Kuhusu Moses Phiri naomba nisiwe mnafiki

Kuhusu Moses Phiri naomba nisiwe mnafiki

Kwakweli mchezaji kama haitajiki ni vyema kutendewa haki atafute changamoto kwingine.

Ni sawa na Yanga wangemng'ang'ania Yanick Bangala wana mkataba naye halafu unamuweka benchi siyo uungwana, waliopewa thank you Ndio hawana sifa za kucheza kwenye timu.

Halafu tamasha tu ambalo ni bonanza unamyima vipi airtime mchezaji ambaye wenye timu wanampenda?
Tatizo suala halisi haliwekwi wazi, mashabiki wanataka kujua kuhusu mchezaji wao.
 
Sio Phiri hsts Baanda hapewi nafasi halafu anawapa nafasi wachezaji wazee kina Bocco Na Saidoo wakati muda wao wa kucheza umeisha. Huyu kocha ajifunze kwa makocha wengine kwanza anachelewa kufanya sub, ile mechi sielewi kwanini alikaa na kipa mmoja mpaka mwisho ndio maana Maura alipata majeraha kwenye mechi ambayo msaidizi wake angeweza kucheza.
Naungana na mtoa mada kwa sababu sisi washabiki hata kama hatujasomea mpira tunaona kile kilichotokea kuhusu kina Kibu sio kila mechi inahitaji mchezaji kutumia nguvu. Hata Chama kama sio mashabiki kupiga kelele alishataka kumtoa kisa haendani na falsafa yake ila mashabiki walisimama naye tukaona jinsi alivyocheza.
Binafsi nilifurahi Sakho alivyoondoka kwani kocha alikuwa anaua kipaji chake. Kama kocha angekuwa anafanya rotation sidhani kama Wydad wangetutoa maana tulishawadhibiti ilikosekna plan B kwa sababu tuling'ang'ania wachezaji walewale
 
Ni swali Zuri.

Moses phili si MCHEZAJI mzuri kihivyo mnavyo fikilia.

Nitaweka hoja chache useze kunielewa Moses Phili.,

1. Kwanza kabisa haendani na Falsafa ya Robertinho, kimo,kutokukaba, KUPOTEZA MIPIRA.

2. Moses phili ni mchezaji anayependa kucheza No 10.
Namba kumi Simba Kuna Chama, Saido na sasa ongezeko la Ngoma ambaye AMECHEZA kwenye no 10 kwa Muda mrefu, vita, raja.

3. Moses phili Hana uwezo wa kukabia juu, anapoteza sana MIPIRA, featness level yake IPO CHINI ukilinganisha na Onana, KIBU na Baleke
Hili haliitaji hata kulielez.
Uwezo wa phili kukaa na mpira ni mdogo sana.

4. Hana madhara Nje ya 18.
Ni kama Kagere anafunga ndani ya 18 ni potcher mzuri mno

5. Si MCHEZAJI WA Michezo mikubwa.
JARIBU kufuatilia mchezo WA Simba na yanga ulioisha kwa goli 1-1 Azizi ki na Okra. Moses alipoteana kabisa uwanjani alicheza Dakika 80 hakupiga shuti hata Moja muda worte aliocheza

6. MAKOCHA wawili WA Simba kutomuelewa.
Zoran mark na Robertinho wote hawana Imani na phili, Zoran maki ALIWAHI kumtumia kyombo kwenye Mechi ya Simba na yanga Ngao ya Jamii dk 80 na KUMUACHA BENCHI PHILI.
Magoli ya Sakho na Mayele 2-1


BINAFSI NIMESIKITIKA SANA KUONA SIMBA INA MAWINGA 10
NIMESHANGAZWA SANA KUMUONA BANDA.
Mtani Kwa hii comment yako kuna vitu viwili Tu nimevi-note...
Kwanza either haumkubali Phiri or umechagua kua "team Robertinho"....


1. Haendani na falsafa ya kocha, huenda ni kweli lakini kusema kimo chake ni kifupi, hakabi anapoteza mipira.. (hii ni uongo) jamaa ana ball control ya juu Sana kuliko wachezaji wanaopewa nafasi za upendeleo kama kina kibubu..

2. Sio kweli kwamba Phiri anapenda kucheza no. Kumi, kama unafatilia mambo Yule ni mchezaji wa kisasa Kwa kifupi anakaa position nyingi kwenye ushambuliaji... Yeye sio Central striker (CF) wala wing forward (WF) Bali hucheza kama mshambuliaji namba mbili yaani second striker (SS). Ni kama vile alivo Juao Felix wa Chelsea, Christopher Nkuku au Lionel Messi.

3. Hivi kweli unaweza kutushawishi hapa kua Phiri uwezo wa kukaa na mpira upo chini kuliko Kibu, Onana na baleke? Dah! Hapa nimeamini ukichokwa unaweza pondwa na aliyekua anakupigia magoti... Hebu Angalia zile game kabla hajaumia jamaa anajua kukaa na Mali vizuri mno kuliko hao uliowataja.

4. Hana madhara nje ya 18 sio kweli Phiri ana uwezo wa kukokota mpira toka nje anawapunguza mabeki na kwenda kufunga au kutoa assist...

5. Si mchezaji wa michezo mikubwa... Kumbuka ndo aliifunga 1 Augusto ya Angola mkatinga makundi... Sasa kushindwa kuifunga Yanga ndo ahukumiwe? Mbona baleke alishindwa kufungwa game na Yanga Tena alipata clear chance kabisa kama mbili?

Halafu Jana ilikua Bonanza kwanini asicheze ili a-gain fitness?? Hapo ndipo watu wanapohoji... Hii inaonesha kua kocha hamtaki Tu wala Hana sasabu za msingi.. Ipo hivi mara nyingi kocha mpya Huja kuunda ufalme wake hapo anaweza kuwazima Kwanza wale wachezaji waliokua wanawika kabla yeye hajaja... Ndo maana Chama alipigwa sub dakika ya 30 bila kelele za mashabiki sahivi asingekua tena msimbazi.. naona kocha baada ya Ile kafara kufeli akaamua kumtoa Phiri.

Labda nikuulize swali la kizushi mfano Leo hii Phiri akitua Yanga unahisi utafurahi moyoni mwako kua mmetuuzia Garasa au utakua tumbo joto?? [emoji28]
 
Ni swali Zuri.

Moses phili si MCHEZAJI mzuri kihivyo mnavyo fikilia.

Nitaweka hoja chache useze kunielewa Moses Phili.,

1. Kwanza kabisa haendani na Falsafa ya Robertinho, kimo,kutokukaba, KUPOTEZA MIPIRA.

2. Moses phili ni mchezaji anayependa kucheza No 10.
Namba kumi Simba Kuna Chama, Saido na sasa ongezeko la Ngoma ambaye AMECHEZA kwenye no 10 kwa Muda mrefu, vita, raja.

3. Moses phili Hana uwezo wa kukabia juu, anapoteza sana MIPIRA, featness level yake IPO CHINI ukilinganisha na Onana, KIBU na Baleke
Hili haliitaji hata kulielez.
Uwezo wa phili kukaa na mpira ni mdogo sana.

4. Hana madhara Nje ya 18.
Ni kama Kagere anafunga ndani ya 18 ni potcher mzuri mno

5. Si MCHEZAJI WA Michezo mikubwa.
JARIBU kufuatilia mchezo WA Simba na yanga ulioisha kwa goli 1-1 Azizi ki na Okra. Moses alipoteana kabisa uwanjani alicheza Dakika 80 hakupiga shuti hata Moja muda worte aliocheza

6. MAKOCHA wawili WA Simba kutomuelewa.
Zoran mark na Robertinho wote hawana Imani na phili, Zoran maki ALIWAHI kumtumia kyombo kwenye Mechi ya Simba na yanga Ngao ya Jamii dk 80 na KUMUACHA BENCHI PHILI.
Magoli ya Sakho na Mayele 2-1


BINAFSI NIMESIKITIKA SANA KUONA SIMBA INA MAWINGA 10
NIMESHANGAZWA SANA KUMUONA BANDA.
Moses Philip anapoteza sana pasi,😂😂😂
 
Naona furaha inaanza kidogo kidogo kutoweka, huku malalamiko yakianza kutawala. Tutaelewana tu.
Simba hii haitishi kama ile iliyotuchabanga 4-1. Simba ele ilikua ukisimama nchale ukiinama nchale.

Hii wachezaji wengi viwango vimeisha, yaani kina boco kweli, kina saido , kina kibu aiseee acha tuone.
 
Boss, unamtetea kocha....umeongea sawa kabisaa logically true ila kocha anazingua yule...aya ntibanzokiza pia mnatuambia nini? Kapewa airtime kubwa kafanya nini? Ni kweli kibu na bocco ni bora kuliko phiri? Mnasema juhudi mazoezini
Its not about Uwezo.
Issue ni Unafit kwenye Mfumo?
Phiri sio namba 9.....
Phiri sio Winga Pia, kwangu nmuona kama ni Wide forwad ( Rashford like).
Ni mchezaji mzuri kama kocha akimtengenezea mfumo ambao utamuaccomodate.
Je kocha abadili falsafa zake kisa Player 1? No not true.......
Phiri sio Messi wala Ronaldo kwamba kocha atamtengenezea Mfumo wake.
Balance ya timu ni muhimu, seems hawezi kupress, Sio mzuri tukiwa hatuna Mpira ndio maana Hapati nafasi.
Kama huwa unaskiliza interview za Kocha, anasisitiza "play without the ball" .
Nadhani hichi ndio kinamkosesha nafasi.
 
Kwakweli mchezaji kama haitajiki ni vyema kutendewa haki atafute changamoto kwingine.

Ni sawa na Yanga wangemng'ang'ania Yanick Bangala wana mkataba naye halafu unamuweka benchi siyo uungwana, waliopewa thank you Ndio hawana sifa za kucheza kwenye timu.

Halafu tamasha tu ambalo ni bonanza unamyima vipi airtime mchezaji ambaye wenye timu wanampenda?
Alitakiwa kuachwa, kuumia kwa kipa mbrazil kumembakisha.
 
Sio Phiri hsts Baanda hapewi nafasi halafu anawapa nafasi wachezaji wazee kina Bocco Na Saidoo wakati muda wao wa kucheza umeisha. Huyu kocha ajifunze kwa makocha wengine kwanza anachelewa kufanya sub, ile mechi sielewi kwanini alikaa na kipa mmoja mpaka mwisho ndio maana Maura alipata majeraha kwenye mechi ambayo msaidizi wake angeweza kucheza.
Naungana na mtoa mada kwa sababu sisi washabiki hata kama hatujasomea mpira tunaona kile kilichotokea kuhusu kina Kibu sio kila mechi inahitaji mchezaji kutumia nguvu. Hata Chama kama sio mashabiki kupiga kelele alishataka kumtoa kisa haendani na falsafa yake ila mashabiki walisimama naye tukaona jinsi alivyocheza.
Binafsi nilifurahi Sakho alivyoondoka kwani kocha alikuwa anaua kipaji chake. Kama kocha angekuwa anafanya rotation sidhani kama Wydad wangetutoa maana tulishawadhibiti ilikosekna plan B kwa sababu tuling'ang'ania wachezaji walewale
Kwa wabongo kazi ipo.
 
View attachment 2710614
View attachment 2710617
Haya mambo ya kuzunguka zunguka hayafai kwa sababu muda unaenda kasi sana.
Siwezi kujifanya sijashtuka Phiri kukalia bench dakika 90. Ni uongo. Kila mtu kaona kikosi cha kwanza huku majembe mengine yakiwa pale bench. Baadae wakapewa nafasi wachezaji wa kawaida na wakali kama kina Ngoma. Halafu uone ni sawa tu Phiri kukalia bench. Kuna Wachezaji walishindwa kuonyesha kiwango toka robo ya kwanza ya kikosi lakini kocha hakumuona Phiri.

Tunasemaje..Phiri ndio aliyetupeleka makundi CAFCC msimu uliopita. Usiniambie kuhusu kiwango chake cha sasa kwa sababu ile ilikuwa mechi ya kutest mitambo. Sijasema ni bora kuliko wengine lakini anao uwezo wa kushindana na kushindania timu. Mambo ya hovyo kama haya ndio yanayosababisha kocha apangiwe kikosi. Kumbania mchezaji mpaka watu wanashtuka.

Kocha afikishiwe habari. Asituone mafala, awaulize waliotangulia. Tuna uwezo wa kumkataa mpaka akashangaa.
Hahahahahaba,inawezekana ha fit ktk falsafa za kocha
 
View attachment 2710614
View attachment 2710617
Haya mambo ya kuzunguka zunguka hayafai kwa sababu muda unaenda kasi sana.
Siwezi kujifanya sijashtuka Phiri kukalia bench dakika 90. Ni uongo. Kila mtu kaona kikosi cha kwanza huku majembe mengine yakiwa pale bench. Baadae wakapewa nafasi wachezaji wa kawaida na wakali kama kina Ngoma. Halafu uone ni sawa tu Phiri kukalia bench. Kuna Wachezaji walishindwa kuonyesha kiwango toka robo ya kwanza ya kikosi lakini kocha hakumuona Phiri.

Tunasemaje..Phiri ndio aliyetupeleka makundi CAFCC msimu uliopita. Usiniambie kuhusu kiwango chake cha sasa kwa sababu ile ilikuwa mechi ya kutest mitambo. Sijasema ni bora kuliko wengine lakini anao uwezo wa kushindana na kushindania timu. Mambo ya hovyo kama haya ndio yanayosababisha kocha apangiwe kikosi. Kumbania mchezaji mpaka watu wanashtuka.

Kocha afikishiwe habari. Asituone mafala, awaulize waliotangulia. Tuna uwezo wa kumkataa mpaka akashangaa.
Huyu coach hatufai unamuachaje phiri nje unamungiza Bocco ndani ukweli usemwe .
 
Sio Phiri hsts Baanda hapewi nafasi halafu anawapa nafasi wachezaji wazee kina Bocco Na Saidoo wakati muda wao wa kucheza umeisha. Huyu kocha ajifunze kwa makocha wengine kwanza anachelewa kufanya sub, ile mechi sielewi kwanini alikaa na kipa mmoja mpaka mwisho ndio maana Maura alipata majeraha kwenye mechi ambayo msaidizi wake angeweza kucheza.
Naungana na mtoa mada kwa sababu sisi washabiki hata kama hatujasomea mpira tunaona kile kilichotokea kuhusu kina Kibu sio kila mechi inahitaji mchezaji kutumia nguvu. Hata Chama kama sio mashabiki kupiga kelele alishataka kumtoa kisa haendani na falsafa yake ila mashabiki walisimama naye tukaona jinsi alivyocheza.
Binafsi nilifurahi Sakho alivyoondoka kwani kocha alikuwa anaua kipaji chake. Kama kocha angekuwa anafanya rotation sidhani kama Wydad wangetutoa maana tulishawadhibiti ilikosekna plan B kwa sababu tuling'ang'ania wachezaji walewale
Duh
 
Back
Top Bottom