Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania hakuna mwenye uzalendo na hii nchiAna mapenzi na Genk akija kwenye taifa stars anacheza upuuzi tu
Mliniita mchawi unakumbuka😝😝Niliyotabiri yameenda kama ilivyo
Mwalimu sijui anaogopa lawama!?maana star wetu amejua kuniondoa kwenye moodHii mechi siwezi kumlaumu refa,ilikuwa mikononi mwetu kabisa ila wengine miungu watu hawafanyiwi sub hata kama wanazingua
Usitukani ndio maendeleo ya awamu ya tano hayoMamayo
Nimejikuta nakuamini! Ile penati inaweza kuthibitisha ulichoandikaMimi sio mchawi ila ni ndo ukweli wenyewe.
Refa ni mmalawi na mna ugomvi nao na kale kaziwa kwa hiyo wapo 12 uwanjani
Aaah timu ya taifa siyo ya mtu mmojaMwalimu sijui anaogopa lawama!?maana star wetu amejua kuniondoa kwenye mood
Acha upumbavu nani kakuambia hapa ribya hakuna serkalYaani tunafungwa na team hata serikali hawana. Ama kweli amani siyo kila kitu.
Mbowe ndio tatizo,Yote haya yanasababishwa na maccm
Usije kuisusi utaambiwa wapinga maendeleoTz naisusa kuanzia Leo...[emoji2957][emoji2957][emoji124][emoji124]
Bashite ndio mzalendoTanzania hakuna mwenye uzalendo na hii nchi
Mrudishieni bongozozo nauli yakeWadau.
Vijana Wetu Wazalendo Taifa Stars wamepambana Kiume na kishujaa.
Hata hivyo kwa bahati Mbaya Wamepoteza Mchezo kwa kufungwa goli 2-1.
Tuzidi kuwaombea.