Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Wengi wanaofunga PM ni upinde.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unaweza kuongeza network kiurahisi sana bila kuchat na mimi pm.Sikia ach izo ww ni pm mimi nataka kuongeza network
Ngoja waje watuthibitishieWengi wanaofunga PM ni upinde.
Nimewasikiliza sana ila sielewa ila eww nimekuelewa kuna motivation wengi sana wapi hao unawazungumzia mkuuunaweza kuongeza network kiurahisi sana bila kuchat na mimi pm.
mbinu pekee ni kusikiliza ushauri wa "motivesheno supikazi" nje ya jf.
Ilijifunga😀 😀 😀 ebu tupe uzoefu kwa nini umefunga; tunaweza kujifunza kitu
Mmh! Niwekee kule kwa siku zote kama kweli alaf unitag.Kuna siku nilitaka nikutumie kawimbo flan katamu nikakutana na [emoji357]..ikabidi niwe mpole [emoji3]
aisee, kuwa msimamizi wa ndoa ni jukumu zito sana kwangu. kwanza angalau uwe imara na maswala ya kiimani, pia usiwe na makando kando yanayohusu mahusiano.Nime observe kwako ww ni good friend sana sana so i sugest to be friend more up the day of my wedding uwe msimamoz wangu wa ndoa au hapo imekaaje
Sasa mkuu nimekuelwa maana ya wewe kufunga pm humu kuna wajinga wengi af vitoto vidogo sana ila vijinga sanaunaweza kuongeza network kiurahisi sana bila kuchat na mimi pm.
mbinu pekee ni kusikiliza ushauri wa "motivesheno supikazi" nje ya jf.
Bora kufunga pm kuondokana na ujinga wa watoto wa pumbavu ambao akili zaoaisee, kuwa msimamizi wa ndoa ni jukumu zito sana kwangu. kwanza angalau uwe imara na maswala ya kiimani, pia usiwe na makando kando yanayohusu mahusiano.
mimi sio muhudhuriaji wa nyumba za ibada, nina imani haba zinazohusu masuala ya dini,lakini pia sina uzoevu wa kutosha na masuala ya mahusiano.
shukrani sana [emoji1431][emoji1431][emoji1431].Sasa mkuu nimekuelwa maana ya wewe kufunga pm humu kuna wajinga wengi af vitoto vidogo sana ila vijinga sana
Bora kufunga pm kuondokana na ujinga wa watoto wa pumbavu ambao akili zao
Huwaza kutupia paja la uso na sio ubongo sure nakubaliana na wewe
Pia mjinga si lazima awe ajasoma ata walio soma wapo wajinga vile vile i got big up mkuu
Pole [emoji2][emoji2]Duh..
Kuna wakati niliwahi kufanya hivyo ikakubali.
Naona sasa wameimarisha ulinzi[emoji2960]
Msifunge pm
Hatufungi siku hizi ila hatujibu. Ukituma tunaangalia maturity yako kupitia post zako tunasoma tunapoteaMsifunge pm
Uko na shida upstairsSpecial for Marcy
That night we met, I'll never forget that night
That night we kissed, how could I forget
You helped me make it, helped me make it through that night
You bring me happiness, you make me cry
Since that night I just wanted you
That night we met, I had no regrets
You changed my life overnight
You took my troubles and turned them to happiness
You give me everything, a woman can dream about
Since that night I just wanted
angojea pm ifungeke usi uhuuA
Uko na shida upstairs
Wengine tuko mature, ila kwenye post kwa ajili ya entertainment tu; unaweza kuhitimisha kwa kuangalia post, kumbe ukapishana na dhahabuHatufungi siku hizi ila hatujibu. Ukituma tunaangalia maturity yako kupitia post zako tunasoma tunapotea
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Shauri yake amechelewa wajanja tushajiwahi kujitengenezea CV 😁😁Shimba ya Buyenze aliwahi Kuni assist🤣
angenipa sababu za msingi ningemfungulia ila naona anaruka ruka tu kama maharagwe jikonPamoja na mashairi yote, hutaki kufungua 😀😀😀
Pamoja na mashairi yote, hutaki kufungua 😀😀😀