ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,753
- 9,575
sorry kama nimeingilia uzi usionihusu mkuu kuwa na amaniNilikuwa namjibu mama D! Sasa unataka uniambie una wasiwasi anaweza akawa siyo mwanamke? 🤔
By the way, nilicho kisema kina ukweli. Wanawake mna mioyo myepesi ya kuamini vitu kwa haraka, kuliko sisi wanaume. Na ndiyo maana mnajazana sehemu yoyote ile mtakaposikia tu kuna hao Makuhani, Manabii, Mitume, nk. Yaani kiufupi ni wepesi wa kuamini na kudanganywa.
Na kinachofuatia baada ya hapo, ni KUPIGWA tu.
Mpaka sasa ni bla bla ndo zimejaa.. Hawa watu wanashuhudia kwenye TV ambazo kila mtu anaweza kuona na wanajulikana maana wanakaa nasi huku mitaani, na hakuna mtu aliyewahi kujitokeza na kusema kuwa kuna USHUHUDA wa uongo... Kuna machizi wa miaka tele wamepona, kuna wenye magonjwa sugu kama kansa wamepona achana na hao waliofufuliwa kutoka kuwa misukule...Acha blahblah waliokufa na wakashuhudia kufufuka ni watanzania wapo, walikotaja walifia kupo, walikozikwa kupo, waliohusika kuwazika wapi, wengine ni wanafunzi na shule walizosoma zipo, Kuhani Musa yupo
Sasa wewe njoo uthibitishe kwamba huyo anayefufua wafu kupitia Kuhani Musa ni shetani kama unavyosema
Maana mimi najua
Yohana 14: 12
Amin, amin, nawaambieni, Yeye aniaminiye mimi, kazi nizifanyazo mimi, yeye naye atazifanya; naam, na kubwa kuliko hizo atafanya, kwa kuwa mimi naenda kwa Baba. Nanyi mkiomba lo lote kwa jina langu, hilo nitalifanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana. Mkiniomba neno lo lote kwa jina langu, nitalifanya.
....``Lakini yakupaswa ufahamu jambo hili, kwamba siku za mwisho kutakuwa na nyakati za hatari, wamo watakaojiingiza mateka:wakiwamo wanawake wajinga waliolemewa na dhambi zao na kuyumbisiwa na aina zote za tamaa''Acha blahblah waliokufa na wakashuhudia kufufuka ni watanzania wapo, walikotaja walifia kupo, walikozikwa kupo, waliohusika kuwazika wapi, wengine ni wanafunzi na shule walizosoma zipo, Kuhani Musa yupo
Sasa wewe njoo uthibitishe kwamba huyo anayefufua wafu kupitia Kuhani Musa ni shetani kama unavyosema
Maana mimi najua na kubwa kuliko hizo atafanya, kwa kuwa mimi naenda kwa Baba. Nanyi mkiomba lo lote kwa jina langu, hilo nitalifanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana. Mkiniomba neno lo lote kwa jina langu, nitalifanya.
Uthibitisho utakosekana vipi wakati tunajua MAREHEMU lazima afanyiwe MAZISHI na KABURI liwepo, na watu wahudhurie?.. Kwani walijizika wenyewe?..UONGO MTUPU, HAKUNA NA HAIWEZI KUTHIBITISHWA NA YEYOTE HATA KUNA MTU ALIKUFA AKAFUFULIWA NA HUYO KUHANI UCHWARA WENU.
Maigizo ya kitoto tu, kuhani wenu amewapata watu wenye akili ndogo amewageuza mavuvuzela wake huku akiwalia na vijisenti vyenu vya kuganga njaa
Mpaka sasa ni bla bla ndo zimejaa.. Hawa watu wanashuhudia kwenye TV ambazo kila mtu anaweza kuona na wanajulikana maana wanakaa nasi huku mitaani, na hakuna mtu aliyewahi kujitokeza na kusema kuwa kuna USHUHUDA wa uongo... Kuna machizi wa miaka tele wamepona, kuna wenye magonjwa sugu kama kansa wamepona achana na hao waliofufuliwa kutoka kuwa misukule...
Ile ishu ya PASTOR LUKAU na UFUFUO FEKI iligundulika maana ndugu na majirani waliongea. Kama hapa juzi ishu ya SPIKA NDUGAI kuna yule anayejiita NABII BILIONEA SHILLAH alitaka kudanganya watu kuwa alishawahi kupost kwenye ISTAGRAM kuhusu kumtahadharisha kuhusu UBAYA unaoweza kumkuta karibuni, lakini watu walifukua akaunti yake ikaonekana ni uongo ali-edit post yake halafu alisahau ku-delete ile ya zamani.
Sasa mwenye kutaka kutuambia kuwa hizi shuhuda ni za MWAMPOSA na KUHANI MUSA NI uongo uwe na kielelezo siyo kupayuka tu, maana zitasaidia wengine.
Siku zote wanawake mna mioyo myepesi sana! Ni wepesi wa kuamini! Ukiangalia wahudhuriaji wengi kwenye hiyo mikutano, lazima utakuta ni wanawake!
Hivyo endeleeni kupigwa. Maana hakuna namna.
Kama mwanadamu ni zaid ya ushemeji mbona Tundu Lissu alipopigwa risasi ulishangilia kama vile hakuwa binadamuMwanadamu ni zaidi ya ushemeji. Tueleze kidogo kuhusu kazi zake
Ww ni mmojawapo wa mambumbu tunaowazungumzia hapa,mweshikwa akili na huyo pan'gan'gaa basi hata mkiambiwa huko siko mnaibiwa hamtaki kukubali,endeleeni kuibiwaMpaka sasa ni bla bla ndo zimejaa.. Hawa watu wanashuhudia kwenye TV ambazo kila mtu anaweza kuona na wanajulikana maana wanakaa nasi huku mitaani, na hakuna mtu aliyewahi kujitokeza na kusema kuwa kuna USHUHUDA wa uongo... Kuna machizi wa miaka tele wamepona, kuna wenye magonjwa sugu kama kansa wamepona achana na hao waliofufuliwa kutoka kuwa misukule...
Ile ishu ya PASTOR LUKAU na UFUFUO FEKI iligundulika maana ndugu na majirani waliongea. Kama hapa juzi ishu ya SPIKA NDUGAI kuna yule anayejiita NABII BILIONEA SHILLAH alitaka kudanganya watu kuwa alishawahi kupost kwenye ISTAGRAM kuhusu kumtahadharisha kuhusu UBAYA unaoweza kumkuta karibuni, lakini watu walifukua akaunti yake ikaonekana ni uongo ali-edit post yake halafu alisahau ku-delete ile ya zamani.
Sasa mwenye kutaka kutuambia kuwa hizi shuhuda ni za MWAMPOSA na KUHANI MUSA NI uongo uwe na kielelezo siyo kupayuka tu, maana zitasaidia wengine.
Umeandika upupu tuu[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]Uthibitisho utakosekana vipi wakati tunajua MAREHEMU lazima afanyiwe MAZISHI na KABURI liwepo, na watu wahudhurie?.. Kwani walijizika wenyewe?..
Huko hospitali si kuna vielelezo pia vya hawa MAREHEMU kupokelewa?..
Shule walizokuwa wanasoma si kuna waalimu na wanafunzi pia ambao wana taarifa za KUUGUA na VIFO pia?..
Mnaodai kuwa huu ni UONGO mtudhihirishie huu UONGO basi, maana zama hizi kwa teknolojia iliyopo kugundua UPOTOSHAJI huo mnaoudai ni rahisi tu...
Naona siku hizi kuna TV nyingi za YouTube nazo zinaongelea haya mambo ila nashangaa wanajiita WAANDISHI WA HABARI wakati wanashindwa kuja na taarifa za KIUCHUNGUZI ili kuanika huo UONGO mnaoudai, nao wanabaki upiga blah blah tu...
wengine walimfuata yesu kwa ajili ya kula mikateKama watu wote wangejua hiki unachokisema Hawa manabii wangefunga huduma.
Tatizo watu siku hizi wanapenda miujiza na kutabiriwa Kama wayahudi wa wakati wa Yesu
Mpaka sasa ni bla bla ndo zimejaa.. Hawa watu wanashuhudia kwenye TV ambazo kila mtu anaweza kuona na wanajulikana maana wanakaa nasi huku mitaani, na hakuna mtu aliyewahi kujitokeza na kusema kuwa kuna USHUHUDA wa uongo... Kuna machizi wa miaka tele wamepona, kuna wenye magonjwa sugu kama kansa wamepona achana na hao waliofufuliwa kutoka kuwa misukule...
Ile ishu ya PASTOR LUKAU na UFUFUO FEKI iligundulika maana ndugu na majirani waliongea. Kama hapa juzi ishu ya SPIKA NDUGAI kuna yule anayejiita NABII BILIONEA SHILLAH alitaka kudanganya watu kuwa alishawahi kupost kwenye ISTAGRAM kuhusu kumtahadharisha kuhusu UBAYA unaoweza kumkuta karibuni, lakini watu walifukua akaunti yake ikaonekana ni uongo ali-edit post yake halafu alisahau ku-delete ile ya zamani.
Sasa mwenye kutaka kutuambia kuwa hizi shuhuda ni za MWAMPOSA na KUHANI MUSA NI uongo uwe na kielelezo siyo kupayuka tu, maana zitasaidia wengine.
Nchi ina wapuuzi wengi sana kuna limoja linawakanyagisha watu mafuta ya alizeti na linapiga hela kwa kwenda mbele yaani , nchi hii ukiwa msanii kidogo tu utaishi maisha mazuri sana , kimsingi dini ni biashara nzuri sana hasa ukijua kupiga perepete za kisanii
Yawezekana mimi naibiwa na kweli ni mbumbumbu, ila hilo linahitaji wewe uje na ushahidi wa kuonyesha UMBUMBUMBU wangu, na kama huwezi hilo basi naona wewe ndo THE BIGGEST MBUMBUMBU unayezungumza usichokijua....Ww ni mmojawapo wa mambumbu tunaowazungumzia hapa,mweshikwa akili na huyo pan'gan'gaa basi hata mkiambiwa huko siko mnaibiwa hamtaki kukubali,endeleeni kuibiwa
Heri yenu watu MAKINI msiyo na VIELELEZO vya UMAKINI wenu..Watu makini wana mambo mengi ya kufanya, hawana muda wa kujikita kufuatilia upupu na utapeli wenu.
Nachoshangaa badala ya kuja na USHAHIDI japo mmoja wa USHUHUDA FEKI wa KUHANI MUSA au MWAMPOSA tuone wao walivyo wajanja na sisi ni wajinga tunaibiwa, wanaishiwa kutuo mapovu tu. Wengine wanajiita watu WAKINI, wengine wanaishia kunitukana lakini hatoi ushahidi wowote...Ukitaka na wewe usiitwe mpuuzi mkuu njoo na proof ya usanii unaousema na hayo mafuta ya alizeti
Au na wewe piga perepete maana biashara umekuvutia hiyo