Chisamba
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 1,521
- 787
Ngoja ukutane nayo..tutajua utaamuaje kwa upande wakoHa haaa inashangaza, na tumeambiwa nendeni mkaijaze duni
Mjadala hauwezi kuwa wa kijamii maana imeongelewa kufunga ndoa kanisani. Pia tukija kwenye jamii kila mtu ana dini yake lazima ataongea kulingana na dini yake