1. Viwanda wameviteketeza vyote, sasa hivi wainaimba unafiki kila kona.
2. Wamenunua madege kibabe watoto wetu hawana popote kufanya Elimu kwa vitendo
3. Wamesababisha kibabe wawekezaji wengi kuondoka, kiasi kwamba ajira zimetoweka
4. Wamedidimiza na kupoka madaraka kutoka maamuzi ya wananchi kupitia bunge, sasahivi sijuwi bunge kazi yake nini
5. Wamezigeuza mahakama kuhukumu kwa maelekezo kibabe kiasi kwamba wengine wanasota lupango kwa vijesenti kidogo tu 17million
Kangi, na majizi ya mkobozi bank wapo mtaani
Hakika MEMBE katoweshwa kibabe kwa faida ya mtu mmoja tu sio taifa. Ingelikuwa taifa tungesubiri uchaguzi ili kura ziseme nani anastahili kwa maamuzi ya watanzania.
2. Wamenunua madege kibabe watoto wetu hawana popote kufanya Elimu kwa vitendo
3. Wamesababisha kibabe wawekezaji wengi kuondoka, kiasi kwamba ajira zimetoweka
4. Wamedidimiza na kupoka madaraka kutoka maamuzi ya wananchi kupitia bunge, sasahivi sijuwi bunge kazi yake nini
5. Wamezigeuza mahakama kuhukumu kwa maelekezo kibabe kiasi kwamba wengine wanasota lupango kwa vijesenti kidogo tu 17million
Kangi, na majizi ya mkobozi bank wapo mtaani
Hakika MEMBE katoweshwa kibabe kwa faida ya mtu mmoja tu sio taifa. Ingelikuwa taifa tungesubiri uchaguzi ili kura ziseme nani anastahili kwa maamuzi ya watanzania.