Mpumbavu sana wewe.
 
"Mwenye haki ashindapo, kuna furaha kubwa, bali waovu watawalapo, watu hujificha"

"Wakati waovu watawalapo, watu huenda mafichoni"

Mithali 28
 
Maandamano wanafaka kufanya lini?
 
Utakuwa umefunguliwa jengo...
 
Ilo ni wenge
 
Siku mkiacha kulipwa na CCM mtaacha ujinga wenu.
 
Jkt wengi wapo mtaani alafu very educated.....inahitaji umakini soon itakua balaaa tupo 2025 na sio 1990

Kuna vijana wanasubiri busta tu iliyokorea watawasha Moto sana watz tupo 60+ ....... Love my countryTangayika
 
Jkt wengi wapo mtaani alafu very educated.....inahitaji umakini soon itakua balaaa tupo 2025 na sio 1990

Kuna vijana wanasubiri busta tu iliyokorea watawasha Moto sana watz tupo 60+ ....... Love my countryTangayika
hivi Mwenyekiti wakati anazungumza alikua amejibusti na kinywaji gani kwa mfano gentleman πŸ’
 
Wanaalikwa kujiunga kwenye usafi tarehe tajwa.

Tanzania sio Nchi ya kuchezea na watu wasije IGA ujinga wa Chadema wataomboleza zaidi πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://x.com/MzalendoDaily/status/1833893018245451992?t=XyYVwRmVBJCV3OMYzwbTPA&s=19
kuna baadhi ya wanachadema wanaojielewa wanajiskia aibu na fedheha sana kuongozwa na kiongozi asie na maono na masuala ya kiusalama na kimataifa....
inafedhehesha sana, na inasikitisha sana..

wanalo chaguo moja tu la kizalendo,
ni kuungana na JWTZ kufanya usafi wa mazingira maeneo mbalimbali nchini, na si vinginevyo πŸ’
 
Pambaff
 
Sidhani kama wanaweza kufanya fujo yoyote wala kufanya maanndamano yoyote ya maana tofauti na maandamano yao ambayo walishayafanya, kikubwa wao wanapaza sauti tu kama watawala wanasikia wachukue Action kwa haya matukio yanayo endelea nchini, ila hawana nguvu yoyote ya kufanya chochote kama serikali ikiamua kuwakamia. Kwa mstakabali wa nchi kunatakiwa hatua za haraka, serikali ichukue kutuliza hii hali ya na huyu pepo mchafu la sivyo serikali inaweza kudhani wanagombana na CDM wakaja wakajikuta wanagombana na wenye nchi yao, na unapo tangaza vita ujue yoyote anaweza akakushambulia, kikubwa serikali itumie busara kutuliza hii hali, mawimbi siku zote yanaanza kidogo kidogo na mwisho yanakuja mawimbi makubwa, kwahiyo busara itumike mapema siyo mpaka yatokee maafa ndiyo watu wakae chini kuzungumza, kiburi siku zote kinazaa maafa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…