karv
JF-Expert Member
- Dec 26, 2019
- 1,802
- 3,253
Nimepata tabu sana wakati nasoma kageraKigoma
Kagera
Mara
Huko Shida Ibaki Mchana, Ulale Kaliua Ama Kahama
Kagera Utapitaje Mbuga Ya Burigi ~Chato
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimepata tabu sana wakati nasoma kageraKigoma
Kagera
Mara
Huko Shida Ibaki Mchana, Ulale Kaliua Ama Kahama
Kagera Utapitaje Mbuga Ya Burigi ~Chato
Hizo safari zikianza abiria wapewe na condoms za bure, watu watakulana kimasihara sana, Yani saa nane usiku abiria washuke kuchimba dawa😂....usiku sijui huwa una nini!
Kule kwa balozi bus lisipo jaa abiria watakuwa wanabadilishana kula tunda kimasiharaHizo safari zikianza abiria wapewe na condoms za bure, watu watakulana kimasihara sana, Yani saa nane usiku abiria washuke kuchimba dawa😂....usiku sijui huwa una nini!
ChangamotoNimepata tabu sana wakati nasoma kagera
Kule kiusalama haitakiwi kusafiri usikusafi sana haswa kwa mabasi yanayo toka Dar kuelekea Mkoa wa Kigoma ni shida......yaani safari siku 2, watu wanalala njiani kisa hakuna Askari wa ku escort!!
hili halikubaliki, nashuri kauli hii ya Waziri Mkuu utekelezaji wake uanzie kwa mabasi yaendayo Mkoa wa Kigoma kuna chngamoto kubwa sana.
Sawa, uko sawaSwala la usalama siyo shida
Mfano bukoba
Gari inaanza safari ubungo saa 4 usiku hivyo kunakucha bado iko mazingira salama. Inakuja kufika mazingira hatarishi mchana saa 6 hivyo inakuwa haina tatizo
Kurudi
Gari inaanza safari asubuhi kuja kufika usiku iko mazingira ya dodoma hivyo inatembea bila shida
We endelea kushabikia mabasi yaende kigoma usiku wakat usalama ni 0 watu waje wapakwe mafuta Kwanza onyo wanalo litoaga majambazi wa huko ni Ak 45 inapigwa hapo mbele rejeta inamwaga maji yote hyo ni Salam tu kwa dereva aweke chuma pembeni, au wanashusha kioo Cha mbele wanaua mmojasafi sana haswa kwa mabasi yanayo toka Dar kuelekea Mkoa wa Kigoma ni shida......yaani safari siku 2, watu wanalala njiani kisa hakuna Askari wa ku escort!!
hili halikubaliki, nashuri kauli hii ya Waziri Mkuu utekelezaji wake uanzie kwa mabasi yaendayo Mkoa wa Kigoma kuna chngamoto kubwa sana.
Kigoma, mwanza nk.safi sana haswa kwa mabasi yanayo toka Dar kuelekea Mkoa wa Kigoma ni shida......yaani safari siku 2, watu wanalala njiani kisa hakuna Askari wa ku escort!!
hili halikubaliki, nashuri kauli hii ya Waziri Mkuu utekelezaji wake uanzie kwa mabasi yaendayo Mkoa wa Kigoma kuna chngamoto kubwa sana.
Tutakimbia wahalifu hadi karne ngapi.badala useme ulinzi uimarishwe wewe unasema watu wajifiche.Kwa hali hiyo hayo maeneo hayatakuja kufunguka.Kuna mambo lazima yalazimishwe.Kama wenye magari private wanapita hayo maeneo usiku ata gari ya abiria inawezekana.ni kiasi cha wahusika kuweka mikakati yakulifanya hilo liwezekane.Tusipende kuwapa wahalifu kiburi.Huu ni ukweli usiopingika, hakuna anayependa watu wasafiri siku mbili lakini kiusalama hakuna atakayeruhusu wapige usiku.
Yawezekana kwa sasa panaonekana hali ni shwari Ila kuna mambo yanaendelea na itakapotolewa ruhusa ya mabasi ya abiria kusafiri usiku majangili wataona fursa imerudi.
So hayo maeneo ambako yapo mbele ya Kahama kuelekea BK au KG wawe wapole tu wakubaliane na hali halisi.
Acha kuogopesha watu.hizi akili zetu zilizozubaa ndo maana tunakua waoga waoga.kuna nchi zina vita na bado watu wanasafiri na shughuli zingine zinaendelea lakini sisi tunaogopa vijambazi viwili vitatu vinavyosumbuliwa na njaa.Hao vibaka wataogopwa mpaka lini?We endelea kushabikia mabasi yaende kigoma usiku wakat usalama ni 0 watu waje wapakwe mafuta Kwanza onyo wanalo litoaga majambazi wa huko ni Ak 45 inapigwa hapo mbele rejeta inamwaga maji yote hyo ni Salam tu kwa dereva aweke chuma pembeni, au wanashusha kioo Cha mbele wanaua mmoja
Basi la mwisho kwa Dodoma lipo saa kumi nadHivi kwa mfano kina shida gani basi linaloenda Dar ..Dodoma safari ikaanza saa 12 Jioni au saa 3 !
Njia Haina mistu yoyote!
Haya piteni. Polisi gani mlionao wa kuwapitisha hayo mapori? Watawafirisha wote mbele ya mama zenu Kama zamani. Anyway labda mnapendaTutakimbia wahalifu hadi karne ngapi.badala useme ulinzi uimarishwe wewe unasema watu wajifiche.Kwa hali hiyo hayo maeneo hayatakuja kufunguka.Kuna mambo lazima yalazimishwe.Kama wenye magari private wanapita hayo maeneo usiku ata gari ya abiria inawezekana.ni kiasi cha wahusika kuweka mikakati yakulifanya hilo liwezekane.Tusipende kuwapa wahalifu kiburi.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Una kichaa weww huko uulizia huko haipiti mwezi matukio ya utekaji bado sema hayapati airtime.Acha kuogopesha watu.hizi akili zetu zilizozubaa ndo maana tunakua waoga waoga.kuna nchi zina vita na bado watu wanasafiri na shughuli zingine zinaendelea lakini sisi tunaogopa vijambazi viwili vitatu vinavyosumbuliwa na njaa.Hao vibaka wataogopwa mpaka lini?
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Nilichoona sidhani hata anajua mbwai zinazotokeaga kwenye hayo mapori au anadhani ni panya road wa manzese midizini .Una kichaa weww huko uulizia huko haipiti mwezi matukio ya utekaji bado sema hayapati airtime.
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Aliruhusu Ila nani alikuwa tayari kupeleka gari yake ivuke Yale mapori usiku mzee? Ukifika Kahama pale kabla ya Masumbwe mpakani unakuta barrier askari wanakwambia huendi kokote hata ufanyaje maana wanajua mtiti wa Yale mapori usiku.Kwani wakati Ule wa Lugola si aliruhusu safari kufanyika usiku na mchana? Nani alitengua lile agizo?
Tulia we mtoto mchelemchele hujawahi kukutana na majambazi wanao tumia silaha kuteka magari endelea kucheza ma game ya GTA tuAcha kuogopesha watu.hizi akili zetu zilizozubaa ndo maana tunakua waoga waoga.kuna nchi zina vita na bado watu wanasafiri na shughuli zingine zinaendelea lakini sisi tunaogopa vijambazi viwili vitatu vinavyosumbuliwa na njaa.Hao vibaka wataogopwa mpaka lini?
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app