Kufungulia Nchi? Kurudi Kujivunia Umaskini?

Kaja mfalme wa Morocco, tumeomba.

Kaja rais wa Uturuki, tukaomba
Ilipokuja Korona, tukaomba tusamehewe madeni.

Huko kujitegemea kwetu wakati wa Magufuli ni kupi?

Yaani mtu aue Direct Foreign Investments, halafu mseme eti tunajitegemea?
 
Upumbavu unakutesa Sana wewe!!

Jiangalie ulivyo, na usome tena ulichoandika kama kinaendana na ulivyo!!

Mbona unakuwa mpumbavu
 
Sijui kwanini Wasukuma wana mambo ya kishamba kiasi hiki,
Acha upumbavu we Fala!

Kwani kila anayeandika kinyume na matakwa Yako ni msukuma??

Na hata akiwa msukuma Kwa nini umshambulie badara ya kucheza na hoja yake??

Pumbavu zako we kima...!
 
Acha upumbavu we Fala!

Kwani kila anayeandika kinyume na matakwa Yako ni msukuma??

Ma hata akiwa msukuma Kwa nini kunishambulia badara ya hoja yake??

Pumbavu zako we kima...!
Nikishasema nimesema, huo ufala na ukima utabaki nao wewe! Usiniletee njaa zako na ujinga wako, hata hivyo hustahili kujibiwa na Mimi. Una bahati sana
 
1. Huogopi kuitwa MATAGA?

2. Wewe ni Sukuma Gang!

3. Utaambiwa unamchukia Mama 🤣.

4. Usisahau kuwa huyu Mama hakosolewi! Ukithubutu tu, utaambiwa unamtaka Magufuli ila bahati mbaya harudi tena!
Wasukuma tufunge makopo yetu, tumwache mama achape kazi!
 
1. Huogopi kuitwa MATAGA?

2. Wewe ni Sukuma Gang!

3. Utaambiwa unamchukia Mama 🤣.

4. Usisahau kuwa huyu Mama hakosolewi! Ukithubutu tu, utaambiwa unamtaka Magufuli ila bahati mbaya harudi tena!
Yeye ni msukuma gang
Ni MATAGA
Pro Max chawa wa Jiwe
Chato inc.

Yatima anayelia lia!
 
Hivi una habari wakati yeye kajenga reli ambayo ukiunganishwa vipande vyake haiwezi kuvuka hata Dodoma, wenzake hadi wanatoka madarakani waliacha reli kutoka Tanzania hadi Zambia?
Yaani haujatofautisha tu kile unataka tuamini?

Umetumia msamiati mzito mno kwenye ubongo wako hata usiuelewe licha ya wewe mwenyewe kuuandika?

Kwamba, wenzake Hadi wanatoka madarakani walijenga leri Hadi Zambia, lakini ukashindwa pia kutofautisha ni reli aina gani hiyo iliyojengwa kipindi hiko na Aina ya reli ambayo Hayati alikuwa ameianzisha

Lakini pia, ukashindwa tena kutofautisha Kati ya miaka 20 ya utawala wa kiongozi mmoja na utawala wa miaka 5 wa kiongozi mwingine!

Nachoweza kusema, ingawa siwexi kukulazimisha chochote, Ila ninaamini kuna mahali nafsi Yako inakusuta, tena inakusuta zaidi unapochanganya na matusi makalii yenye chuki za kipumbavu
 
ushazeeka, kaote jua ulale
 
Hata tukifanya research, Afrika Mashariki tu expatriates wako wengi Tanzania....na hapo kumbuka walikuwa wamepunguzwa mno...Nchi kama Botswana kwanza wameweka mfumo ambapo Expat hawezi kulipwa mshahara zaidi ya mzawa kwenye same level. Sasa SSH alivyowatembelea majirani kiroho safi balozi wetu Simbachawene alipaswa kuwaalika watz ambao ni Expatriates Kenya (waajiriwa) - Hapo ndo ukweli ungejulikana.
 

Kumekucha
Kumekucha
Kumekucha
Kipindi cha Dikteta ulipiga kimyaaa, hata kukemea mauaji uligoma, unyanyasaji wa member na wamiliki wa JF kimyaa pia.

Tunajua kwa kuwa sasa Raisi ni wa #DiniYetu utachonga sana, utafitini Sana.
Na sio wewe tunajua na soon Pengo na Kanisa Katoliki watajitokeza kumyumbisha Mama.
Hakika tutawazomea na kuwakumbusha watu kama nyinyi jinsi mlivyoishi kipindi cha Dikteta Uchwara.
 
Awezi kukuelewa yeye anaishi ughaibuni kwa msaada wa kanisa inasemekana.
 
pumba tupu
 
Anataka Samia aanze kula mahindi barabarani na kulala kwenye mawe
 
Kuna suala zima la mgeni kuwa na know how fulani ambayo mzalendo anakuwa hana.

Rais aliongelea wa aina hiyo kwamba kama alishakuwa na permit miaka ya nyuma basi hakuna haja ya kuwepo urasimu wa kumuongezea muda ili aendelee na hiyo kazi.

Kuna aina nyingi tu za utaalam ambazo hatuna wataalam wake watanzania.
 
Kufoka sio sifa mojawapo ya kiongoz bora, Bas Suleiman kweny Bible angemuomba MUNGU ampe sifa ya kufoka ili aweze tawala watu!
 
hatuna wahasibu?
 
Umeandika uongo mtupu. Tuonyeshe evidence ya hiki ulichokisema. Wataalam wa kichina ni zao la mambo matatu mkuu.
1. Kundi la wasomi lililokimbia nchi kutokana na kutokubaliana na sera mbovu za uchumi na kuwa Diaspora ambapo walirudi kwao baada ya kile kilichoitwa "it does matter whether a cat is black or white as long can catch a mice".
2. Sera za elimu nzuri walizokopi kutoka Ulaya na Marekani
3. Jitihada mahsusi za serikali kupeleka wachina nje kujifunza fani mbalimbali.
Haya mambo yote jiwe hakuyataka. Msiongee vitu msivyo na ujuzi navyo jiwe alikuwa anaitia hii nchi shimoni. Lazima ingeanzia 1986 tulipopata msaada wa "recovery program " kutoka taasisi/jumuiya za kimataifa baada ya kuwa desperate kutokana na kushindwa kwa sera za Mwalimu.
 
akina nani ambao hatuna? Yaani wanapatikana Kenya tu. CEO wa vodacom Tanzania lazima awe mkenya?
Wataalam wa mashine za migodini za michakato ya upatikanaji wa madini hatuna.

CEO wa Vodacom kutoka Kenya sio kosa mbona maprofesa wa kitanzania wanafanya kazi Botswana?.

Tuachane na hizi akili za kichoyo. Watanzania wengi tu wanafanya kazi za maana US na ulaya, kwa hiyo na wao wafukuzwe huko ili waje nyumbani?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…