Kuhani Musa Richard Mwacha ni nani?

Kuhani Musa Richard Mwacha ni nani?

Sasa kama mume hajazi madikodiko stoo na kwenye friji si heri amechagua jambo jema!?

Raha ya mume awe mtafutaji, aweze kumuongoza mke wake kwa upendo na awe mkali kidogo ila asipige
😂😂😂haujaweka makazi kwa kuhani kweli.......
 
Kuna ambayo ni special kwa ajili ya kuona wachawi na wanga, unapaka machoni🤣🤣🤣

Huu nao ni aina ya uganga sasa
Tayapataje nataka nipake nimuone Kanumba nasikia yupo dar anaokena na anatuona Ili sisi hatumuoni.
 
Kwa waganga mbona mnatoa hadi mbuzi na kondoo?
Mbona mnapindua mada? Mungu alimchaji nani katika uhitaji wake? Mnajisingizia huduma eti. Huduma gani? Ya kanisa? Mbona ni mamilioni ma hatuoni mkitoa huduma z akijamii kama mashule, hospitali etc? Kumtajirisha nabii ananunua mahammer tu. Mara maghorofaaa etc.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Mimi na mama yangu tulikua na operation. Kuna mama mmoja alituomba sana sana sana tuende hapo wakati yuko mwenge. Yaan mpaka tukapata imani. Kufika watu ni wengi sijapata ona. Kanisa ni kubwa mnoo. Basi tukatulia. Inada ikaisha usiku ule. Tukaja ambiwa tukitaka tumuone kuhani kwa foleni ni elfu 50. Tukitaka express ni laki moja. Na kama nimechanganya digits basi ni 100k kwa 150 sikumbuki sana ila ni hizo digits. From then hatukuwahi jigusa. Why? Kwasababu kumbe tuliona tunalipia huduma ta kiroho. Sitaongea vibaya maana sijui ya kesho ila nilishaenda kanisa la apostle mutalemwa lile la makongo juu.. its abt money. Unasikia mpaka mwenye dollor 500 aje hapa apakwe mafuta na nabii. Na wanakimbilia wamama haswaa na wale viongozi hasahasa wa kanisani palepale. Yaan its all about money paale kwa mutalemwa. Wale wa 5k na 10k ni kama huwa hawana uzito aisee. Sijahadithiwa niliona. Kuna siku tuliambiwa tutoe hata nauli Mungu atatufikisha majumbani. Sitasahau. Nilivyokua mkosa akili usiku ule wa saa 6 nami nikatoa[emoji23][emoji23][emoji23] again kwa kuhani same thing... hapana. Mimi natulia na kanisano kwangu tu. Imani yangu itaniponya aisee. Dini nzuri ni ile kujali yatima na wajane na wahitajo wotee.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Matapeli hao
 
Watu wa Dar katika ubora wenu. Ngoja na mimi nitafute kibali nije nianzishe Ministry yangu. Maana kuna uwezekano hela zenu hazina matumizi mengi kama za huku Kijijini niliko.

Hivyo siyo mbaya nikija kula fungu lenu la 10 la mapato ghafi! [emoji39] Miujiza na mambo mengine yote, yatakuwepo.
Huyu mleta uzi nae ndio walewale tu jamaa wana network kubwa sana Cha msingi mimi kama mimi I believe in my ancestors na Mungu kutokana na Imani yangu ila hizi mambo za miujiza kutoka kwa hawa vijana kiukweli siwakubali na niseme tu wazi siwapedi wanatapeli mnooo hasa dada na mama zetu

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 

Huyu ndie aliyemchukua Kanumba na ajali ya moto Morogoro

 
Mimi na mama yangu tulikua na operation. Kuna mama mmoja alituomba sana sana sana tuende hapo wakati yuko mwenge. Yaan mpaka tukapata imani. Kufika watu ni wengi sijapata ona. Kanisa ni kubwa mnoo. Basi tukatulia. Inada ikaisha usiku ule. Tukaja ambiwa tukitaka tumuone kuhani kwa foleni ni elfu 50. Tukitaka express ni laki moja. Na kama nimechanganya digits basi ni 100k kwa 150 sikumbuki sana ila ni hizo digits. From then hatukuwahi jigusa. Why? Kwasababu kumbe tuliona tunalipia huduma ta kiroho. Sitaongea vibaya maana sijui ya kesho ila nilishaenda kanisa la apostle mutalemwa lile la makongo juu.. its abt money. Unasikia mpaka mwenye dollor 500 aje hapa apakwe mafuta na nabii. Na wanakimbilia wamama haswaa na wale viongozi hasahasa wa kanisani palepale. Yaan its all about money paale kwa mutalemwa. Wale wa 5k na 10k ni kama huwa hawana uzito aisee. Sijahadithiwa niliona. Kuna siku tuliambiwa tutoe hata nauli Mungu atatufikisha majumbani. Sitasahau. Nilivyokua mkosa akili usiku ule wa saa 6 nami nikatoa[emoji23][emoji23][emoji23] again kwa kuhani same thing... hapana. Mimi natulia na kanisano kwangu tu. Imani yangu itaniponya aisee. Dini nzuri ni ile kujali yatima na wajane na wahitajo wotee.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app




Mama, hiyo ni biashara kama biashara zingine. Nani alikuambia sisi ndo tulitaka enda mwona private? Hayo ni mambo ya waumini wake na hyakua matakwa yetu. Na issue hapa si pesa ila kwanini huduma ya kiroho aiuze? Mbona wewe hujahoji kwanini anauza huduma? Hakika wanawake ndo wahanga wakubwa sisi. Tunachotwaaa. Na akili tunashikiwa. Haya hongera mbeba maono. Msalimie kuhani....

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app


mama kubwa ukuje huku utuelezee kwa uzuri.

miss pablo ningekua na namba yake ningemsalimia nimueleze kile watumishi wake walikufanya wewe na mama.

Hilo la kumuona namsubiria mama kubwa atupe ka utaratibu alikotumia yeye hadi kupona
 
Huyu mleta uzi nae ndio walewale tu jamaa wana network kubwa sana Cha msingi mimi kama mimi I believe in my ancestors na Mungu kutokana na Imani yangu ila hizi mambo za miujiza kutoka kwa hawa vijana kiukweli siwakubali na niseme tu wazi siwapedi wanatapeli mnooo hasa dada na mama zetu

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app


Uzi una comments 276, pamoja na kuweka wale walioshuhudia kupona na kufufuka hakuna mwenye aliyetoa proof ya utapeli wa huyu Musa

Bado nasubiri lakini
 
mama kubwa ukuje huku utuelezee kwa uzuri.

miss pablo ningekua na namba yake ningemsalimia nimueleze kile watumishi wake walikufanya wewe na mama.

Hilo la kumuona namsubiria mama kubwa atupe ka utaratibu alikotumia yeye hadi kupona
Wow... thats the difference... umenijibu vizuri sana sana mpaka moyo wangu umepoa[emoji3059][emoji3059] barikiwa sana. Na nilishakuambia nakupenda msheku wangu muda kidogo... hoping pia huo ndo utaratibu uliopo pale.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Au una gawio huko?

Sina chochote huko sio gawio tuu sina nafasi wala share

Nasikitika pamoja na kuweka wale walioshuhudia kupona na kufufuka hakuna mwenye aliyetoa proof ya utapeli wa huyu Musa.
Badala yake wengi wamenigeukia mimi kama wewe unavyoniwazia na swali langu kwamba Kuhani Musa ni nani halijajibibiwa
 
Sina chochote huko sio gawio tuu sina nafasi wala share

Nasikitika pamoja na kuweka wale walioshuhudia kupona na kufufuka hakuna mwenye aliyetoa proof ya utapeli wa huyu Musa.
Badala yake wengi wamenigeukia mimi kama wewe unavyoniwazia na swali langu kwamba Kuhani Musa ni nani halijajibibiwa
Mamlaka inabidi kuthibitisha hayo yanayotokea, lasivyo watu watapoteza uelekeo
 
Wow... thats the difference... umenijibu vizuri sana sana mpaka moyo wangu umepoa[emoji3059][emoji3059] barikiwa sana. Na nilishakuambia nakupenda msheku wangu muda kidogo... hoping pia huo ndo utaratibu uliopo pale.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app

Nimeuliza mtu mwingine ananiambia Musa anasisitiza watu wahudhurie ibada na maombi, wajifunze neno waishi kwa utakatifu Mungu atawakaribia. Hilo la kumwona mmoja mmoja yeye ndio huwa anakuambia, na akikuita hahitaji chochote. Sijathibitsha ila ameniambia nikitaka kuthibitisha nifuatilie ibada zake Youtube

Pole kwa kukutana na wasaidizi waliokuchosha nafsi
 
Mamlaka inabidi kuthibitisha hayo yanayotokea, lasivyo watu watapoteza uelekeo

Sasa umezungumza neno
Na hapo sio kwamba mamlaka iingilie uhuru wa kuabudu, hapana!
Mamlaka ituambie wale tuliothibitishiwa wamekufa kitabibu, tukapata vibali vya kuwazika kiserikali na kiibada wamerudi aje? Kusema ni utapeli bila proof ilhali yeye kathibitisha wamerudi sisi ndio tunaonekana waongowaongo na matapelu
 
Nimeuliza mtu mwingine ananiambia Musa anasisitiza watu wahudhurie ibada na maombi, wajifunze neno waishi kwa utakatifu Mungu atawakaribia. Hilo la kumwona mmoja mmoja yeye ndio huwa anakuambia, na akikuita hahitaji chochote. Sijathibitsha ila ameniambia nikitaka kuthibitisha nifuatilie ibada zake Youtube

Pole kwa kukutana na wasaidizi waliokuchosha nafsi
Asanteee mamy. Barikiwa sana. Notasimama kiimani vyema[emoji120]

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Kuhani Musa Richard Mwacha ni nani?

Kutana Tausi wa Bongomovie na mwanae kwa Kuhani Musa.

Wana Dar es salaam wajulieni hali kina Faiza, Bibi Nyaulingo, Mama Zuu na Mama Jack

cover_274566236_140720945091768_7871629115095777203_n.jpg





Majirani msisahau kumkumbusha faiza akabidhishe ile pete na mikufu kwa usalama wake

Viongozi wa ulinzi na usalama wa serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania mmesikia kina faiza wana mpango gani na rais wetu? Kama Rais hayuko salama na nyie hamko salama. Hili swala la nguvu za giza mliangalie kwa sura nyingine sasa😎😎
 
Watoto wanne(4) wa familia moja waliokufa mwaka jana kwa miezi tofautitofauti kuanzia mwezi September hadi December wafufuka.

Habari ya YUSUFU IBRAHIM MUSA kwa ufupi
Bwana YUSUFU IBRAHIM MUSA ambae ni mwenyeji wa Kigoma anaeleza kwamba miaka mitatu iliyopita alikua mzima wa afya yeye, mke wake na watoto wake wote wa4.
Lakini kipindi hichohicho mke wake alifariki ghafla, na alikua na rafiki yake aliyetoka musoma na mkewe kwenda kigoma kumzika mke wa YUSUFU IBRAHIM MUSA. Wakiwa bado pale msibani, mke wa huyo rafiki yake alikufa palepale kwa ghafla. Ndipo YUSUFU akatakiwa kusafirisha msiba hadi musoma na kuzika. Baada ya mazishi wakiwa kwenye gari binafsi kurudi kigoma ndipo alipata ajali na kulazwa Bugando hospitali kwa miezi 20.

Anasema baada ya miezi 20 kuwa hospitali alipata nafuu sehemu zingine lakini mguu uliendelea kumpa shida na madaktari wakamshauri waukate maana hapakua na uwezekano wa kutibika. Akiwa anasubiri tarehe ya kukatwa mguu alipita mtu alimuuliza kama anaamini kwenye matumizi ya vifaa vitakatifu(maji na mafuta). YUSUFU alikubali na alipotumia tuu mguu ulipona na akaruhusiwa kutoka hospitali.


KUHANI MUSA RICHARD MWACHA NI NANI??
 
Watoto wanne(4) wa familia moja waliokufa mwaka jana kwa miezi tofautitofauti kuanzia mwezi September hadi December wafufuka.

Habari ya YUSUFU IBRAHIM MUSA kwa ufupi
Bwana YUSUFU IBRAHIM MUSA ambae ni mwenyeji wa Kigoma anaeleza kwamba miaka mitatu iliyopita alikua mzima wa afya yeye, mke wake na watoto wake wote wa4.
Lakini kipindi hichohicho mke wake alifariki ghafla, na alikua na rafiki yake aliyetoka musoma na mkewe kwenda kigoma kumzika mke wa YUSUFU IBRAHIM MUSA. Wakiwa bado pale msibani, mke wa huyo rafiki yake alikufa palepale kwa ghafla. Ndipo YUSUFU akatakiwa kusafirisha msiba hadi musoma na kuzika. Baada ya mazishi wakiwa kwenye gari binafsi kurudi kigoma ndipo alipata ajali na kulazwa Bugando hospitali kwa miezi 20.

Anasema baada ya miezi 20 kuwa hospitali alipata nafuu sehemu zingine lakini mguu uliendelea kumpa shida na madaktari wakamshauri waukate maana hapakua na uwezekano wa kutibika. Akiwa anasubiri tarehe ya kukatwa mguu alipita mtu alimuuliza kama anaamini kwenye matumizi ya vifaa vitakatifu(maji na mafuta). YUSUFU alikubali na alipotumia tuu mguu ulipona na akaruhusiwa kutoka hospitali.

Baada ya kupona bwana YUSUFU IBRAHIM MUSA anasema alitoka hospitali akaenda nyumbani kigoma kisha akaanza safari ya kwenda Dar es salaam ili afike kwenye kanisa lililompatia uponyaji.
Lakini bahati mbaya alipofika Dar es salaam tuu kabla ya kufika kanisani mwezi wa tisa 2021, mtoto wake wa kwanza alifariki kwa kuvamiwa na wezi na kuchomwa visu. Alienda kuzika na baadae watotonwake wengine wa3 walikufa kati ya mwezi october hadi december na wote vifo vyao vikihusisha ajali kitu kilichomfanya yeye ashindwe kufika kanisani kama alivyodhamiria.

Bwana YUSUFU IBRAHIM MUSA anasema alifanikiwa kufika ibadani kwa Kuhani Musa January 2022 baada ya kuwazika watoto wake wanne. Wiki chache baada ya kufika kanisani alipata faraja na tumaini jipya la kuishi kwa jinsi Mungu alivyokua akimuonyesha ukuu wake haswa kwa kumuonyesha wale waliokua wabaya kwake waziwazi. Na kubwa zaidi alipigiwa simu toka kigoma kuwa yule mtoto wake aliyefariki mwishoni, tarehe26 December 2021 ameonekana huko kigoma. Mtoto huyu alipata ajali akiwa kigoma akaumia vibaya kichwani, wakampa rufaa ya kwenda muhimbili hospital Dar es salaam (MOI) alifika akiwa na hali mbaya lakini baada ya siku 2 akafariki wakasafirisha mwili na kwenda kuzika Kigoma.

Hadi naandika hapa watoto wote wa4 wa YUSUFU IBRAHIM MUSA waliofariki na wakazikwa wamepatikana (katika maeneo tofautitofauti wakiwa hai, mmoja akipatikana kigoma na watatu wakipatikana kwenye visiwa tofautitofauti vya ziwa Victoria wawili wakiwa upande wa Tanzania na mmoja Uganda) na wote ameshawafuata na kuwafikisha kanisani kwa Kuhani Musa.

Habari mpya toka kwa YUSUFU ni kwamba amepigiwa simu kuwa mke wake nae amepatikana upande wa ziwa karibu na Zambia

Bwana YUSUFU anasema imekua rahisi kuwa anapokea taarifa hizi sababu amezaliwa kwenye familia ya wavuvi babu yake Mzee MUSA akiwa mvuvi mkubwa na maarufu na hawa watoto wote walitambulika baada ya watu kuwakuta kwenye mazingira tata na wavuvi waliokua ziwani wakiwa wanawashangaa waliweza kuwatambua

Bila kusahau babu wa YUSUFU mzee MUSA alifariki ghafla mara tuu YUSUFU alipofika kwa kuhani MUSA na ndipo watoto hawa wakaanza kuonekana. Babu huyu hakufariki peke yake, alifariki yeye na watu wengine 17 wanaodhaniwa kushirikiana nae kuwapoteza watoto hawa

KUHANI MUSA RICHARD MWACHA NI NANI??
Inafikirisha sana.
 
Back
Top Bottom