Kuhusu Moses Phiri naomba nisiwe mnafiki

Kuhusu Moses Phiri naomba nisiwe mnafiki

Una kataa kubwa sio namba kumi ila una sema ni second striker au maana ya second striker ni ipi.
Mchezaji anae cheza nyuma ya ushambuliajia kimsingi ni namba kumi.
Nafasi anayo cheza Saido pale Simba na ndio aneo ambalo Phiri ana yakiwa kucheza.
Ugumukwa kocha upo hapa Saido ndio mchezaji ambaye amechangia magoli mengi kuliko mchey mwingine ndani ya Simba msimu uliopita.
Sasa mchezaji huyo ni ngumu mno kumweka benchi.
Kwaiyo Phiri ni mzuri ila Saidoo amekuwa bora mno kwa sasa na hata mechi ya Power Dynamo ametoa assist 2 hii ni moja ya kazi zake nzuri.
 
Ni swali Zuri.

Moses phili si MCHEZAJI mzuri kihivyo mnavyo fikilia.

Nitaweka hoja chache useze kunielewa Moses Phili.,

1. Kwanza kabisa haendani na Falsafa ya Robertinho, kimo,kutokukaba, KUPOTEZA MIPIRA.

2. Moses phili ni mchezaji anayependa kucheza No 10.
Namba kumi Simba Kuna Chama, Saido na sasa ongezeko la Ngoma ambaye AMECHEZA kwenye no 10 kwa Muda mrefu, vita, raja.

3. Moses phili Hana uwezo wa kukabia juu, anapoteza sana MIPIRA, featness level yake IPO CHINI ukilinganisha na Onana, KIBU na Baleke
Hili haliitaji hata kulielez.
Uwezo wa phili kukaa na mpira ni mdogo sana.

4. Hana madhara Nje ya 18.
Ni kama Kagere anafunga ndani ya 18 ni potcher mzuri mno

5. Si MCHEZAJI WA Michezo mikubwa.
JARIBU kufuatilia mchezo WA Simba na yanga ulioisha kwa goli 1-1 Azizi ki na Okra. Moses alipoteana kabisa uwanjani alicheza Dakika 80 hakupiga shuti hata Moja muda worte aliocheza

6. MAKOCHA wawili WA Simba kutomuelewa.
Zoran mark na Robertinho wote hawana Imani na phili, Zoran maki ALIWAHI kumtumia kyombo kwenye Mechi ya Simba na yanga Ngao ya Jamii dk 80 na KUMUACHA BENCHI PHILI.
Magoli ya Sakho na Mayele 2-1


BINAFSI NIMESIKITIKA SANA KUONA SIMBA INA MAWINGA 10
NIMESHANGAZWA SANA KUMUONA BANDA.
Yanga 1-1 Simba

Mechi ya Yanga na Simba ilisababishwa na uchoyo wa Okrah na hilo wote tunalitambua.

Phiri ndio mchezaji ambaye hajaonesha ubinafsi anapokuwa na mpira mguuni.

Ile mechi Phiri ndio alikuwa mchezaji wakuchungwa sana kwasababu alikuwa yupo katika peak ya juu karibia kila mechi zilizopita alizocheza alikuwa anafunga.

So Yanga waliwekeza nguvu kubwa mno kumdhibiti asiweze kufanya madhara na ndio hapo ambapo Okrah akapata mwanya wa kung'aa kwasababu hakuna mtu alitegemea kuona Okrah anaweza kuwa tushio kiasi awekwe kwenye uangalizi.

Lakini pia sio kweli kuwa Phiri hakupiga shuti hata moja golini kwenye mechi hiyo.

Hana uwezo wa kukabia juu

Kwanza kabla hajasema hawezi kukabia juu angalia na role yake anayocheza, kisha angalia majukumu ya hiyo nafasi utaona kama swala la kukaba ni swala la kumpa mtu lawama.

Haendani na falsafa ya Robetinho

Ndio kile kile tulichokisema alipomtoa Chama kwa hoja hiyo hiyo kuwa haendani na mfumo wa kocha. Lakini saizi hakuna mtu mwenye swali kwanini Chama haendani na mfumo wa kocha.

Je ni kocha kaweza kum train Chama aendane na mfumo? Why asifanye hivyo kwa Phiri pia?

Hana madhara nje ya 18

Hapa ungeweka ufafanuzi wa aina ya madhara unayokusudia.

Ni kwamba akiwa na mpira katikati ya uwanja ulitegemea kuona madhara gani kwa eneo hilo?

Ukisema nje ya 18 hana madhara wakati tumemuona mara nyingi anatokea huko akiwa amekusanya kijiji hadi kwenye 18 na kufunga goli unakuwa unatuchanganya.

Makocha wawili kutomuelewa

Hapa na mimi nikuulize swali

Kwani wewe uliwahi kumuelewa Zoran?

Zoran wachezaji aliokuwa anawaelewa karibia wote tumewatimua, so bado unataka tuendelee kuamini mawazo yake?

Zoran pia hakuwahi kumuelewa Chama, vipi na wewe humuelewi Chama kwasababu Zoran hakumuelewa?

***********

Hayo madhaifu uliyoyaelezea ingekuwa hayapo kwa wachezaji ambao Robertinho anawapanga basi tusingeruhusu goli hata 1 achilia mbali kupoteza mechi.

Lakini preference ya kocha kwa Kibu mwenye kiwango cha mashaka ambacho hakina consistency ndio tunapoamua kupaza sauti zetu.

Hatulaumu mchezaji kukaa benchi, tunalaumu mchezaji bora kukaa benchi huku wapo waliopewa nafasi na hawaoneshi kiwango bora na Kocha hafanyi mabadiliko.
 
Yani Saidoo kaisha msimu umeisha kafungwa sawa na Mayele...!!!
Mechi na Power Dynamo ametoa assist 2 au kuisha una maanisha nini ndugu yangu.
Alafu hizi mechi za mabonanza nia yenu ndogo mno.
Simba wameingia kwenye tamasha lao wakiwa na Siku chache mno kuelekea Mechi za ngao hivyo mwalimu ana cheza uku ana andaa kikosi cha mechi ya ngao.
 
View attachment 2710614
View attachment 2710617
Haya mambo ya kuzunguka zunguka hayafai kwa sababu muda unaenda kasi sana.
Siwezi kujifanya sijashtuka Phiri kukalia bench dakika 90. Ni uongo. Kila mtu kaona kikosi cha kwanza huku majembe mengine yakiwa pale bench. Baadae wakapewa nafasi wachezaji wa kawaida na wakali kama kina Ngoma. Halafu uone ni sawa tu Phiri kukalia bench. Kuna Wachezaji walishindwa kuonyesha kiwango toka robo ya kwanza ya kikosi lakini kocha hakumuona Phiri.

Tunasemaje..Phiri ndio aliyetupeleka makundi CAFCC msimu uliopita. Usiniambie kuhusu kiwango chake cha sasa kwa sababu ile ilikuwa mechi ya kutest mitambo. Sijasema ni bora kuliko wengine lakini anao uwezo wa kushindana na kushindania timu. Mambo ya hovyo kama haya ndio yanayosababisha kocha apangiwe kikosi. Kumbania mchezaji mpaka watu wanashtuka.

Kocha afikishiwe habari. Asituone mafala, awaulize waliotangulia. Tuna uwezo wa kumkataa mpaka akashangaa.
Aseee! Ile sio mechi ya kulalamika hivyo, ni ya kirafiki tu. Hivyo wageni wa ligi Yetu yaani walitakiwa wapimwe kiwango na tuwaone. Wengine kama Moses P., Hao ni wataalamu ilikuwa ni halali tu watulie maana moto wao tunauju. Ingekuwa ni ligi imeanza alafu wanaachwa bench malalamiko yako yalikuwa sahihi.
 
Una kataa kubwa sio namba kumi ila una sema ni second striker au maana ya second striker ni ipi.
Mchezaji anae cheza nyuma ya ushambuliajia kimsingi ni namba kumi.
Nafasi anayo cheza Saido pale Simba na ndio aneo ambalo Phiri ana yakiwa kucheza.
Ugumukwa kocha upo hapa Saido ndio mchezaji ambaye amechangia magoli mengi kuliko mchey mwingine ndani ya Simba msimu uliopita.
Sasa mchezaji huyo ni ngumu mno kumweka benchi.
Kwaiyo Phiri ni mzuri ila Saidoo amekuwa bora mno kwa sasa na hata mechi ya Power Dynamo ametoa assist 2 hii ni moja ya kazi zake nzuri.
Umemaliza ,means Phiri ana miss mambo mengi ,kuliko Saidoo
 
Kwakweli mchezaji kama haitajiki ni vyema kutendewa haki atafute changamoto kwingine.

Ni sawa na Yanga wangemng'ang'ania Yanick Bangala wana mkataba naye halafu unamuweka benchi siyo uungwana, waliopewa thank you Ndio hawana sifa za kucheza kwenye timu.

Halafu tamasha tu ambalo ni bonanza unamyima vipi airtime mchezaji ambaye wenye timu wanampenda?
Hapo sasa daktari..tunataka hoja chanya kama hizi
 
Una kataa kubwa sio namba kumi ila una sema ni second striker au maana ya second striker ni ipi.
Mchezaji anae cheza nyuma ya ushambuliajia kimsingi ni namba kumi.
Nafasi anayo cheza Saido pale Simba na ndio aneo ambalo Phiri ana yakiwa kucheza.
Ugumukwa kocha upo hapa Saido ndio mchezaji ambaye amechangia magoli mengi kuliko mchey mwingine ndani ya Simba msimu uliopita.
Sasa mchezaji huyo ni ngumu mno kumweka benchi.
Kwaiyo Phiri ni mzuri ila Saidoo amekuwa bora mno kwa sasa na hata mechi ya Power Dynamo ametoa assist 2 hii ni moja ya kazi zake nzuri.
Kwahiyo we ukisikia second striker unajua ni namba kumi?
 
Boss, unamtetea kocha....umeongea sawa kabisaa logically true ila kocha anazingua yule...aya ntibanzokiza pia mnatuambia nini? Kapewa airtime kubwa kafanya nini? Ni kweli kibu na bocco ni bora kuliko phiri? Mnasema juhudi mazoezini
Hapo kwa ntiba msimguse...maana moto wake sio mdogo..ndo aliefanya zile assist mbili..hapo angetolewa kibu apumzike aingie Phiri..
 
Tutaelewana nini? Acha uchochezi
Ndio tunataka Phiri acheze...
Nimetoka kuongea na kocha muda si mrefu, amesema Moses Phiri ni majeruhi. Hivyo mashabiki kuweni na subira. Muda si mrefu ataanza kuonekana uwanjani. 😇
 
Sio Phiri hsts Baanda hapewi nafasi halafu anawapa nafasi wachezaji wazee kina Bocco Na Saidoo wakati muda wao wa kucheza umeisha. Huyu kocha ajifunze kwa makocha wengine kwanza anachelewa kufanya sub, ile mechi sielewi kwanini alikaa na kipa mmoja mpaka mwisho ndio maana Maura alipata majeraha kwenye mechi ambayo msaidizi wake angeweza kucheza.
Naungana na mtoa mada kwa sababu sisi washabiki hata kama hatujasomea mpira tunaona kile kilichotokea kuhusu kina Kibu sio kila mechi inahitaji mchezaji kutumia nguvu. Hata Chama kama sio mashabiki kupiga kelele alishataka kumtoa kisa haendani na falsafa yake ila mashabiki walisimama naye tukaona jinsi alivyocheza.
Binafsi nilifurahi Sakho alivyoondoka kwani kocha alikuwa anaua kipaji chake. Kama kocha angekuwa anafanya rotation sidhani kama Wydad wangetutoa maana tulishawadhibiti ilikosekna plan B kwa sababu tuling'ang'ania wachezaji walewale
Kabisa...ila Saidoo ana mchango mkubwa sana Simba..anapiga mipira ya kona na adhabu inayoona..asibezwe...
 
Ni swali Zuri.

Moses phili si MCHEZAJI mzuri kihivyo mnavyo fikilia.

Nitaweka hoja chache useze kunielewa Moses Phili.,

1. Kwanza kabisa haendani na Falsafa ya Robertinho, kimo,kutokukaba, KUPOTEZA MIPIRA.

2. Moses phili ni mchezaji anayependa kucheza No 10.
Namba kumi Simba Kuna Chama, Saido na sasa ongezeko la Ngoma ambaye AMECHEZA kwenye no 10 kwa Muda mrefu, vita, raja.

3. Moses phili Hana uwezo wa kukabia juu, anapoteza sana MIPIRA, featness level yake IPO CHINI ukilinganisha na Onana, KIBU na Baleke
Hili haliitaji hata kulielez.
Uwezo wa phili kukaa na mpira ni mdogo sana.

4. Hana madhara Nje ya 18.
Ni kama Kagere anafunga ndani ya 18 ni potcher mzuri mno

5. Si MCHEZAJI WA Michezo mikubwa.
JARIBU kufuatilia mchezo WA Simba na yanga ulioisha kwa goli 1-1 Azizi ki na Okra. Moses alipoteana kabisa uwanjani alicheza Dakika 80 hakupiga shuti hata Moja muda worte aliocheza

6. MAKOCHA wawili WA Simba kutomuelewa.
Zoran mark na Robertinho wote hawana Imani na phili, Zoran maki ALIWAHI kumtumia kyombo kwenye Mechi ya Simba na yanga Ngao ya Jamii dk 80 na KUMUACHA BENCHI PHILI.
Magoli ya Sakho na Mayele 2-1


BINAFSI NIMESIKITIKA SANA KUONA SIMBA INA MAWINGA 10
NIMESHANGAZWA SANA KUMUONA BANDA.
Well analysed.
Tatizo 'oya oya' wana kelele nyingi facts zero.
Kila coach ana falsafa yake ambayo huitumia katika ku deliver product yake, sasa hawa mashabiki wao hawajui kuwa haya mambo yana ufundi wake. Wanadhani coach kazi yake ni kusimamia mazoezi na kuandika majina ya wachezaji wanaopiga kelele klabuni.
 
Back
Top Bottom