Kufuatia upungufu wa dola, BoT yatoa maelekezo ya kudhibiti Viwango Vya Miamala

Kufuatia upungufu wa dola, BoT yatoa maelekezo ya kudhibiti Viwango Vya Miamala

Hiyo reserves ilitokana na kuchukuliwa Kwa mikopo mipya ikiwemo mkopo.wa.uviko 19 ndivyo viliongeza hizo reserves baada ya hali kuwa mbaya kabla..

Mwendazake akusanye reserves ya hivyo aitoe wapi? Kwa jeuri gani aliyokuwa nayo?
Sukuma gang mnateseka sana 😁😁,unaelewa maana ya neno urgent financing kwanza?
View attachment 2642505
Wewe ni zero brain, reserve ni $6.7 billion in October 2021 at ukitoa huo mkopo wa $600 million; bado reserve ni kubwa kushinda iliyopo leo na wakati wowote katika historia ya Tanzania.

Baada hapo awajawahi kufikia tena kiwango cha $6 billion reserve, if anything imeendelea kupungua tu mpaka kufikia chini ya $5 billion.

Mwisho nikusaidie extended credit facility upewi yote kwa mkupuo ndio maana unaona IMF wapo nchini kuidhinisha awamu nyingine ya mgao katika hizo hela walizoahidiwa 2021.
 
Wewe ni zero brain reserve ni $6.7 billion in October 2021 at ukitoa huo mkopo wa $600 million; bado reserve ni kubwa kushinda iliyopo leo.

Toka hapo awajawahi kufikia tena kiwango $6 billion baada ya reserve imeendelea kupungua tu.

Mwisho nikusaidie extended credit facility upewi yote kwa mkupuo ndio maana unaona IMF wapo nchini kuidhinisha awamu nyingine ya mgao katika hizo hela walizoahidiwa 2021.
Uwe unaelewa nimekwambia mikopo ukiwemo huo wa Uviko 19,unakurupuka sana..

Weka reserves ya January 2021 tuona maana naona Sukuma gang unateseka sana.
 
Uwe unaelewa nimekwambia mikopo ukiwemo huo wa Uviko 19,unakurupuka sana..

Weka reserves ya January 2021 tuona maana naona Sukuma gang unateseka sana.
Ata uelewi unachoweka huo mkopo wa uviko 19 umetolewa under ECF (extended credit facility), na hiyo hela inatolewa kwa awamu upewi cash yote kwa mkupuo.

Serious uwe hata na abc basi ya mambo unayoweka.
 
Ata uelewi unachoweka huo mkopo wa uviko 19 umetolewa under ECF (extended credit facility), na hiyo hela inatolewa kwa awamu upewi cash yote kwa mkupuo.

Serious uwe hata na abc basi ya mambo unayoweka.
Ukitolewa hivyo unakuja in terms of Uganda shillings au? 😁😁😁

Kichwa kubwa ila akili sisimizi
 
Hiyo reserves ilitokana na kuchukuliwa Kwa mikopo mipya ikiwemo mkopo.wa.uviko 19 ndivyo viliongeza hizo reserves baada ya hali kuwa mbaya kabla..

Mwendazake akusanye reserves ya hivyo aitoe wapi? Kwa jeuri gani aliyokuwa nayo?
Sukuma gang mnateseka sana 😁😁,unaelewa maana ya neno urgent financing kwanza?
View attachment 2642505
Tanzania walisema hakuna COVID wakakarisha kila mtu kwa hiyo uchumi wao ungekuwa nafuu. Tatizo ilikuwa unaishi wa mwendazake angeomba msaada mapema kama nchi nyingine angepata isingekuwa shida. Sasa hivi tatizo sio COVID ni recession ambayo Tanzania inajifanya hakuna na hawataki shilling iwe imeguswa na wanakopa kama kawaida mabenki yasiyojulikana na riba zisizojulikana IMF wakija inabidi waone vitabu ili waweze kutoa ratings za kukopeshwa kwa hiyo tunababaishana lakini ukweli uko pale pale live within your means
 
Tanzania walisema hakuna COVID wakakarisha kila mtu kwa hiyo uchumi wao ungekuwa nafuu. Tatizo ilikuwa unaishi wa mwendazake angeomba msaada mapema kama nchi nyingine angepata isingekuwa shida. Sasa hivi tatizo sio COVID ni recession ambayo Tanzania inajifanya hakuna na hawataki shilling iwe imeguswa na wanakopa kama kawaida mabenki yasiyojulikana na riba zisizojulikana IMF wakija inabidi waone vitabu ili waweze kutoa ratings za kukopeshwa kwa hiyo tunababaishana lakini ukweli uko pale pale live within your means
Wewe nae ndio huelewi kitu ,recession ipi hiyo inayosababisha dollar kuadimika?
Hii ya Kila mtu kujifanya mchumi inapelekea hoja za ajabu ajabu kama hizi.
 
Ukitolewa hivyo unakuja in terms of Uganda shillings au? 😁😁😁

Kichwa kubwa ila akili sisimizi
Uwezi ku record unrealised income kwenye vitabu vyako vya mapato.

Anyway kwenye hoja yako nilikuwekea income yote hiyo tena kwa estimate ya juu $600 na bado reserve ikabaki $6 billion.

Hayo mengine hayana msingi sana na hoja yako; na nilijua ni juu ya uwezo wako kuyaelewa 🫣be it ni very basic.

👋
 
Uwezi ku record unrealised income kwenye vitabu vyako vya mapato.

Anyway kwenye hoja yako nilikuwekea income yote hiyo tena kwa estimate ya juu $600 na bado reserve ikabaki $6 billion.

Hayo mengine haya msingi nilijua ni juu ya uwezo kuyaelewa 🫣be it ni very basic.

👋
Huna hoja mr sukuma gang much know first grade hater 😁😁
 
Wewe nae ndio huelewi kitu ,recession ipi hiyo inayosababisha dollar kuadimika?
Hii ya Kila mtu kujifanya mchumi inapelekea hoja za ajabu ajabu kama hizi.
Wewe huelewi hapa nilipo naweza kununua dollari bila kipimo sasa dollari imeadimika wapi Tanzania au nchi za nje leo naweza nunua dollari hapa London bila shida yeyote ila dollari imepungua thamani kwa asilimia 10 kwa hiyo nikinunua sasa ntadubiri ipande bei ili niuze kwafaida kwahiyo swali la kuuliza waziri wako wafedha ni je alikuwaamewekeza kwenye dollari wakati ilipokuwa mojakwa moja na Euro Kwani sasa angepata faida
 
Wewe huelewi hapa nilipo naweza kununua dollari bila kipimo sasa dollari imeadimika wapi Tanzania au nchi za nje leo naweza nunua dollari hapa London bila shida yeyote ila dollari imepungua thamani kwa asilimia 10 kwa hiyo nikinunua sasa ntadubiri ipande bei ili niuze kwafaida kwahiyo swali la kuuliza waziri wako wafedha ni je alikuwaamewekeza kwenye dollari wakati ilipokuwa mojakwa moja na Euro Kwani sasa angepata faida
 
Wewe nae ndio huelewi kitu ,recession ipi hiyo inayosababisha dollar kuadimika?
Hii ya Kila mtu kujifanya mchumi inapelekea hoja za ajabu ajabu kama hizi.
Dollar ipo tele tatizo ni nchi kuweza kuzinunua kama walitaka iwe exchange wanayotaka wao hakuna mpumbavu atawauzia kwa bei wanayotaka wao. Walikopa kwa kasi dollari ikiwa strong sasa dollari imeshuka wanataka wahurumiwe biashara haiendi namna hiyo
 
Uhaba wa dollari uko Tanzania tu elewa hiyo
Dollar ipo tele tatizo ni nchi kuweza kuzinunua kama walitaka iwe exchange wanayotaka wao hakuna mpumbavu atawauzia kwa bei wanayotaka wao. Walikopa kwa kasi dollari ikiwa strong sasa dollari imeshuka wanataka wahurumiwe biashara haiendi namna hiyo
Ndio maelekezo yameshatoka Sasa ni unataka utafuta hutaki utafuata.
 
Hayo maelezo ni ya kupumbaza Watanzania ndio maana napoteza mda wangu kutoa hii elimu ya fedha lakini Watanzania kwa nini hamtaki kutumia Mtandao kujielimisha???!
Sawa nenda kafanye muamala
 
Sawa nenda kafanye muamala

Natoa elimu ya bure Tanzania ningeitwa bepari na walinitesa sana wakati wa Magufuli kwa hiyo sina nia mbaya ni kujaribu kufungua macho walioko kwa sababu najua wasijilikana hawawezi kinisogelea huku walisha dhulumu mali zangu zote kwa hiyositegemei kurudi tena Bongo hata mifupa yangu itabaki Ulaya nawaonea huruma nyie mlio huko Mungu awape upeo wa kuona uovo unaofanyika naudanganyifukila siku
 
Hiyo reserves ilitokana na kuchukuliwa Kwa mikopo mipya ikiwemo mkopo.wa.uviko 19 ndivyo viliongeza hizo reserves baada ya hali kuwa mbaya kabla..

Mwendazake akusanye reserves ya hivyo aitoe wapi? Kwa jeuri gani aliyokuwa nayo?
Sukuma gang mnateseka sana 😁😁,unaelewa maana ya neno urgent financing kwanza?
View attachment 2642505
mkuu sio sahihi kujibu hoja kwa uongo..huo mkopo wa IMF ulikuwa approved Sept 2021 na ni around usd 0.5B..hiyo taarifa ya reserve ni ya Oct 2021 na ni reserve ya usd 6.2B...mkopo ukiwa approved inachukua muda mrefu kupokea hizo pesa na mara nyingi huwa zinaletwa kwa mafungu within a given period..so kusema mkopo wa usd 0.5B ndio sababu ya reserve kufikia usd 6.2B ni upumbavu.!
 
Back
Top Bottom