Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mungu wa kweli yupo ndugu yangusema shida ya kuujua Ulimwengu na siri zake na kama kuna Mungu au la ...
Yute utayajua siku UTAKAPOKUFA TU.
Hapana. Ni ugumu wa maisha ndio unatufanya tufkiri Mambo mengi Kama hayo[emoji16]Kijukuu tu hicho bado kinakuwa maanunnaki wenyewe tumetulia tunawazoom tu na mlivyo naakili chache ati nasikia huwa mnaasherehe ya mwaka mpya..? Dunia ikikamilisha tu mzunguko wake mnapiga madebe![emoji23]
Ngojeni niwaibie siri yule jamaa alieandika uzi wake wa kuwa binadamu mnafugwa tu hapa duniani mkija kuwa wengi mnavunwa kuliwa!, Uzi huo hauna uongo..!![emoji41]
hakika uzi wk umeniacha na maswal meng sn mkuu...Mungu wa Israel,
Mungu Allah,
Mungu wa wabudha,
Miungu ya kale pale misri,
Na Mungu au Miungu yote ambayo inaabudiwa ikiwemo mizimu na isiyo mizimu, ikiwemo hai na isiyo hai.
Ukweli mchungu ni huu,pamoja na ufahamu wetu wote tulionao lakini bado hatufahamu kuhusu Mungu ama chanzo cha ulimwengu.
Sisemi kuwa Mungu yupo au hayupo hapana,bali naandika kuhusu giza la ufahamu tulilonalo juu ya yupi ni Mungu sahihi ama kipi ni chanzo sahihi cha ulimwengu!
Nafahamu watu na imani zenu mnaona kama naandika maandiko yasiyosahihi!,ila naomba utulivu wa fikra zako japo kwa uchache tutazame vitu kwa undani zaidi.
Hebu fikiri imani uliyonayo sasa,najua wengi wenu mmeirithi toka kwenye jamii ulipozaliwa.. hivyo ulivyo laiti ungezaliwa katika jamii inayoabudu budha nawe ungeamini na kuabudu na pia ungejiona upo sahihi!.. imani ambayo ingekuwa tofauti nawe ungeona Kama ni uongo tupu!
Ulishawahi kujiuliza kwanini?
Jibu baki nalo!
Swali zuri nalotaka ujiulize ni kwanini tuna aina nyingi hivi ya Mungu/Miungu? Na wakati ukiangalia kiuhalisia sisi sote ni binadamu wamoja, mazingira mamoja, tunavuta hewa moja n.k. Kwenye vitu vidogo vidogo hivi tunafanana lakini hili kubwa tunatofauti sana!
Anaeabudu tofauti nawewe unamuona sio sahihi,nayeye pia anakuona wewe sio sahihi!
So yupi ni sahihi?
Kipi kinathibitisha kuwa wewe sio au ndio unaeamini mahali sahihi?
Mtu aliekinyume na imani yako ambae amezaliwa nakuamini tofauti unafikiri amefanya kosa lipi kwa Mungu wako kwa kutokumuamini kuwa ndie Mungu sahihi,ikiwa hakupata ufahamu wowote juu ya Mungu wako?
Je, unafikiri kati yako na Mungu nani alistahiri kumtoa kwenye tope mwenzake nakumleta mahali sahihi?
Maswali haya nikuchokoza ubongo wako ili ufikiri na uelewe nini namaanisha.
Je, huyo Mungu wako mwenye uweza haoni kama ana hatia kwa kuiachia Miungu myengine iabudiwe na kuwapoteza watu wake na hata kuja kuwapa adhabu watu hao?
Ukweli mchungu mwengine ni huu,mpaka Sasa binadamu hatufahamu Mungu sahihi na ndio maana bado tuna Miungu mingi tunayoabudu!
Laiti kama usahihi wa Mungu kweli ungeonekana kati ya Miungu tunayoijua basi binadamu asingekuwa kiumbe mwenye kutapatapa ktk imani!
Kwani kusingekuwa nashaka juu ya Mungu husika kwenye vichwa vyetu!
Tumezaliwa nakukuta vitu hivi vya imani,tumerithishwa tukavipokea(wapo wasiopokea) na tukaviamini (wapo wasioamini pia).
Jiulize,kwani imeshindikana nini kumfahamu Mungu mmoja wa kweli pasipo kurithishwa?
Imagine uzaliwe ujue kunyonya,ujue kupumua ujue kutazama ila Mungu wa kweli usimjue bali urithishwe.![emoji3]
Kimekosekana nini mpaka Tushindwe kumjua Mungu ndani yetu pasipo kufundishwa?
Binafsi mpaka hivi sasa katika Mungu na Miungu ambayo nimeilist hapo juu hakuna hata mmoja ambae logics zake zimeniingia akilini na kunishawishi kuwa yeye ndie Mungu wa kweli!
Hata robo ya ulimwengu jinsi unavyofanya kazi bado hatujaujua ama siri na kanuni za ulimwengu unavyofanya kazi bado hatujazijua!.
MIUNGU wengi tulionao tunaowaabudu bado hawana majibu juu ya chanzo chao pia na ulimwengu kiujumla! Nafikiri zipo sheria mama za kiulimwengu ambazo tukizigundua basi tunaweza kuujua ukweli wote!
Tunajikuta katika lindi la imani hizi kwasababu Kuna kitu hatujajua bado! Giza la ufahamu mbele yetu ndilo linatuweka katika matokeo haya!
Hatujui usahihi wa kweli ipi ndio maana tunatofauti katika Mungu tumuabudie!,kweli huwa haina mashaka ila uwezo wa ufahamu wako ndio unaamua ubebe kipi na uache kipi.
Kwa akili naufahamu wako umeamini kuwa wapo watu wameteuliwa kuwa karibu na Mungu,hivyo wanaweza kukusogeza karibu na Mungu! Kwanini sio wewe mwenyewe ikiwa wewe ni asili toka kwake?
Siamini katika Mungu wa mashaka ambae toka binadamu amekuwepo ktk dunia hii tunaambiwa yupo ila anawashukia wachache na hali ipo Kama hivi ilivyo! Hata kuthibitika kwake bado imekuwa ni mashaka au matendo yake hayathibitiki bali masimulizi!
Mungu ambae ameumba ulimwengu wenye sayari lukuki na akamtupa shetani katika dunia ambayo inaviumbe wake wapendwa! Mungu ambae anasema kwamba shetani amekuja kutujaribu hivyo ni kazi yake mwenyewe anaipima na Kama hukuwa sahihi basi unapewa adhabu! Sa nani hayupo sahihi ikiwa mimi nilieumbwa au yeye alieniumba?
Haitoshi yupo Mungu na Miungu iliyobumbwa kwa vito ambavyo vimetoka hapahapa duniania na tunaambiwa wao ndio walituumba![emoji23]
Nafikiri tunasafari ndefu ya kufahamu ukweli juu ya nadharia ya Umungu na Mungu mwenyewe pamoja na chanzo cha ulimwengu.
Sidhani hata Kama umeelewa mada mkuu! By the way sidhani kama hapa panafaa kunadi Sera za Mungu fulani! Jitahidi kuja na majibu na sio Sera za kunadi.QURAN 7: 35-36
35. "Enyi wanaadamu! Watakapo kufikieni Mitume miongoni mwenu wakakuelezeni Aya zangu, basi watakao mcha Mwenyezi Mungu na wakafanya mema haitakuwa hofu kwao,(baada ya kufa) wala hawata huzunika.
36. Na wale watakao kanusha Aya (Ishara) zetu na wakazifanyia kiburi, hao ni watu wa Motoni; humo watadumu."
Tatizo la ujinga wako bwana mdogo unaamini kile kitu umeaminishwa bila kufanya tafiti,Duuhhh [emoji23][emoji1787]
Yule mpakwa mafuta , mtoto mteule wa annunak dumaa the terrible akija, patachimbika hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna spirits zina nguvu kuliko shetaniDunia Ina miungu wengi Ila shetani moja
But sikuizi jukwaa la intelligent limejaa watu wengi wasioamini uwepo wa Mungu
Sasa kama kwel ww ni kiumbe wa maabara ukifa umekufa😅😅😅😂.sema shida ya kuujua Ulimwengu na siri zake na kama kuna Mungu au la ...
Yute utayajua siku UTAKAPOKUFA TU.
Mungu wa Israel,
Mungu Allah,
Mungu wa wabudha,
Miungu ya kale pale misri,
Na Mungu au Miungu yote ambayo inaabudiwa ikiwemo mizimu na isiyo mizimu, ikiwemo hai na isiyo hai.
Ukweli mchungu ni huu,pamoja na ufahamu wetu wote tulionao lakini bado hatufahamu kuhusu Mungu ama chanzo cha ulimwengu.
Sisemi kuwa Mungu yupo au hayupo hapana,bali naandika kuhusu giza la ufahamu tulilonalo juu ya yupi ni Mungu sahihi ama kipi ni chanzo sahihi cha ulimwengu!
Nafahamu watu na imani zenu mnaona kama naandika maandiko yasiyosahihi!,ila naomba utulivu wa fikra zako japo kwa uchache tutazame vitu kwa undani zaidi.
Hebu fikiri imani uliyonayo sasa,najua wengi wenu mmeirithi toka kwenye jamii ulipozaliwa.. hivyo ulivyo laiti ungezaliwa katika jamii inayoabudu budha nawe ungeamini na kuabudu na pia ungejiona upo sahihi!.. imani ambayo ingekuwa tofauti nawe ungeona Kama ni uongo tupu!
Ulishawahi kujiuliza kwanini?
Jibu baki nalo!
Swali zuri nalotaka ujiulize ni kwanini tuna aina nyingi hivi ya Mungu/Miungu? Na wakati ukiangalia kiuhalisia sisi sote ni binadamu wamoja, mazingira mamoja, tunavuta hewa moja n.k. Kwenye vitu vidogo vidogo hivi tunafanana lakini hili kubwa tunatofauti sana!
Anaeabudu tofauti nawewe unamuona sio sahihi,nayeye pia anakuona wewe sio sahihi!
So yupi ni sahihi?
Kipi kinathibitisha kuwa wewe sio au ndio unaeamini mahali sahihi?
Mtu aliekinyume na imani yako ambae amezaliwa nakuamini tofauti unafikiri amefanya kosa lipi kwa Mungu wako kwa kutokumuamini kuwa ndie Mungu sahihi,ikiwa hakupata ufahamu wowote juu ya Mungu wako?
Je, unafikiri kati yako na Mungu nani alistahiri kumtoa kwenye tope mwenzake nakumleta mahali sahihi?
Maswali haya nikuchokoza ubongo wako ili ufikiri na uelewe nini namaanisha.
Je, huyo Mungu wako mwenye uweza haoni kama ana hatia kwa kuiachia Miungu myengine iabudiwe na kuwapoteza watu wake na hata kuja kuwapa adhabu watu hao?
Ukweli mchungu mwengine ni huu,mpaka Sasa binadamu hatufahamu Mungu sahihi na ndio maana bado tuna Miungu mingi tunayoabudu!
Laiti kama usahihi wa Mungu kweli ungeonekana kati ya Miungu tunayoijua basi binadamu asingekuwa kiumbe mwenye kutapatapa ktk imani!
Kwani kusingekuwa nashaka juu ya Mungu husika kwenye vichwa vyetu!
Tumezaliwa nakukuta vitu hivi vya imani,tumerithishwa tukavipokea(wapo wasiopokea) na tukaviamini (wapo wasioamini pia).
Jiulize,kwani imeshindikana nini kumfahamu Mungu mmoja wa kweli pasipo kurithishwa?
Imagine uzaliwe ujue kunyonya,ujue kupumua ujue kutazama ila Mungu wa kweli usimjue bali urithishwe.!😀
Kimekosekana nini mpaka Tushindwe kumjua Mungu ndani yetu pasipo kufundishwa?
Binafsi mpaka hivi sasa katika Mungu na Miungu ambayo nimeilist hapo juu hakuna hata mmoja ambae logics zake zimeniingia akilini na kunishawishi kuwa yeye ndie Mungu wa kweli!
Hata robo ya ulimwengu jinsi unavyofanya kazi bado hatujaujua ama siri na kanuni za ulimwengu unavyofanya kazi bado hatujazijua!.
MIUNGU wengi tulionao tunaowaabudu bado hawana majibu juu ya chanzo chao pia na ulimwengu kiujumla! Nafikiri zipo sheria mama za kiulimwengu ambazo tukizigundua basi tunaweza kuujua ukweli wote!
Tunajikuta katika lindi la imani hizi kwasababu Kuna kitu hatujajua bado! Giza la ufahamu mbele yetu ndilo linatuweka katika matokeo haya!
Hatujui usahihi wa kweli ipi ndio maana tunatofauti katika Mungu tumuabudie!,kweli huwa haina mashaka ila uwezo wa ufahamu wako ndio unaamua ubebe kipi na uache kipi.
Kwa akili naufahamu wako umeamini kuwa wapo watu wameteuliwa kuwa karibu na Mungu,hivyo wanaweza kukusogeza karibu na Mungu! Kwanini sio wewe mwenyewe ikiwa wewe ni asili toka kwake?
Siamini katika Mungu wa mashaka ambae toka binadamu amekuwepo ktk dunia hii tunaambiwa yupo ila anawashukia wachache na hali ipo Kama hivi ilivyo! Hata kuthibitika kwake bado imekuwa ni mashaka au matendo yake hayathibitiki bali masimulizi!
Mungu ambae ameumba ulimwengu wenye sayari lukuki na akamtupa shetani katika dunia ambayo inaviumbe wake wapendwa! Mungu ambae anasema kwamba shetani amekuja kutujaribu hivyo ni kazi yake mwenyewe anaipima na Kama hukuwa sahihi basi unapewa adhabu! Sa nani hayupo sahihi ikiwa mimi nilieumbwa au yeye alieniumba?
Haitoshi yupo Mungu na Miungu iliyobumbwa kwa vito ambavyo vimetoka hapahapa duniania na tunaambiwa wao ndio walituumba!😂
Nafikiri tunasafari ndefu ya kufahamu ukweli juu ya nadharia ya Umungu na Mungu mwenyewe pamoja na chanzo ch
Kama Biblia imeandika umeumbwa kwa mfano wa Mungu..unadhani wewe ni nani?(tuanzie hapo kwanza).Mungu wa Israel,
Mungu Allah,
Mungu wa wabudha,
Miungu ya kale pale misri,
Na Mungu au Miungu yote ambayo inaabudiwa ikiwemo mizimu na isiyo mizimu, ikiwemo hai na isiyo hai.
Ukweli mchungu ni huu,pamoja na ufahamu wetu wote tulionao lakini bado hatufahamu kuhusu Mungu ama chanzo cha ulimwengu.
Sisemi kuwa Mungu yupo au hayupo hapana,bali naandika kuhusu giza la ufahamu tulilonalo juu ya yupi ni Mungu sahihi ama kipi ni chanzo sahihi cha ulimwengu!
Nafahamu watu na imani zenu mnaona kama naandika maandiko yasiyosahihi!,ila naomba utulivu wa fikra zako japo kwa uchache tutazame vitu kwa undani zaidi.
Hebu fikiri imani uliyonayo sasa,najua wengi wenu mmeirithi toka kwenye jamii ulipozaliwa.. hivyo ulivyo laiti ungezaliwa katika jamii inayoabudu budha nawe ungeamini na kuabudu na pia ungejiona upo sahihi!.. imani ambayo ingekuwa tofauti nawe ungeona Kama ni uongo tupu!
Ulishawahi kujiuliza kwanini?
Jibu baki nalo!
Swali zuri nalotaka ujiulize ni kwanini tuna aina nyingi hivi ya Mungu/Miungu? Na wakati ukiangalia kiuhalisia sisi sote ni binadamu wamoja, mazingira mamoja, tunavuta hewa moja n.k. Kwenye vitu vidogo vidogo hivi tunafanana lakini hili kubwa tunatofauti sana!
Anaeabudu tofauti nawewe unamuona sio sahihi,nayeye pia anakuona wewe sio sahihi!
So yupi ni sahihi?
Kipi kinathibitisha kuwa wewe sio au ndio unaeamini mahali sahihi?
Mtu aliekinyume na imani yako ambae amezaliwa nakuamini tofauti unafikiri amefanya kosa lipi kwa Mungu wako kwa kutokumuamini kuwa ndie Mungu sahihi,ikiwa hakupata ufahamu wowote juu ya Mungu wako?
Je, unafikiri kati yako na Mungu nani alistahiri kumtoa kwenye tope mwenzake nakumleta mahali sahihi?
Maswali haya nikuchokoza ubongo wako ili ufikiri na uelewe nini namaanisha.
Je, huyo Mungu wako mwenye uweza haoni kama ana hatia kwa kuiachia Miungu myengine iabudiwe na kuwapoteza watu wake na hata kuja kuwapa adhabu watu hao?
Ukweli mchungu mwengine ni huu,mpaka Sasa binadamu hatufahamu Mungu sahihi na ndio maana bado tuna Miungu mingi tunayoabudu!
Laiti kama usahihi wa Mungu kweli ungeonekana kati ya Miungu tunayoijua basi binadamu asingekuwa kiumbe mwenye kutapatapa ktk imani!
Kwani kusingekuwa nashaka juu ya Mungu husika kwenye vichwa vyetu!
Tumezaliwa nakukuta vitu hivi vya imani,tumerithishwa tukavipokea(wapo wasiopokea) na tukaviamini (wapo wasioamini pia).
Jiulize,kwani imeshindikana nini kumfahamu Mungu mmoja wa kweli pasipo kurithishwa?
Imagine uzaliwe ujue kunyonya,ujue kupumua ujue kutazama ila Mungu wa kweli usimjue bali urithishwe.!😀
Kimekosekana nini mpaka Tushindwe kumjua Mungu ndani yetu pasipo kufundishwa?
Binafsi mpaka hivi sasa katika Mungu na Miungu ambayo nimeilist hapo juu hakuna hata mmoja ambae logics zake zimeniingia akilini na kunishawishi kuwa yeye ndie Mungu wa kweli!
Hata robo ya ulimwengu jinsi unavyofanya kazi bado hatujaujua ama siri na kanuni za ulimwengu unavyofanya kazi bado hatujazijua!.
MIUNGU wengi tulionao tunaowaabudu bado hawana majibu juu ya chanzo chao pia na ulimwengu kiujumla! Nafikiri zipo sheria mama za kiulimwengu ambazo tukizigundua basi tunaweza kuujua ukweli wote!
Tunajikuta katika lindi la imani hizi kwasababu Kuna kitu hatujajua bado! Giza la ufahamu mbele yetu ndilo linatuweka katika matokeo haya!
Hatujui usahihi wa kweli ipi ndio maana tunatofauti katika Mungu tumuabudie!,kweli huwa haina mashaka ila uwezo wa ufahamu wako ndio unaamua ubebe kipi na uache kipi.
Kwa akili naufahamu wako umeamini kuwa wapo watu wameteuliwa kuwa karibu na Mungu,hivyo wanaweza kukusogeza karibu na Mungu! Kwanini sio wewe mwenyewe ikiwa wewe ni asili toka kwake?
Siamini katika Mungu wa mashaka ambae toka binadamu amekuwepo ktk dunia hii tunaambiwa yupo ila anawashukia wachache na hali ipo Kama hivi ilivyo! Hata kuthibitika kwake bado imekuwa ni mashaka au matendo yake hayathibitiki bali masimulizi!
Mungu ambae ameumba ulimwengu wenye sayari lukuki na akamtupa shetani katika dunia ambayo inaviumbe wake wapendwa! Mungu ambae anasema kwamba shetani amekuja kutujaribu hivyo ni kazi yake mwenyewe anaipima na Kama hukuwa sahihi basi unapewa adhabu! Sa nani hayupo sahihi ikiwa mimi nilieumbwa au yeye alieniumba?
Haitoshi yupo Mungu na Miungu iliyobumbwa kwa vito ambavyo vimetoka hapahapa duniania na tunaambiwa wao ndio walituumba!😂
Nafikiri tunasafari ndefu ya kufahamu ukweli juu ya nadharia ya Umungu na Mungu mwenyewe pamoja na chanzo cha ulimwengu.
😂😂😂Tushazoea na matisho yao ya kutuchoma moto usioisha..😅
Ni kwa sababu wanahitaji physical evidence for spiritual things (God is spirit) kitu ambacho hakitakaa kitokee kwa maana physical things/world zote zilitoka from spiritual things/world kwa hiyo it's possible to prove physical things/events with spiritual evidence but its absolute impossible to prove spiritual things with physical evidenceDunia Ina miungu wengi Ila shetani moja
But sikuizi jukwaa la intelligent limejaa watu wengi wasioamini uwepo wa Mungu
Huu ni ukweli usiopingika kabisa kila mwanadamu anahitaji la ndani (built-in) la kuabudu hata asipoabudu Mungu ataabudu miungu hata miti ng'ombe nk, na dini ilikuwa njia ya mwanadamu kumtafuta Mungu wa kweli na mapenzi yake, lakini hakuna aliyemwona ndio maana kila mmoja akaja na experience yake na wengine kwa kujua hitaji hilo wakatumia dini kama silaha au nyenzo ya kutimiza matakwa yao kwa watu wengine wasio na ufahamu kama waoDini Ni matrix iliyotengenezwa na wachache wanaoujua ukwel ili kutawala wengne, soul zetu zimetoka kwa Mungu kweli na znatambua Hilo, Ila akili zetu zimetekwa na matrix huku duniani, Cha msingi apo nikufanya juhudi binafsi za kiroho ili kujitambua wewe Ni Nan umetoka wap,umekuja kufanya nin na utaenda wap? Kumeditate Ni muhimu ili kuwa na utulivu na kufungua Soul zetu