Kuhusu Mungu na chanzo cha Ulimwengu, kuna mahali hatuna taarifa kamili/sahihi?

Kuhusu Mungu na chanzo cha Ulimwengu, kuna mahali hatuna taarifa kamili/sahihi?

Kijukuu tu hicho bado kinakuwa maanunnaki wenyewe tumetulia tunawazoom tu na mlivyo naakili chache ati nasikia huwa mnaasherehe ya mwaka mpya..? Dunia ikikamilisha tu mzunguko wake mnapiga madebe![emoji23]

Ngojeni niwaibie siri yule jamaa alieandika uzi wake wa kuwa binadamu mnafugwa tu hapa duniani mkija kuwa wengi mnavunwa kuliwa!, Uzi huo hauna uongo..!![emoji41]
Hapana. Ni ugumu wa maisha ndio unatufanya tufkiri Mambo mengi Kama hayo[emoji16]
 
QURAN 22: 73

"Enyi watu! Unapigwa mfano, basi usikilizeni! Hakika wale mnao waabudu badala ya Mwenyezi Mungu, hawawezi kuumba hata inzi ijapo kuwa watajumuika kwa hilo(wasidiane). Na kama inzi akiwapokonya kitu hawawezi kukipata kwake. Amedhoofika kweli huyo mwenye kutaka (kupokonya) na mwenye kutakiwa (kupokonywa).
 
QURAN 2: 2-6

2."Hiki ni Kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake; ni uongozi kwa wanao muogopa Mwenyezi Mungu.



3. Ambao wanaamini yasiyo onekana na wanashika Sala, na hutoa katika tuliyo wapa.



4. Na ambao wanayaamini yaliyo teremshwa kwako, na yaliyo teremshwa kabla yako; na Akhera wana yakini nayo.



5. Hao wapo juu ya uwongofu utokao kwa Mola wao Mlezi, na hao ndio walio fanikiwa.



6. Hakika wale walio kufuru ni sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawaamini. "
 
QURAN 7: 35-36

35. "Enyi wanaadamu! Watakapo kufikieni Mitume miongoni mwenu wakakuelezeni Aya zangu, basi watakao mcha Mwenyezi Mungu na wakafanya mema haitakuwa hofu kwao,(baada ya kufa) wala hawata huzunika.



36. Na wale watakao kanusha Aya (Ishara) zetu na wakazifanyia kiburi, hao ni watu wa Motoni; humo watadumu."
 
Mungu wa Israel,
Mungu Allah,
Mungu wa wabudha,
Miungu ya kale pale misri,
Na Mungu au Miungu yote ambayo inaabudiwa ikiwemo mizimu na isiyo mizimu, ikiwemo hai na isiyo hai.

Ukweli mchungu ni huu,pamoja na ufahamu wetu wote tulionao lakini bado hatufahamu kuhusu Mungu ama chanzo cha ulimwengu.
Sisemi kuwa Mungu yupo au hayupo hapana,bali naandika kuhusu giza la ufahamu tulilonalo juu ya yupi ni Mungu sahihi ama kipi ni chanzo sahihi cha ulimwengu!

Nafahamu watu na imani zenu mnaona kama naandika maandiko yasiyosahihi!,ila naomba utulivu wa fikra zako japo kwa uchache tutazame vitu kwa undani zaidi.

Hebu fikiri imani uliyonayo sasa,najua wengi wenu mmeirithi toka kwenye jamii ulipozaliwa.. hivyo ulivyo laiti ungezaliwa katika jamii inayoabudu budha nawe ungeamini na kuabudu na pia ungejiona upo sahihi!.. imani ambayo ingekuwa tofauti nawe ungeona Kama ni uongo tupu!
Ulishawahi kujiuliza kwanini?
Jibu baki nalo!

Swali zuri nalotaka ujiulize ni kwanini tuna aina nyingi hivi ya Mungu/Miungu? Na wakati ukiangalia kiuhalisia sisi sote ni binadamu wamoja, mazingira mamoja, tunavuta hewa moja n.k. Kwenye vitu vidogo vidogo hivi tunafanana lakini hili kubwa tunatofauti sana!

Anaeabudu tofauti nawewe unamuona sio sahihi,nayeye pia anakuona wewe sio sahihi!

So yupi ni sahihi?

Kipi kinathibitisha kuwa wewe sio au ndio unaeamini mahali sahihi?

Mtu aliekinyume na imani yako ambae amezaliwa nakuamini tofauti unafikiri amefanya kosa lipi kwa Mungu wako kwa kutokumuamini kuwa ndie Mungu sahihi,ikiwa hakupata ufahamu wowote juu ya Mungu wako?

Je, unafikiri kati yako na Mungu nani alistahiri kumtoa kwenye tope mwenzake nakumleta mahali sahihi?

Maswali haya nikuchokoza ubongo wako ili ufikiri na uelewe nini namaanisha.

Je, huyo Mungu wako mwenye uweza haoni kama ana hatia kwa kuiachia Miungu myengine iabudiwe na kuwapoteza watu wake na hata kuja kuwapa adhabu watu hao?

Ukweli mchungu mwengine ni huu,mpaka Sasa binadamu hatufahamu Mungu sahihi na ndio maana bado tuna Miungu mingi tunayoabudu!

Laiti kama usahihi wa Mungu kweli ungeonekana kati ya Miungu tunayoijua basi binadamu asingekuwa kiumbe mwenye kutapatapa ktk imani!

Kwani kusingekuwa nashaka juu ya Mungu husika kwenye vichwa vyetu!

Tumezaliwa nakukuta vitu hivi vya imani,tumerithishwa tukavipokea(wapo wasiopokea) na tukaviamini (wapo wasioamini pia).
Jiulize,kwani imeshindikana nini kumfahamu Mungu mmoja wa kweli pasipo kurithishwa?

Imagine uzaliwe ujue kunyonya,ujue kupumua ujue kutazama ila Mungu wa kweli usimjue bali urithishwe.![emoji3]
Kimekosekana nini mpaka Tushindwe kumjua Mungu ndani yetu pasipo kufundishwa?

Binafsi mpaka hivi sasa katika Mungu na Miungu ambayo nimeilist hapo juu hakuna hata mmoja ambae logics zake zimeniingia akilini na kunishawishi kuwa yeye ndie Mungu wa kweli!

Hata robo ya ulimwengu jinsi unavyofanya kazi bado hatujaujua ama siri na kanuni za ulimwengu unavyofanya kazi bado hatujazijua!.
MIUNGU wengi tulionao tunaowaabudu bado hawana majibu juu ya chanzo chao pia na ulimwengu kiujumla! Nafikiri zipo sheria mama za kiulimwengu ambazo tukizigundua basi tunaweza kuujua ukweli wote!

Tunajikuta katika lindi la imani hizi kwasababu Kuna kitu hatujajua bado! Giza la ufahamu mbele yetu ndilo linatuweka katika matokeo haya!

Hatujui usahihi wa kweli ipi ndio maana tunatofauti katika Mungu tumuabudie!,kweli huwa haina mashaka ila uwezo wa ufahamu wako ndio unaamua ubebe kipi na uache kipi.

Kwa akili naufahamu wako umeamini kuwa wapo watu wameteuliwa kuwa karibu na Mungu,hivyo wanaweza kukusogeza karibu na Mungu! Kwanini sio wewe mwenyewe ikiwa wewe ni asili toka kwake?

Siamini katika Mungu wa mashaka ambae toka binadamu amekuwepo ktk dunia hii tunaambiwa yupo ila anawashukia wachache na hali ipo Kama hivi ilivyo! Hata kuthibitika kwake bado imekuwa ni mashaka au matendo yake hayathibitiki bali masimulizi!

Mungu ambae ameumba ulimwengu wenye sayari lukuki na akamtupa shetani katika dunia ambayo inaviumbe wake wapendwa! Mungu ambae anasema kwamba shetani amekuja kutujaribu hivyo ni kazi yake mwenyewe anaipima na Kama hukuwa sahihi basi unapewa adhabu! Sa nani hayupo sahihi ikiwa mimi nilieumbwa au yeye alieniumba?

Haitoshi yupo Mungu na Miungu iliyobumbwa kwa vito ambavyo vimetoka hapahapa duniania na tunaambiwa wao ndio walituumba![emoji23]

Nafikiri tunasafari ndefu ya kufahamu ukweli juu ya nadharia ya Umungu na Mungu mwenyewe pamoja na chanzo cha ulimwengu.
hakika uzi wk umeniacha na maswal meng sn mkuu...
 
QURAN 7: 35-36

35. "Enyi wanaadamu! Watakapo kufikieni Mitume miongoni mwenu wakakuelezeni Aya zangu, basi watakao mcha Mwenyezi Mungu na wakafanya mema haitakuwa hofu kwao,(baada ya kufa) wala hawata huzunika.



36. Na wale watakao kanusha Aya (Ishara) zetu na wakazifanyia kiburi, hao ni watu wa Motoni; humo watadumu."
Sidhani hata Kama umeelewa mada mkuu! By the way sidhani kama hapa panafaa kunadi Sera za Mungu fulani! Jitahidi kuja na majibu na sio Sera za kunadi.
 
Biblia inasema ''Mungu ndo kaumba kaumba viumbe vyote hapa Duniani!'' ina maana vinavyo muamini na visivyo muamini!! na wewe ukiwa mmoja wao Mungu hana shida na hilo ni sawa uko ivo!! endelea!

hata shetani aliumbwa na Mungu huyo huyo!! ....... Mungu huyo huyo akaendelea sema zaidi kuwa ''Imani siyo mali ya kila mtu''' ....sasa tatizo lake nini mpaka ajadiliwe?? muacheni apumzike bana, walio wake wanamjua!...kwani weye hapa Lengo lako ni nini??

hao walio wake waache kumuabudu au!!!! ...kwa mujibu wa Biblia wewe uko sahihi kabisa!! Mungu wao hakuhusu!! endelea na sehemu yako salama ipo inakusubiri shida iko wapi??

Kama husikii akaongezea lingine namnukuu ''Kondoo wanamjua mchungaji wake'' ukiitizama hii ni kweli kabisaaa!........ Akasema tena kuwa hata '''siyo kila aniitaye Bwana!! Bwana!! ataingia ktk ufalme wa Mbinguni'' jamani hayayooote bado hujui tu??

kwa hiyo hata hao unao dhania wako sahahi kwa upande wa Mungu!! wanaweza wasiingie mbinguni! Upo hapo Mazee!..... haya Mambo yako hivi kila mtoto mtaani ana Baba yake!! ... Baba za wengine ni wazuri ever!! na wengine ni wabaya ever!! ni kipigo tyuuu!!

Huyu mwenye Baba mbaya/mlevi/malaya/kichapo tuu kila siku! wanae wakimuona wanakula kona!! hawa ukiwambia Baba yangu ni mzuri sana muelewa hawawezi kukuelewa hata!! ...ndo sawa na wewe!! waache hao wanao mwabudu Mungu wao!! wamuabudu.

kwa kuwa wanamjua fika! wewe hujui!!...wanamwona siyo kila binadamu unaye muona mtaani ni Mtu mwenye nafsi la hasha!! na hili linahitaji karama ya Mungu tu kuyajua haya! inawezekana weye ukawa mmoja wapo!

Sayansi pamoja na ubabe wao wooote wanafika mahala wanagota!! mpaka leo hawajui mtu akizaliwa /akifa anatoka au enda wapi? lkn Biblia ina majibu!!....Kwa nini Dunia pekee inaelea Angani na ina uhai hawana majibu mpaka kesho!!

Kwa nini mwili wako uwe na ushirikiano ivo.....kuanzia kuvuta hewa kula chakula kigumu na kuwa kinyesi!! hutapata majibu......yaani utajiuliza mpaka kesho!!......nina mengi lkn Muacheni Mungu bana!!! ...... please!!...

Mnakereketwa na nini?? hamlali bandiko loote hilo juu ya uwepo wake?? hii tu inatosha kujua Mungu yupo!!.......Leo hii na sasa ivi napoandika hapa mnajua kabisaa kuwa majini Mashetani!! vibwengo, wachawi yoote hayo yapo live mitaani...

kwa nini hamtaki fikiria nguvu Opposite na hizo za shetani mnazo ziona wazi wazi???. shetani yeye hajifichi.. kwanza anamuogopa sana Mungu.......tena unampiga kirahisi sana kwa jina la Yesu tu live! hilooo lina kufa tena unaona hivi........

.lkn Haya yoote bado tu mnajifanya hamuelewi duu!!kama ni ivo wewe hapo! mleta Mada unamjua unae mtumikia...sivyo lah!! subiri soon tu! atakuvaa!!...wewe ni kibwengo halisi ila hujijui!! sababu hii siyo kawaida!! siku moja jipitishe kanisani uone moto wake!
 
Duuhhh [emoji23][emoji1787]
Yule mpakwa mafuta , mtoto mteule wa annunak dumaa the terrible akija, patachimbika hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo la ujinga wako bwana mdogo unaamini kile kitu umeaminishwa bila kufanya tafiti,
Haya nenda you tube ukaangalie documentary inaitwa Annunaki chronicles umewekewa kule upate Somo ndio utanielewa Nini hua namaanisha,
Sometimes usidhani tunaandika vitu kujifurahisha waliokuletea Dini wao wameacha kuzifuta maana wanakua zile propaganda waliziandika wao zama za Giza ila Sasa hazina manufaa na kujikita kwenye chunguzi zenye ithibati na ushahidi dhahiri
Nenda kapate maarifa uone human manipulation na cloning project zinavyodadavuliwa na maandiko ya kale ya Sumerian ndio utajua hujui
Maana haiwezekani binadamu wa kale waandike mambo ambayo Leo kisayansi hatujayafikia Bado walijuaje?
 
Ukristo na uislam nao utapita .

Zinatakuja zingine nazo zitapita.
 
Kuna sababu nyingi kuamini kuna mbunifu wa ulimwengu.
LAKINI sifa alizotokea kupewa na mwanadam sijawai kuziafiki. Ni mawazo ya watu binafs kwa hekma na busara zao za nyakat zao ili kuwepo na mizania ya kuishi ki mahusiano waliyotaman na kuamini yanafaa.
Nahis kutenda kwa kuifata nafs itakuwa jambo jema! wema na ubaya viko katika dhamiri na sio mafundisho!
 
Mungu wa Israel,
Mungu Allah,
Mungu wa wabudha,
Miungu ya kale pale misri,
Na Mungu au Miungu yote ambayo inaabudiwa ikiwemo mizimu na isiyo mizimu, ikiwemo hai na isiyo hai.

Ukweli mchungu ni huu,pamoja na ufahamu wetu wote tulionao lakini bado hatufahamu kuhusu Mungu ama chanzo cha ulimwengu.
Sisemi kuwa Mungu yupo au hayupo hapana,bali naandika kuhusu giza la ufahamu tulilonalo juu ya yupi ni Mungu sahihi ama kipi ni chanzo sahihi cha ulimwengu!

Nafahamu watu na imani zenu mnaona kama naandika maandiko yasiyosahihi!,ila naomba utulivu wa fikra zako japo kwa uchache tutazame vitu kwa undani zaidi.

Hebu fikiri imani uliyonayo sasa,najua wengi wenu mmeirithi toka kwenye jamii ulipozaliwa.. hivyo ulivyo laiti ungezaliwa katika jamii inayoabudu budha nawe ungeamini na kuabudu na pia ungejiona upo sahihi!.. imani ambayo ingekuwa tofauti nawe ungeona Kama ni uongo tupu!
Ulishawahi kujiuliza kwanini?
Jibu baki nalo!

Swali zuri nalotaka ujiulize ni kwanini tuna aina nyingi hivi ya Mungu/Miungu? Na wakati ukiangalia kiuhalisia sisi sote ni binadamu wamoja, mazingira mamoja, tunavuta hewa moja n.k. Kwenye vitu vidogo vidogo hivi tunafanana lakini hili kubwa tunatofauti sana!

Anaeabudu tofauti nawewe unamuona sio sahihi,nayeye pia anakuona wewe sio sahihi!

So yupi ni sahihi?

Kipi kinathibitisha kuwa wewe sio au ndio unaeamini mahali sahihi?

Mtu aliekinyume na imani yako ambae amezaliwa nakuamini tofauti unafikiri amefanya kosa lipi kwa Mungu wako kwa kutokumuamini kuwa ndie Mungu sahihi,ikiwa hakupata ufahamu wowote juu ya Mungu wako?

Je, unafikiri kati yako na Mungu nani alistahiri kumtoa kwenye tope mwenzake nakumleta mahali sahihi?

Maswali haya nikuchokoza ubongo wako ili ufikiri na uelewe nini namaanisha.

Je, huyo Mungu wako mwenye uweza haoni kama ana hatia kwa kuiachia Miungu myengine iabudiwe na kuwapoteza watu wake na hata kuja kuwapa adhabu watu hao?

Ukweli mchungu mwengine ni huu,mpaka Sasa binadamu hatufahamu Mungu sahihi na ndio maana bado tuna Miungu mingi tunayoabudu!

Laiti kama usahihi wa Mungu kweli ungeonekana kati ya Miungu tunayoijua basi binadamu asingekuwa kiumbe mwenye kutapatapa ktk imani!

Kwani kusingekuwa nashaka juu ya Mungu husika kwenye vichwa vyetu!

Tumezaliwa nakukuta vitu hivi vya imani,tumerithishwa tukavipokea(wapo wasiopokea) na tukaviamini (wapo wasioamini pia).
Jiulize,kwani imeshindikana nini kumfahamu Mungu mmoja wa kweli pasipo kurithishwa?

Imagine uzaliwe ujue kunyonya,ujue kupumua ujue kutazama ila Mungu wa kweli usimjue bali urithishwe.!😀
Kimekosekana nini mpaka Tushindwe kumjua Mungu ndani yetu pasipo kufundishwa?

Binafsi mpaka hivi sasa katika Mungu na Miungu ambayo nimeilist hapo juu hakuna hata mmoja ambae logics zake zimeniingia akilini na kunishawishi kuwa yeye ndie Mungu wa kweli!

Hata robo ya ulimwengu jinsi unavyofanya kazi bado hatujaujua ama siri na kanuni za ulimwengu unavyofanya kazi bado hatujazijua!.
MIUNGU wengi tulionao tunaowaabudu bado hawana majibu juu ya chanzo chao pia na ulimwengu kiujumla! Nafikiri zipo sheria mama za kiulimwengu ambazo tukizigundua basi tunaweza kuujua ukweli wote!

Tunajikuta katika lindi la imani hizi kwasababu Kuna kitu hatujajua bado! Giza la ufahamu mbele yetu ndilo linatuweka katika matokeo haya!

Hatujui usahihi wa kweli ipi ndio maana tunatofauti katika Mungu tumuabudie!,kweli huwa haina mashaka ila uwezo wa ufahamu wako ndio unaamua ubebe kipi na uache kipi.

Kwa akili naufahamu wako umeamini kuwa wapo watu wameteuliwa kuwa karibu na Mungu,hivyo wanaweza kukusogeza karibu na Mungu! Kwanini sio wewe mwenyewe ikiwa wewe ni asili toka kwake?

Siamini katika Mungu wa mashaka ambae toka binadamu amekuwepo ktk dunia hii tunaambiwa yupo ila anawashukia wachache na hali ipo Kama hivi ilivyo! Hata kuthibitika kwake bado imekuwa ni mashaka au matendo yake hayathibitiki bali masimulizi!

Mungu ambae ameumba ulimwengu wenye sayari lukuki na akamtupa shetani katika dunia ambayo inaviumbe wake wapendwa! Mungu ambae anasema kwamba shetani amekuja kutujaribu hivyo ni kazi yake mwenyewe anaipima na Kama hukuwa sahihi basi unapewa adhabu! Sa nani hayupo sahihi ikiwa mimi nilieumbwa au yeye alieniumba?

Haitoshi yupo Mungu na Miungu iliyobumbwa kwa vito ambavyo vimetoka hapahapa duniania na tunaambiwa wao ndio walituumba!😂

Nafikiri tunasafari ndefu ya kufahamu ukweli juu ya nadharia ya Umungu na Mungu mwenyewe pamoja na chanzo ch

Mungu wa Israel,
Mungu Allah,
Mungu wa wabudha,
Miungu ya kale pale misri,
Na Mungu au Miungu yote ambayo inaabudiwa ikiwemo mizimu na isiyo mizimu, ikiwemo hai na isiyo hai.

Ukweli mchungu ni huu,pamoja na ufahamu wetu wote tulionao lakini bado hatufahamu kuhusu Mungu ama chanzo cha ulimwengu.
Sisemi kuwa Mungu yupo au hayupo hapana,bali naandika kuhusu giza la ufahamu tulilonalo juu ya yupi ni Mungu sahihi ama kipi ni chanzo sahihi cha ulimwengu!

Nafahamu watu na imani zenu mnaona kama naandika maandiko yasiyosahihi!,ila naomba utulivu wa fikra zako japo kwa uchache tutazame vitu kwa undani zaidi.

Hebu fikiri imani uliyonayo sasa,najua wengi wenu mmeirithi toka kwenye jamii ulipozaliwa.. hivyo ulivyo laiti ungezaliwa katika jamii inayoabudu budha nawe ungeamini na kuabudu na pia ungejiona upo sahihi!.. imani ambayo ingekuwa tofauti nawe ungeona Kama ni uongo tupu!
Ulishawahi kujiuliza kwanini?
Jibu baki nalo!

Swali zuri nalotaka ujiulize ni kwanini tuna aina nyingi hivi ya Mungu/Miungu? Na wakati ukiangalia kiuhalisia sisi sote ni binadamu wamoja, mazingira mamoja, tunavuta hewa moja n.k. Kwenye vitu vidogo vidogo hivi tunafanana lakini hili kubwa tunatofauti sana!

Anaeabudu tofauti nawewe unamuona sio sahihi,nayeye pia anakuona wewe sio sahihi!

So yupi ni sahihi?

Kipi kinathibitisha kuwa wewe sio au ndio unaeamini mahali sahihi?

Mtu aliekinyume na imani yako ambae amezaliwa nakuamini tofauti unafikiri amefanya kosa lipi kwa Mungu wako kwa kutokumuamini kuwa ndie Mungu sahihi,ikiwa hakupata ufahamu wowote juu ya Mungu wako?

Je, unafikiri kati yako na Mungu nani alistahiri kumtoa kwenye tope mwenzake nakumleta mahali sahihi?

Maswali haya nikuchokoza ubongo wako ili ufikiri na uelewe nini namaanisha.

Je, huyo Mungu wako mwenye uweza haoni kama ana hatia kwa kuiachia Miungu myengine iabudiwe na kuwapoteza watu wake na hata kuja kuwapa adhabu watu hao?

Ukweli mchungu mwengine ni huu,mpaka Sasa binadamu hatufahamu Mungu sahihi na ndio maana bado tuna Miungu mingi tunayoabudu!

Laiti kama usahihi wa Mungu kweli ungeonekana kati ya Miungu tunayoijua basi binadamu asingekuwa kiumbe mwenye kutapatapa ktk imani!

Kwani kusingekuwa nashaka juu ya Mungu husika kwenye vichwa vyetu!

Tumezaliwa nakukuta vitu hivi vya imani,tumerithishwa tukavipokea(wapo wasiopokea) na tukaviamini (wapo wasioamini pia).
Jiulize,kwani imeshindikana nini kumfahamu Mungu mmoja wa kweli pasipo kurithishwa?

Imagine uzaliwe ujue kunyonya,ujue kupumua ujue kutazama ila Mungu wa kweli usimjue bali urithishwe.!😀
Kimekosekana nini mpaka Tushindwe kumjua Mungu ndani yetu pasipo kufundishwa?

Binafsi mpaka hivi sasa katika Mungu na Miungu ambayo nimeilist hapo juu hakuna hata mmoja ambae logics zake zimeniingia akilini na kunishawishi kuwa yeye ndie Mungu wa kweli!

Hata robo ya ulimwengu jinsi unavyofanya kazi bado hatujaujua ama siri na kanuni za ulimwengu unavyofanya kazi bado hatujazijua!.
MIUNGU wengi tulionao tunaowaabudu bado hawana majibu juu ya chanzo chao pia na ulimwengu kiujumla! Nafikiri zipo sheria mama za kiulimwengu ambazo tukizigundua basi tunaweza kuujua ukweli wote!

Tunajikuta katika lindi la imani hizi kwasababu Kuna kitu hatujajua bado! Giza la ufahamu mbele yetu ndilo linatuweka katika matokeo haya!

Hatujui usahihi wa kweli ipi ndio maana tunatofauti katika Mungu tumuabudie!,kweli huwa haina mashaka ila uwezo wa ufahamu wako ndio unaamua ubebe kipi na uache kipi.

Kwa akili naufahamu wako umeamini kuwa wapo watu wameteuliwa kuwa karibu na Mungu,hivyo wanaweza kukusogeza karibu na Mungu! Kwanini sio wewe mwenyewe ikiwa wewe ni asili toka kwake?

Siamini katika Mungu wa mashaka ambae toka binadamu amekuwepo ktk dunia hii tunaambiwa yupo ila anawashukia wachache na hali ipo Kama hivi ilivyo! Hata kuthibitika kwake bado imekuwa ni mashaka au matendo yake hayathibitiki bali masimulizi!

Mungu ambae ameumba ulimwengu wenye sayari lukuki na akamtupa shetani katika dunia ambayo inaviumbe wake wapendwa! Mungu ambae anasema kwamba shetani amekuja kutujaribu hivyo ni kazi yake mwenyewe anaipima na Kama hukuwa sahihi basi unapewa adhabu! Sa nani hayupo sahihi ikiwa mimi nilieumbwa au yeye alieniumba?

Haitoshi yupo Mungu na Miungu iliyobumbwa kwa vito ambavyo vimetoka hapahapa duniania na tunaambiwa wao ndio walituumba!😂

Nafikiri tunasafari ndefu ya kufahamu ukweli juu ya nadharia ya Umungu na Mungu mwenyewe pamoja na chanzo cha ulimwengu.
Kama Biblia imeandika umeumbwa kwa mfano wa Mungu..unadhani wewe ni nani?(tuanzie hapo kwanza).
 
Dunia Ina miungu wengi Ila shetani moja

But sikuizi jukwaa la intelligent limejaa watu wengi wasioamini uwepo wa Mungu
Ni kwa sababu wanahitaji physical evidence for spiritual things (God is spirit) kitu ambacho hakitakaa kitokee kwa maana physical things/world zote zilitoka from spiritual things/world kwa hiyo it's possible to prove physical things/events with spiritual evidence but its absolute impossible to prove spiritual things with physical evidence
 
Dini Ni matrix iliyotengenezwa na wachache wanaoujua ukwel ili kutawala wengne, soul zetu zimetoka kwa Mungu kweli na znatambua Hilo, Ila akili zetu zimetekwa na matrix huku duniani, Cha msingi apo nikufanya juhudi binafsi za kiroho ili kujitambua wewe Ni Nan umetoka wap,umekuja kufanya nin na utaenda wap? Kumeditate Ni muhimu ili kuwa na utulivu na kufungua Soul zetu
Huu ni ukweli usiopingika kabisa kila mwanadamu anahitaji la ndani (built-in) la kuabudu hata asipoabudu Mungu ataabudu miungu hata miti ng'ombe nk, na dini ilikuwa njia ya mwanadamu kumtafuta Mungu wa kweli na mapenzi yake, lakini hakuna aliyemwona ndio maana kila mmoja akaja na experience yake na wengine kwa kujua hitaji hilo wakatumia dini kama silaha au nyenzo ya kutimiza matakwa yao kwa watu wengine wasio na ufahamu kama wao
 
Back
Top Bottom