Kufuatia upungufu wa dola, BoT yatoa maelekezo ya kudhibiti Viwango Vya Miamala

Kufuatia upungufu wa dola, BoT yatoa maelekezo ya kudhibiti Viwango Vya Miamala

Hizi kauli ndio zinatumika sana kutowajibika ki sawa sawa na kuficha madhaifu yetu..

Unahisi kinachosababishwa kuwa hivyo kinafanana kati ya nchi na nchi? Kwa nchi ulizo mention hapo
Nipo Malawi chief na serikali ina uhaba mkubwa wa 💵💵 mpaka wafanyabiashara wa mazao tumeathirika. Karibia wiki mbili sasa hakuna mzigo wa soya ,karanga umeenda Tanzania. Serikali inalazisha tununue mazao kwa 💵💵,natumai mfano umejitosheleza.
 
Wanajizalilisha tu mbele ya dunia sikutegemea miaka 800, Mwigulu anaweza ongea kauli ile maamuzi ya US yana athari kwa Tanzania.

Monetary policies za US aziwezi kuwa na impact kwa nchi zingine wao wanajikita na kupambana na inflation rate huko kwao.

FED kuongeza interest inafanya kukopa inakuwa gharama, familia zenye floating interest za mortgage za nyumba, higher purchase za magari na madeni mengine ya riba bei ya kugharamia hayo madeni inakuwa kubwa.

Matokeo yake kwa familia disposal income inapunguwa na kupunguza unnecessary purchases za familia. Upande wa biashara gharama za mikopo inapokuwa kubwa na kwenyewe investments zinapungua, bei ya bidhaa zinapanda, demand inapungua, na mzunguko wa hela unapungua; overtime price zinakuwa stable.

Sasa hayo mambo yanahusiana vipi na wewe na wa nchi ya tatu ambae akiba yako source yake ni mauzo ya nje manunuzi unayofanya kwa dollar ambayo ni average for the most part. Ilhali bank kuu kwa siku ilikuwa inatoa $1 million moja kwa siku kwa matumizi ya ndani.

Mijitu inapata hela za wizi kirahisi sasa kama inafanyia biashara za nje au inahifadhi kwa dollar imepelekea demand kuongezeka na kufanya BoT ianze kuachia .$2 million mbili kwa siku hiyo ilikuwa mwezi January; na bado supply aitoshi leo sijui imefikia kiasi gani kwa siku.

Hao watu wa IMF wamemsikiliza tu anajidhalilisha tu huyo, Mwigulu ndio huwa najiuliza hivi hawa watu uwa wanaongea vitu gani kwenye mikutano yao na wawekezaji au wataalamu wa sector kwa sababu uelewa wao daah.
Pinga Pinga kama kawaida 🤣🤣

Kinachofanya supply ya dollar iwe kubwa au ndogo kwenye soko la Kimataifa ni sera za Tanzania?

Hizo sera za Marekani Zina athari kwao tuu sio Nje ya mipaka? Yaani wewe ulivyo mjuaji usiyeelewa unafahamu kabisa kwamba dollar ya US ndio inatumika sana Duniani kwa.miamala then unabisha kwamba sera zao hazina athari kwingineko?

Umejiongelesha hapa ilimradi u satisfy ego Yako mara ooh pesa za wizi mara ooh sijui magendo nk Kwa hiyo hii shida Iko karibu Nchi zote shida ni pesa za wizi na magendo? Kwa nini isiwe ni kukua Kwa uchumi?


Wewe mbona una kaugonjwa ka negativity sana? Aisee Nina uhakika utakuwa na maisha ya stress sana sio bure,hiyo ni dalili ya ugonjwa wa akili..

Mwisho,tukuchague wewe uwe Waziri wa Fedha?
 
Pinga Pinga kama kawaida 🤣🤣

Kinachofanya supply ya dollar iwe kubwa au ndogo kwenye soko la Kimataifa ni sera za Tanzania?

Hizo sera za Marekani Zina athari kwao tuu sio Nje ya mipaka? Yaani wewe ulivyo mjuaji usiyeelewa unafahamu kabisa kwamba dollar ya US ndio inatumika sana Duniani kwa.miamala then unabisha kwamba sera zao hazina athari kwingineko?

Umejiongelesha hapa ilimradi u satisfy ego Yako mara ooh pesa za wizi mara ooh sijui magendo nk Kwa hiyo hii shida Iko karibu Nchi zote shida ni pesa za wizi na magendo? Kwa nini isiwe ni kukua Kwa uchumi?


Wewe mbona una kaugonjwa ka negativity sana? Aisee Nina uhakika utakuwa na maisha ya stress sana sio bure,hiyo ni dalili ya ugonjwa wa akili..

Mwisho,tukuchague wewe uwe Waziri wa Fedha?

Shida yako ni uropokaji na kuzoea mijadala ya magengeni; huna staha wala hoja zaidi ya matusi humu JF.

Kila nchi changamoto zake za dollar zina sababu zao za ndani; Kenya awana hela ya kulipa madeni so reserve yao ni ndogo purely economic issues za ndani. Moreover kuna desturi ya kutoza huduma kwa dollar inayofanya demand kuwa kubwa kushinda supply iliyopo ukizingatia hali yao ya uchumi.

Ghana same problem na Kenya mpaka juzi walipochukua mkopo wa $3.5 billion. Sikiliza mijadala yao ya uchumi ipo online hakuna nchi ata moja inayolaumu sera za ndani za US it has nothing with their woes.

Hakuna nchi yeyote ambayo imeathirika na government policies za US kwenye uchumi wao; unaonekana fala tu ukisema hivyo na mtu ambae uelewi ata lengo la monetary policies za bank kuu kwa nchi husika.
 
Kwani kipindi cha JPM SGR, Bwawa na Busisi zilikuwa hazijengw? Je kulikuwa na uhaba wa dola kama sasa? Kipindi cha JPM covid ilikuwapo na uchumi wa dunia uliyumba je, kulikuwa na uhaba wa dola?

Wananchi tuambiwe kiwango cha Dola dola kimeshuka kwa asilimia ngapi March 2023 ukilinganisha na March 2021.
sasa ujiulize zilikuwa zinajengwa kwa fedha gani na nyinyi munasema hakukuta fedha hazina?

na ungejuaje kama hakukuwa na uhaba wa dola? Lazima uangalie factors nyingi siyo kukurupuka tu.

Pia hali ilivyo sasa na kipindi cha JPM pia ni tafauti kwa vile sasa globally wamarekani wameamua kupunguza mzunguko wa dola ili waweze kutoa noti mpya (kama sikosei walisema within the next six months). Hiyo haikuwepo wakati wa Magu
 
na line graphs za kifixi fixi tu
8E23A612-ABF8-4A5C-B5F7-421DC8A437D1.jpeg

Miezi sita baada ya kifo cha Magufuli, hiyo ndio ilikuwa dollar reserve; be it credit akapewa Bi Tozo.

Katika muda wake Magufuli alikuwa akivunja record ya kila mwaka kwenye kuongeza akiba; iliporomoka 2018 tu. Ata hiko kiwango chake kidogo cha mwaka huo ni kikubwa kupita kipindi chochote cha watangulizi wake.

Be serious unapomuongelea Magufuli.
 
Miezi sita baada ya kifo cha Magufuli, hiyo ndio ilikuwa dollar reserve; be it credit akapewa Bi Tozo.

Katika muda wake Magufuli alikuwa akivunja record ya kila mwaka kwenye kuongeza akiba; iliporomoka 2018 tu. Ata hiko kiwango chake kidogo cha mwaka huo ni kikubwa kupita kipindi chochote cha watangulizi wake.

Be serious unapomuongelea Magufuli.
na nani alikuwa anamonitor hizo figures?
 
sasa ujiulize zilikuwa zinajengwa kwa fedha gani na nyinyi munasema hakukuta fedha hazina?

na ungejuaje kama hakukuwa na uhaba wa dola? Lazima uangalie factors nyingi siyo kukurupuka tu.

Pia hali ilivyo sasa na kipindi cha JPM pia ni tafauti kwa vile sasa globally wamarekani wameamua kupunguza mzunguko wa dola ili waweze kutoa noti mpya (kama sikosei walisema within the next six months). Hiyo haikuwepo wakati wa Magu
JPM alimobolise fund za ndani kwa mda wa miaka 4 kwa kupunguza matumizi ya serikali kama safari za nje, kuagiza mchele nje na utakatishaji wa pesa akaanza miradi

Unapokuwa Kiongoz usitangulize mbele sababu za nini umefeli kwa mfano,

Huwezi ukawaambia watoto mwaka huu watakuwa wanakula mlo mmoja kwa sababu hakukuwa na mbua za kutosha kuivisha mazao, huwezi kuwaambia hivyo unapambana kama kiongoz kuhakikisha hali inaenda sawa.

Mfano mwingine hifadhi ya dola China haijateteleka kutokana na hizo sababu ulizozitzja hapo juu.

Serikali na Kiongozi makini anapambana kulinda usalama na ustawi wa Taifa lake katika nyanja zote sawa. Kama kila tatizo tutakuwa tunaliwekea sababu je kuna umuhimu gani ya kuwa na Kiongozi au serikali kwa sababu wananchi wanapambana na matatizo yao wenyewe. Kama kutoa sababu ndiyo suluhisho la matatizo basi kila mtanzania anaweza kuwa Kiongozi wa kitaifa na akafaa
 
na nani alikuwa anamonitor hizo figures?
Economic data za nchi zinatolewa na taasisi husika in this instance bank kuu. Verification ni siku ya kukaguliwa tu uwezo wako wa kulipa.

Halafu hizo data hapo ni za mwezi October 2021 ina maana ata ‘Bi Tozo’ umuamini.
 
JPM alimobolise fund za ndani kwa mda wa miaka 4 kwa kupunguza matumizi ya serikali kama safari za nje, kuagiza mchele nje na utakatishaji wa pesa akaanza miradi

Unapokuwa Kiongoz usitangulize mbele sababu za nini umefeli kwa mfano,

Huwezi ukawaambia watoto mwaka huu watakuwa wanakula mlo mmoja kwa sababu hakukuwa na mbua za kutosha kuivisha mazao, huwezi kuwaambia hivyo unapambana kama kiongoz kuhakikisha hali inaenda sawa.

Mfano mwingine hifadhi ya dola China haijateteleka kutokana na hizo sababu ulizozitzja hapo juu.

Serikali na Kiongozi makini anapambana kulinda usalama na ustawi wa Taifa lake katika nyanja zote sawa. Kama kila tatizo tutakuwa tunaliwekea sababu je kuna umuhimu gani ya kuwa na Kiongozi au serikali kwa sababu wananchi wanapambana na matatizo yao wenyewe. Kama kutoa sababu ndiyo suluhisho la matatizo basi kila mtanzania anaweza kuwa Kiongozi wa kitaifa na akafaa
Hakuna nchi ata moja duniani inayoweza laumu policy measures za marekani kwenye uchumi wao kama chanzo cha uhaba wa dollar. Labda Tanzania tu.

Tena hao China ndio walitakiwa waathirike maana export trade zao ni hundreds of us billions; kupunguza purchasing power ya US consumers wao wanaathirika kwa namna nyingi sana.

Tanzania ambayo aiuzi ata consumer goods or services kwenye hiyo nchi; sera za US za ndani wewe zinakuathiri vipi.

Ni kujidhalilisha tu kwa upande wa waziri.
 
Kwani kipindi cha JPM SGR, Bwawa na Busisi zilikuwa hazijengw? Je kulikuwa na uhaba wa dola kama sasa? Kipindi cha JPM covid ilikuwapo na uchumi wa dunia uliyumba je, kulikuwa na uhaba wa dola?

Wananchi tuambiwe kiwango cha Dola dola kimeshuka kwa asilimia ngapi March 2023 ukilinganisha na March 2021.
Tangu Magufuli afe dollari imeshuka asilimia kumi duniani je shilingi ya madafu imeshuka kiasi gani??Wachumi wa Tanzania wanupiga mwingi hawaelewi world financial systems how they work IMF were very polite note to insult them and of course everyone in Tanzania has PHD in economics and macro economics and the Minister has PHD you don’t need to school him about that good luck guys,at the same time you failed to condemn the war in Ukrain and forgot that Ukrain was the bread basket to the world
 
Ishu ya uhaba wa US 💵 imezikumba nchi nyingi za kiafrika kipindi hiki, Tanzania hatuko peke yetu kwenye hiki kikaango. Msimlaumu mwigulu kwa sababu mara nyingine ni Sera za FED ndiyo zinaathiri mataifa yenye uchumi mdogo kama wetu.
Sio kweli
 
Nipo Malawi chief na serikali ina uhaba mkubwa wa 💵💵 mpaka wafanyabiashara wa mazao tumeathirika. Karibia wiki mbili sasa hakuna mzigo wa soya ,karanga umeenda Tanzania. Serikali inalazisha tununue mazao kwa 💵💵,natumai mfano umejitosheleza.
The dollar is loosing against any currency at the moment Pounds € so you can buy Dollars very cheap at the moment please 🙏🏿 don’t mislead the question is how’s the shilling fixed?? Does the shilling trade anywhere in the world??
 
BENKI Kuu ya Tanzania (BoT), imepiga marufuku biashara ya fedha za kigeni na madalali wa kimataifa wa fedha za kigeni ambao hawajasajiliwa ndani ya Tanzania.

Aidha, imetoa maelekezo mapya kuhusu miamala yote ya fedha za kigeni inayozidi thamani ya Dola za Kimarekani milioni 1.0 kwa muamala mmoja katika soko la rejareja, lazima ifanyike kwa bei ya soko la fedha za kigeni baina ya benki.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa umma leo (Mei 31,2023), BoT imesema miamala yote ya mteja mmoja kwa siku itajumlishwa, ili kujua jumla ya kiasi husika lengo likiwa ni kulinda utulivu wa uchumi mpana na uthabiti wa mfumo wa kifedha nchini.

Gavana wa BoT, Emmanuel Tutuba, amesema: “Madalali/wafanyabiashara wa fedha za kigeni hapa nchini wanatakiwa wakati wote kuzingatia utaratibu wa kumtambua mteja (KYC) kabla ya kufanya naye biashara hiyo.”
Mr Governor can i walk in any bank outside Tanzania and buy your currency??if you’re able to answer this then you will understand why you are having a problem with getting US dollars
 
JPM alimobolise fund za ndani kwa mda wa miaka 4 kwa kupunguza matumizi ya serikali kama safari za nje, kuagiza mchele nje na utakatishaji wa pesa akaanza miradi

Unapokuwa Kiongoz usitangulize mbele sababu za nini umefeli kwa mfano,

Huwezi ukawaambia watoto mwaka huu watakuwa wanakula mlo mmoja kwa sababu hakukuwa na mbua za kutosha kuivisha mazao, huwezi kuwaambia hivyo unapambana kama kiongoz kuhakikisha hali inaenda sawa.

Mfano mwingine hifadhi ya dola China haijateteleka kutokana na hizo sababu ulizozitzja hapo juu.

Serikali na Kiongozi makini anapambana kulinda usalama na ustawi wa Taifa lake katika nyanja zote sawa. Kama kila tatizo tutakuwa tunaliwekea sababu je kuna umuhimu gani ya kuwa na Kiongozi au serikali kwa sababu wananchi wanapambana na matatizo yao wenyewe. Kama kutoa sababu ndiyo suluhisho la matatizo basi kila mtanzania anaweza kuwa Kiongozi wa kitaifa na akafaa
Kamdamganye mkeo
 
31 May 2023

Mwigulu Lameck Nchemba waziri wa fedha afafanua sababu za uhaba dola za Kimarekani nchini Tanzania



DKT. NCHEMBA AWAAGIZA WATAALAM WA UCHUMI WA KITAIFA NA KIMATAIFA KUTAFUTA SULUHU YA UPUNGUFU WA DOLA ZA MAREKANI KATIKA SOKO LA FEDHA​


31 May, 2023
Dodoma, Tanzania

DKT. NCHEMBA AWAAGIZA WATAALAM WA UCHUMI WA KITAIFA NA KIMATAIFA KUTAFUTA SULUHU YA UPUNGUFU WA DOLA ZA MAREKANI KATIKA SOKO LA FEDHA

Na Farida Ramadhani-Dodoma

Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amewaagiza wataalamu wa Wizara ya Fedha na Mipango na ujumbe kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), kujadili namna ya kushughulikia athari za upungufu wa dola za Kimarekani katika mzunguko wa fedha ili kunusuru uchumi wa nchi zinazoendelea.

Mhe. Dkt. Nchemba (Mb) ametoa maagizo hayo wakati wa kufungua kikao kilichowashirikisha wataalam kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) unaoongozwa na Bw. Harris Tsangaride waliowasili nchini kwa ajili ya kufanya tathimini ya Program ya Huduma za Mikopo - Extended Credit Facility (ECF) (EFC), kwa kushirikiana na wataalam wa ndani wa Serikali.

Alisema mabadiliko ya Sera za Fedha nchini Marekani ya kubana matumzi na kupunguza dola kwenye mzunguko wa fedha, yameleta athari zinazoonekana mpaka kwenye nchi zinazoendelea, ikiwemo Tanzania.

"Tumekuwa tukirejea Covid-19 / Uviko na vita baina ya Urusi na Ukraine kama moja ya vitu vinavyoathiri uchumi wa nchi zinazoendelea ikiwemo Tanzania lakini upungufu wa dola unaathiri uchumi kwa kiwango kikubwa ikiwemo uagizaji wa mafuta na uagizwaji wa bidhaa mbalimbali zinazotumika katika shughuli za Sekta Binafsi", alisema Dkt. Nchemba.

Alisema ni vema kutafuta namna ya kushughulikia jambo hilo kisera ili kunusuru nchi zinazoendelea kwa kuwa sekta ya nje ni muhimu katika kuchochea ukuaji wa uchumi wa ndani.

Kwa upande wake Kiongozi wa ujumbe kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), Bw. Harris Tsangaride, alisema Shirika hilo litaendelea kushirikiana na Tanzania ili kuhakikisha nchi inaendelea kupiga hatua kiuchumi na kijamii.


Bw. Harris Tsangaride amepongeza Serikali kwa Sera zake nzuri ambazo zinaendelea kutekelezwa katika kukabiliana na athari za vita ya Ukraine na kuongeza kuwa ni matarajio yao kuwa zitaendelea kuchokea ukuaji wa uchumi na maisha ya wananchi.

Bw. Tsangaride alisema Tanzania ni miongoni mwa nchi chache katika kanda ambazo zinafanya vizuri katika kutekeleza programu mbalimbali kwa kushirikiana na Shirika hilo na hivyo katika kikao hicho watajadiliana namna bora ya kuendelea kuiona nchi ikifanya vizuri zaidi.
Mwisho.

Source :
Tovuti ya wizara ya fedha tanzania

More info :

Country Report No. 2023/153

United Republic of Tanzania: 2023

Article IV Consultation and First Review Under the Extended Credit Facility (ECF) Arrangement -Press Release; Staff Report; and Statement by the Executive Director for the United Republic of Tanzania

Spillovers from the war in Ukraine and shortfalls in rainfall stalled Tanzania’s recovery from the COVID-19 pandemic. Despite fuel and fertilizer subsidies, inflation has picked up in recent months, approaching the Bank of Tanzania’s target. External balances deteriorated significantly last year due in large part to spillovers from the war in Ukraine.

Series:

Country Report No. 2023/153

Subject:

International organization Monetary policy

Source : United Republic of Tanzania: 2023 Article IV Consultation and First Review Under the Extended Credit Facility Arrangement-Press Release; Staff Report; and Statement by the Executive Director for the United Republic of Tanzania

Mr Minister if you’re country economy is failing please 🙏🏿 don’t confuse it with the USA it’s insane to compare the two country and remember the USA has lots of responsibility to help countries like Ukrain and your country has failed even to have sympathy for Ukrain USA is great power helping countries all over the world morally and financially and they are not broke yet like Tanzania
 
View attachment 2642357
Miezi sita baada ya kifo cha Magufuli, hiyo ndio ilikuwa dollar reserve; be it credit akapewa Bi Tozo.

Katika muda wake Magufuli alikuwa akivunja record ya kila mwaka kwenye kuongeza akiba; iliporomoka 2018 tu. Ata hiko kiwango chake kidogo cha mwaka huo ni kikubwa kupita kipindi chochote cha watangulizi wake.

Be serious unapomuongelea Magufuli.
Hiyo reserves ilitokana na kuchukuliwa Kwa mikopo mipya ikiwemo mkopo.wa.uviko 19 ndivyo viliongeza hizo reserves baada ya hali kuwa mbaya kabla..

Mwendazake akusanye reserves ya hivyo aitoe wapi? Kwa jeuri gani aliyokuwa nayo?
Sukuma gang mnateseka sana 😁😁,unaelewa maana ya neno urgent financing kwanza?
Screenshot_20230601-152304_1.jpg
 
Back
Top Bottom