Kufukuzwa Membe CCM: Hakika siasa ni Mchezo kama ilivyo Karata na Draft

Hata kama membe aende chama cha upinzani!hatoruhusiwa tume ya uchaguzi kugombea uraisi!sabb sheria mpya ya vyama vya siasa inamtaka mgombea kukaa kwenye chama takribani miaka miwili!!!MEMBE IMEKULA KWAKE!!!
ndo mmekazia hapo SWAIN nyie mffiiieeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeewwwww.. mtabana lkn mwisho mtainama tu
 
Hata kama membe aende chama cha upinzani!hatoruhusiwa tume ya uchaguzi kugombea uraisi!sabb sheria mpya ya vyama vya siasa inamtaka mgombea kukaa kwenye chama takribani miaka miwili!!!MEMBE IMEKULA KWAKE!!!
Sheria kandamizi

Jr[emoji769]
 
ni mkakati wa FISIEM kumfukuza MEMBE ni mpango ulioandaliwa wakiwa wanajiaminisha kuwa atapokewa ACT kuimarisha chama na kujaza wafuasi ili CHADEMA isahaulike sio kuishiwa mana inaonyesha FISIEM kwa CDM WAMEKWAMA VIBAYA SANA. propaganda zao kuiua CDM imefeli ndo wamekuja na mpango huu japo angalao wafanikiwe kuisahaulisha CDM kwa wananchi wa Tanzania.
 
Kwa nini wasingemuacha achukue fomu halafu wamfanyie kama machadema yalivyomfanyia Sumaye
 
Hata kama membe aende chama cha upinzani!hatoruhusiwa tume ya uchaguzi kugombea uraisi!sabb sheria mpya ya vyama vya siasa inamtaka mgombea kukaa kwenye chama takribani miaka miwili!!!MEMBE IMEKULA KWAKE!!!
Kwani hiyo sheria ya mwaka gani? Yani mtu akae for 2 Yrs? Vipi je kwa mbunge ni mda gani wa kukaa benchi?
 
Kashatoa tamko huko kasema tusubiri atatoa tamko rasmi vita ndio inaanza rasmi
Ataishia kutoa matamko na kushangiliwa na wachache kwenye mitandao lakini hana nguvu yoyote. Nilishasema hakuna aliyewahi kuitikisa ccm kama Mrema na wakati huo mitandao ya kijamii haikuwepo halafu rais alikua mzee Ruksa. Huyu anajidanganya
 
Wanasahau kuwa wapenzi na wana cdm wanazidi kuongezeka kila kukicha na tayari tushagundua mbinu zao chafu dhidi ya cdm!
In God we Trust
 
Wenzako wenye akili sasa hivi wapo muhimbili pressure zimewapanda, wewe kisa Membe kufukuzwa ndani ya ccm lkn wewe chumia tumbo unaishia kumbwela mbwela tu hapo lumumba
Ataishia kutoa matamko na kushangiliwa na wachache kwenye mitandao lakini hana nguvu yoyote. Nilishasema hakuna aliyewahi kuitikisa ccm kama Mrema na wakati huo mitandao ya kijamii haikuwepo halafu rais alikua mzee Ruksa. Huyu anajidanganya

In God we Trust
 
Maccm hawajiamini kabisa kabisa, wakati wanajitapa wanapendwa
Mmmmmmm huwatakii mema wenzio yani wangemuacha hadi achukue fomu? Je akipita dirishani akaingia ndani kosa la nani?

In God we Trust
 
Wenzako wenye akili sasa hivi wapo muhimbili pressure zimewapanda, wewe kisa Membe kufukuzwa ndani ya ccm lkn wewe chumia tumbo unaishia kumbwela mbwela tu hapo lumumba

In God we Trust
Kwa bahati mbaya sana wenzenu uchaguzi wetu tulifanya desemba 2019 na chama chetu kilishindwa lakini tumekubali matokeo. Mimi naandika kama mpenda nchi yangu niliyozaliwa. Usidhani kila anayetoa maoni ni ccm ama cdm.. waziri wangu mkuu anaitwa BOJO na si Majaliwa.
 
Mku sema kwa siasa za Tz hazitabiliki. Ngoja baada ya 2020 ndo utatwambia kama CDM ndo tishio au ACT ya Zitto?
 
Hayo ni mawazo yako kwa kutomjua membe alivyofanya na anavyobehave
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…