Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nchi haiaminiki mkuuDah we jamaa noma sanaa
Na huyu ndio mchawi, kuwea siasa kila mahali.Walifikiri ni kama uchaguzi wa udiwani ili wawatumie polisi na NECT kuhujumu mchezo. CCM huwa ina mambo ya ajabu sana katika kuhujumu Taifa stars
Mkuu, ndio aliivyofundishwa na kocha.Pamoja na Timu ya taifa kutokufanya vyema Manula cku hizi anajisahau anapokuwa langoni hupaswi kufanya makosa ya kizembe kiasi hicho jitazame upya na utambue nafasi yako Kama TZ one binafsi ninakulaumu kwa makosa uliyoyafanya ya upanguaji mpira kizembe