kwa mfano kwa mimi mtoto wa kiume nikakuta profile yako ya jf inaruhusu kupokea private message, halafu nikaku-text "mambo mrembo", hudhani kwamba hiyo ni hatua ya awali ya kutaka urafiki na wewe?.Umeongea kwa hasira sana
Je wana jf walikuambia wanata urafiki na wewe?
π€£π€£π€£π€£Weee,em tulia bhana! π€£π€£Wanaume bhana,hutaki kuchelewesha?Pole sana aisee. Hivi kuna bus za jioni Dar to Mbeya?
Legeza mwezi mtukufu huu dadaMda ni Mali kwangu tena wengine huwa na like comment kuonyesha kwamba nimeona sms yako ila siijibu π¬πππ
Dah unaamua kuwapa mateso ya kisaikolojia. Ni heri hata usilike kwa kweli. Naweza hata nikafuta account yangu Kisha nifungue nyingine. Nikikuona kwenye Uzi sichangii π πMda ni Mali kwangu tena wengine huwa na like comment kuonyesha kwamba nimeona sms yako ila siijibu π¬πππ
Hakuna cha kulegeza ni ukauzu mwanzo mwishoπ¬ππLegeza mwezi mtukufu huu dada
Umechelewa kureply, nipo Kibaha muda huu, nimepanda IT π π ππ€£π€£π€£π€£Weee,em tulia bhana! π€£π€£Wanaume bhana,hutaki kuchelewesha?
Unakuta una bonge la mchakato alafu PM unakuta lock .. ila ndio binadamu walivyoKufunga 'PM' ni dalili ya uchoyo; ni sawa na kupika chakula kizuri na kitamu, na kujifungia ndani na makufuli makubwa, ili mgeni yeyote atakayependa kuja kukutembelea, asiweze kuingia na kula chakula hicho ulichokiandaa; kwa namna nyingine tunasema huo ni uchoyo.
Pia inazuia mgeni kuja kukuletea habari njema; kwa sababu ataishia nje ya mlango, na hatoweza kuja kukuhabarisha habari njema zenye tija.
Ni sawa pia na kujenga nyumba na kuzungushiwa na ukuta mrefu; ili wapitao bara barani wasiweze kuingia ndani; na mara nyingi waliojifungia ndani, wanakuwa hawana furaha mpaka pale watakapo toka nje ya uzio na kujumuika na wapita njia n.k
Kwa ujumla, hiyo ni dalili ya uchoyo; fungueni 'PM'
kwa fujo hiz na ukorofi huu sidhan kama kuna wakukufungulia pmIvi na ww unataka batle na mimi π
Mi nipo kwenye gari naifuata mwanza,sa itakuwaje π€Umechelewa kureply, nipo Kibaha muda huu, nimepanda IT π π π
Umewasaidia wengi sana hakyanani πPM bhana πππ mie nishaga choka story za wakaka huko PM, nimeona nifunge
Sio kwa ubaya ni kuepuka usumbufu tu ππ
Afu wa 2006π€£π€£π€£π€kwa fujo hiz na ukorofi huu sidhan kama kuna wakukufungulia pm
π€£π€£π€£
Watajua wenyewe huko simu yangu bando langu bado nijisumbue kufunga pm π¬π¬π€¨Dah unaamua kuwapa mateso ya kisaikolojia. Ni heri hata usilike kwa kweli. Naweza hata nikafuta account yangu Kisha nifungue nyingine. Nikikuona kwenye Uzi sichangii π π
π π π π Sio mbaya, ngoja nikafungashe mzigo wa maparachichi na cocoa Kisha nirudi nazo mjiniMi nipo kwenye gari naifuata mwanza,sa itakuwaje π€
kwa mfano kwa mimi mtoto wa kiume nikakuta profile yako ya jf inaruhusu kupokea private message, halafu nikaku-text "mambo mrembo", hudhani kwamba hiyo ni hatua ya awali ya kutaka urafiki na wewe?.
π€£π€£π€£ mambo mengine sio ya kuongelea jukwaani jamaniHatufungui ng'oo!!!!