Kufunga PM ni uoga na kutokujiamini.

Kufunga PM ni uoga na kutokujiamini.

Mchochezi ni anayefunga PM muda wote, ulitangaza kuhitaji mume huku PM ikiwa imefungwa mabaharia walilalamika ukakomaa wengine walilalamika kimya kimya. Fungua pm
Hivi ninyi mnachukuliaga serious zile threads zote zinazoanzishwa za wanawake kutafuta waume?? Basi ndiyo maana mnajidanganya kwamba wanawake wote wana shida sana na ndoa kazi ipo!!
 
Hivi ninyi mnachukuliaga serious zile threads zote zinazoanzishwa za wanawake kutafuta waume?? Basi ndiyo maana mnajidanganya kwamba wanawake wote wana shida sana na ndoa kazi ipo!!
anayeanzisha anashida uliyekaa kimya hunashida ila wakati ukifika utaongea tu hata kimoyomoyo
 
Habarini wana JF.

Poleni na majukumu makubwa ya kujenga taifa, nina suala nataka niwasilishe kwenu japo ni suala la mtu binafsi.

Neno langu siyo sheria hivyo sina maana kwamba nataka watu wabadili faragha zao lah! Nataka kuwasilisha kulingana na maono yangu.

Baadhi yetu tumepiga kufuli kwenye akaunti zetu humu ndani kila mmoja akiwa na sababu zake za msingi na anazojua yeye mwenyewe kwanini afanye hivyo. Ila nikiwa nimetulia nimewaza na kuona huu ni uoga na kutokujiamini kwa mtu. PM unaweza kupokea taarifa kutoka kwa mtu na siyo lazima ujibu ila anaweza kusoma alichoandikiwa.

Sasa baada ya kutafakari kwa kina nimeona sina haja ya kufanya hivyo kwani nina option mbili (kujibu au kutokujibu).

Neno langu siyo sheria.
mm wachaniendelee kufunga mageti ,madirisha n.k... PM hii tokea nimejiunga jf hakuna aluye wahi kunifuata zaidi ya mm kuwaPM ma modes juu ya shida zangu

Shunie
 
Kuhonga ni sawa na kutoa tu kama kumsaidia mtu au kumpa kwa ajili ya mahitaji yake
 
Back
Top Bottom