Kufuatia upungufu wa dola, BoT yatoa maelekezo ya kudhibiti Viwango Vya Miamala

Kufuatia upungufu wa dola, BoT yatoa maelekezo ya kudhibiti Viwango Vya Miamala

We’re talking apples and oranges . The IMF says diplomatically guy’s watch your debt and keep tightening your belts so that you can get good ratings The Minister is taking about physical Green back’s dearth that’s being felt in Tanzania. An incredible cross road of a tail of two economies.
 
Kufuatia Hali ya upungufu wa Fedha za Kigeni hasa Dol ya Marekani,BoT yaja na maelekezo ya kudhibiti Viwango Vya Miamala Kwa mtu mmja mmja, taasisi na kampuni ikiwemo kupiga Marufuku madalali Ili kulinda Afya ya Uchumi..


Awali Waziri wa Fedha amenukuliwa akisema Kupungua Kwa mzunguko wa Dola kumetokana na Sera Mpya za Fedha za Marekani kubana Matumizi na kupunguza dollar kwenye mzunguko hivyo kuleta athari hasi kwenye Nchi zinazoendelea..


My Take
Tupunguze utegemezi wa dollar kwenye miamala yetu na pia tuzaloshe bidhaa nyingi ndani ya Nchi.

Hii Serikali dhaifu inayoongozwa na mafisadi papa. Haya maumivu yalitegemewa. Fikiria nchi inatumia mabilioni ya kodi za wanchi kuchapisha mabango ya kumsifia Rais na kuyapamba nchi nzima!
 
Historia inaweza kujirudia,
Mkapa alikuwa na kazi ngumu ya kurejesha uchumi kwenye reli baada ya mtangulizi wake kuharibu kwelikweli.

Magufuli akalazimika kufanya hivyo hivyo baada ya mtangulizi wake naye kuharibu.
Ama wewe kweli mzalendo uchwara unaechagua wa kumpa lawama. Huyo mtangulizi wa Mkapa aliukuta uchumi wa aina gani hata akauharibu? Umesahau vita vya Kagera vilivyoua kila kitu leo lawama unamtupia Mwinyi?

Na huyo Magu na miradi yake inayokunywa fedha ya SGR, daraja na JNHPP unadhani vifaa vilikuwa vinanuliwa kwa fedha za kienyeji?

Be realistic man, wacha lawama za upande upande. NI Mkapa tu ndiye aliyeweza kunyoosha uchumi ukawa na muelekeo.
 
Ama wewe kweli mzalendo uchwara unaechagua wa kumpa lawama. Huyo mtangulizi wa Mkapa aliukuta uchumi wa aina gani hata akauharibu? Umesahau vita vya Kagera vilivyoua kila kitu leo lawama unamtupia Mwinyi?

Na huyo Magu na miradi yake inayokunywa fedha ya SGR, daraja na JNHPP unadhani vifaa vilikuwa vinanuliwa kwa fedha za kienyeji?

Be realistic man, wacha lawama za upande upande. NI Mkapa tu ndiye aliyeweza kunyoosha uchumi ukawa na muelekeo.
Magufuli alikuta hazina haina foreign reserve na mfumuko wa bei ulikuwa juu
Screenshot_20230601-052739~3.png

Pamoja na kuanzisha miradi mikubwa aliweza ku balance mambo na nchi ilikuwa na reserve ya kutosheleza miezi kadhaa mbele.
 
Ama wewe kweli mzalendo uchwara unaechagua wa kumpa lawama. Huyo mtangulizi wa Mkapa aliukuta uchumi wa aina gani hata akauharibu? Umesahau vita vya Kagera vilivyoua kila kitu leo lawama unamtupia Mwinyi?

Na huyo Magu na miradi yake inayokunywa fedha ya SGR, daraja na JNHPP unadhani vifaa vilikuwa vinanuliwa kwa fedha za kienyeji?

Be realistic man, wacha lawama za upande upande. NI Mkapa tu ndiye aliyeweza kunyoosha uchumi ukawa na muelekeo.
Kwani kipindi cha JPM SGR, Bwawa na Busisi zilikuwa hazijengw? Je kulikuwa na uhaba wa dola kama sasa? Kipindi cha JPM covid ilikuwapo na uchumi wa dunia uliyumba je, kulikuwa na uhaba wa dola?

Wananchi tuambiwe kiwango cha Dola dola kimeshuka kwa asilimia ngapi March 2023 ukilinganisha na March 2021.
 
Kwani kipindi cha JPM SGR, Bwawa na Busisi zilikuwa hazijengw? Je kulikuwa na uhaba wa dola kama sasa? Kipindi cha JPM covid ilikuwapo na uchumi wa dunia uliyumba je, kulikuwa na uhaba wa dola?

Wananchi tuambiwe kiwango cha Dola dola kimeshuka kwa asilimia ngapi March 2023 ukilinganisha na March 2021.
Ndio uhaba ulikuwepo ila sio mkubwa Kwa sababu biashara zilikuwa zimefungwa na Changamoto za Uviko 19,vita ya Ukraine na Hali mbaya ya uchumi wa Marekani hazikuwepo
 
Our economy is heading to a cliff. Bila shaka vihela vyote vya kigeni vinaishia kulipa riba za mikopo mingi mingi iliyokopwa kwa pupa na kificho.

Historia inaweza kujirudia,
Mkapa alikuwa na kazi ngumu ya kurejesha uchumi kwenye reli baada ya mtangulizi wake kuharibu kwelikweli.

Magufuli akalazimika kufanya hivyo hivyo baada ya mtangulizi wake naye kuharibu.
Kikwete na Magu nani alikopa sana?
 
Tuna Nini Cha kufanya exportation?tuna Nini tunazalisha?,kama tulifikia hatua ya mpaka kuagiza mchele Kwa hizo dollar shida ilianzia hapo,yaani mpaka mahindi tunaimport zambia
Nyie si ndio mlikuwa mnalazimisha as if chakula Kikuu Cha Watzn ni wali wakati ni ugali ,on top of that tuna aina nyingi za vyakula..

Nilipinga kipindi kile na kuishangaa sana Serikali, Museveni alikwambia watu wake sio lazima kula wali wanaweza kula viazi maana vipo..

Ni aibu na ujinga Kwa Tanzania hii kuagiza chakula kutoka Nje ya Nchi.
 
Miradi mikubwa sana ya kimkakati iliyoanzishwa kwa wakati (mkupuo) mmoja inayotumia fedha za kigeni.

Miradi hiyo kama kuhamishia makao makuu Dodoma ambapo kukamilisha nakshi mifumo ya lifti n.k, mradi wa reli mpya ya SGR, Ujenzi wa Bwawa la JNHPP wa Stiegler's Gorge Rufiji, daraja la Busisi, ndege za cash / fedha tasilimu ATCL n.k mikopo yake sijui inaiva lini pia malipo na madeni ya taifa yaliyoiva yanayohitaji kulipwa kwa wakati wake nayo yanazidi kuielemea akiba ya fedha za kigeni ya Tanzania iliyopo katika Dola za Kimarekani.

Manunuzi ya vitu ambavyo vingeweza kuzalishwa nchini kama mafuta ya kula / kupikia, nondo za ujenzi, simenti, sukari, nafaka ya ngano, samaki n.k vyote hivi hununuliwa kwa wingi kutoka nje wakati uwezo, malighafi, ardhi na mazingira ya kuvizalisha kwa wingi upo nchini Tanzania.

Manunuzi ya vitu kama bidhaa za misumari, fenicha, viatu, mikoba, vifaa vya umeme, mafeni, mapambo ya nyumba, mapazia n.k vingeweza kuzalishwa nchi bila kutumia fedha nyingi kuviagiza nje

Suala hili la upungufu wa akiba ya fedha za kigeni yaani dola ya Kimarekani na uwiano usiofaa wa kutegemea kununua vitu vingi nje kwa fedha za kigeni kuliko tunachouza nje ni shituo la kuitahadharisha serikali kuja na mikakati mipya na sera madhubuti ya kuweza kupunguza uchumi wetu kufungamana na utegemezi wa kila kitu kutoka nje.
 
Back
Top Bottom