Kufufuka kwa wafu - Ni maajabu yanayoendelea kwa kasi nchini huku wanahabari/jamii wakizipa nafasi ndogo kama habari zinazohitaji uchunguzi wa kina

Kufufuka kwa wafu - Ni maajabu yanayoendelea kwa kasi nchini huku wanahabari/jamii wakizipa nafasi ndogo kama habari zinazohitaji uchunguzi wa kina

Ata Mm baba yetu Alikufa mwaka 2003 , lakini chaajabu anaonekana mpaka leo akiwa na manywele marefu uko kijijin kwetu , na kuna wakati anawatoke kaka zangu ghafla na kupotea, Najitahidi nipate hela Nikatafute kibali Manispaa nifukue kaburi lake .

Maana alikufa alikufa kifo cha hospitali kabisa na hati ya kifo ipo na aliugua kwa week mbili akalazwa KCMC Moshi.

Ingawa, ata alipokufa watu walishaanza kumshuku Mama mkubwa wetu kwa kuwa ni mchawi na ndio alikuwa mke mkubwa wa baba yangu , na ndiye aliyekuwa naye na ugomvi wamuda mrefu kuhusu kuuza nyumba, ambapo baba alitaka kuuza nyumba ili agawe kwa watoto wake waliokuwa wanateseka ili hali alijenga nyumb hiyo kwaajili ya watoto ila baadaye baada ya miaka 25, yakuachana na huyu mke mkubwa na aka oa na kuzaa na mwanamke mwingine na akawa kwake na watoto wake. ghafla maugomvi yaliibuka mzee akawa napiga na kukufukuza watoto, na mke mdogo ghafla aliugua karibi kufa, akaja chukuliwa na ndugu kupelekwa natibabuni, andani yaweek hiyo hiyo ghalfa Mke mkubwa aliye kuwa ameachana na baba kwa miaka25,. na akawa alishaendelea na maisha yake uko mikoa mingne na kuzaa mtoto na mwanaume mwingie, tuka shangaa amerudi na mzee akawa kama chinzi hakumbuki watoto wa mke mdogo, na anapelekeshwa kama mtoto , mke mdogo alipo pona maradhi yaliyo shindikana mahospitalin mpaka akaenda kutibiwa kwa jadi ndio akapona , aka kaa mbali kabisa na ile nyumba na akaanza kulea watoto wake mwenyewe ingawa Nyumba walijenga mama yangu na baba ila aliisusa kabisa,

Tukiwa tunaishj maisha yetu, miaka ikapita tukasikia Mzee akilinzime mjia anawakumbuka watoto wake na anapiga simu kwa ndugu zake kutaka kujua tupo wapi, ingawa baada ya muda tena akili zina mpotea anasema hajui kama ana watoto wengine,

Baada ya Muda tena akili zika mjia akanza fujo anataka Hati ya Nyumba , alipo onyeshwa aka kuta jina limebadilika, yule mama. sijui alifanyaje akaweka jina lake, alipotaka mwanasheria wake ampe zile karatasi zilizokuwa zime wekwa sihihi yake ya kwamba nyumba ni ya watoto wake aliyo zaa na mke mkubwa, Mwanasheria aka mwambia mbona ulikujaga hapa na mkeo mkubwa ukaziomba, na ukazichana ukiwa naye mkachukua na hati ya nyumba mkaondoka, Baba akashangaa sana akasema mbona hajawahi fanya hivyo?

Kwanzia hapo akili ika mkaa sawa, akawa anataka kuuza ile nyumba awatafute wanawe agawie chochote kitu, ikiwa ni mitaji ya biashara , maana aliambiwa watoto wake wana maisha mabaya sana mtaani, Purukushani zikanza na mke mkubwa uko ndani, hapa kaliki ni mapanga na kufukuzana.

Mambo yaka enda , ghafla tukaambiwa mzee anau umwa kalazwa, ana sukari, tuka muhudumia kwa week 2 KCMC , akafariki tuka zika.

Lakin tangu amefariki vituko vya kuonekana kwake vipo kila wakati, mara leo amuone huyu , kesho aonekane na yule, wanasema haongei ila ankuwa na mnyele marefu na kucha kubwa alafu uso una kama ukurutu na nimchafu sana, ila ukimsogelea uka mwita kwa jina anapotea.

Watu watatu katika nyakat tofaut waha muona ikiwamo ndugu wa wili na majirani wa kule kijijjn.

Nimepanga kuomba manispaa wanipe kibali nikafukue kaburi.. Hasa nikipata hela.

Mungu anisaidie Wakati ufike nikaone kama kweli kule kaburini yupo kama tulivyo mzika na mifupa yake au hakuna kitu.
Mna bifu tu na mama yenu mkubwa hivyo mnamtafuta uchawi. Hadi mnaanza kutunga habari za kutokewa na mzee. Mwishowe ni kwenda kumkata mapanga. Achaneni na hizo habari karne hii.
 
Kama wewe unadanganywa na shuhuda pole sana, Hizo shuhuda ni upuuzi mtupu.

Usipokuja na ushahidi wa kwamba huo ni udanganyifu hutakua na tofauti na wale wakuu wa makuhani, na Mafarisayo waliojitahidi kuamuru kaburi lilindwe ili Yesu asifufuke lakini siku ya tatu mwanaume akafufuka kama alivyosema

Mathayo 27: 62-66
Hata siku ya pili, ndiyo iliyo baada ya Maandalio, wakuu wa makuhani, na Mafarisayo wakamkusanyikia Pilato, wakasema, Bwana, tumekumbuka kwamba yule mjanja alisema, alipokuwa akali hai, Baada ya siku tatu nitafufuka.

Basi amuru kwamba kaburi lilindwe salama hata siku ya tatu; wasije wanafunzi wake wakamwiba, na kuwaambia watu, Amefufuka katika wafu; na udanganyifu wa mwisho utapita ule wa kwanza.

Pilato akawaambia, Mna askari; nendeni mkalilinde salama kadiri mjuavyo. Wakaenda, wakalilinda kaburi salama, kwa kulitia lile jiwe muhuri, pamoja na wale askari walinzi.
 
Things of the spirit!
Huwezi kuelewa kama unafikiria tu mambo ya mwilini!
Walio na Mungu wa kweli kwa kumaanisha wanaelewa hivi vitu vizuri, hata wale wa upande wa pili wa gizani wanaelewa vzr!
Wasioelewa ni wale ambao Kwa Mungu hawapo,kwanza shetani hawapo!
 
Mna bifu tu na mama yenu mkubwa hivyo mnamtafuta uchawi. Hadi mnaanza kutunga habari za kutokewa na mzee. Mwishowe ni kwenda kumkata mapanga. Achaneni na hizo habari karne hii.

Kama hujavurugwa basi wewe ndio kivuruge mwenyewe 🥁🥁🥁
 
Hili ni dili la waganga na wachungaji kama Gwajima kupiga pesa

Unatumiaga kipimo gani kuwajua wapiga pesa. Kumbuka kila binadamu ana udhaifu haijalishi ameitwa katika wito gani na Mungu, hata Musa kama nabii alikua na udhaifu wake na bado Mungu alikataa wanadamu wasimsemee vibaya ila yeye alideal nae

1 Mambo ya Nyakati 16:22 "Akisema, Msiwaguse masihi wangu, Wala msiwadhuru nabii zangu."
 
Things of the spirit!
Huwezi kuelewa kama unafikiria tu mambo ya mwilini!
Walio na Mungu wa kweli kwa kumaanisha wanaelewa hivi vitu vizuri, hata wale wa upande wa pili wa gizani wanaelewa vzr!
Wasioelewa ni wale ambao Kwa Mungu hawapo,kwanza shetani hawapo!

Kabisa Christine1

Mambo ya rohoni yanapingwa na roho. Na roho wa Mungu anafanya kazi kupitia mwanadamu roho zipingazo pia zinafanya kazi kupitia mwanadamu

Sasa hapo ndio utajua nani ni wa nani
 
Mwenye anapinga hizo habari zenye proof bila yeye kuja na proof kwamba ni za uongo kama unavyofanya wewe ndio kichaa zaidi
Hizo habari hazina proof, ndiyo maana wanahabari hawahangaiki nazo. Unaamini Gwajima alifufua mtu? Inasemwa "Dunia imejaa wajinga, mtu akitaka kudanganya hawezi kosa wa kuwadanganya."
 
Kwahio waandishi wawape promo hawa watu ?

Uzuri wa uchunguzi hata wewe unaweza kufanya huenda ukawa wa kwanza kupata hii kitu iloyowasumbua watu toka enzi na enzi (how to defy death)

Huenda wengine wanaona hio ni dead avenue na wanatumia muda wao kwa other concerning matters (kama kweli wamefufuka hao watu basi walikuwa hawajafa)
 
Mna bifu tu na mama yenu mkubwa hivyo mnamtafuta uchawi. Hadi mnaanza kutunga habari za kutokewa na mzee. Mwishowe ni kwenda kumkata mapanga. Achaneni na hizo habari karne hii.




Burudika ulale unono😃😃😃
 
Hizo habari hazina proof, ndiyo maana wanahabari hawahangaiki nazo. Unaamini Gwajima alifufua mtu? Inasemwa "Dunia imejaa wajinga, mtu akitaka kudanganya hawezi kosa wa kuwadanganya."

Rudi kwenye video chache juu fanya utafiti urudi hapa kutuambia ulichokutana nacho.
Wachana na habari za Gwajima sisi hapa tunaongelea wafu kurudi uzimani
 
Kwahio waandishi wawape promo hawa watu ?

Uzuri wa uchunguzi hata wewe unaweza kufanya huenda ukawa wa kwanza kupata hii kitu iloyowasumbua watu toka enzi na enzi (how to defy death)

Huenda wengine wanaona hio ni dead avenue na wanatumia muda wao kwa other concerning matters (kama kweli wamefufuka hao watu basi walikuwa hawajafa)


Kama wewe mwandishi na kwako kufanya uchunguzi wa habari na kurudi na majibu kwa jamii ni kuwapa watu promo bado tuna safari ndefu sana kwenye tasnia
 
Lakin tangu amefariki vituko vya kuonekana kwake vipo kila wakati, mara leo amuone huyu , kesho aonekane na yule, wanasema haongei ila ankuwa na mnyele marefu na kucha kubwa alafu uso una kama ukurutu na nimchafu sana, ila ukimsogelea uka mwita kwa jina anapotea.

Watu watatu katika nyakat tofaut waha muona ikiwamo ndugu wa wili na majirani wa kule kijijjn.

Nimepanga kuomba manispaa wanipe kibali nikafukue kaburi.. Hasa nikipata hela.

Mungu anisaidie Wakati ufike nikaone kama kweli kule kaburini yupo kama tulivyo mzika na mifupa yake au hakuna kitu.

Dingi anaonekana mida gan??? ya night au mchana kweupe..tujuze mwamba
 
Ata Mm baba yetu Alikufa mwaka 2003 , lakini chaajabu anaonekana mpaka leo akiwa na manywele marefu uko kijijin kwetu , na kuna wakati anawatoke kaka zangu ghafla na kupotea, Najitahidi nipate hela Nikatafute kibali Manispaa nifukue kaburi lake .

Maana alikufa alikufa kifo cha hospitali kabisa na hati ya kifo ipo na aliugua kwa week mbili akalazwa KCMC Moshi.

Ingawa, ata alipokufa watu walishaanza kumshuku Mama mkubwa wetu kwa kuwa ni mchawi na ndio alikuwa mke mkubwa wa baba yangu , na ndiye aliyekuwa naye na ugomvi wamuda mrefu kuhusu kuuza nyumba, ambapo baba alitaka kuuza nyumba ili agawe kwa watoto wake waliokuwa wanateseka ili hali alijenga nyumb hiyo kwaajili ya watoto ila baadaye baada ya miaka 25, yakuachana na huyu mke mkubwa na aka oa na kuzaa na mwanamke mwingine na akawa kwake na watoto wake. ghafla maugomvi yaliibuka mzee akawa napiga na kukufukuza watoto, na mke mdogo ghafla aliugua karibi kufa, akaja chukuliwa na ndugu kupelekwa natibabuni, andani yaweek hiyo hiyo ghalfa Mke mkubwa aliye kuwa ameachana na baba kwa miaka25,. na akawa alishaendelea na maisha yake uko mikoa mingne na kuzaa mtoto na mwanaume mwingie, tuka shangaa amerudi na mzee akawa kama chinzi hakumbuki watoto wa mke mdogo, na anapelekeshwa kama mtoto , mke mdogo alipo pona maradhi yaliyo shindikana mahospitalin mpaka akaenda kutibiwa kwa jadi ndio akapona , aka kaa mbali kabisa na ile nyumba na akaanza kulea watoto wake mwenyewe ingawa Nyumba walijenga mama yangu na baba ila aliisusa kabisa,

Tukiwa tunaishj maisha yetu, miaka ikapita tukasikia Mzee akilinzime mjia anawakumbuka watoto wake na anapiga simu kwa ndugu zake kutaka kujua tupo wapi, ingawa baada ya muda tena akili zina mpotea anasema hajui kama ana watoto wengine,

Baada ya Muda tena akili zika mjia akanza fujo anataka Hati ya Nyumba , alipo onyeshwa aka kuta jina limebadilika, yule mama. sijui alifanyaje akaweka jina lake, alipotaka mwanasheria wake ampe zile karatasi zilizokuwa zime wekwa sihihi yake ya kwamba nyumba ni ya watoto wake aliyo zaa na mke mkubwa, Mwanasheria aka mwambia mbona ulikujaga hapa na mkeo mkubwa ukaziomba, na ukazichana ukiwa naye mkachukua na hati ya nyumba mkaondoka, Baba akashangaa sana akasema mbona hajawahi fanya hivyo?

Kwanzia hapo akili ika mkaa sawa, akawa anataka kuuza ile nyumba awatafute wanawe agawie chochote kitu, ikiwa ni mitaji ya biashara , maana aliambiwa watoto wake wana maisha mabaya sana mtaani, Purukushani zikanza na mke mkubwa uko ndani, hapa kaliki ni mapanga na kufukuzana.

Mambo yaka enda , ghafla tukaambiwa mzee anau umwa kalazwa, ana sukari, tuka muhudumia kwa week 2 KCMC , akafariki tuka zika.

Lakin tangu amefariki vituko vya kuonekana kwake vipo kila wakati, mara leo amuone huyu , kesho aonekane na yule, wanasema haongei ila ankuwa na mnyele marefu na kucha kubwa alafu uso una kama ukurutu na nimchafu sana, ila ukimsogelea uka mwita kwa jina anapotea.

Watu watatu katika nyakat tofaut waha muona ikiwamo ndugu wa wili na majirani wa kule kijijjn.

Nimepanga kuomba manispaa wanipe kibali nikafukue kaburi.. Hasa nikipata hela.

Mungu anisaidie Wakati ufike nikaone kama kweli kule kaburini yupo kama tulivyo mzika na mifupa yake au hakuna kitu.
Poole Sana.
 
Kama wewe mwandishi na kwako kufanya uchunguzi wa habari na kurudi na majibu kwa jamii ni kuwapa watu promo bado tuna safari ndefu sana kwenye tasnia
Uchunguzi wa nini Hearsay ?..., Hio itakuwa ni kufanya reporting na sio kuchunguza.., huenda baada ya initial observation wakaona dalili za uongo / kupotosha (sasa badala ya kurudi na jibu la shutuma wanawaachia wengine kuripoti kilichojiri / kilichohadithiwa) ndio wewe umekiona hata kukileta hapa....

Na hizi story hazijaanza leo (kuanzia story za Gamboshi, Misukule n.k.) kwahio hakuna uhaba wa reporting...

Thus my point is..., hizi habari zinapata derserved attention hakuna haja ya kuzi-excalate zaidi ya hapo; tuwekeze nguvu kwenye uchunguzi wa mafisadi, tabia nchi, na kwanini si tu masikini with all these resources....
 
Kwanza kabisa naomba tuwekee hapa hilo andiko tuone uchunguzi ulifanyikaje hadi kufikia hapo unapotuelezea. Ukiongea maneno matupu mimi nitakuweka kwenye kundi la 1.Wazushi 2. Tapeli 3. Mmoja wa hao wanafanya mazingaombwe ya kuua watu

Na ukumbuke pia haikatazwi majibu ya uchunguzi kupingwa na uchunguzi mwingine
Nimesema kitabu cha Padre Yohannes kinapatikana kwenye bookshops za kanisa.

Utafiti wa Udsm upo mtandaoni, tafuta Dr. Simeon Mesaki, Thesis (PHD).
 
Nadhani hili jambo serikali imelipa verification Badge,maana mtaani na kila mahali tuna jua uchawi upo,misukule ipo,ushirikina upo lakini ajabu ni kwamba serikali inasema "hamna kesi za ushirikina"

eti madai yao hawa amini "uchawi", nadhani ndio mana hata waandishi wa habari na jamii kwa ujumla inapotezea haya mambo kwasababu hata ukisema ufukue,ufukunyue Serikali haipo upande wako,mwisho utashndwa wewe TU.

Siku ninayoamini ukweli wa hizi mambo utawekwa peupe na adhabu kutolewa kama makosa mengine ya jinai yanavyotolewa adhabu ni pale serikali itapo ruhusu na kukubali kuanza shughulika na kesi zote za kishirikina/kimauza uza/kimazingaombwe/kichawi,nk

siku tu serikali inasema Yeyote mwenye ushahidi wa flani n mchawi anatesa watu anaua watu anachukua watu misukule akamatwe na afikishwe kwenye vyombo vya sheria,nadhani ndio Tutajua ukweli na mbivu na Mbichi za hawa wanaokufa na kufufuka,maana watatajana tu huwa wanafanyaje makosa yao wanafanyaje kazi zao.

Polisi wakikamata jambazi,wakitaka aseme silaha alipoficha wanalipiga wanampa adhabu zote wazijuazo hadi anasema,nadhani na hili la ushrikina serikali iingilie kati kila kitu kitakua kweupeee. Serikali tu iamue.

ila hv hv hili jambo ni gumu,linatisha waandishi wa habari hapa tutawaonea tu bure,hili sio sakata kama la fumanizi ni sakata ambalo ukichunguza kama unakaribia kujua ukweli WANAKUMALIZA na ndio hofu ya wengi.
 
Back
Top Bottom