Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imeisha hiyo kazi anayoHaina haja,sikai mbali na Magufuli stand,kwa boda buku tu
ni vizuri kukaa positive lakini....Huo huo wa pichani
Naku pmNielekeze na mm
Fungueni pm 😅😅
Mimi na shangaa sana watu et wana amini avatarhuezi jua mtu yukoje kwa kupitia avatar yake
We mnyonge sanaMimi sio mnyonge tengua kauli bhna
Atajua mwenyewe mbona mi nipo kwa avatar yanguhuezi jua mtu yukoje kwa kupitia avatar yake
Uyo jamaa nakwambia atakuja simulia haapWe mnyonge sana
Namimi pia 😅Naku pm
😂😂😂😂😂Shauri yakoMImi nnajua joannah ndio huyo anaeng'aa na kitenge chake kwenye avatar
Watu wengi kama wewe hapa JF hawana uwezo wa kufikiri kidhahania.Baada ya kusema hayo, fungua pm.
Dah umenisimanga
Kufunga 'pm' ni dalili ya uchoyo; ni sawa na kupika chakula kizuri na kitamu, na kujifungia ndani na makufuli makubwa, ili mgeni yeyote atakayependa kuja kukutembelea, asiweze kuingia na kula chakula hicho ulichokiandaa; kwa namna nyingine tunasema huo ni uchoyo.
Pia inazuia mgeni kuja kukuletea habari njema; kwa sababu ataishia nje ya mlango, na hatoweza kuja kukuhabarisha habari njema zenye tija.
Ni sawa pia na kujenga nyumba na kuzungushiwa na ukuta mrefu; ili wapitao bara barani wasiweze kuingia ndani; na mara nyingi waliojifungia ndani, wanakuwa hawana furaha mpaka pale watakapo toka nje ya uzio na kujumuika na wapita njia n.k
Kwa ujumla, hiyo ni dalili ya uchoyo; fungueni 'pm'
😂 hauna ubavu huo katoto 😂Uyo jamaa nakwambia atakuja simulia haap
atajua hajui 😂😂😂😂😂😂Shauri yako
Mungu wanguuUkiona mtu anafunga PM ni Malaya
Kwani siku tukionana nikizimia si utanipepea 😅😂😂😂😂😂Shauri yako
Aniache,Leo siyo siku ya kuchokozwa....