#COVID19 Kufuatia Umuhimu wa Chanjo Kwa Baadhi ya Kada, Kuna Haja ya Kuanzisha Hiyari ya Lazima, Watu Wachanje Kwa Lazima au Tuendelee Kubembelezania Hiyari?

Kuna wengine hawajachanja na maisha yanaendelea kama kawaida tu
 
Mhu! Nadhani unaongea siyo kwa sababu una ushahidi wowote wa jambo unaloliongelea, bali kwa sababu umeona ili mjadala usikupite ni heri useme hivi hata kama hujasema chochote (yaani hamna kitu au seti tupu). Pole sana.
 
Mhu! Nadhani unaongea siyo kwa sababu una ushahidi wowote wa jambo unaloliongelea, bali kwa sababu umeona ili mjadala usikupite ni heri useme hivi hata kama hujasema chochote (yaani hamna kitu au seti tupu). Pole sana.

Sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…