Kufunga 'PM' ni ishara ya kuwa mchoyo na mbinafsi

Kufunga 'PM' ni ishara ya kuwa mchoyo na mbinafsi

Baada ya kusema hayo, fungua pm.
Watu wengi kama wewe hapa JF hawana uwezo wa kufikiri kidhahania.

Yani kwa kuwa umeona natetea haki za watu kufunga PM, hapo hapo uka assume kizembe kwamba nimefunga PM.

Mimi PM yangu ipo wazi sijawahi kuifunga, ni wewe na papara zako tu za ku assume imefungwa.

Na nikiamua kufunga nafunga tu, maneno yako hayana uzito wa kunifanyia maamuzi mimi.

Nyie mpo so thirsty mnaweza kuwabaka watu.

Kumlazimisha mtu kufungua PM ni aina fulani ya ubakaji wa mitandaoni.

You are just cyber stalkers, low key online rapists.
 


Kufunga 'pm' ni dalili ya uchoyo; ni sawa na kupika chakula kizuri na kitamu, na kujifungia ndani na makufuli makubwa, ili mgeni yeyote atakayependa kuja kukutembelea, asiweze kuingia na kula chakula hicho ulichokiandaa; kwa namna nyingine tunasema huo ni uchoyo.

Pia inazuia mgeni kuja kukuletea habari njema; kwa sababu ataishia nje ya mlango, na hatoweza kuja kukuhabarisha habari njema zenye tija.

Ni sawa pia na kujenga nyumba na kuzungushiwa na ukuta mrefu; ili wapitao bara barani wasiweze kuingia ndani; na mara nyingi waliojifungia ndani, wanakuwa hawana furaha mpaka pale watakapo toka nje ya uzio na kujumuika na wapita njia n.k

Kwa ujumla, hiyo ni dalili ya uchoyo; fungueni 'pm'​
Dah umenisimanga
 
Back
Top Bottom