Extra miles
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 3,652
- 4,972
Hilo suala la comments za wanaWCB kufuatana linafikirisha sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa.Paula acha mpapariko ndo maana sijaquote mtu. Mgazeti wooteee pumba tupu nonsense mamdenyi was right ile attack kwenye uzi wa msiba punguza mhaho
🤣🤣🤣🤣Mkwe basi inatosha. Sasa basi ungenipa namba nianze kuchati naye huu mwaka wa tano ujue
Nikutanishe naye jamani🤣🤣🤣🤣
Itabid kwa kweliNikutanishe naye jamani
Tunapoteza mtu mhimu kama WarumiLeo nimeshtuka sana baada watu wakimnadi ray vanny kafungua mgahawa wake.
Nikasema jambo zuri lakini nikaanza kupata wasi wasi
View attachment 1923486
Kwa sababu mtu ambaye anafanya hivi vitu ni mtu ambaye na mfahamu zamani sana tokea milenium tower makumbusho.
Hii project alikuwa nayo tokea zamani ikabidi nimuulize [emoji23].
Nyie WCB embu kuweni na aibu na vitu vingine.
View attachment 1923490
Mshikaji wangu ndio project hiyo na tokea mwanzo alikuwa na hii kitu.
View attachment 1923491
View attachment 1923492
View attachment 1923493
Hao ni machawa tu , walishasema wanamiliki hotel, hawashindwi kujisifu wanamiliki vitu ambavyo sio vyaoHilo suala la comments za wanaWCB kufuatana linafikirisha sana
Kwamba umesubiri sana unastahili tuzo?Nikutanishe naye jamani
Tuzo. In a form of a phone number.Kwamba umesubiri sana unastahili tuzo?
Naona Mzee una full informationAisee jana nilikua pale na huwezi amini nimeona mtu kama Rayvanny kakaa na mchizi wanaongea nikataka kumuuliza mhudumu nikapotezea maana niliona kama ni black sana kumbe ndo najua Sasa ni yeye. Kiufupi ni booonge la place pametengenezwa vizuri mno. Nilimuuliza mhudumu akasema uzinduzi ni next week alhamisi (around tareh 16). Pana pc kali ni nyoko. Iko pale opposite na sheli ya oryx kona ya kuelekea goba jengo lile mbezi classic mall
Nimeenda jana tu niliona pako wazi maana palikua hapajafunguliwa...hata wateja walikua kama wanne tu nadhan wengi wanajua bado hapajafunguliwa....ndo maana nilipomuona chui nikajua mabishoo tu wa kinondoni hahahaaaa...huu uzi ndo umenifanya nijue kumbe ni yeyeNaona Mzee una full information
Huyo dogo alimuchukua huyo Demu pale mafyati, MbeyaDogo hajafika hata form 4 anakula ngozi Tamu na investments Kama hizi wakati Professor (PhD) pale Mlimani anasubiria uteuzi wa Ukuu wa Wilaya. This life is not fair
View attachment 1928304
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni kama Polepole na Bashiru ndani ya CCM ya awamu ya 6.