokrasia..
huo ni uhalifu..

unatofautiana nini sasa na wanamapinduzi na wahaini wengine? Ni Taifa gani la kistaarabu ulimwenguni linalozingatia sheria za kimataifa litakuskiza?

huenda msukumo wa haya inaweza kua kinywaji..
maana ule msukumo haukua wa kawaida, hata ukiobserve body language, tone na facial expressions ya kiongozi mtoa wito ni dhahiri alikua katika hali ya msisimko baada ya kupata kinywaji Fulani chenye kuhamasisha mtu awe jasiri, mwenye shauku na kujiamini kupita kiasi na kuamua kutangaza vitu ambavyo vinaweza kuzua taharuki miongoni mwa jamii, kuhatarisha umoja, amani, utulivu wa waTanzania pamoja na kuhamasisha chuki na uhalifu nchini..🐒





Mungu Ibariki Tanzania
 
nadhani liko Tatizo katika uelewa na ufahamu wa masuala ya ustaarabu na sheria za kimataifa.
bilashaka ni kwasababu ya taasisi za kisiasa kutokua uwezo lakini pia watu makini wabobevu katika eneo hilo ili kutoa uelekeo na jinsi ya viongozi waandamizi wanavyoweza kuyazungumzia masuala haya mbele ya umma..

masuala ya kimataifa hayaendeshwi kwa msukumo binafsi, hisia au kutumia kinywaji cha kuchochea mtu awe jasiri, mwenye shauku na kujiamini bila kujali anazungumza mambo kinyume na miiko na utamaduni wa kimataifa....

haiwezekani unatoa wito wa kiuchunguzi wa kimataifa kulingana na hisia zako dhidi ya vyombo vya ulinzi na usalama wa nchi yako, lakini pia ukiwa na record za uchochezi na ugaidi...

wakati huo huo unachochea chuki dhidi ya serikali na kuhamasisha mapinduzi ya serikali iliyopo madarakani kidemokrasia..
huo ni uhalifu..

unatofautiana nini sasa na wanamapinduzi na wahaini wengine? Ni Taifa gani la kistaarabu ulimwenguni linalozingatia sheria za kimataifa litakuskiza?

huenda msukumo wa haya inaweza kua kinywaji..
maana ule msukumo haukua wa kawaida, hata ukiobserve body language, tone na facial expressions ya kiongozi mtoa wito ni dhahiri alikua katika hali ya msisimko baada ya kupata kinywaji Fulani chenye kuhamasisha mtu awe jasiri, mwenye shauku na kujiamini kupita kiasi na kuamua kutangaza vitu ambavyo vinaweza kuzua taharuki miongoni mwa jamii, kuhatarisha umoja, amani, utulivu wa waTanzania pamoja na kuhamasisha chuki na uhalifu nchini..🐒





Mungu Ibariki Tanzania
Waambie Je matamko ya Mabwana zao yameshawasaidia nini Hadi saizi? 😁😁😁😁

Wanaalikwa kufanya usafi sanjali ya JW tarehe tajwa hapo chini 🤣🤣👇👇

View: https://x.com/MzalendoDaily/status/1833893018245451992?t=XyYVwRmVBJCV3OMYzwbTPA&s=19
 
nadhani liko Tatizo katika uelewa na ufahamu wa masuala ya ustaarabu na sheria za kimataifa.
bilashaka ni kwasababu ya taasisi za kisiasa kutokua uwezo lakini pia watu makini wabobevu katika eneo hilo ili kutoa uelekeo na jinsi ya viongozi waandamizi wanavyoweza kuyazungumzia masuala haya mbele ya umma..

masuala ya kimataifa hayaendeshwi kwa msukumo binafsi, hisia au kutumia kinywaji cha kuchochea mtu awe jasiri, mwenye shauku na kujiamini bila kujali anazungumza mambo kinyume na miiko na utamaduni wa kimataifa....

haiwezekani unatoa wito wa kiuchunguzi wa kimataifa kulingana na hisia zako dhidi ya vyombo vya ulinzi na usalama wa nchi yako, lakini pia ukiwa na record za uchochezi na ugaidi...

wakati huo huo unachochea chuki dhidi ya serikali na kuhamasisha mapinduzi ya serikali iliyopo madarakani kidemokrasia..
huo ni uhalifu..

unatofautiana nini sasa na wanamapinduzi na wahaini wengine? Ni Taifa gani la kistaarabu ulimwenguni linalozingatia sheria za kimataifa litakuskiza?

huenda msukumo wa haya inaweza kua kinywaji..
maana ule msukumo haukua wa kawaida, hata ukiobserve body language, tone na facial expressions ya kiongozi mtoa wito ni dhahiri alikua katika hali ya msisimko baada ya kupata kinywaji Fulani chenye kuhamasisha mtu awe jasiri, mwenye shauku na kujiamini kupita kiasi na kuamua kutangaza vitu ambavyo vinaweza kuzua taharuki miongoni mwa jamii, kuhatarisha umoja, amani, utulivu wa waTanzania pamoja na kuhamasisha chuki na uhalifu nchini..🐒





Mungu Ibariki Tanzania
🚮
 
NAshauri hilo lifanyike kwa kuhusisha vyombo vyote vya ulinzi na usalama. Nyumba za wageni zikqguliwe mara kwa mara kubaini watu waliokuja Dar kwa ajili ya uhalifu huo, nyumba za biongozi wa chadema Dar ws salaam nzima zifuatiliwe kwa karibu, wageni wanaoingia na kutoka.

Ofisi za chadema zote nchi nzima ziwekqe chini ya uangalizi (surveillance), njia kuu za kuingilia na kutoka Dar, makutano ya barabara yote kwa mwezi mzima yawekwe chini ya uangalizi maalum.

Kwa mikoani, viongozi wa chama hichi wawekwe chini ya uangalizi na database ya kufuatilia mienendo na mizunguko yao, vikao vyao, na kila kitu, vituo vyote vya mabasi nchi nzima viangaliwe pamoja na magari ya kukodi, na wenye kamouni hizo nchi nzima waonywe kuhusu kukodisha magari yao yakafanye uhalifu.

Kila mkoa utoe maafisa kadhaa walioiva katika kazi ya kutuliza ghasia, na pia mapolisi jeshi (MP) nchi nzima wakqe mkao wa utayari kuilinda nchi
Mikono yako imejaa damu
 
NAshauri hilo lifanyike kwa kuhusisha vyombo vyote vya ulinzi na usalama. Nyumba za wageni zikqguliwe mara kwa mara kubaini watu waliokuja Dar kwa ajili ya uhalifu huo, nyumba za biongozi wa chadema Dar ws salaam nzima zifuatiliwe kwa karibu, wageni wanaoingia na kutoka.

Ofisi za chadema zote nchi nzima ziwekqe chini ya uangalizi (surveillance), njia kuu za kuingilia na kutoka Dar, makutano ya barabara yote kwa mwezi mzima yawekwe chini ya uangalizi maalum.

Kwa mikoani, viongozi wa chama hichi wawekwe chini ya uangalizi na database ya kufuatilia mienendo na mizunguko yao, vikao vyao, na kila kitu, vituo vyote vya mabasi nchi nzima viangaliwe pamoja na magari ya kukodi, na wenye kamouni hizo nchi nzima waonywe kuhusu kukodisha magari yao yakafanye uhalifu.

Kila mkoa utoe maafisa kadhaa walioiva katika kazi ya kutuliza ghasia, na pia mapolisi jeshi (MP) nchi nzima wakqe mkao wa utayari kuilinda nchi
Wanaalikwa kujiunga kwenye usafi tarehe tajwa.

Tanzania sio Nchi ya kuchezea na watu wasije IGA ujinga wa Chadema wataomboleza zaidi 👇👇

View: https://x.com/MzalendoDaily/status/1833893018245451992?t=XyYVwRmVBJCV3OMYzwbTPA&s=19
 
Back
Top Bottom