Pascal mayalla kwanini unajivunjia heshima kirahisi namna hii.
Bora ubaki na njaa lakini uendelee kuzeeka na heshima yako.
Sazingine jaribu kufikiri kabla hujaandinga vitu visivyo eleweka hauitaji akili nyingi kugundua chanjo ni dili.
Wazungu wameangalia fursa ya kupigawatu nasisi tunataka kuingia kichwakichwa, icho kisentence cha hiyari ya lazima sijui maanayake ni kitugani.