Kufunga 'PM' ni ishara ya kuwa mchoyo na mbinafsi

unaweza kuongeza network kiurahisi sana bila kuchat na mimi pm.

mbinu pekee ni kusikiliza ushauri wa "motivesheno supikazi" nje ya jf.
Nimewasikiliza sana ila sielewa ila eww nimekuelewa kuna motivation wengi sana wapi hao unawazungumzia mkuu
 
Nime observe kwako ww ni good friend sana sana so i sugest to be friend more up the day of my wedding uwe msimamoz wangu wa ndoa au hapo imekaaje
aisee, kuwa msimamizi wa ndoa ni jukumu zito sana kwangu. kwanza angalau uwe imara na maswala ya kiimani, pia usiwe na makando kando yanayohusu mahusiano.

mimi sio muhudhuriaji wa nyumba za ibada, nina imani haba zinazohusu masuala ya dini,lakini pia sina uzoevu wa kutosha na masuala ya mahusiano.
 
unaweza kuongeza network kiurahisi sana bila kuchat na mimi pm.

mbinu pekee ni kusikiliza ushauri wa "motivesheno supikazi" nje ya jf.
Sasa mkuu nimekuelwa maana ya wewe kufunga pm humu kuna wajinga wengi af vitoto vidogo sana ila vijinga sana
Bora kufunga pm kuondokana na ujinga wa watoto wa pumbavu ambao akili zao
Huwaza kutupia paja la uso na sio ubongo sure nakubaliana na wewe

Pia mjinga si lazima awe ajasoma ata walio soma wapo wajinga vile vile i got big up mkuu
 
shukrani sana [emoji1431][emoji1431][emoji1431].
 
A
Uko na shida upstairs
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…