Mzukulu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2020
- 1,401
- 2,641
Tukuulize wewe unayewajua hao unaowaita wasiojulikana
Kuna mahala nimesema kuwa ninawajua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukuulize wewe unayewajua hao unaowaita wasiojulikana
Kumbe je ?! Si umeandika kuwa Kuna wasiojulikana?Kuna mahala nimesema kuwa ninawajua?
Mkuu pia nimewaza hivyo, hizi mind game lengo kutokomeza Chadema na pia ni mbinu ya Membe kujisafishia njia 2025MBINU HIYO sasahv anaingia ACT wazalendo hadi tunaelekea Kwenye uchaguzi mkuu watakuwa wanasikika ZZK na MEMBE na sio TL na Mbowe na chadema yao halafu baasda ya uchaguzi anarudi ccm kuunga mkono juhudi lengo lao Kuiua chadema na kuinyanyua ACT kuwa chama kikuu cha upinzani,ndiomaana zzk katengenezewa kashfa za kumpa umaarufu tu kuelekea uchaguzi
Membe kundi lake wengi ni wazee wastaafu hawa nia yeyote za kisiasa zaidi ya Biashara zao na amani zao.Mkuu Kaka Mkubwa Wakudadavua, naunga mkono hoja yako, ila kufuatia kuwa ni kachero mbobezi, anajua akianzisha chama hakitasajiliwa!.
P
[emoji40][emoji40]Kunazisha Chama sio jumbo rahisi, Membe pia sio mtu anaejukikana Sana huku mitaani tunakoishi makabwela. Huku hana ushawishi. Astaafu siasa ama ajiunge na wenye ushawishi au asubiri kurudishwa CCM siku za mbele Kama ulivyo mkakati
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo haijawa sheria. Na inapingana na Katiba ya JMT khs haki ya kuchagua na kuchaguliwa. Ila kwa mabavu wataipitisha.Hata kama membe aende chama cha upinzani!hatoruhusiwa tume ya uchaguzi kugombea uraisi!sabb sheria mpya ya vyama vya siasa inamtaka mgombea kukaa kwenye chama takribani miaka miwili!!!MEMBE IMEKULA KWAKE!!!
Hii ndiyo grobal standard operating procedure. Hata nyerere alifanya hivyoKwa hiyo, ni sahihi kwamba haijalishi wewe upo upande gani, CCM au Upinzani; kama mawazo yako ni nje na yale ya Mwenyekiti huwezi 'survive'.