johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Unadhani ndoto yake ataitimizia wapi ilhali hakuna mgombea binafsi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhani ndoto yake ataitimizia wapi ilhali hakuna mgombea binafsi?
Jiandaeni kiasaikolojia kumtuliza Tundu Lisu!Tatizo wewe mzushi,
Tayari hakuwa na mwenendo mzuri kwenye chama,tatizo mnaangalia movies sana!Haya ni maisha halisi!Lazima yawekwe hadharani ili kuwa hadaa watu kwamba ni mkosaji na ipatikane sababu ya kumfukuza.hii kitu imepangwa Mzee jaribu kufikiria asinge dukuliwa ni sababu ipi ingemfukuzisha chamani?
Unadhani ndoto yake ataitimizia wapi ilhali hakuna mgombea binafsi?
Jiandaeni kiasaikolojia kumtuliza Tundu Lisu!
Hiyo mifano yako ndio nimeipenda bwashee!You are focusing on the snake and you are missing the scorpion. Adui wa mtu huwa hatoki mbali kama ambavyo Raisi wetu anajiaminisha. Anaokula nao na kuwaosha miguu ndiyo maadui zake.
Mungu na Shetani, Yesu na Yuda, Kaisari na Brutasi ndiyo uhalisia wa dunia ulivyo. Hapa ni suala la muda tu.
Ya kugombea urais!Ndoto gani hiyo?
Jr[emoji769]
Kikulacho........!
Waswahili walisema.