Kufungiwa kwa kanisa la “Kiboko ya Wachawi” pongezi kwa Serikali

Kufungiwa kwa kanisa la “Kiboko ya Wachawi” pongezi kwa Serikali

Ufahamu wako mdogo sana ustaadhi, kwahiyo kwa akili yako unadhani waumini hawajui kuwa yale mafuta yanapatikana madukani!? Na kwa taarifa yako wengine huenda na mafuta yao ila kinachowapeleka ni maombi yaliyofanyika kwenye hayo mafuta (nguvu) na si mafuta kama mafuta. Hata maji pia huwa anawapa na ni maji haya haya unayoyafahamu wewe lkn kinachotofautiana ni nguvu iliyopo kwenye hayo maji. Nenda siku moja utakutana na mashekhati kibao wamefata maji.

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Eeebwana Wewe ndio nilikua nakutafuta na nimekupata, haya kwa hio hio nguvu kwenye Mafuta na Maji anaitia kutoka Wapi? Maana Watoto mafala mafala hamuishi kudanganywa Kiboko ya Wachawi kawaongopea Weeee Serikali ilipoona hawapi mapato wakamtia lock Mwoposa hakuna cha nguvu hakuna cha nini Mzee wangu anacheza na uwepo wa Serikali tu ushanielewa Serikali ndio inampatia airtime afanye suu aikorofishe Serikali ndio mtakapojua ana nguvu anazozutia kwenye Mafuta au Hana
 
Mara ya Mwisho uliponunua Maji na Mafuta kwa Mwoposa ulipewa risiti halali ya malipo ya Serikali au haukupewa?
Ustaadhi unaumia nini wakristo kutoa pesa kwenye madhabau wanazoamini!? Unadhani ni wajinga kiasi hicho kwamba wanatoa pesa sehemu wasiyopata matokeo!? Nyie zile dua mnazopiga mkiwa utupu (na kanzu tupu bila boxer) usiku wa manani kama si ushirikina ni nini? Kama uchawi na utapeli basi huko kwenu ndo umetaradadi.

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Ustaadhi unaumia nini wakristo kutoa pesa kwenye madhabau wanazoamini!? Unadhani ni wajinga kiasi hicho kwamba wanatoa pesa sehemu wasiyopata matokeo!? Nyie zile dua mnazopiga mkiwa utupu (na kanzu tupu bila boxer) usiku wa manani kama si ushirikina ni nini? Kama uchawi na utapeli basi huko kwenu ndo umetaradadi.

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Nimeshakwambia Mwoposa kwanza ana Kadi ya Chama cha Mapinduzi ni Mwanachama Hai wa CCM ushaelewa au haujui? Pili Mwoposa analipa Kodi TRA Mamlaka ya Mapato Tanzania ushaelewa? Tatu Ile ni Biashara sio Ibada ushaelewa vizuri Wewe kibungo?
 
= ukidhalilishwa.


Ukristo siyo dini, ni upigaji tu. Rudi ujisalimishe kwa muumba wako, kuwa Muislam.
Uislam huo wa maustaadhi wanaofira watoto madrasa!? Au wa kuuficha uchawi kwenye kivuli cha dua!? Masheikh woote ni waganga wa kienyeji mpaka hapo ushajua yupi sahihi na yupi si sahihi, anyaways hivi mtume Mudi si ndo alioa kitoto cha miaka 9? Na quran si ndo alishushiwa mapangoni na hayo mnayoyaita majini ambayo kwenu ni ndugu zenu katika imaani!?

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Uislam huo wa maustaadhi wanaofira watoto madrasa!? Au wa kuuficha uchawi kwenye kivuli cha dua!? Masheikh woote ni waganga wa kienyeji mpaka hapo ushajua yupi sahihi na yupi si sahihi, anyaways hivi mtume Mudi si ndo alioa kitoto cha miaka 9? Na quran si ndo alishushiwa mapangoni na hayo mnayoyaita majini ambayo kwenu ni ndugu zenu katika imaani!?

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Hujamalizana na MIMI Wewe njoo nikuongezee Spana zingine Mbwa Wewe
 
Eeebwana Wewe ndio nilikua nakutafuta na nimekupata, haya kwa hio hio nguvu kwenye Mafuta na Maji anaitia kutoka Wapi? Maana Watoto mafala mafala hamuishi kudanganywa Kiboko ya Wachawi kawaongopea Weeee Serikali ilipoona hawapi mapato wakamtia lock Mwoposa hakuna cha nguvu hakuna cha nini Mzee wangu anacheza na uwepo wa Serikali tu ushanielewa Serikali ndio inampatia airtime afanye suu aikorofishe Serikali ndio mtakapojua ana nguvu anazozutia kwenye Mafuta au Hana
Umenena kweli kabisa, watanzania tunazidi ujinga na upumbavu. Anachokifanya Mwamposa ni utapeli na unyang'anyi usiokuwa wa kutumia nguvu. Serikali imeamua kuungana naye kuwatapeli wananchi. Matatizo mengi yanayopelekwa pale yangepata utatuzi kama serikali ingeliwekeza vya kutosha kwenye huduma za kijamii.
 
Hapana mwamposa hajafanya jambo lolote baya. Injili yake ni nzuri inaeleweka.
Hakuna Injili kwa Mwamposa,kinachokusumbua wewe ni upofu wa kiroho.Someni Biblia na mtamanini Roho Mtakatifu muweze kuiona kweli.Bila Roho Mtakatifu mtadanganywa sana.Mwamposa ni mganga wa kienyeji kama wengine tu.Eti keki ya upako,huu ni udhalishaji wa ufahamu wa watu wa dhahiri,keki haiwezi kuwa na upako asilani.
 
It was just a matter of time. Kiboko ya wachawi amefanya sana usanii kwa muda mrefu. Kuna mtu wangu wa karibu aliniambia jinsi huyu jamaa anavyonunua watoa ushuhuda feki kwa lengo la kuvutia biashara yake. Mpuuzi sana huyu jamaa aisee!! Sina hamu naye.
even mwamposa ni same thing
 
Kwa hiyo hao Mashehe wanaotabiri nyota na kufanya uganga wa kienyeji kwa kutumia quran nao wanaufanya Uislam usiwe dini?
Acha ujinga na upumbavu dini haina shida shida ni watu kutumia dini kwa masrahi yao!
Ukristo ni ufuasi wa Yesu kwa hiyo sisi kuitwa dini au blahblah kama hizo tunawqachini nyjnyi wafuasi wa Mod na Allah!
Qur'an haina ujinga huo, aliyekwambia anatumia Qur'an kufanya "uganga wa kienyeji" kakutapeli huyo.

Isome Qur'an kijana, usidanganywe kijinga.
 
Uislam huo wa maustaadhi wanaofira watoto madrasa!? Au wa kuuficha uchawi kwenye kivuli cha dua!? Masheikh woote ni waganga wa kienyeji mpaka hapo ushajua yupi sahihi na yupi si sahihi, anyaways hivi mtume Mudi si ndo alioa kitoto cha miaka 9? Na quran si ndo alishushiwa mapangoni na hayo mnayoyaita majini ambayo kwenu ni ndugu zenu katika imaani!?

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Ukiona hivyo huyo siyo Muislam, ni shetani mkubwa anayejificha kwenye joho la Uislam.

Matapeli hao wamekudanganya kuwa ni waganga wa kienyeji, wanatumia advantage ya ujinga wenu.

Wajinga ndiyo waliwao.
 
Upo sahihi kusema kuwa kuwa ukristo siyo dini.

Dini ni njia ya mwanadamu kumtafuta Mungu. Dini zipo nyingi kama uislamu,ushinto,uhindu,ubudha nk.

Ukristo ni maisha halisi na njia ya mwanadamu ya kuishi sawasawa na kristo Yesu alivyoishi..Yaani upendo,huruma na kuubeba msalaba hadi Golgotha (hatma). Kuwa M'KRISTO' ni kazi kuliko kuabudu katika dini bi Faiza.

Kabla Yesu hajaondoka duniani,siku Moja aliongea na wanafunzi wake akayatabiri haya yote tunayoyajadili hapa. Kasome kitabu cha Mathayo sura yote ya 24..."katika siku ya hukumu ,wengine (kina kiboko ya wachawi)watasema,bwana tulitoa mapepo na kufanya miujiza jina lako,lakini Mimi nitawaambia sikuwahi kuwatambua"

Tumsifu Yesu kristo.
Uislam ndiyo dini pekee kwa Mwenyezi mungu.


Wewe hata jina 'wakristo" huelewi limetokea wapi.
 
Back
Top Bottom