Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hakuna ubaguzi hapo ni ukweli tupu, kwanini nyie Zanzibar mnatubagua? shame on you ondokeniJe hii ni sawa? Hongera kibajaji Kwa kuhoji huu Ubaguzi uliofanywa na Mbowe.m,si ajabu watu Huwa wanawashutumu Wachaga Kwa Ubaguzi na ukabila..
Hivi msimamo wa Chadema kuhusu Muungano ni upi? Akina Salum Mwalimu na yule anajiita Mwenyekiti wa Baraza la Wazee bila shaka wamepata ujumbe wao kutoka Kwa Mwenyekiti..
My Take
Tukemee Kwa Nguvu zetu zote Ubaguzi wa Kikanda na ukabila maana inaweza sambaratisha Taifa..
Nawakati kila siku wanajiita wazanzibar, kwanza waondoke wanatuharibia nchi yetuKuitwa mzanzibar ni ubaguzi!?? Kama ndivyo acha iwe
Zanzibar iliwahi kuwaita? ๐๐๐๐Hakuna ubaguzi hapo ni ukweli tupu, kwanini nyie Zanzibar mnatubagua? shame on you ondokeni
Well saidUkifanya vibaya mambo mengi yanakuja.
Wakati wa Magufuri wasukuma walisemwa sana.
Mpaka wakaundiwa Sukuma Gang.
Kinachotakiwa ni Kiongozi kuwa msafi na muadilifu kwa mali za Umma.
Wabaguzi wakubwa nyie, ondokeni kwenye nchi yetuZanzibar iliwahi kuwaita? ๐๐๐๐
Zanzibar iliwahi kuwaita? Mna kiherehere sana na yule Babu yenu..Wabaguzi wakubwa nyie, ondokeni kwenye nchi yetu
Eti Tanganyika wapo Wakristo M 30 na M 30 ni Waisalmu na Zanzibar M 2, kwa mujibu wa sensa ya mwaka gani?Msijifiche kwenye kichaka cha uislam kwani huku Tanganyika hakuna Waislam? Huu muungano uvunjike mutawaliwe tena na sultan kwani ndiyo matamanio yenu. Tanganyika kuna Waislam zaidi ya milioni 30 na Zanzibar mko milioni mbili tu mnajiona mna thamani zaidi ya hawa milioni 30 wa Tanganyika?
Nasimama na MboweJe hii ni sawa? Hongera kibajaji Kwa kuhoji huu Ubaguzi uliofanywa na Mbowe.m,si ajabu watu Huwa wanawashutumu Wachaga Kwa Ubaguzi na ukabila..
Hivi msimamo wa Chadema kuhusu Muungano ni upi? Akina Salum Mwalimu na yule anajiita Mwenyekiti wa Baraza la Wazee bila shaka wamepata ujumbe wao kutoka Kwa Mwenyekiti..
My Take
Tukemee Kwa Nguvu zetu zote Ubaguzi wa Kikanda na ukabila maana inaweza sambaratisha Taifa..
Mnauza mali zetu kwa waarabu wenzenu kwenda huko ondokeni harakaZanzibar iliwahi kuwaita? Mna kiherehere sana na yule Babu yenu..
Mkimaliza Zanzibar mtaanza wachaga vs Wasukuman
Msijifiche kwenye kichaka cha uislam kwani huku Tanganyika hakuna Waislam? Huu muungano uvunjike mutawaliwe tena na sultan kwani ndiyo matamanio yenu. Tanganyika kuna Waislam zaidi ya milioni 30 na Zanzibar mko milioni mbili tu mnajiona mna thamani zaidi ya hawa milioni 30 wa Tanganyika?
Upendo wenu kwetu mnaonyesha kwa kutuita machogo? Mbowe ameuliza kwa nini bandari za Zanzibar hazikuingizwa katika mkataba huu wenye manufaa makubwa wewe unaleta mambo ya uarabu na uislamu? Unataka tuogope kuwakosoa kwa sababu tu nyinyi ni waislamu wazanzibari? Mbowe amekosoa mkataba kwa kile alichoona ni mapungufu yake. Wewe nawe una haki ya kuutetea kwa mema yaliyomo na kutoa sababu kwa nini bandari za Zanzibar hazikujumuishwa ( k.m. suala la bandari si la Muungano).
Msipende kututishia kuhusu Muungano. Kwa taarifa yako huku wako wengi tu wangefurahi kama hii ndoa ingevunjika tu badala ya kufanya maigizo ya serikali tatu au ya mkataba ( nchi gani duniani zimeungana kwa mkataba? Hata EU na EAC ambazo sio nchi hazisemi kuwa uwepo wao utaangaliwa kila baada ya miaka kadhaa).
Semeni tu kuwa hamtaki Muungano halafu muone wangapi watawabembeleza mbaki.
Amandla....
Mmeporwa kitu gani nyie?
- Mna majeshi.
- Serikali.
- Bunge.
- Mahakama.
- Katiba yenu.
Juzi tu Tanesco imewasamehe deni mliloshindwa kulipa mmetumia umeme wa bure tu, hapo nani aliyeporwa?
Nyie kitu pekee Mungu alichowanyima ni akili pekee, mpo mpo tu, hamjielewi, mnapenda mambo mepesi mepesi tu, hamko serious, hamfai kupewa nafasi nyeti za kuongoza hili taifa.
Umejitahidi kutafuta matusi lakini umeshindwa. Ni wachache sana ( kama wapo) wanaotumia hayo maneno.Kwani nyinyi Si mnatuita wavaa,kobazi, , wala urojo,
Kuhusu muungano mbona tumesema sana
Kama huko wako wengi hawataki muungano hili jeshi na hawa TISS mlilolijaza kila mtaa ni la kazi gani ? Na kwa nini mnakuja kuuwa watu kil uchaguzi ili kuwaweka vibaraka wenu ??
Hivi unadhani kama si ukabila mpuuzi kama yule nyumbu aliekimbilia CANADA angekuwa kiongozi pale CDM?Je hii ni sawa? Hongera kibajaji Kwa kuhoji huu Ubaguzi uliofanywa na Mbowe.m,si ajabu watu Huwa wanawashutumu Wachaga Kwa Ubaguzi na ukabila..
Hivi msimamo wa Chadema kuhusu Muungano ni upi? Akina Salum Mwalimu na yule anajiita Mwenyekiti wa Baraza la Wazee bila shaka wamepata ujumbe wao kutoka Kwa Mwenyekiti..
My Take
Tukemee Kwa Nguvu zetu zote Ubaguzi wa Kikanda na ukabila maana inaweza sambaratisha Taifa..