Nitaanza kuziamini hizi habari nikisikia mtu maarufu, ambaye kila mtu anajua alishafariki amefufuka, kama Nyerere, Sokoine, Kanumba, Magufuli, Ruge, Mkapa etc
Finally some meaningful explanation!!... Naitaka hiyo documentaryWaganga wa kienyeji kuna dawa wanampa mgonjwa inayoweza ku-‘simulate’ death; then wakati mnaenda kumzika yeye anawahi chap na kumfukua kisha anampa dawa ya kumzindua usingizini na kisha anampa dawa ya kumfanya awe nusu zezeta, baada ya hapo anamkata ulimi ili asije kusema endapo akitoroka, then anaenda kutumikishwa. Huku anawaachia mgomba au ugogo likae.Huu uchunguzi niliuona kwenye national Geographic.
viini macho.. mazingaombwe.Wizara ya Afya Tanzania watu wenu mnaothibitishaga wamekufa na jamii ikawazika wanarudi huku wakiwa hai.
Mnaliongeleaje hili? Msije kusema halina ushahidi maana records zao mnazo, wafufuka wapo, wazikaji wapo na makaburi yapo pia.
Tuambieni hili limekaaje?
Mimi naamini kipo cha kufanya kabla ya kufika huko kwa kufa na kufufuka. Kuondoka kwa mtu kwenye familia ni pigo kubwa kijamii hata kiuchumi kwa familia hiyo maana anaweza kufa aliye tegemeo la familia au akafa baada ya kuigharimu sana familia.
Kwa maana nyingine kama kifo ni cha uongo (kiinimacho) basi hata magonjwa au vyanzo vya hivyo vifo ni vya uongo au viini macho
Tukiweza kutegua hili haitakua ahueni kwa familia tuu, hata wizara ya afya itapata ahueni kwa kupunguza budget yake kwenye kudeal na magonjwa na vifo fake
May be you are not informed, Labda hauna taarifa.Ili huu uwe upuuzi na upuuzwe lazima watokee werevu na kufuatilia kisha waje na proof kwamba huo ni upuuzi
Vinginevyo tukisema ni upuuzi tuu bila kuchukua hatua tunaonekana wapuuzi zaidi ya hao tunaowaita wapuuzi
Kama wewe unadanganywa na shuhuda pole sana, Hizo shuhuda ni upuuzi mtupu.Kama ni upuuzi mtupu Hawa waliorudi kutoa hizi shuhuda na wenyewe ni wapuuzi? Ufike wakati watu wakubali kuwa haya mambo yapo yafanyiwe uchunguzi unaostahili na hatua zinazofaa zichukuliwe kusema ni rahisi kabla hayajakukuta.
May be you are not informed, Labda hauna taarifa.
Hivi visa havijaanza leo, vipo tangu zamani, watu walishafuatilia na wengine kufanyia utafiti kwa muda mrefu. Waligundua kuwa ni upuuzi mtupu.
Duuuh haya, nimetoka kumjibu mama D, uchunguzi wa kina na wa kisayansi ulishafanyikaga mara nyingi, labda nyie mlikuwa bado wadogo.Hii inaonyesha ufupi wa kiwango chenu cha kutumia akili ama ninyi ni wanufaika katika huo mchakato wa kupoteza watu kwa kivuli cha kifo.
Mtu mwenye akili zake, anaona matukio yakiwa dhahiri, mchana kweupe watu wanaonyeshwa walizikwa na baadaye wanatokea wakiwa hai, halafu kijing akijinga tu aseme, 'huu ni ujinga ama upuuzi". Kama mama yako ama ndugu yako angekufa, halafu baadaye umwone akiwa hai katika hali tata ungesema ujinga na upuuzi?
Ninaona pia kukosa elimu kwenu kunachangia uchangiaji wenu wa kijinga. Mtu mwerevu, kabla hajasema haya mliyoyasema, angependekeza uchunguzi wa kina wa kijamii, na kisayansi ufanyike ili kutafuta kilicho nyuma ya pazia la matukio haya badala ya kusema tu "ujinga na upuuzi" huku mambo yakiendelea.
Kama hujui kitu si lazima useme. Ukinyamaza ni hekima zaidi ya huku kuropoka kwenu.
Hebu tuletee proof ya ufuatiliaji na data kamili
Duuuh haya, nimetoka kumjibu mama D, uchunguzi wa kina na wa kisayansi ulishafanyikaga mara nyingi, labda nyie mlikuwa bado wadogo.
Mwalimu wangu wa UDSM amepatia PHD yake kupitia utafiti wa mambo kama hayo, aligundua ni upuuzi mtupu, iko hivi, lazima nikiri, kuita ni upuuzi ni kuwa very radical..
Haya mambo yanajumuisha mambo mengi...
Kuna Conspiracy (njama), kuna coincidence(mambo kuangukiana), kuna saikolojia, kuna sayansi, kuna mazingaombwe na mambo mengine mengi yanahusika, kwa amateurs kama nyie(samahani kwa kukuita amateur) ni ngumu sana kuelewa na matokeo yake utaamini uchawi.
Ukiachana na Dr wa UDSM, Padre Yohanes wa shirika la Consolata fathers?, kule Peramiho, alifanya utafiti kwa zaidi ya miaka ishirini, katika nchi nyingi Afrika kuhusu uchawi, akagundua kwamba haupo, akaandika kitabu kinaitwa HAKUNA BINADAMU MCHAWI BALI SHETANI, kipo kwenye bookshops zote za kanisa katoliki, kakisome upate uelewa kidogo.
Muache tu. Akikua ataacha.Hii inaonyesha ufupi wa kiwango chenu cha kutumia akili ama ninyi ni wanufaika katika huo mchakato wa kupoteza watu kwa kivuli cha kifo.
Mtu mwenye akili zake, anaona matukio yakiwa dhahiri, mchana kweupe watu wanaonyeshwa walizikwa na baadaye wanatokea wakiwa hai, halafu kijing akijinga tu aseme, 'huu ni ujinga ama upuuzi". Kama mama yako ama ndugu yako angekufa, halafu baadaye umwone akiwa hai katika hali tata ungesema ujinga na upuuzi?
Ninaona pia kukosa elimu kwenu kunachangia uchangiaji wenu wa kijinga. Mtu mwerevu, kabla hajasema haya mliyoyasema, angependekeza uchunguzi wa kina wa kijamii, na kisayansi ufanyike ili kutafuta kilicho nyuma ya pazia la matukio haya badala ya kusema tu "ujinga na upuuzi" huku mambo yakiendelea.
Kama hujui kitu si lazima useme. Ukinyamaza ni hekima zaidi ya huku kuropoka kwenu.
yawezekana wewe ndo chawi kuu la kufuga misukule ndo maana unakuja na hoja za kupinga ili msikamatwe na tabia zenu chafu za kishetani.Huu ni upuuzi mtupu... na ndiyo maana unapuuzwa.
Duuuh haya, nimetoka kumjibu mama D, uchunguzi wa kina na wa kisayansi ulishafanyikaga mara nyingi, labda nyie mlikuwa bado wadogo.
Mwalimu wangu wa UDSM amepatia PHD yake kupitia utafiti wa mambo kama hayo, aligundua ni upuuzi mtupu, iko hivi, lazima nikiri, kuita ni upuuzi ni kuwa very radical..
Haya mambo yanajumuisha mambo mengi...
Kuna Conspiracy (njama), kuna coincidence(mambo kuangukiana), kuna saikolojia, kuna sayansi, kuna mazingaombwe na mambo mengine mengi yanahusika, kwa amateurs kama nyie(samahani kwa kukuita amateur) ni ngumu sana kuelewa na matokeo yake utaamini uchawi.
Ukiachana na Dr wa UDSM, Padre Yohanes wa shirika la Consolata fathers?, kule Peramiho, alifanya utafiti kwa zaidi ya miaka ishirini, katika nchi nyingi Afrika kuhusu uchawi, akagundua kwamba haupo, akaandika kitabu kinaitwa HAKUNA BINADAMU MCHAWI BALI SHETANI, kipo kwenye bookshops zote za kanisa katoliki, kakisome upate uelewa kidogo.
Wewe Unatuletea Clip za Ma actors Wa Hizi 'dini' Zetu...!
Mbona Hawaendi Mochware Kufufua Wafu!!...Wamekazana Majukwaani Kuwarubuni Watu...Next time Usianzishe nyuzi Za Mizaha..!
Haya mambo kama hujawahi shuhudia unaweza sema pengine ni uongo!
Lakini kuna jamaa hatukujuwa chochote kuhusu alikotokea wala historia yake,lkn tulifahamiana nae kama miaka 3 hivi!
Basi kuna siku wakafika ndugu zake kutoka Lusaka na kuanza kuangua kilio na kisha kumchukua na kuondoka nae kurudi Lusaka!
Kumbe yule jamaa alikuwa amefariki miaka 3 nyuma na ndugu zake walikuwa wanapewa taarifa kwamba ndugu yao japo amekufa lakini yupo huko Nakonde?
Majibu yanapatikana kanisani, misikitini na kwa waganga. Nchi hatuwezi tumia nguvu kubwa kuwekeza kwenye tafiti za ujanja janja, mazingaumbwe na ushirikina.