Hawana uwezo wa kujikwamua kwani hawana maarifa ya kifedha kwa hiyo wamechelewa kuweka mikakati wafunge mikanda tu. Wamwambi waziri duniani kuna reserve ya dollar 8 trillion hakuna uhaba akizitafuta atazipata. Wataalamu wakusaidia wako IMF na world bank wawatumie vizuri na wawasikilize ushauri kwa makini.Nashauri Wawe na Gold reserve yao itasaidia sana kuimarisha thamani ya shillingKwani wachumi wetu na Gavana wa BOT,wanashauri nini, namna ya kujikwamua kutoka kwenye mkwamo huo.?
Wewe kaswage tu ng'ombe 🐮 upeleke mnadani haya mambo huwezi kufahamu.Kwani sarafu hiyo ikiwepo na isipokuwepo tukatumia ya kwetu inaathiri nini..?
Mkapa alisikiliza ushauri wa world bank na IMF vizuri akasaidiwa uchumi ukanyanyuka hela za budget support zilikuwa nyingi wakati wa Kikwete zikawa zinaibiwa na kutumiwa vibaya mrija ukakauka basi kwa hiyo sio rahisi tena kupata hela za mteremko kama wakati itabidi nchi ibadilikeMarten Lumbanga aweka wazi maamuzi magumu aliyofanya rais Benjamin Mkapa kurekebisha uchumi
Rais Mkapa alisikiliza na kuheshimu ushauri aliopewa na wasaidizi wake katika masuala ya uchumi, kodi, kujenga taasisi imara za kuisaidia serikali kuu anabainisha katibu mkuu kiongozi balozi Marten Lumbanga.
Kiasi kuwa bei ya bidhaa ziliteremka bei na wananchi waliisikia nafuu hiyo pia kupata afueni anasimulia kiongozi mstaafu huyo wa ngazi za juu.
Katika kumsaidia kiongozi wa nchi wataalamu walikuja na mapendekezo katika masuala ya Financial sector reforms, Public sector reforms, Legal sector reforms, hali ya mapato serikalini, matumizi ya serikali .. ili serikali iweze kuwa imeweka mazingira mazuri ya kiuchumi kama nchi na pia kwa raia wake
Oil Filter?Diesel Filter?Petrol Filter? ya Gari gani?Jana nilienda kununua oil filter kariakoo nikaambiwa elf 35 wakati service ya mwisho nilinunua elf 15.
Toyota mkuu hizi gari ndogoOil Filter?Diesel Filter?Petrol Filter? ya Gari gani?
kariakoo ❌️kariakoo
katibu mkuu ❌️katibu mkuu
ili ❌️
Vx?Corolla? Carina? Model gani?Toyota mkuu hizi gari ndogo
Mambo mengine siyo lazima yawe ndani ya uwezo wako kuweza kuyaelewa, soma comments za wajuvi uambulie chochote.Kwani dolla na uchumi wetu wapi na wapi au mdo kulazimisha utumwa
Bora umejipa kazi ya kusahihisha lugha, mambo yashakuwa magumu haya.kariakoo ❌️
Kariakoo ✅️
katibu mkuu ❌️
Katibu Mkuu ✅️
lugha ❌️lugha
Kwani hapo limetumika mwanzo wa sentensi, wee jamaa bhana...lugha ❌️
Lugha ✅️