Kufunga 'PM' ni ishara ya kuwa mchoyo na mbinafsi

Ngoja tu wafunge, wanatusaidia sana, wangefunga wote huenda tungeokoka kwa mengi 😁😁

PM kuwa wazi ni temptation kwa Me walio wengi, ila ukijaribu na kuona PM ina kufuli ni "kuvuja kwa pakacha..."!
 
CC Bantu Lady
 
Pengine ni Bora hao kuliko sisi wenye sura personal na hela imetupiga teke.Ukimsalimia mtoto mzuri ghafla anashikilia pochi na simu yake vizuri akihisi huyu atakuwa kibaka
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Umenichekesha Aisee!Ila kweli halafu uwe umetoka kupiga zako kibarua juani umejichokea macho mekundu maskini ya Mungu tunajua Ni mvuta bangi na mkora mzoefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…