Kuhusu Muungano, Makamo wa Kwanza wa Zanzibar, Adai ni Zanzibar Pekee iliyopoteza Sovereignty, Je Yuko Sahihi?

Kuhusu Muungano, Makamo wa Kwanza wa Zanzibar, Adai ni Zanzibar Pekee iliyopoteza Sovereignty, Je Yuko Sahihi?

Dawa ya jambo hili ni maamuzi magumu yafuatayo: Kutoa notisi ya siku 90 wazanzibara wote walioko ZANZIBAR warudi Tanzania bara, na Wazanzibari wote walioko Tanzania bara warudi wZanzibar!!. Kila sehemu ya Jamhuri ya Muungano ione itawahifadhi vipi watu wao. Baada ya siku hizo 90, itolewe notisi ya siku 90 ya kutafakari, siku hizi zikiisha iitishwe kura ya maoni Tanzania bara na kule Zanzibar watu waamue aidha kuuvunja muungano au kuuimarisha kwa kuwa na nchi moja ya Tanzania yenye serikali moja tu! Hakuna cha serikali ya Zanzibar kama ilivyo hakuna serikali ya Tanganyika!! Matokeo ya kura hiyo yaheshimiwe!! Tanzania visiwani iwe mikoa miwili tu ya Tanzania!!
Hawa wazenji wametuchosha!! Wapemba wamejaa kila kona ya Tanzania bara lakini hawaridniki !! Waondoke warudi kwao!!!
Hilo dogo tu, nakuhakikishia mtabaki watupu,kwani wakati wa ukoloni walipoondoka waliacha neema gani Leo zipo wapi ???
Nina uhakika mkilitumia hilo sio vibaya ni haki yenu fanyeni,ila baada ya muda mchache mtaanza kukauka kama mti uliokosa kumwagiwa maji kama haitoshi mtaanza kukatana vichwa kugombania waliyoyaacha WaZanzibari,tuseme mali zisizo hamishika,lazima mtanyongana tu. Amueni leo kabla ya kesho mnacheleweshwa na kitu gani,WaZanzibari hamna la kuwashawishi hata miaka elfu au mwisho wa Dunia Muungano weshauchoka,na suala la Muda tu sauti zitasikika Dunia nzima na haitakuwa Nchi ya kwanza hapa ulimwenguni kuvunja Muungano,mbona zipo nyingi,mnachokiogopa hakijulikani. Mnatumia nguvu za ziada ambazo mwisho wake mtageukiana wenyewe kwa wenyewe,si mmeanza kuitana magaidi ??? Au nimekosea neno ?
 
Changamkieni Tanganyika yenu, WaZanzibar sasa wanajitambua,huwa wanawaitikia tu Watanganyika ,wenyewe wanasema wanawaondosha njiani..lakini ukweli kwa sasa Muungano upo jina tu.

Ajabu machogo wengi maongezi yao hayanogi kama hawa hawajajisifia kufika Zanzibar ,yaani hata kama ameenda Ulay huko majuu basi kama hajawai kufika Zanzibar huwa hanaga furaha,ndio siku hizi hata wasanii hujisifia kwenda Zanzibar kupumzika. Hivi Mbuga za wanyama haziwatoshi ???
 
Wanabodi,

Wale wenye access na Plus TV, watch now kipindi cha Uso kwa Uso, Makamo wa Kwanza wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman asema uongo wa wazi wa mchana kweupe kuhusu muungano wetu.

Mhe. Masoud anadanganya uongo wa wazi mchana kweupe kuwa Tanganyika na Zanzibar tulipoungana, ile 1964, ni nchi moja tuu ya Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, ndio pekee iliyopoteza sovereignity yake na kuikabidhi kwa Jamhuri ya Tanganyika, lakini Tanganyika haikupoteza sovereignity yake, bali Tanganyika ilibadili tuu jina kutoka Tanganyika kugeuka Tanzania with its sovereignity, kitu ambacho sii kweli!.

Kiukweli kabisa Tanzania tunahitaji sana civic éducation kuhusu huu muungano wetu, hata baadhi ya Viongozi wetu hawaujui vizuri muungano wetu hivyo wanapotosha watu bure.

Msingi mkuu wa muungano wetu ni dhima, kuwa sisi Watanzania ni wamoja. Dhima hiyo ndio ikatumiwa na Nyerere na Karume kuasisi huu muungano uliopo hadi leo. Hivyo anapoibika kiongozi yeyote kutaka kuipotosha hii Dhima, Wazalendo tuliopo tunaoujua ukweli huu hatuwezi kunyamaza !.

Ukweli ni kuwa, tulipoungana nchi zote mbili, Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, nchi zote mbili zilipoteza sovereignity zake, kwa Zanzibar kupoteza sovereignity yake na Tanganyika pia ikapoteza sovereignity yake, tukaunda nchi moja mpya ya Tanzania. Nchi ya Zanzibar haipo na nchi ya Tanganyika pia haipo, kilichopo ni nchi moja mpya ya JMT, ambayo ina sehemu mbili, Tanzania Bara iliyokuwa Tanganyika na Tanzania Visiwani, au Tanzania Zanzibar iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.

Mimi sitatizwi na uongo wowote wa kawaida ambao hauna madhara, lakini uongo mkubwa kama huu, kuhusu muungano wetu adhimu, na kutoka kwa mtu mwenye cheo kikubwa kama hiki, aliyekuwa mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, huu ni uongo wenye madhara makubwa kwa mustakabali mwema wa muungano wetu. Uongo kama huu una kitu kinachoitwa "ill motives" kwenye "the reasons or motivés behind" Jee lengo la uongo huu ni nini?.

Wakati wa Bunge la Katiba, niliwahi kutoa angalizo hili kuhusu mtu huyu
na kweli Dr. Shein alimshughulikia.

Muungano wetu ni muungano wa nchi mbili zenye hadhi sawa sawa, hakuna mkubwa wala mdogo, ndani ya muungano Tanganyika na Zanzibar ziko sawa sawa na zote mbili zilipoteza sovereignity zake na kuikabidhi kwa serikali ya JMT.

Muungano wetu ni aina ya muungano very unique duniani, kimataifa muungano wetu ni union wa nchi mbili zimeungana na kuunda nchi moja ya Tanzania. Hivyo Tanzania kimataifa ni nchi moja ya JMT, ni taifa moja, ni dola moja yenye rais mmoja, rais wa JMT ambaye ni Samia. Pia tuna Amiri Jeshi Mkuu mmoja tuu. Kimataifa Zanzibar sio nchi, Zanzibar ni sehemu ya JMT yenye utawala wake wa ndani.

Muungano wetu ndani ya muungano, muungano wetu ni muungano wa nchi mbili, yaani federation, hivyo ndani ya muungano, Zanzibar ni nchi, yenye rais wake, serikali yake, ina katiba yake, ambayo mabadiliko yaliyofanywa 2010 kuunda SUK, hayatambuliwi na katiba ya JMT. Kwa vile ndani ya muungano Zanzibar ina mamlaka yake huru bila kuingiliwa na serikali ya JMT, la katiba hiyo ni kwa ajili ya mambo yake ya ndani, japo katiba hiyo iko kinyume cha katiba ya JMT, lakini kwa vile ni ya ndani ya Zanzibar,

Kwa upande wa GNU au SUK,
ni serikali ya coalition. Kwenye coalition zote kuna the majority na a minority. A minority ndani ya coalition anatekeleza sera za à majority. Hivyo Viongozi wa ACT ndani ya serikali ya SUK ya Zanzibar, wanatekeza sera CCM.

Hivyo Viongozi wote wa ACT Wazalendo waliomo ndani ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar wanapaswa kuhubiri na kutekeleza sera za CCM, hivyo hata wanapoalikwa popote kwenye public, watatanguliza maslahi ya Zanzibar kwa mujibu wa sera za chama tawala.

Sasa mtu huyu ndio yuko ndani ya nyumba, yuko jikoni kabisa, asipothibitiwa, amini usiamini, amini nawaambieni akija tokea kufika kule juu kileleni, very soon, tutagawana fito!.

Paskali

Welcome back Paskal
 
Mkuu mfufuka, Resurrection , hapa hatuzungumzii usomi wa mtu, zungumzia hoja iliyopo mezani usilete mipasho. Tanganyika na Zanzibar zilipoungana na kuunda Tanzania, nchi zote mbili zilipoteza sovereignity zake. Sii kweli iliyopoteza ni nchi moja tuu ya Zanzibar.

Mtu unaweza usiwe msomi na ukawa na hoja mujarab kuliko Wasomi.

P
Unajua Wazanzibari hawataki Muungano na hilo liko wazi ndio maana mutaulinda kwa nguvu zenu zote nn bara mmepoteza labda jina lenu Tanganyika /Tanzania nyie ni mbwa mwitu mulovaa ngozi ya kondoo ,sasa kama mmepoteza sovereignity yenu VUNJA MUUNGANO mara moja hii ni ajenda ya babu yako Nyerere toka Mapinduzi mpk huo Muungano Refer Kitabu KWAHERI UKOLONI.Tafuta wajinga wenzako uwalishe pumba zako Wazanzibari wanajitambua muna chuki kwa sababu ya Raisi ni Mzanzibari tena Mwanamke.Paskali wadanganye Wabara wenzako.
 
Mkuu Shocker , sijui mwenzetu unaishi kwenye karne ya ngapi, gesi na mafuta viliishatolewa kwenye mambo ya muungano, hivyo Zanzibar iko huru kuchimba hayo mafuta yake ya kwenye kinibu, ila mafuta ya kwenye bahari ni mali ya muungano. Kimataifa Tanzania ni nchi moja ya JMT, ndani ya Tanzania hakuna mpaka wa nchi nyingine yoyote iitwayo Zanzibar, bali Zanzibar ni sehemu ya JMT.
P
 
Mkuu Shocker , sijui mwenzetu unaishi kwenye karne ya ngapi, gesi na mafuta viliishatolewa kwenye mambo ya muungano, hivyo Zanzibar iko huru kuchimba hayo mafuta yake ya kwenye kinibu, ila mafuta ya kwenye bahari ni mali ya muungano. Kimataifa Tanzania ni nchi moja ya JMT, ndani ya Tanzania hakuna mpaka wa nchi nyingine yoyote iitwayo Zanzibar, bali Zanzibar ni sehemu ya JMT.
P
 
Mkuu Shocker , sijui mwenzetu unaishi kwenye karne ya ngapi, gesi na mafuta viliishatolewa kwenye mambo ya muungano, hivyo Zanzibar iko huru kuchimba hayo mafuta yake ya kwenye kinibu, ila mafuta ya kwenye bahari ni mali ya muungano. Kimataifa Tanzania ni nchi moja ya JMT, ndani ya Tanzania hakuna mpaka wa nchi nyingine yoyote iitwayo Zanzibar, bali Zanzibar ni sehemu ya JMT.
P
 
Wewe ni Fitna na hasidi na roho mbaya plus ni mdini vile vile tena una chuki za ndani na Wazanzibari haya ndio maneno ya kusema adhibitiwe nani (
Sasa mtu huyu ndio yuko ndani ya nyumba, yuko jikoni kabisa, asipothibitiwa, amini usiamini, amini nawaambieni akija tokea kufika kule juu kileleni, very soon, tutagawana fito!.)

Paskali
Wewe ni mtu mbaya sana sana kwa Wazanzibari una chuki sana ,usilazimishe Muungano wkt watu hawautaki Wazanzibari hatutaki Muunganoooo wacha tugawane Fito .Tangayika mungeungana na Kenya au Uganda au japo Ruanda na nchi moja bara moja unaweza kwenda kwa miguu.Wacha ushenzi wako msimamo wa Wazanzibari hatutaki Muunganoo.Full Stop.
 
MPE walau heshima take ya Umakamu was Rais.

Ficha chuki zako binafsi. Hebu pitia tena hayo maandishi yako, yahakiki vizuri wewe in mwandishi Mkongwe uone ulivyotumia maneno ya kubeza.

Nadhani umenielewa
Mwandishi Mjinga kiasi hichi huu jamaa hatari sana dah dah hawa paskali ndio watu wabaya sana ktk Tangayika hii tena wako wengi wamejificha ficha inafaa wateketezwe mara moja huyu unamuwahi mwanzo kumshambulia kabla yake huyu Paskali chuki zake ni kubwa kuliko anachokiandika.Hasbiya Llah .
 
Maelezo mengi sijaona ukiifafanua Zanzibar inatambulikaje?

Ni nchi ama mkoa ama yenyewe ni sehemu tu ya Tanzania?

Tuna waziri mkuu ambaye miaka humuoni hata Zanzibar..naye tunasema ni waziri wa JMT.

Tuna bunge la JMT ambao mawaziri wake wanawajibika TZ tu..spika na naibu wake nao ni wa hapa hapa.

Inapokuja masuala mengine ya Zanzibar kuamua kama nchi, tunawaambia hapana.
Tanganyika Waliungana na nani ? Ukipata jibu lake utajua nini Wazanzibari wanakidai one day yes.
 
Ndio maana tuna wazanzibari katika bunge la Tanganyika? Ndio maana tuna mawaziri wazanzibari katika wizara za Tanganyika? Mnafik ni wewe. Na uliyejaa chuki dhidi ya kile unachokiita Tanganyika ni wewe. Ni haki gani ambayo mzanzibari ananyimwa katika serikali ya Tanganyika? Wakati huo huo kuna haki kibao mtanganyika hanazo huko Zanzibar lakini bado unalia na kumuita mtanganyika mbaguzi na mwenye chuki dhidi yenu! Hivi mnatuita machogo kwa sababu mnatupenda sana?

Wewe ni mnafik mkubwa uliye chuki. Ubaya ni kuwa kuna watanganyika wana entertain chuki na unafik wenu kiasi kwamba hamtaki kuambiwa ukweli.

Amandla....
Ndio Machogoo kwani hamujui jina lenu Vunjeni muungano kama kweli nyie Vidumee.
 
Sio kuwa ni Viongozi wa JMT hawawatambui Viongozi wa SUK, no Viongozi wanawatambua na wamewekewa hadi protocal yao wawapo huku Bara, ila katiba ya JMT ndio haiyatambui mabadiliko ya katiba ya Zanzibar ya 2010 yaliyo unda SUK kwasababu mabadiliko hayo yanakwenda kinyume cha katiba ya JMT.

Kwa mujibu wa katiba ya JMT, Tanzania ni nchi moja ya Jamhuri ya Muungano. Zanzibar sio nchi bali ni sehemu ya JMT.

Kwa mujibu katiba ya Zanzibar, Tanzania ni Jamhuri ya Muungano wa nchi 2. Zanzibar ni moja ya nchi hizo mbili zinazounda JMT.

Hivyo kwa katiba ya JMT, nchi ni moja tuu, JMT, Zanzibar sio nchi, bali ni sehemu ya JMT. Lakini
kwa katiba ya Zanzibar, Tanzania ni nchi mbili za Tanganyika na Zanzibar, hivyo Zanzibar ni nchi.

Viongozi wa SUK wanatambuliwa ki protokali tuu lakini ndani ya katiba ya JMT, hawatambuliwi.
P
Sasa kama sio nchi Muliungana na kitu gani ?nyie ndio nchi Zanzibar sio nchi ww paskali unataka adabu ya kizanzibari ndio utakuwa sawa .
 
Mkuu JUAN MANUEL , mimi sihitaji uteuzi wowote, usiwasikilize hawa hawa baadhi ya wajinga wajinga wa humu JF, wanaodhani Pasco Mayalla anafukuzia uteuzi.

Mtu ukiwa mzalendo unajikuta una wiwa kulisaidia taifa lako. Ili mtu ulisaidie taifa sio lazima uteuliwe kumsaidia Mama. Sisi wengine kama mimi tunaweza kulisaidia taifa vizuri zaidi huku tukikosoa kuliko hata ukiteuliwa.

Mfano mimi nakamilisha tuu taratibu, kipindi changu cha Kiti Moto2 kinarudi hewani. Sasa unawakaribisha watu kama hawa na kuwabananisha hivyo kulisaidia taifa. Mfano nikimualika Askofu Gwajima kwenye kipindi changu, kesho yake asubuhi yeye mwenyewe anaongoza kuwaswaga kondoo wake kwenye kuchanja!.
P
Usimsifie bure huyu hata ubolozi wa nyumba kumi hafai huyu hasidi kama unapemda muozeshe dada ako atakuwa karibu na weye.Zaibala
 
Mkuu Shocker , sijui mwenzetu unaishi kwenye karne ya ngapi, gesi na mafuta viliishatolewa kwenye mambo ya muungano, hivyo Zanzibar iko huru kuchimba hayo mafuta yake ya kwenye kinibu, ila mafuta ya kwenye bahari ni mali ya muungano. Kimataifa Tanzania ni nchi moja ya JMT, ndani ya Tanzania hakuna mpaka wa nchi nyingine yoyote iitwayo Zanzibar, bali Zanzibar ni sehemu ya JMT.
P
Kwenda wewe fala sana unalazimisha mafuta yetu yawe ya muungano mjinga sana tutamfua Hamza kwa mara ya pili .
 
Wanabodi,

Wale wenye access na Plus TV, watch now kipindi cha Uso kwa Uso, Makamo wa Kwanza wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman asema uongo wa wazi wa mchana kweupe kuhusu muungano wetu.

Mhe. Masoud anadanganya u kuwa Tanganyika na Zanzibar tulipoungana, ile 1964, ni nchi moja tuu ya Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, ndio pekee iliyopoteza sovereignity yake na kuikabidhi kwa Jamhuri ya Tanganyika, lakini Tanganyika haikupoteza sovereignity yake, bali Tanganyika ilibadili tuu jina kutoka Tanganyika kugeuka Tanzania with its sovereignity, kitu ambacho sii kweli!.

Kiukweli kabisa Tanzania bado tunahitaji sana civic éducation kuhusu huu muungano wetu, hata kwa baadhi ya Viongozi wetu, hawaujui vizuri huu muungano wetu hivyo wanapotosha bure watu wao na umma kwa ujumla.

Msingi mkuu wa muungano wetu ni dhima, kuwa sisi Watanzania ni ndugu moja, sisi ni wamoja, hivyo muungano ni kurudisha tuu asili yetu iliyotenganishwa na wakoloni. Dhima hiyo ndio ikatumiwa na Nyerere na Karume kuasisi huu muungano uliopo hadi leo. Hivyo anapoibuka kiongozi yeyote kutaka kuipotosha hii Dhima, Wazalendo tuliopo tunaoujua ukweli huu hatuwezi kunyamaza !.

Ukweli ni kuwa, tulipoungana ile 1964, nchi zote mbili, Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, nchi zote mbili zilipoteza sovereignity zake, kwa Zanzibar kupoteza sovereignity yake na kuikabidhi kwa Tanzania, la Tanganyika pia sio tuu ikapoteza sovereignity yake, bali hadi jina lake la Tanganyika na kuikabidhi kwa Tanzania. Tukaunda taifa moja jipya la Tanzania lenye nchi mbili ndani yake na zote hazina sovereignity zake. Nchi iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ikawa haipo tena na nchi ya Jamhuri ya Tanganyika pia ikawa haipo, kilichopo ni nchi moja mpya ya JMT, ambayo ina sehemu mbili, Tanzania Bara iliyokuwa Tanganyika na Tanzania Visiwani, au Tanzania Zanzibar iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.

Mimi sitatizwi na uongo wowote wa kawaida ambao hauna madhara, lakini uongo mkubwa kama huu, kuhusu muungano wetu adhimu, na kutoka kwa mtu mwenye cheo kikubwa kama hiki, aliyekuwa mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, huu ni uongo wenye madhara makubwa kwa mustakabali mwema wa muungano wetu. Uongo kama huu una kitu kinachoitwa "ill motives" kwenye "the reasons or motivés behind" Jee lengo la uongo huu ni nini?.

Wakati wa Bunge la Katiba, niliwahi kutoa angalizo hili kuhusu mtu huyu
na kweli Dr. Shein alimshughulikia.

Muungano wetu ni muungano wa nchi mbili zenye hadhi sawa sawa, hakuna mkubwa wala mdogo, ndani ya muungano Tanganyika na Zanzibar ziko sawa sawa na zote mbili zilipoteza sovereignity zake na kuikabidhi kwa serikali ya JMT.

Muungano wetu ni aina ya muungano very unique duniani, kimataifa muungano wetu ni union wa nchi mbili zimeungana na kuunda nchi moja ya Tanzania. Hivyo Tanzania kimataifa ni nchi moja ya JMT, ni taifa moja, ni dola moja yenye rais mmoja, rais wa JMT ambaye ni Samia. Pia tuna Amiri Jeshi Mkuu mmoja tuu. Kimataifa Zanzibar sio nchi, Zanzibar ni sehemu ya JMT yenye utawala wake wa ndani.

Muungano wetu ndani ya muungano, muungano wetu ni muungano wa nchi mbili, yaani federation, hivyo ndani ya muungano, Zanzibar ni nchi, yenye rais wake, serikali yake, ina katiba yake, ambayo mabadiliko yaliyofanywa 2010 kuunda SUK, hayatambuliwi na katiba ya JMT. Kwa vile ndani ya muungano Zanzibar ina mamlaka yake huru bila kuingiliwa na serikali ya JMT, la katiba hiyo ni kwa ajili ya mambo yake ya ndani, japo katiba hiyo iko kinyume cha katiba ya JMT, lakini kwa vile ni ya ndani ya Zanzibar,

Kwa upande wa GNU au SUK,
ni serikali ya coalition. Kwenye coalition zote kuna the majority na a minority. A minority ndani ya coalition anatekeleza sera za à majority. Hivyo Viongozi wa ACT ndani ya serikali ya SUK ya Zanzibar, wanatekeza sera CCM.

Hivyo Viongozi wote wa ACT Wazalendo waliomo ndani ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar wanapaswa kuhubiri na kutekeleza sera za CCM, hivyo hata wanapoalikwa popote kwenye public, watatanguliza maslahi ya Zanzibar kwa mujibu wa sera za chama tawala.

Sasa mtu huyu ndio yuko ndani ya nyumba, yuko jikoni kabisa, asipothibitiwa, amini usiamini, amini nawaambieni akija tokea kufika kule juu kileleni, very soon, tutagawana fito!.

Paskali
Unaeleweka mkuu na mimi nataka kukuona nijue hivi kila neno Tanzania linapotajwa na viongozi wetu hususan Rais inamaanisha kwamba Tanganyika au Tanzania nashauri ingeundwa wizara ya kero za muungano itasaidia kutatuaa kero tu
 
Binafsi hua naamini tatizo lilianza kwenye hii hesabu "1+1=haraka haraka wakajibu 2"
Kama wangefikiri nje ya box na "1+1= ikawa 1 au ikawa 3" leo tungekua hatupotezi muda kujadili issue kama hizi.
 
Ndio Machogoo kwani hamujui jina lenu Vunjeni muungano kama kweli nyie Vidumee.
Mume anakupiga na anakutumia anavyotaka halafu unamsubiri akuache? Nyie si nchi kamili? Mnashindwa nini kuuvunja huo Muungano ili machogo yaache kuwanyanyasa? Unafik na uzandik unawatala watu kama wewe.

Amandla....
 
Back
Top Bottom