Kuhusu Muungano, Makamo wa Kwanza wa Zanzibar, Adai ni Zanzibar Pekee iliyopoteza Sovereignty, Je Yuko Sahihi?

Kuhusu Muungano, Makamo wa Kwanza wa Zanzibar, Adai ni Zanzibar Pekee iliyopoteza Sovereignty, Je Yuko Sahihi?

Kwani Waomani wangapi wamepewa mafuta? Hata Wazanzibari wasingepewa mafuta wangefaidika tuu na utajiri ulioletwa na mafuta kama Waomani wengine wenzao ambao nao hawajapewa hayo mafuta. Halafu kwa jinsi unavyoiponda Zanzibar unaonyesha ni jinsi gani huo Muungano umeshindwa kuwaletea faida Wazanzibari. Hawana shule nzuri, hospitali nzuri, biashara haziendi wamebaki na umasikini. Ndiyo maana wameuchoka.
Aliyesema kuwa watapewa mafuta na Oman ni mzanzibari sio mimi. Na ni kitu gani kinachowazuia wa Omani kuwamegea utajiri sasa hivi kama ambavyo wanawamegea waomani wenzao?

Unaposema kuwa Muungano umeshindwa kuwaletea faida Wazanzibari una maana kuwa mlitegemea watanganyika ndio wangewapelekea maendeleo? Shule, hospitali zote ziko chini ya serikali yao, JMT inahusika vipi? Kama wameuchoka kwa sababu walitegemea watanganyika wawabebe basi bora wauvunje watafute mjomba wa kuwabeba. Wazanzibari wanatakiwa wajitathmini wenyewe ili wajue wapi wanakosea.

Waunguja wapime athari za kuwaminya wapemba kwa uchumi wao halafu wajirekebishe. Unadhani wapemba wamewekeza Bara kwa sababu wanawapenda sana machogo? La hasha, walifanya hivyo baada ya kunyimwa fursa na wazanzibari wenzao. Wazanzibari wajitahidi kujenga nchi yao wenyewe kama ambavyo Singapore na Mauritius walivyofanya. Wakiendelea wao na sisi tutaendelea ndio maana hatufurahii umasikini wao.

Amandla...
 
Wanabodi,

Wale wenye access na Plus TV, watch now kipindi cha Uso kwa Uso, Makamo wa Kwanza wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman asema uongo wa wazi wa mchana kweupe kuhusu muungano wetu.

Mhe. Masoud anadanganya u kuwa Tanganyika na Zanzibar tulipoungana, ile 1964, ni nchi moja tuu ya Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, ndio pekee iliyopoteza sovereignity yake na kuikabidhi kwa Jamhuri ya Tanganyika, lakini Tanganyika haikupoteza sovereignity yake, bali Tanganyika ilibadili tuu jina kutoka Tanganyika kugeuka Tanzania with its sovereignity, kitu ambacho sii kweli!.

Kiukweli kabisa Tanzania bado tunahitaji sana civic éducation kuhusu huu muungano wetu, hata kwa baadhi ya Viongozi wetu, hawaujui vizuri huu muungano wetu hivyo wanapotosha bure watu wao na umma kwa ujumla.

Msingi mkuu wa muungano wetu ni dhima, kuwa sisi Watanzania ni ndugu moja, sisi ni wamoja, hivyo muungano ni kurudisha tuu asili yetu iliyotenganishwa na wakoloni. Dhima hiyo ndio ikatumiwa na Nyerere na Karume kuasisi huu muungano uliopo hadi leo. Hivyo anapoibuka kiongozi yeyote kutaka kuipotosha hii Dhima, Wazalendo tuliopo tunaoujua ukweli huu hatuwezi kunyamaza !.

Ukweli ni kuwa, tulipoungana ile 1964, nchi zote mbili, Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, nchi zote mbili zilipoteza sovereignity zake, kwa Zanzibar kupoteza sovereignity yake na kuikabidhi kwa Tanzania, la Tanganyika pia sio tuu ikapoteza sovereignity yake, bali hadi jina lake la Tanganyika na kuikabidhi kwa Tanzania. Tukaunda taifa moja jipya la Tanzania lenye nchi mbili ndani yake na zote hazina sovereignity zake. Nchi iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ikawa haipo tena na nchi ya Jamhuri ya Tanganyika pia ikawa haipo, kilichopo ni nchi moja mpya ya JMT, ambayo ina sehemu mbili, Tanzania Bara iliyokuwa Tanganyika na Tanzania Visiwani, au Tanzania Zanzibar iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.

Mimi sitatizwi na uongo wowote wa kawaida ambao hauna madhara, lakini uongo mkubwa kama huu, kuhusu muungano wetu adhimu, na kutoka kwa mtu mwenye cheo kikubwa kama hiki, aliyekuwa mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, huu ni uongo wenye madhara makubwa kwa mustakabali mwema wa muungano wetu. Uongo kama huu una kitu kinachoitwa "ill motives" kwenye "the reasons or motivés behind" Jee lengo la uongo huu ni nini?.

Wakati wa Bunge la Katiba, niliwahi kutoa angalizo hili kuhusu mtu huyu
na kweli Dr. Shein alimshughulikia.

Muungano wetu ni muungano wa nchi mbili zenye hadhi sawa sawa, hakuna mkubwa wala mdogo, ndani ya muungano Tanganyika na Zanzibar ziko sawa sawa na zote mbili zilipoteza sovereignity zake na kuikabidhi kwa serikali ya JMT.

Muungano wetu ni aina ya muungano very unique duniani, kimataifa muungano wetu ni union wa nchi mbili zimeungana na kuunda nchi moja ya Tanzania. Hivyo Tanzania kimataifa ni nchi moja ya JMT, ni taifa moja, ni dola moja yenye rais mmoja, rais wa JMT ambaye ni Samia. Pia tuna Amiri Jeshi Mkuu mmoja tuu. Kimataifa Zanzibar sio nchi, Zanzibar ni sehemu ya JMT yenye utawala wake wa ndani.

Muungano wetu ndani ya muungano, muungano wetu ni muungano wa nchi mbili, yaani federation, hivyo ndani ya muungano, Zanzibar ni nchi, yenye rais wake, serikali yake, ina katiba yake, ambayo mabadiliko yaliyofanywa 2010 kuunda SUK, hayatambuliwi na katiba ya JMT. Kwa vile ndani ya muungano Zanzibar ina mamlaka yake huru bila kuingiliwa na serikali ya JMT, la katiba hiyo ni kwa ajili ya mambo yake ya ndani, japo katiba hiyo iko kinyume cha katiba ya JMT, lakini kwa vile ni ya ndani ya Zanzibar,

Kwa upande wa GNU au SUK,
ni serikali ya coalition. Kwenye coalition zote kuna the majority na a minority. A minority ndani ya coalition anatekeleza sera za à majority. Hivyo Viongozi wa ACT ndani ya serikali ya SUK ya Zanzibar, wanatekeza sera CCM.

Hivyo Viongozi wote wa ACT Wazalendo waliomo ndani ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar wanapaswa kuhubiri na kutekeleza sera za CCM, hivyo hata wanapoalikwa popote kwenye public, watatanguliza maslahi ya Zanzibar kwa mujibu wa sera za chama tawala.

Sasa mtu huyu ndio yuko ndani ya nyumba, yuko jikoni kabisa, asipothibitiwa, amini usiamini, amini nawaambieni akija tokea kufika kule juu kileleni, very soon, tutagawana fito!.

Paskali
Viongozi aina ya Othman watatuchelewesha sana kufikia Muungano wa kweli na kuondokana na huu Muungano wa magumashi.
 
Kwanza rekebisha. Jee in makamo was kwanza au wa Pili. Kwenye mada.
Mtoa mada wewe ni mkereketwa ulie na chuki zilizojificha dhidi ya Zanzibar.

Kujificha nyuma ya kiini macho cha Tanzania wakati unajua fika by practice na reality kilichoondoka ni neno Tanganyika tu.

Hakuna Muungano huu. Wizara za Tanganyika kwa mambo ya Tanganyika zinaitwa za Tanzania.

Kibaya zaidi kumezaliwa matatizo kibao ya Muungano Leo zinaitwa kero. Lkna shida ni mfumo na muundo. Linapokuja suala LA haki za Zanzibar, wasomi wote wa Bara na wachambuzi wanakuwa wanafiki.

Nini kimejificha nyuma ya chuki hii?
Nani mnufaika mkuu wa Muungano kati ya Zanzibar na Tanzania bara ?
 
Aliyesema kuwa watapewa mafuta na Oman ni mzanzibari sio mimi. Na ni kitu gani kinachowazuia wa Omani kuwamegea utajiri sasa hivi kama ambavyo wanawamegea waomani wenzao?
Unaposema kuwa Muungano umeshindwa kuwaletea faida Wazanzibari una maana kuwa mlitegemea watanganyika ndio wangewapelekea maendeleo? Shule, hospitali zote ziko chini ya serikali yao, JMT inahusika vipi? Kama wameuchoka kwa sababu walitegemea watanganyika wawabebe basi bora wauvunje watafute mjomba wa kuwabeba. Wazanzibari wanatakiwa wajitathmini wenyewe ili wajue wapi wanakosea. Waunguja wapime athari za kuwaminya wapemba kwa uchumi wao halafu wajirekebishe. Unadhani wapemba wamewekeza Bara kwa sababu wanawapenda sana machogo? La hasha, walifanya hivyo baada ya kunyimwa fursa na wazanzibari wenzao. Wazanzibari wajitahidi kujenga nchi yao wenyewe kama ambavyo Singapore na Mauritius walivyofanya. Wakiendelea wao na sisi tutaendelea ndio maana hatufurahii umasikini wao.

Amandla...

Oman haina jukumu la kuinua uchumi na kupunguza umasikini wa Zanzibar ambayo sasa hivi ni sehemu ya Tanzania. Hilo ni jukumu la serikali ya JMT ambalo na wewe unakubali limewashinda mpaka sasa hivi. Sasa Wazanzibari lazima wajiulize huu muungano faida yake nini? Unaweza kujibu hilo swali?
 
Oman haina jukumu la kuinua uchumi na kupunguza umasikini wa Zanzibar ambayo sasa hivi ni sehemu ya Tanzania. Hilo ni jukumu la serikali ya JMT ambalo na wewe unakubali limewashinda mpaka sasa hivi. Sasa Wazanzibari lazima wajiulize huu muungano faida yake nini? Unaweza kujibu hilo swali?
Hapana. Jukumu la serikali ya JMT sio kupunguza umasikini Zanzibar. Jukumu hilo ni la SMZ. Jukumu la JMT ni kuhakikisha usalama wa nchi ya Tanzania, kuhakikisha hali ya uchumi ( sio biashara) iko vizuri na mahusiano yetu na nchi nyingine uko vizuri. JMT ina jukumu la kupambana na umasikini bara lakini sio Zanzibar. Wakifanya hivyo watakuwa wanaingilia uhuru wao.

Hivi kweli unataka JMT iwajengee shule, iwapangie yatakayofundishwa katika shule hizo, iajiri walimu wa kufundisha katika shule hizo? Unataka JMT iwajengee dispensari, hospitali na iwape dawa na madaktari na manesi wakuwahudumia?

Hauoni hiyo ndio itakuwa kuigeuza Zanzibar kuwa kama Rukwa? Wanatakiwa kusimama wenyewe na kutumia rasilimali zao vizuri ili ziwaletee maendeleo. Hilo ni jukumu la SMZ sio JMT au Oman.

Amandla...
 
Hapana. Jukumu la serikali ya JMT sio kupunguza umasikini Zanzibar. Jukumu hilo ni la SMZ. Jukumu la JMT ni kuhakikisha usalama wa nchi ya Tanzania, kuhakikisha hali ya uchumi ( sio biashara) iko vizuri na mahusiano yetu na nchi nyingine uko vizuri. JMT ina jukumu la kupambana na umasikini bara lakini sio Zanzibar. Wakifanya hivyo watakuwa wanaingilia uhuru wao.

Hivi kweli unataka JMT iwajengee shule, iwapangie yatakayofundishwa katika shule hizo, iajiri walimu wa kufundisha katika shule hizo? Unataka JMT iwajengee dispensari, hospitali na iwape dawa na madaktari na manesi wakuwahudumia?

Hauoni hiyo ndio itakuwa kuigeuza Zanzibar kuwa kama Rukwa? Wanatakiwa kusimama wenyewe na kutumia rasilimali zao vizuri ili ziwaletee maendeleo. Hilo ni jukumu la SMZ sio JMT au Oman.

Amandla...
Uchumi na umasikini vinaenda pamoja kwa mfano GDP per capita ni moja ya njia ya kujuwa uchumi uko vipi. Huwezi kusema serikali ya JMT inasimamia uchumi lakini haisimamii kupunguza umasikini. Ni vitu haviendani. Sasa leo Tanzania GDP per capita (wastani wa kipato cha mtu kwa mwaka) ni USD 2,000 lakini ya Oman ni USD 30,000. Sasa kwa umasikini wa leo wa Wazanzibari, ni bora wangekuwa raia wa Tanzania au Oman?
 
Uchumi na umasikini vinaenda pamoja kwa mfano GDP per capita ni moja ya njia ya kujuwa uchumi uko vipi. Huwezi kusema serikali ya JMT inasimamia uchumi lakini haisimamii kupunguza umasikini. Ni vitu haviendani. Sasa leo Tanzania GDP per capita (wastani wa kipato cha mtu kwa mwaka) ni USD 2,000 lakini ya Oman ni USD 30,000. Sasa kwa umasikini wa leo wa Wazanzibari, ni bora wangekuwa raia wa Tanzania au Oman?
Unakosea tena. Imethibitishwa kuwa GDP per Capita sio kipimo sahihi cha hali ya wananchi. Marekani ina GDP per Capita kubwa lakini katika indicators za maendeleo kama afya ya wananchi wake iko nyuma ya Cuba. Kwa sababu hiyo hata wangekuwa sehemu ya Oman, hamna uhakika kuwa hali ya wananchi wake ingekuwa bora kuliko sasa.

Aidha, Pemba ambayo ni sehemu ya Zanzibar ni maskini wa kutupwa ingawa wao ndio wanaozalisha karafuu nyingi kuliko Zanzibar. Serikali yao ( iliyokuwa na waunguja wengi) ilifanya juhudi za wazi kuwanyima Pemba maendeleo ya aina yeyote. Waliwanyima nafasi za masomo, uongozi katika serikali na walifikia mahali kumtilia fitna Salim Ahmed Salim kupata nafasi ya kugombea urais wa JMT kwa sababu tu ni mpenda. Yote haya yalifanyika ingawa Mwalimu alimtaka sana awe Rais.

Chimbuko la CUF kuwa na nguvu zaidi Pemba ni dhulma waliyokuwa wanafanyiwa na waunguja na sio dhulma ya machogo. Dhulma na uonevu huu unaendelea mpaka leo. Kwa hali hiyo bado utalaamu serikali ya JMT kwa umaskini wa Pemba?
Zanzibar wameshindwa kuendeleza bandari yao ingawa wana Mamlaka yao wenyewe ya Bandari. Wana shirika la Bima, benki yao n.k. lakini yote wameyadumaza. Walikuwa na viwanda lakini navyo vimekufa.

Matatizo na umasikini wao umechangiwa kwa kiasi kikubwa na ubadhirifu, ufisadi na uzembe wa baadhi ya watu waliowaamini. Chuki dhidi ya wapemba nayo imechangia maana bila shaka utajiri mkubwa waliokuwa nao Tanganyika wangewekaza kwao kama sio hizo chuki.

Amandla....
 
Unakosea tena. Imethibitishwa kuwa GDP per Capita sio kipimo sahihi cha hali ya wananchi. Marekani ina GDP per Capita kubwa lakini katika indicators za maendeleo kama afya ya wananchi wake iko nyuma ya Cuba. Kwa sababu hiyo hata wangekuwa sehemu ya Oman, hamna uhakika kuwa hali ya wananchi wake ingekuwa bora kuliko sasa.

Aidha, Pemba ambayo ni sehemu ya Zanzibar ni maskini wa kutupwa ingawa wao ndio wanaozalisha karafuu nyingi kuliko Zanzibar. Serikali yao ( iliyokuwa na waunguja wengi) ilifanya juhudi za wazi kuwanyima Pemba maendeleo ya aina yeyote. Waliwanyima nafasi za masomo, uongozi katika serikali na walifikia mahali kumtilia fitna Salim Ahmed Salim kupata nafasi ya kugombea urais wa JMT kwa sababu tu ni mpenda. Yote haya yalifanyika ingawa Mwalimu alimtaka sana awe Rais.

Chimbuko la CUF kuwa na nguvu zaidi Pemba ni dhulma waliyokuwa wanafanyiwa na waunguja na sio dhulma ya machogo. Dhulma na uonevu huu unaendelea mpaka leo. Kwa hali hiyo bado utalaamu serikali ya JMT kwa umaskini wa Pemba?
Zanzibar wameshindwa kuendeleza bandari yao ingawa wana Mamlaka yao wenyewe ya Bandari. Wana shirika la Bima, benki yao n.k. lakini yote wameyadumaza. Walikuwa na viwanda lakini navyo vimekufa.

Matatizo na umasikini wao umechangiwa kwa kiasi kikubwa na ubadhirifu, ufisadi na uzembe wa baadhi ya watu waliowaamini. Chuki dhidi ya wapemba nayo imechangia maana bila shaka utajiri mkubwa waliokuwa nao Tanganyika wangewekaza kwao kama sio hizo chuki.

Amandla....

Oman ni nchi masikini? Raia wa Oman na raia wa Tanzania wa Zanzibar ni yupi amezidi umasikini? Wazanzibari wangejiunga kabisa na Oman wakapewa na uraia leo wangekuwa na umasikini walionao? Ndiyo maana mwanzo nilisema wengi waliyajutia mapinduzi na baadaye walijuta na Muungano.
 
Oman ni nchi masikini? Raia wa Oman na raia wa Tanzania wa Zanzibar ni yupi amezidi umasikini? Wazanzibari wangejiunga kabisa na Oman wakapewa na uraia leo wangekuwa na umasikini walionao? Ndiyo maana mwanzo nilisema wengi waliyajutia mapinduzi na baadaye walijuta na Muungano.
Nisome vizuri. Sijasema Oman ni nchi maskini. Nimesema nchi kuwa na GDP per Capita kubwa haina maana wananchi wake wote wana maisha bora.
Kwa mantik yako, watanganyika wengi wanajuta kupata uhuru maana wangekuwa bado sehemu ya empire ya Uingereza maisha yao yangekuwa bora kwa sababu Uingereza ni nchi tajiri.

Mapinduzi yalifanyika kwa sababu ya dhulma ambayo baadhi ya wazanzibari ( pamoja na waarabu wa Umma) waliona watawala wao wenye damu ya kiomani walikuwa wanawatendea. Wanaosema kuwa maisha yalikuwa bora chini ya usultani ni wale tu waliofaidika nao na sio wale waliokuwa wanahesabiwa kama watwana.

Amandla...
 
Wanabodi,

Wale wenye access na Plus TV, watch now kipindi cha Uso kwa Uso, Makamo wa Kwanza wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman asema uongo wa wazi wa mchana kweupe kuhusu muungano wetu.

Mhe. Masoud anadanganya u kuwa Tanganyika na Zanzibar tulipoungana, ile 1964, ni nchi moja tuu ya Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, ndio pekee iliyopoteza sovereignity yake na kuikabidhi kwa Jamhuri ya Tanganyika, lakini Tanganyika haikupoteza sovereignity yake, bali Tanganyika ilibadili tuu jina kutoka Tanganyika kugeuka Tanzania with its sovereignity, kitu ambacho sii kweli!.

Kiukweli kabisa Tanzania bado tunahitaji sana civic éducation kuhusu huu muungano wetu, hata kwa baadhi ya Viongozi wetu, hawaujui vizuri huu muungano wetu hivyo wanapotosha bure watu wao na umma kwa ujumla.

Msingi mkuu wa muungano wetu ni dhima, kuwa sisi Watanzania ni ndugu moja, sisi ni wamoja, hivyo muungano ni kurudisha tuu asili yetu iliyotenganishwa na wakoloni. Dhima hiyo ndio ikatumiwa na Nyerere na Karume kuasisi huu muungano uliopo hadi leo. Hivyo anapoibuka kiongozi yeyote kutaka kuipotosha hii Dhima, Wazalendo tuliopo tunaoujua ukweli huu hatuwezi kunyamaza !.

Ukweli ni kuwa, tulipoungana ile 1964, nchi zote mbili, Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, nchi zote mbili zilipoteza sovereignity zake, kwa Zanzibar kupoteza sovereignity yake na kuikabidhi kwa Tanzania, la Tanganyika pia sio tuu ikapoteza sovereignity yake, bali hadi jina lake la Tanganyika na kuikabidhi kwa Tanzania. Tukaunda taifa moja jipya la Tanzania lenye nchi mbili ndani yake na zote hazina sovereignity zake. Nchi iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ikawa haipo tena na nchi ya Jamhuri ya Tanganyika pia ikawa haipo, kilichopo ni nchi moja mpya ya JMT, ambayo ina sehemu mbili, Tanzania Bara iliyokuwa Tanganyika na Tanzania Visiwani, au Tanzania Zanzibar iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.

Mimi sitatizwi na uongo wowote wa kawaida ambao hauna madhara, lakini uongo mkubwa kama huu, kuhusu muungano wetu adhimu, na kutoka kwa mtu mwenye cheo kikubwa kama hiki, aliyekuwa mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, huu ni uongo wenye madhara makubwa kwa mustakabali mwema wa muungano wetu. Uongo kama huu una kitu kinachoitwa "ill motives" kwenye "the reasons or motivés behind" Jee lengo la uongo huu ni nini?.

Wakati wa Bunge la Katiba, niliwahi kutoa angalizo hili kuhusu mtu huyu
na kweli Dr. Shein alimshughulikia.

Muungano wetu ni muungano wa nchi mbili zenye hadhi sawa sawa, hakuna mkubwa wala mdogo, ndani ya muungano Tanganyika na Zanzibar ziko sawa sawa na zote mbili zilipoteza sovereignity zake na kuikabidhi kwa serikali ya JMT.

Muungano wetu ni aina ya muungano very unique duniani, kimataifa muungano wetu ni union wa nchi mbili zimeungana na kuunda nchi moja ya Tanzania. Hivyo Tanzania kimataifa ni nchi moja ya JMT, ni taifa moja, ni dola moja yenye rais mmoja, rais wa JMT ambaye ni Samia. Pia tuna Amiri Jeshi Mkuu mmoja tuu. Kimataifa Zanzibar sio nchi, Zanzibar ni sehemu ya JMT yenye utawala wake wa ndani.

Muungano wetu ndani ya muungano, muungano wetu ni muungano wa nchi mbili, yaani federation, hivyo ndani ya muungano, Zanzibar ni nchi, yenye rais wake, serikali yake, ina katiba yake, ambayo mabadiliko yaliyofanywa 2010 kuunda SUK, hayatambuliwi na katiba ya JMT. Kwa vile ndani ya muungano Zanzibar ina mamlaka yake huru bila kuingiliwa na serikali ya JMT, la katiba hiyo ni kwa ajili ya mambo yake ya ndani, japo katiba hiyo iko kinyume cha katiba ya JMT, lakini kwa vile ni ya ndani ya Zanzibar,

Kwa upande wa GNU au SUK,
ni serikali ya coalition. Kwenye coalition zote kuna the majority na a minority. A minority ndani ya coalition anatekeleza sera za à majority. Hivyo Viongozi wa ACT ndani ya serikali ya SUK ya Zanzibar, wanatekeza sera CCM.

Hivyo Viongozi wote wa ACT Wazalendo waliomo ndani ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar wanapaswa kuhubiri na kutekeleza sera za CCM, hivyo hata wanapoalikwa popote kwenye public, watatanguliza maslahi ya Zanzibar kwa mujibu wa sera za chama tawala.

Sasa mtu huyu ndio yuko ndani ya nyumba, yuko jikoni kabisa, asipothibitiwa, amini usiamini, amini nawaambieni akija tokea kufika kule juu kileleni, very soon, tutagawana fito!.

Paskali
Sovereignty inajengwa pamoja na vitu vingine na:
1. Rais
2. Katiba
3. Wimbo wa taifa
4. Bendera ya taifa
5. Mipaka ya nchi
6. Bunge (kwa Znz Baraza la Wawakilishi na Baraza la Mapinduzi)
7. Vikosi (kwa Znz KMKM na Valantia)
8. Uanachama wa FIFA (sijui)
9. Uanachama ktk jumuiya za kimataifa (OIC inahusika pia)
10. Serikali (governance)

Tanganyika ina vitu vingapi katika hivyo hapo juu? SMZ ina vitu vingapi katika hivyo hapo juu?

Tupate uelewa mwingine toka kwa mwingine, tuko tayari kujifunza.
 
Sovereignty inajengwa pamoja na vitu vingine na:
1. Rais
2. Katiba
3. Wimbo wa taifa
4. Bendera ya taifa
5. Mipaka ya nchi
6. Bunge (kwa Znz Baraza la Wawakilishi na Baraza la Mapinduzi)
7. Vikosi (kwa Znz KMKM na Valantia)
8. Uanachama wa FIFA (sijui)
9. Uanachama ktk jumuiya za kimataifa (OIC inahusika pia)
10. Serikali (governance)
Tanganyika ina vitu vingapi katika hivyo hapo juu? SMZ ina vitu vingapi katika hivyo hapo juu?
Tupate uelewa mwingine toka kwa mwingine, tuko tayari kujifunza.
 
Zanzibar inabidi wajifunze kutoka kwa Quebec Canada. Quebec ilikuwa kila siku inalalamika kuonewa kwa sababu wao lugha yao ni kifaransa wakati Rest of Canada (ROC) wanatumia kiingereza. Pamoja na kupewa upendeleo mkubwa, wanasiasa wao (wakiongozwa na Parti Quebecois)walidaii kuwa maisha yao yatakuwa bora zaidi wakiwa nje ya Canada. Mwaka 1980 ikaitwa referendum na waliotaka kujitoa wakashindwa vibaya.

Ikaitwa nyingine 1995, lakini bado wakashindwa. Mwaka 1995 hawakushindwa vibaya kama mwaka 1980, baada ya kusema kujitenga kokote ni lazima uwe pamoja na makubaliano ya uhusiano maalum na wa upendeleo kati yao na ROC maana walijua talaka tatu ingewasababishia matatizo makubwa ya kiuchumi. Hivi hivi kwa Zanzibar. Inabidi waangalie kwa macho makavu faida na hasara watakayoipata Zanzibar ikiwa kama Kenya katika mahusiano na Tanzania. Upuuzi wa kuwa wa Oman na waarabu wengine watawamwagia mapesa kibao waachane nao.

Muigereza alipodai Brexit aliamini nchi Marekani itawakumbatia kwa kuingia nao mikataba maalum ya kibiashara. matokeo ni Wamarekani wamewaambia kuwa wao kipaumbele ni ushirikiano na E.U kibiashara na sio Uingereza ambao uchumi wake ni kiduchu ukilinganisha na wa E.U. Leo Uingereza wana shida ya mafuta na kuna uwezekano mkubwa kuwa hali ya chakula itakuwa mbaya itakapofika mwisho wa mwaka kwa sababu tu hawana madereva wa kutosha wa kusafirisha mafuta na bidhaa zao.

Wachina wana usemi, " uwe mwangalifu sana unachomuomba Mungu kwa sababu anaweza kukupa unachokiomba".

Amandla...
 
Wanabodi,

Wale wenye access na Plus TV, watch now kipindi cha Uso kwa Uso, Makamo wa Kwanza wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman asema uongo wa wazi wa mchana kweupe kuhusu muungano wetu.

Mhe. Masoud anadanganya u kuwa Tanganyika na Zanzibar tulipoungana, ile 1964, ni nchi moja tuu ya Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, ndio pekee iliyopoteza sovereignity yake na kuikabidhi kwa Jamhuri ya Tanganyika, lakini Tanganyika haikupoteza sovereignity yake, bali Tanganyika ilibadili tuu jina kutoka Tanganyika kugeuka Tanzania with its sovereignity, kitu ambacho sii kweli!.

Kiukweli kabisa Tanzania bado tunahitaji sana civic éducation kuhusu huu muungano wetu, hata kwa baadhi ya Viongozi wetu, hawaujui vizuri huu muungano wetu hivyo wanapotosha bure watu wao na umma kwa ujumla.

Msingi mkuu wa muungano wetu ni dhima, kuwa sisi Watanzania ni ndugu moja, sisi ni wamoja, hivyo muungano ni kurudisha tuu asili yetu iliyotenganishwa na wakoloni. Dhima hiyo ndio ikatumiwa na Nyerere na Karume kuasisi huu muungano uliopo hadi leo. Hivyo anapoibuka kiongozi yeyote kutaka kuipotosha hii Dhima, Wazalendo tuliopo tunaoujua ukweli huu hatuwezi kunyamaza !.

Ukweli ni kuwa, tulipoungana ile 1964, nchi zote mbili, Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, nchi zote mbili zilipoteza sovereignity zake, kwa Zanzibar kupoteza sovereignity yake na kuikabidhi kwa Tanzania, la Tanganyika pia sio tuu ikapoteza sovereignity yake, bali hadi jina lake la Tanganyika na kuikabidhi kwa Tanzania. Tukaunda taifa moja jipya la Tanzania lenye nchi mbili ndani yake na zote hazina sovereignity zake. Nchi iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ikawa haipo tena na nchi ya Jamhuri ya Tanganyika pia ikawa haipo, kilichopo ni nchi moja mpya ya JMT, ambayo ina sehemu mbili, Tanzania Bara iliyokuwa Tanganyika na Tanzania Visiwani, au Tanzania Zanzibar iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.

Mimi sitatizwi na uongo wowote wa kawaida ambao hauna madhara, lakini uongo mkubwa kama huu, kuhusu muungano wetu adhimu, na kutoka kwa mtu mwenye cheo kikubwa kama hiki, aliyekuwa mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, huu ni uongo wenye madhara makubwa kwa mustakabali mwema wa muungano wetu. Uongo kama huu una kitu kinachoitwa "ill motives" kwenye "the reasons or motivés behind" Jee lengo la uongo huu ni nini?.

Wakati wa Bunge la Katiba, niliwahi kutoa angalizo hili kuhusu mtu huyu
na kweli Dr. Shein alimshughulikia.

Muungano wetu ni muungano wa nchi mbili zenye hadhi sawa sawa, hakuna mkubwa wala mdogo, ndani ya muungano Tanganyika na Zanzibar ziko sawa sawa na zote mbili zilipoteza sovereignity zake na kuikabidhi kwa serikali ya JMT.

Muungano wetu ni aina ya muungano very unique duniani, kimataifa muungano wetu ni union wa nchi mbili zimeungana na kuunda nchi moja ya Tanzania. Hivyo Tanzania kimataifa ni nchi moja ya JMT, ni taifa moja, ni dola moja yenye rais mmoja, rais wa JMT ambaye ni Samia. Pia tuna Amiri Jeshi Mkuu mmoja tuu. Kimataifa Zanzibar sio nchi, Zanzibar ni sehemu ya JMT yenye utawala wake wa ndani.

Muungano wetu ndani ya muungano, muungano wetu ni muungano wa nchi mbili, yaani federation, hivyo ndani ya muungano, Zanzibar ni nchi, yenye rais wake, serikali yake, ina katiba yake, ambayo mabadiliko yaliyofanywa 2010 kuunda SUK, hayatambuliwi na katiba ya JMT. Kwa vile ndani ya muungano Zanzibar ina mamlaka yake huru bila kuingiliwa na serikali ya JMT, la katiba hiyo ni kwa ajili ya mambo yake ya ndani, japo katiba hiyo iko kinyume cha katiba ya JMT, lakini kwa vile ni ya ndani ya Zanzibar,

Kwa upande wa GNU au SUK,
ni serikali ya coalition. Kwenye coalition zote kuna the majority na a minority. A minority ndani ya coalition anatekeleza sera za à majority. Hivyo Viongozi wa ACT ndani ya serikali ya SUK ya Zanzibar, wanatekeza sera CCM.

Hivyo Viongozi wote wa ACT Wazalendo waliomo ndani ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar wanapaswa kuhubiri na kutekeleza sera za CCM, hivyo hata wanapoalikwa popote kwenye public, watatanguliza maslahi ya Zanzibar kwa mujibu wa sera za chama tawala.

Sasa mtu huyu ndio yuko ndani ya nyumba, yuko jikoni kabisa, asipothibitiwa, amini usiamini, amini nawaambieni akija tokea kufika kule juu kileleni, very soon, tutagawana fito!.

Paskali


Kwani huo ni Muungano au Uvamizi wa Tanganyika kwa Zanzibar ???
 
Zanzibar inabidi wajifunze kutoka kwa Quebec Canada. Quebec ilikuwa kila siku inalalamika kuonewa kwa sababu wao lugha yao ni kifaransa wakati Rest of Canada (ROC) wanatumia kiingereza. Pamoja na kupewa upendeleo mkubwa, wanasiasa wao (wakiongozwa na Parti Quebecois)walidaii kuwa maisha yao yatakuwa bora zaidi wakiwa nje ya Canada. Mwaka 1980 ikaitwa referendum na waliotaka kujitoa wakashindwa vibaya. Ikaitwa nyingine 1995, lakini bado wakashindwa. Mwaka 1995 hawakushindwa vibaya kama mwaka 1980, baada ya kusema kujitenga kokote ni lazima uwe pamoja na makubaliano ya uhusiano maalum na wa upendeleo kati yao na ROC maana walijua talaka tatu ingewasababishia matatizo makubwa ya kiuchumi. Hivi hivi kwa Zanzibar. Inabidi waangalie kwa macho makavu faida na hasara watakayoipata Zanzibar ikiwa kama Kenya katika mahusiano na Tanzania. Upuuzi wa kuwa wa Oman na waarabu wengine watawamwagia mapesa kibao waachane nao.

Muigereza alipodai Brexit aliamini nchi Marekani itawakumbatia kwa kuingia nao mikataba maalum ya kibiashara. matokeo ni Wamarekani wamewaambia kuwa wao kipaumbele ni ushirikiano na E.U kibiashara na sio Uingereza ambao uchumi wake ni kiduchu ukilinganisha na wa E.U. Leo Uingereza wana shida ya mafuta na kuna uwezekano mkubwa kuwa hali ya chakula itakuwa mbaya itakapofika mwisho wa mwaka kwa sababu tu hawana madereva wa kutosha wa kusafirisha mafuta na bidhaa zao.

Wachina wana usemi, " uwe mwangalifu sana unachomuomba Mungu kwa sababu anaweza kukupa unachokiomba".

Amandla...

Kuna Mquebec aliwahi kuuwawa , kunajisiwa kuchukuliwa mali yake , kujeruhiwa kwa risasi na Mcanada yeyote ??

Nadhani nyinyi watanganyika mjifunze kuwa huu si muungano ni uvamizi wa Tanganyika kwa Zanzibar.
 
Nyerere ndio chanzo cha Matatizo yote haya,sijui alikuwa na lengo gani kuweka Muungano wa kidwanzi hivi.


Nyerere alishapinduliwa na wanajeshi , ni Waingereza ndio walimweka madarakani na mzungu hawezi kukuweka bure madarakani isipokuwa ana masharti yake na malengo yake
 
Aliyesema kuwa watapewa mafuta na Oman ni mzanzibari sio mimi. Na ni kitu gani kinachowazuia wa Omani kuwamegea utajiri sasa hivi kama ambavyo wanawamegea waomani wenzao?
Unaposema kuwa Muungano umeshindwa kuwaletea faida Wazanzibari una maana kuwa mlitegemea watanganyika ndio wangewapelekea maendeleo? Shule, hospitali zote ziko chini ya serikali yao, JMT inahusika vipi? Kama wameuchoka kwa sababu walitegemea watanganyika wawabebe basi bora wauvunje watafute mjomba wa kuwabeba. Wazanzibari wanatakiwa wajitathmini wenyewe ili wajue wapi wanakosea. Waunguja wapime athari za kuwaminya wapemba kwa uchumi wao halafu wajirekebishe. Unadhani wapemba wamewekeza Bara kwa sababu wanawapenda sana machogo? La hasha, walifanya hivyo baada ya kunyimwa fursa na wazanzibari wenzao. Wazanzibari wajitahidi kujenga nchi yao wenyewe kama ambavyo Singapore na Mauritius walivyofanya. Wakiendelea wao na sisi tutaendelea ndio maana hatufurahii umasikini wao.

Amandla...


Nchi haijengwi kwa kuweka makambi ya majeshi kila mtaa , vituo vya polisi na usalama wa taifa kila unapotembea . Haya majeshi ya Tanganyika ya kazi gani ???
 
Back
Top Bottom