Acha blahblah waliokufa na wakashuhudia kufufuka ni watanzania wapo, walikotaja walifia kupo, walikozikwa kupo, waliohusika kuwazika wapi, wengine ni wanafunzi na shule walizosoma zipo, Kuhani Musa yupo
Sasa wewe njoo uthibitishe kwamba huyo anayefufua wafu kupitia Kuhani Musa ni shetani kama unavyosema
Maana mimi najua
Yohana 14: 12
Amin, amin, nawaambieni, Yeye aniaminiye mimi, kazi nizifanyazo mimi, yeye naye atazifanya; naam, na kubwa kuliko hizo atafanya, kwa kuwa mimi naenda kwa Baba. Nanyi mkiomba lo lote kwa jina langu, hilo nitalifanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana. Mkiniomba neno lo lote kwa jina langu, nitalifanya.