Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Sasa tukiweka Avatar mbaya mnaanza kutuchamba,Bora tuwadanganye tuSema na sisi wanaume ni wajinga😂unadanganyika na avatar ya mtu kumbe ukute in real life ni mbovu balaa😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa tukiweka Avatar mbaya mnaanza kutuchamba,Bora tuwadanganye tuSema na sisi wanaume ni wajinga😂unadanganyika na avatar ya mtu kumbe ukute in real life ni mbovu balaa😂
Usitutukane please kama ulidanganyika ni weweSema na sisi wanaume ni wajinga😂unadanganyika na avatar ya mtu kumbe ukute in real life ni mbovu balaa😂
Kesho mapema,naiwahi TashrifFanya kwenda mwenyewe 😅
MImi nnajua joannah ndio huyo anaeng'aa na kitenge chake kwenye avatarSasa tukiweka Avatar mbaya mnaanza kutuchamba,Bora tuwadanganye tu
Tena sana na wanasamba UTI sugu af kuna binadamu anakuja kuanzisha uzi anatafuta mke fyiiuuuJF asilimia 90% ya madem ni wadangaji.
si kweli lakini 😂Usitutukane please kama ulidanganyika ni wewe
Nimeuliwa uku najiona na english sijuiMasikini Johnnie Walker 😂😂😂
Fanya uwahi ikiwezekana lala stendiKesho mapema,naiwahi Tashrif
kwa uhakika upi??😂MImi nnajua joannah ndio huyo anaeng'aa na kitenge chake kwenye avatar
Tena ya wazi waziviolence 😂
Lakini nnsi kweli lakini 😂
Mwanaume kapindua meza huko 😂Nimeuliwa uku najiona na english sijui
Haina haja,sikai mbali na Magufuli stand,kwa boda buku tuFanya uwahi ikiwezekana lala stendi
We jamaaa umezisha vita na mimi ngoja niite jeshi languDon't lie to me _ Barbara Streisand
Huo huo wa pichanikwa uhakika upi??😂
Labda anataka akutumie hela 😅😅Hatufungui ng'oo!!!!
Mwanaume kapindua meza huko 😂
Tumeshajua mnyonge n nani
huezi jua mtu yukoje kwa kupitia avatar yakeLakini nn