Karne
JF-Expert Member
- Jun 13, 2016
- 8,118
- 13,547
Wapi nimetaja CDM kwenye hiyo comment?Kwani hapa nchini kuna chama kimoja tu cha upinzani? Mbona mnakonda sana kwa ajili ya cdm?
In God we Trust
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi nimetaja CDM kwenye hiyo comment?Kwani hapa nchini kuna chama kimoja tu cha upinzani? Mbona mnakonda sana kwa ajili ya cdm?
In God we Trust
Kuwa mwanachama atapokelewa lkn sio kugombea wamestukaHata kama membe aende chama cha upinzani!hatoruhusiwa tume ya uchaguzi kugombea uraisi!sabb sheria mpya ya vyama vya siasa inamtaka mgombea kukaa kwenye chama takribani miaka miwili!!!MEMBE IMEKULA KWAKE!!!
Warundi wamevuruga sana nchi hiziChama kitakachompokea Membe kifutwe na Msajili wa vyama vya Siasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Pumba tupu!!!Katika makosa makubwa ambayo CCM wamefanya ni kumfukuza Membe wakati huu.
Kiintelijensia alipaswa kufukuzwa mwishoni mwa mchakato wa uchaguzi mkuu 2020, Kwani ingewanyima wanachama wa CCM muda wa kutafakari na kujipanga upya.
Tofauti na Lowasa ambaye walimkatilia mbali katika hatua za mwisho kabisa. hata hivyo alikukuruka.
Kwa sasa Membe anawakati mzuri wa kufanya mikakati (kama anataka) na kujijenga upya kisiasa nje ya CCM.
Pili, Inampa nafasi wale wanachama machachali waliokuwa hawapendi uongozi wa sasa wa CCM taifa.
Tatu, Hatua hii imewapa usugu wale wanachama waliokuwa wakiogopa ogopa kusema yaliyo ya moyoni sasa watasema "hata membe amefukuzwa sembuse mimi"
Njia pekee iliyobaki kwa CCM kupona ni kuponya majeraha haraka na kufanya mchakato wa wagomea kwa haki, bila kumuonea Mtu.
Wale watakaofanyiwa figisu mara moja watageuka kuwa wapinzania katika Uchaguzi mkuu 2020.
Waliodhani upinzani umekufa wakae mkao wa kula.
Wapo wengi watamfuata.
Time will tell
Kwa njia yeyote, Ebu Twendeni na Membe au Lissu 2020!
Wanaogopa mgombea binafsi, kwa sababu wanajua kama mgombea binafsi angeruhusiwa sasa hivi kwa mfano, Membe angeweza kum challenge Magufuli bila hata kuingia kwenye figisu za chama.Hiyo kesi ilishatolewa hukumu lkn wakubwa hawataki kabisa kuisikia hiyo kitu, sijui wanaogopa kitu gani haswa
In God we Trust
Nimekuelewa sana mkuuWanaogopa mgombea binafsi, kwa sababu wanajua kama mgombea binafsi angeruhusiwa sasa hivi kwa mfano, Membe angeweza kum challenge Magufuli bila hata kuingia kwenye figisu za chama.
Kwa mujibu wa sheria ipi?Chama kitakachompokea Membe kifutwe na Msajili wa vyama vya Siasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa umri wake na muda aliotumika apumzike tuu sasa kwani hata wale alioanza nao kazi na hawakuingia kwenye siasa hivi sasa wamepumzika na shughuli zao binafsiMembe akihamia ACT tu wale jamaa waanze kutundika mahema kuashiria msiba.
Na vita yao itakuwa dhidi ya ACT na Zitto na si CCM tena ama wote!
Hii hatua imechukuliwa mapema siyo kwa bahati mbaya!
Kilichomkuta Kachero katika video!😁
Nje ya "system" (CCM, JK, Wanamtandao, nk) Mh. Membe ni mwepesi kama karatasi....katika miaka yake ya uongozi hebu jaribu kutafuta jambo lolote la ki-mkakati au hata hotuba nzito kutoka kwake! CCM wamejaa akina Membe wengi tu seama huwanajiuliza kwanini wapinzani hawawezi kuja na mkakati wa kuibomoaKatika makosa makubwa ambayo CCM wamefanya ni kumfukuza Membe wakati huu.
Kiintelijensia alipaswa kufukuzwa mwishoni mwa mchakato wa uchaguzi mkuu 2020, Kwani ingewanyima wanachama wa CCM muda wa kutafakari na kujipanga upya.
Tofauti na Lowasa ambaye walimkatilia mbali katika hatua za mwisho kabisa. hata hivyo alikukuruka.
Kwa sasa Membe anawakati mzuri wa kufanya mikakati (kama anataka) na kujijenga upya kisiasa nje ya CCM.
Pili, Inampa nafasi wale wanachama machachali waliokuwa hawapendi uongozi wa sasa wa CCM taifa.
Tatu, Hatua hii imewapa usugu wale wanachama waliokuwa wakiogopa ogopa kusema yaliyo ya moyoni sasa watasema "hata membe amefukuzwa sembuse mimi"
Njia pekee iliyobaki kwa CCM kupona ni kuponya majeraha haraka na kufanya mchakato wa wagomea kwa haki, bila kumuonea Mtu.
Wale watakaofanyiwa figisu mara moja watageuka kuwa wapinzania katika Uchaguzi mkuu 2020.
Waliodhani upinzani umekufa wakae mkao wa kula.
Wapo wengi watamfuata.
Time will tell
Kwa njia yeyote, Ebu Twendeni na Membe au Lissu 2020!
Aiseee Kuna logic inside your pointsMBINU HIYO sasahv anaingia ACT wazalendo hadi tunaelekea Kwenye uchaguzi mkuu watakuwa wanasikika ZZK na MEMBE na sio TL na Mbowe na chadema yao halafu baasda ya uchaguzi anarudi ccm kuunga mkono juhudi lengo lao Kuiua chadema na kuinyanyua ACT kuwa chama kikuu cha upinzani,ndiomaana zzk katengenezewa kashfa za kumpa umaarufu tu kuelekea uchaguzi
CDM inawatesa sana,mioyo yenu inadunda ikisema CHA..DE..MA,CHA..DE..MA,CHA..DE..MA!Anaweza kuanzisha lakini ushauri mzuri ajiunge chadema ili apotee kabisa kwenye medani za siasa!
Ndugu zangu,
Lazima tukiri ya kuwa Rais Mwinyi ndiye rais aliyepata msukosuko mkubwa sana baada ya vuguvugu la siasa za mageuzi (upinzani) kurudi nchini mwaka 1992. Kwani kipindi hichi kila mwanasiasa mwenye ushawishi ndani na nje ya nchi alitishia kuanzisha chama na hivyo kukawa na hofu ya CCM kusambaratika.
Mwaka ule wa alfu kenda tisini na nne (1994) kulikuwa na jabali aliyepata kuwa waziri mwandamizi katika serikali ya Raisi Mwinyi, Prof.Kighoma Ali Malima, alitimkia Uingereza akihisiwa kujipanga kutangaza kujitoa CCM na kuanzisha Chama chake cha siasa kumbuka hapa tayari Ndugu Mrema alishatema cheche na tayari alikuwa akivuma zaidi kule Zanzibar Sefu na wenzie walichachafya kwa msaada wa Sultani wa Oman.
Hawa wote walianzisha vyama vikavuma, baada ya miaka ishirini tunashuhudia mawaziri wakuu wakijitoa CCM huku wakihamia vyama vya upinzani vilivyopo na sio kuanzisha vyama.
Hadi tunaenda mitamboni inaaminika kuwa Marehemu Mzee Samwel Sitta akiwaongoza akina Nape, Lembeli waliiunda CCJ kama mbadala na sio kujiunga na vyama vya upinzani vilivyopo lakini hata hivyo hawakuwahi kuthubutu kuachana na CCM.
Je, Bernad Membe anauwezo kuanzisha na kusajili chama cha siasa na kuwa na ushawishi kwa Watanzania?
Ataanzia wapi. Nani atampa form ya kuanzisha chama hicho ? Zama zimebadilika. Asidanganyike . Kwa heri yake kisiasaNdugu zangu,
Lazima tukiri ya kuwa Rais Mwinyi ndiye rais aliyepata msukosuko mkubwa sana baada ya vuguvugu la siasa za mageuzi (upinzani) kurudi nchini mwaka 1992. Kwani kipindi hichi kila mwanasiasa mwenye ushawishi ndani na nje ya nchi alitishia kuanzisha chama na hivyo kukawa na hofu ya CCM kusambaratika.
Mwaka ule wa alfu kenda tisini na nne (1994) kulikuwa na jabali aliyepata kuwa waziri mwandamizi katika serikali ya Raisi Mwinyi, Prof.Kighoma Ali Malima, alitimkia Uingereza akihisiwa kujipanga kutangaza kujitoa CCM na kuanzisha Chama chake cha siasa kumbuka hapa tayari Ndugu Mrema alishatema cheche na tayari alikuwa akivuma zaidi kule Zanzibar Sefu na wenzie walichachafya kwa msaada wa Sultani wa Oman.
Hawa wote walianzisha vyama vikavuma, baada ya miaka ishirini tunashuhudia mawaziri wakuu wakijitoa CCM huku wakihamia vyama vya upinzani vilivyopo na sio kuanzisha vyama.
Hadi tunaenda mitamboni inaaminika kuwa Marehemu Mzee Samwel Sitta akiwaongoza akina Nape, Lembeli waliiunda CCJ kama mbadala na sio kujiunga na vyama vya upinzani vilivyopo lakini hata hivyo hawakuwahi kuthubutu kuachana na CCM.
Je, Bernad Membe anauwezo kuanzisha na kusajili chama cha siasa na kuwa na ushawishi kwa Watanzania?
Tukuulize wewe unayewajua hao unaowaita wasiojulikanaLabda nami nikuulize je, wale Wasiojulikana nao wataweza Kumvumilia kwa Kuuachia Uhai wake hadi hiyo Siku atakayoanzisha hicho Chama chake cha Kisiasa nchini?