Kufuatia upungufu wa dola, BoT yatoa maelekezo ya kudhibiti Viwango Vya Miamala

Kufuatia upungufu wa dola, BoT yatoa maelekezo ya kudhibiti Viwango Vya Miamala

Miradi mikubwa ya kimkakati kama mradi wa reli mpya ya SGR, Ujenzi wa Bwawa la JNHPP wa Stiegler's Gorge Rufiji mikopo yake sijui inaiva lini pia malipo na madeni ya taifa yalitoiva yanayohitaji kulipwa kwa wakati wake nayo yanazidi kuielemea akiba ya fedha za kigeni ya Tanzania iliyopo katika Dola za Kimarekani.

Manunuzi ya vitu ambavyo vingeweza kuzalishwa nchini kama mafuta ya kula / kupikia, nondo za ujenzi, simenti, sukari, nafaka ya ngano, samaki n.k vyote hivi hununuliwa kwa wingi kutoka nje wakati uwezo, malighafi, ardhi na mazingira ya kuvizalisha kwa wingi upo nchini Tanzania.

Manunuzi ya vitu kama bidhaa za fenicha, viatu, mikoba n.k vingeweza kuzalishwa nchi bila kutumia fedha nyingi kuviagiza nje

Suala hili la upungufu wa akiba ya fedha za kigeni yaani dola ya Kimarekani na uwiano usiofaa wa kutegemea kununua vitu vingi nje kwa fedha za kigeni kuliko tunachouza nje ni shituo la kuitahadharisha serikali kuja na mikakati mipya na sera madhubuti ya kuweza kupunguza uchumi wetu kufungamana na utegemezi wa kila kitu kutoka nje.
Mikopo ulikuwepo,ipo na itaendelea kuwepo Toka zamani za Mwalimu.

So usijisumbue sana maana Tanzania haipo kwenye debt distress yeyote ,wanachofanya Sasa ni kujaribu kufanya mitigation mapema Ili tusije fikia kwenye Hali ya kushindwa kuagiza bidhaa
 
Ishu ya uhaba wa US 💵 imezikumba nchi nyingi za kiafrika kipindi hiki, Tanzania hatuko peke yetu kwenye hiki kikaango. Msimlaumu mwigulu kwa sababu mara nyingine ni Sera za FED ndiyo zinaathiri mataifa yenye uchumi mdogo kama wetu.
 
Program ya Huduma za Mikopo - Extended Credit Facility (ECF)

Sababu ya nchi masikini zimejikuta katika uhitaji wa kuomba Program ya Huduma za Mikopo - Extended Credit Facility (ECF) kutoka IMF - Fuko la Fedha la Kimataifa ni kuwa nchi kuwa na kiwango kidogo kinachoingia ktk mauzo yake nje kwa fedha za kigeni kulinganisha na mahitaji yake ya fedha za kigeni kufanya manunuzi na kulipa mikopo ya nje ya nchi.

Masharti, angalizo na vigezo vya kupata kilichoitwa Program ya Huduma za Mikopo kwa mujibu wa wizara ya fedha, ambayo IMF inaita ni - Extended Credit Facility (ECF) ni kama yafuatavyo:

When a country borrows from the IMF, the government agrees to adjust its economic policies to overcome the problems that led it to seek financial assistance.

These policy adjustments are conditions for IMF loans and help to ensure that the country adopts strong and effective policies.

Most IMF financing is paid out in installments and linked to demonstrable policy actions. Policy commitments can take different forms. They include:

Prior actions
These are steps a country agrees to take before the IMF approves financing or completes a review. They ensure that a program will have the necessary foundation for success.

Examples
Fiscal revenue measures
Clearance of external arrears
Governance reform
Banking sector restructuring plan


Why do IMF loans include conditions?


Conditionality helps countries solve balance of payments problems without resorting to measures that harm national or international prosperity. In addition, the measures aim to safeguard IMF resources by ensuring that the country’s finances will be strong enough to repay the loan, allowing other countries to use the resources if needed in the future. Conditionality is included in financing and non-financing IMF programs with the aim to progress towards the agreed policy goals.

Member countries that borrow from the IMF have primary responsibility for selecting, designing, and implementing policies to make their economic program successful. The program is described in a letter of intent, which typically includes a memorandum of economic and financial policies for more detailed description of the policies. The program’s objectives and policies depend on a country’s circumstances.
The overarching goal is always to restore or maintain balance of payments viability and macroeconomic stability while setting the stage for sustained, high-quality growth. For low-income countries, there is an additional objective of reducing poverty.

THE EXTENDED CREDIT FACILITY (ECF)​

ENGLISH
The Extended Credit Facility (ECF) provides medium-term financial assistance to low-income countries (LICs) with protracted balance of payments problems.
READ MORE :
Source : IMF Conditionality
 
Ni dalili kuwa Tanzania sera zetu za kiuchumi, kifedha na kibenki zinahitaji mabadiliko ili kuweza kupata Program ya Huduma za Mikopo - Extended Credit Facility (ECF) kutunasua tulipo sasa.

Je serikali yetu imejipanga vipi kuondana na masharti pia vigezo ili IMF itupatie mpango huo wa kutusaidia kwenda mbele tofauti na hali iliyopo?

Je ni mipango ngani serikali itafanya na pia athari zake pana na chanya ili nchi ikaa vizuri

Maeneo ya masharti yaliyowekwa mezani kwa mazungumzo yanaengemea katika haya huku tunaona sasa miamala kuwekewa kikomo n.k lakini masuala yenyewe ni haya yafuatayo:

Fiscal revenue measures
Clearance of external arrears
Governance reform
Banking sector restructuring plan
 
Mikopo ulikuwepo,ipo na itaendelea kuwepo Toka zamani za Mwalimu.

So usijisumbue sana maana Tanzania haipo kwenye debt distress yeyote ,wanachofanya Sasa ni kujaribu kufanya mitigation mapema Ili tusije fikia kwenye Hali ya kushindwa kuagiza bidhaa

. To maintain current fiscal and debt sustainability, in line with the IMF Extended Credit Facility (ECF) objectives, the authorities should improve revenue mobilization and public investment management, including by selecting only investment projects with clear socioeconomic payoffs

Source : United Republic of Tanzania: Staff Report for the 2023 Article IV Consultation and First Review Under the Extended Credit Facility Arrangement—Debt Sustainability Analysis
 
Hatua alichukua hayati mliona wanaonewa, eti mmewafuta machozi.. Haya endeleeni kuwafuta

Hii nchi ukicheka nao, wanacheka zaidi

Bureau nyingi zimakaa kwa utakatishaji fedha
 
Ishu ya uhaba wa US 💵 imezikumba nchi nyingi za kiafrika kipindi hiki, Tanzania hatuko peke yetu kwenye hiki kikaango. Msimlaumu mwigulu kwa sababu mara nyingine ni Sera za FED ndiyo zinaathiri mataifa yenye uchumi mdogo kama wetu.
Hizi kauli ndio zinatumika sana kutowajibika ki sawa sawa na kuficha madhaifu yetu..

Unahisi kinachosababishwa kuwa hivyo kinafanana kati ya nchi na nchi? Kwa nchi ulizo mention hapo
 
Kufuatia Hali ya upungufu wa Fedha za Kigeni hasa Dol ya Marekani,BoT yaja na maelekezo ya kudhibiti Viwango Vya Miamala Kwa mtu mmja mmja, taasisi na kampuni ikiwemo kupiga Marufuku madalali Ili kulinda Afya ya Uchumi.

Awali Waziri wa Fedha amenukuliwa akisema Kupungua Kwa mzunguko wa Dola kumetokana na Sera Mpya za Fedha za Marekani kubana Matumizi na kupunguza dollar kwenye mzunguko hivyo kuleta athari hasi kwenye Nchi zinazoendelea.

My Take
Tupunguze utegemezi wa dollar kwenye miamala yetu na pia tuzaloshe bidhaa nyingi ndani ya Nchi.

---


Kwa mujibu wa maelekezo hayo mapya, miamala yote ya fedha za kigeni inayozidi thamani ya Dola za Kimarekani milioni 1 kwa muamala mmoja katika soko la rejareja, lazima ifanyike kwa bei ya soko la fedha za kigeni baina ya benki. Aidha, miamala yote ya mteja mmoja kwa siku itajumlishwa ili kujua jumla ya kiasi husika.

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Bwana Emmanuel Tutuba, ametoa wito kwa taasisi zinazojihusisha na biashara ya fedha za kigeni kufuata maelekezo hayo. Amesisitiza kuwa ni marufuku kufanya biashara ya fedha za kigeni na madalali wa kimataifa wa fedha za kigeni ambao hawajasajiliwa ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Pia, madalali na wafanyabiashara wa fedha za kigeni wanatakiwa kuzingatia utaratibu wa kumtambua mteja (KYC) kabla ya kufanya biashara na mteja yeyote.

Kwa mujibu wa maelekezo hayo, kiwango cha juu cha mizania kati ya mali na amana katika fedha za kigeni (Foreign Exchange Net Open Position - NOP) kitakuwa asilimia 10 ya mtaji wa msingi (core capital), na kinapaswa kuzingatiwa kila wakati.

Gavana Tutuba ameagiza pia kuwa barua za udhamini (Letters of Credit - LCs) za shehena zinazopitia Tanzania (transit cargoes) zitapaswa kutokana na fedha za kigeni kutoka nchi ambako shehena hizo zinakwenda.

Gavana Tutuba amesisitiza kwamba kuzingatia matakwa yaliyoainishwa katika maelekezo hayo ni jambo la muhimu na kukiuka maelekezo hayo kutasababisha adhabu kwa mujibu wa Sheria ya Fedha za Kigeni ya mwaka 1992.

Utekelezaji wa maelekezo haya ya uendeshaji wa huduma za fedha za kigeni, kulingana na mahitaji ya soko la sasa, utaanza rasmi tarehe 1 Juni 2023. Maelekezo haya mapya, yaliyotolewa tarehe 31 Mei 2023, yanafuta maagizo yaliyotolewa na Benki Kuu ya Tanzania tarehe 6 Aprili 2020. Gavana amewakumbusha wahusika wote wa huduma za fedha za kigeni kuzingatia matakwa ya mpango wa fedha za kigeni nchini wakati wote.
Pamoja na hatua hizo na maelezo ya Waziri Mwigulu juu ya uhaba wa dola, taifa litaweza kupata ufumbuzi wa tishio linalojitokeza kama zitabuniwa sera na kutekeleza mipango itakayoongeza maunzo ya njena kupata fedha nyingi za kigeni na wakati huo huo kudhibiti matumizi ya fedha za kigeni.

Tusipojifunga mkanda katika matumizi ya kianasa ndivyo hivyo akiba ya fedha za kigeni itazidi kupungua na kusababisha changamoto tusizotegemea. Tutafakari, tusitafute mchawi.
 
. To maintain current fiscal and debt sustainability, in line with the IMF Extended Credit Facility (ECF) objectives, the authorities should improve revenue mobilization and public investment management, including by selecting only investment projects with clear socioeconomic payoffs

Source : United Republic of Tanzania: Staff Report for the 2023 Article IV Consultation and First Review Under the Extended Credit Facility Arrangement—Debt Sustainability Analysis
Kwa hiyo hayo maelezo Yana uhusiano gani na Madeni?
 
Ni dalili kuwa Tanzania sera zetu za kiuchumi, kifedha na kibenki zinahitaji mabadiliko ili kuweza kupata Program ya Huduma za Mikopo - Extended Credit Facility (ECF) kutunasua tulipo sasa.

Je serikali yetu imejipanga vipi kuondana na masharti pia vigezo ili IMF itupatie mpango huo wa kutusaidia kwenda mbele tofauti na hali iliyopo?

Je ni mipango ngani serikali itafanya na pia athari zake pana na chanya ili nchi ikaa vizuri

Maeneo ya masharti yaliyowekwa mezani kwa mazungumzo yanaengemea katika haya huku tunaona sasa miamala kuwekewa kikomo n.k lakini masuala yenyewe ni haya yafuatayo:

Fiscal revenue measures
Clearance of external arrears
Governance reform
Banking sector restructuring plan
Sasa haya masharti Yana ubaya gani?
 
Kwani kipindi cha JPM SGR, Bwawa na Busisi zilikuwa hazijengw? Je kulikuwa na uhaba wa dola kama sasa? Kipindi cha JPM covid ilikuwapo na uchumi wa dunia uliyumba je, kulikuwa na uhaba wa dola?

Wananchi tuambiwe kiwango cha Dola dola kimeshuka kwa asilimia ngapi March 2023 ukilinganisha na March 2021.
Kanuni zetu haziruhusu kujadili hoja yako!alisika Spika wa Bunge la Wadanganyika!
 
Program ya Huduma za Mikopo - Extended Credit Facility (ECF)

Sababu ya nchi masikini zimejikuta katika uhitaji wa kuomba Program ya Huduma za Mikopo - Extended Credit Facility (ECF) kutoka IMF - Fuko la Fedha la Kimataifa ni kuwa nchi kuwa na kiwango kidogo kinachoingia ktk mauzo yake nje kwa fedha za kigeni kulinganisha na mahitaji yake ya fedha za kigeni kufanya manunuzi na kulipa mikopo ya nje ya nchi.

Masharti na vigezo vya kupata kilichoitwa Program ya Huduma za Mikopo kwa mujibu wa wizara ya fedha, ambayo IMF inaita ni - Extended Credit Facility (ECF) ni kama yafuatavyo:

When a country borrows from the IMF, the government agrees to adjust its economic policies to overcome the problems that led it to seek financial assistance.

These policy adjustments are conditions for IMF loans and help to ensure that the country adopts strong and effective policies.

Most IMF financing is paid out in installments and linked to demonstrable policy actions. Policy commitments can take different forms. They include:

Prior actions
These are steps a country agrees to take before the IMF approves financing or completes a review. They ensure that a program will have the necessary foundation for success.

Examples
Fiscal revenue measures
Clearance of external arrears
Governance reform
Banking sector restructuring plan


Why do IMF loans include conditions?


Conditionality helps countries solve balance of payments problems without resorting to measures that harm national or international prosperity. In addition, the measures aim to safeguard IMF resources by ensuring that the country’s finances will be strong enough to repay the loan, allowing other countries to use the resources if needed in the future. Conditionality is included in financing and non-financing IMF programs with the aim to progress towards the agreed policy goals.

Member countries that borrow from the IMF have primary responsibility for selecting, designing, and implementing policies to make their economic program successful. The program is described in a letter of intent, which typically includes a memorandum of economic and financial policies for more detailed description of the policies. The program’s objectives and policies depend on a country’s circumstances.
The overarching goal is always to restore or maintain balance of payments viability and macroeconomic stability while setting the stage for sustained, high-quality growth. For low-income countries, there is an additional objective of reducing poverty.

THE EXTENDED CREDIT FACILITY (ECF)​

ENGLISH
The Extended Credit Facility (ECF) provides medium-term financial assistance to low-income countries (LICs) with protracted balance of payments problems.
READ MORE :
Source : IMF Conditionality
Safi sana IMF Kwa kuweka masharti ya msingi,sio kutoa pesa harafu watu wanaenda kulipana posho bila kuwajibika inavyotakikana
 
Hizi kauli ndio zinatumika sana kutowajibika ki sawa sawa na kuficha madhaifu yetu..

Unahisi kinachosababishwa kuwa hivyo kinafanana kati ya nchi na nchi? Kwa nchi ulizo mention hapo
Wanajizalilisha tu mbele ya dunia sikutegemea miaka 800, Mwigulu angeweza ongea kauli ile maamuzi ya US yana athari kwa Tanzania.

Monetary policies za US aziwezi kuwa na impact kwa nchi zingine, wao wanajikita na kupambana na inflation rate huko kwao.

FED kuongeza interest inafanya kukopa kunakuwa na gharama zaidi. Matokeo yake familia zenye floating interest kwenyr mortgage, higher purchase za magari na madeni mengine ya riba; bei ya kugharamia hayo madeni inakuwa kubwa interest rate inapopanda.

Matokeo yake kwa familia disposal income inapunguwa na kupelekea kuacha unnecessary purchases za familia. Upande wa biashara gharama za mikopo inapokuwa kubwa na kwenyewe investments zinapungua, bei ya bidhaa zinapanda, demand inapungua, na mzunguko wa hela unapungua; overtime price zinakuwa stable.

Sasa hayo mambo yanahusiana vipi na wewe na wa nchi ya tatu ambae akiba yako source yake kubwa ni mauzo ya nje unayofanya kwa dollar ambayo ni average for the most part na upungufu ni manunuzi.

Wakati huo bank kuu kwa siku ilikuwa inatoa $1 million kwa matumizi ya ndani. Ilhali kuna mijitu inapata hela za wizi kirahisi; sasa kama inafanyia biashara za nje hizo hela au inahifadhi kwa dollar imepelekea demand kuongezeka na kufanya BoT ianze kuachia $2 million mbili kwa siku. Hizo zilikuwa hatua za mwezi January; na bado supply aitoshi leo sijui imefikia kiasi gani kwa siku.

Hao watu wa IMF wamemsikiliza tu Mwigulu akijidhalilisha tu. Ndio wengine huwa tunauliza hivi hawa watu uwa wanaongea vitu gani kwenye mikutano yao na wawekezaji au wataalamu wa sector kwa sababu uelewa wao daah.
 
Back
Top Bottom