We acha tu mkuu uchawi umeanza mapemaWachawi bhana sijui kwanini hawapendi maendeleo
Ajabu sana watu wanaombwa link wamekauka utadhani wamekula gundiMwenye link inaonesha online atupie basi
Hakuna hawa leo wanakaa nakwambiaMimi sio mchawi ila ni ndo ukweli wenyewe.
Refa ni mmalawi na mna ugomvi nao na kale kaziwa kwa hiyo wapo 12 uwanjani