Ha ha ha!!my ribs
Upo??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha!!my ribs
[emoji23] [emoji23]Hahahahahah no au kwasababu Kahama hio jamii ya wahindi wapo wengi,unajifunza kupiga ramli
Sent using Jamii Forums mobile app
Fanya hivyo itakuwa jambo la kherimkuu atakuwa ni huyuhuyu ngoja nikutafutie picha yake
Ngoja nikuulize swali ww ulimfahamia wap mpaka ukashawishika kumfata au ndio ulikutana nae kwenye mabasijahahaha kaolewa tayari
nilikutana nae nairobi, ni mfanyabiasharaNgoja nikuulize swali ww ulimfahamia wap mpaka ukashawishika kumfata au ndio ulikutana nae kwenye mabasi
Sent using Jamii Forums mobile app
yupo hapo kibosho road opp na hiyo bar yenye imeandikwa kilimanjaro beer
na ulimpata?Dah!! Safari hizi ni za kawaida kwangu.
Nilitoka Tabora hadi Moshi, kumfuata Mrembo tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilimpata vizuri sana. Nilikaa lodge siku 2. Hiyo ilikuwa 2014. Mwaka 2016 Nilitoka Moro hadi Mbeya kumfuata Mtoto wa mzuri wa huko.na ulimpata?
Ngoja siku ntafanya ziara maeneo hayo,embu nipe wajihi wakeyupo hapo kibosho road opp na hiyo bar yenye imeandikwa kilimanjaro beer
kwani hapo ulipo hawakutoshi
Hapana jamani me Lusaka sijawah kufika hukomadam itakuwa ni wewe bwana ndie uliefungiwa safari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamani dhambi tena??? Wanasema mapenzi upofu ukipenda huoni, huruma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yan unanifanya nashindwa cha kusema napata vicheko tuNimetafakari Kweli nguvu tuiwekayo kwenye Mapenzi. Halafu yakiisha unajishangaa ulipata wapi Huo muda hahaha. Ila unapata dhambi, Uwe na Huruma kiasi bibie
Sent using Jamii Forums mobile app
Lile baridi nililikuta huko moro acha kbc nikaona nisilale peke yanguSs kwanin usingemrudia huyo wa dar au ulifikiria gharama zako za chumba mkuu ukaona kisilale bure
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona mraya za kutosha hapo Moro si ungetafuta wa siku hio au huyo huyo wa dar alikuwa na kitu specialLile baridi nililikuta huko moro acha kbc nikaona nisilale peke yangu
Sent using Jamii Forums mobile app