Kuhani Musa: Aliyemuweka Rais Samia kwenye kiti cha urais ni Mungu, kama mnaona kuna mambo ambayo anapaswa kuyafanya ili kuwafurahisha muombeni Mungu

Kwanza avue hayo Mavazi ya Mapadri wa kikatoliki

Daudi alipoyavaa hayo mavazi alikua Mkatoliki??

Msituchonganishe wakatoliki, sisi ni kanisa mama wote hao ni uzao wetu
 
Huyu niliona interview yake clouds TV akisema eti alikuwa anafanya kazi Bank huko Arusha wakati aliacha shule std 4
Sawa aliacha std 4 je! uliendelea kumfuatilia kujua historia yake baada ya hpo je km alihamia mkoa mwingne na kuendelea na masomo
 
Huyu niliona interview yake clouds TV akisema eti alikuwa anafanya kazi Bank huko Arusha wakati aliacha shule std 4

Kwa maneno yako haya unaweza kuwa na makaratasi vyeti ya elimu lakini akili huna.

Watu kama wewe ndio mnasabubishaga vyeti na elimu zetu zionekane kama wewe unavyoonekana

Mfyuuuu
 
Asante sana mama D kwa uzi huu, wewe ni baraka, Kuhani Musa ni mtumishi wa Mungu wa kweli!. Mimii pia ni mwana Ngomeni!, bila kuhama kwenye dhehebu langu la asili, from time to time huwa najumuika pale Ngome ya Yesu, Kimara Temboni.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…