Kuingia na note book Kizimbani haikuwa ishu. Jaji Alikuwa ameishaifunika akaendelea na mambo mengine. Kibatala atabwaga tena

Kuingia na note book Kizimbani haikuwa ishu. Jaji Alikuwa ameishaifunika akaendelea na mambo mengine. Kibatala atabwaga tena

Kina Kibatala sio wajinga. Tunajua Jaji ana wabeba mawakili wa serikali. Kwa kina Kibatala hilo wamesha liona. Ndio maana wana refer kesi zilizo amuliwa mahakama ya Rufaa. Katika hali ya kawaida, mahakama ya chini haina ruhusa ya kupingana na maamuzi ya mahakama ya rufaa. Mahakama ya rufaa ni supreme court.
Hivyo hii kesi ina kwenda kuishia mahakama ya rufaa. Na kule maamuzi yote ya hovyo yana kwenda kutenguliwa.
Hii kesi imesha kuwa nyepesi sana kwa Mbowe.
Yule Jaji alie hongwa cheo hana mamlaka ya kuingilia mahakama ya rufaa. Maamuzi yote ya hovyo waliyo fanya na wanayo fanya yana kwenda kuwa kwenye rejea mbovu zilizo wahi kuamuliwa na majaji wa Tanzania. Muda ni mwalimu mzuri sana.
Upo sahihi mkuu.
Mwanasheria wangu kasema reference ya CA ni mchezo wa akili kubwa sana wanaofanya Mawakili wa Utetezi.
Big up Wakili Msomi Kibatala & co.
 
Pamoja na kuwa inshu ya shaidi kuingia na note book Kizimbani ijumaa wiki iliyopita Jaji alihaidi kuwa mahakama itaifanyia maamuzi Jumatatu hii. Yani ataanzia na objection ya kina kibatala.

Jumatatu mahakama haikukumbuka ata si kuianzia tu maana ndipo walipoishia. Pia nikiamini pingamizi Hilo lingeshugulikiwa kabla ya kufanya maamuzi ya kesi ndogo kwani ushaidi wa kwenye note book ulitumika. Lakini ata baada ya kutoijali na kufanyika maamuzi ya kesi ndogo bila kuzingatia pingamizi lililokuwepo. Lakini ata baada ya kufanya uamuzi wa kesi ndogo alilipotezea na kuendelea na Mambo mengine tu. Baada ya maamuzi ikabidi akina kibatala wakumbushie Tena.

Ndio nikajua kumbe sio inshu siliasi. Au sio kitu kikubwa au kwasababu kimetoka kwa utetezi.

Kwa alivyokipotezea Jaji Basi Tena ata leo Akina kibatala wasitegemee jipya, linaenda kutupiliwa mbali.

Hii kesi NI fedhea kubwa kwa kibatala na Jopo lake. Aiwezekani kila pingamizi linatupiliwa mbali. Maana yake hawezi kujenga hoja au hajui wanachokifanya. Akina Kidando wanaonekana wanauwezo mkubwa zaidi yao.

Mi nazani na pingamizi Hilo likifeli Basi kibatala ajitoe tu kwenye hii kesi haiwezekani kung'ang'ania likitu lisilo na tija na linaloleta hisia za kuhoji uwezo wako Kama Mwanasheria.
Endelea kuzani tu

Amandla...
 
Huyu jaji asipofungwa atakuwa na bahati sana !

Judge au hakimu hawezi kufungwa kwa kufanya makosa katika kesi anazozisikiliza. Vinginevyo, hakuna anayeweza kupona. Recourse pekee waliyonayo aggrieved parties ni kukata rufaa baada ya kesi ya msingi kuamuliwa!
 
Kina Kibatala sio wajinga. Tunajua Jaji ana wabeba mawakili wa serikali. Kwa kina Kibatala hilo wamesha liona. Ndio maana wana refer kesi zilizo amuliwa mahakama ya Rufaa. Katika hali ya kawaida, mahakama ya chini haina ruhusa ya kupingana na maamuzi ya mahakama ya rufaa. Mahakama ya rufaa ni supreme court.
Hivyo hii kesi ina kwenda kuishia mahakama ya rufaa. Na kule maamuzi yote ya hovyo yana kwenda kutenguliwa.
Hii kesi imesha kuwa nyepesi sana kwa Mbowe.
Yule Jaji alie hongwa cheo hana mamlaka ya kuingilia mahakama ya rufaa. Maamuzi yote ya hovyo waliyo fanya na wanayo fanya yana kwenda kuwa kwenye rejea mbovu zilizo wahi kuamuliwa na majaji wa Tanzania. Muda ni mwalimu mzuri sana.
Kwa kweli wasipoangalia hii kesi itakuwa moja ya hadidu rejea mbovu kuwahi tokea.
 
Pamoja na kuwa inshu ya shaidi kuingia na note book Kizimbani ijumaa wiki iliyopita Jaji alihaidi kuwa mahakama itaifanyia maamuzi Jumatatu hii. Yani ataanzia na objection ya kina kibatala.

Jumatatu mahakama haikukumbuka ata si kuianzia tu maana ndipo walipoishia. Pia nikiamini pingamizi Hilo lingeshugulikiwa kabla ya kufanya maamuzi ya kesi ndogo kwani ushaidi wa kwenye note book ulitumika. Lakini ata baada ya kutoijali na kufanyika maamuzi ya kesi ndogo bila kuzingatia pingamizi lililokuwepo. Lakini ata baada ya kufanya uamuzi wa kesi ndogo alilipotezea na kuendelea na Mambo mengine tu. Baada ya maamuzi ikabidi akina kibatala wakumbushie Tena.

Ndio nikajua kumbe sio inshu siliasi. Au sio kitu kikubwa au kwasababu kimetoka kwa utetezi.

Kwa alivyokipotezea Jaji Basi Tena ata leo Akina kibatala wasitegemee jipya, linaenda kutupiliwa mbali.

Hii kesi NI fedhea kubwa kwa kibatala na Jopo lake. Aiwezekani kila pingamizi linatupiliwa mbali. Maana yake hawezi kujenga hoja au hajui wanachokifanya. Akina Kidando wanaonekana wanauwezo mkubwa zaidi yao.

Mi nazani na pingamizi Hilo likifeli Basi kibatala ajitoe tu kwenye hii kesi haiwezekani kung'ang'ania likitu lisilo na tija na linaloleta hisia za kuhoji uwezo wako Kama Mwanasheria.
"Maana yake hawezi kujenga hoja au hajui wanachokifanya" that must be a joke of a century. Laiti kujenga hoja kungekuwa rahisi, angalia ulichoandika paragrafu ya pili 🙄
 
Kesi ,kesho,keshokutwa tar hii na hii hawa watu wameona mahakama ni sehemu ya kupractise sheria wakati wapo kwenye same category for years.
Ni upuuzi mwingi sana mnakaa mnabishana ujinga tu hapo .Mbowe ana kosa mfungeni,hana kosa achaneni nae aingie mtaani ingawa nae ni janga.
Huyu jamaa kwasasa kapoteza nuru na Amani ukimuona tu ingawa anacheka mda wote.
Sijui huko mbele ila hapako vizuri
 
Pamoja na kuwa inshu ya shaidi kuingia na note book Kizimbani ijumaa wiki iliyopita Jaji alihaidi kuwa mahakama itaifanyia maamuzi Jumatatu hii. Yani ataanzia na objection ya kina kibatala.

Jumatatu mahakama haikukumbuka ata si kuianzia tu maana ndipo walipoishia. Pia nikiamini pingamizi Hilo lingeshugulikiwa kabla ya kufanya maamuzi ya kesi ndogo kwani ushaidi wa kwenye note book ulitumika. Lakini ata baada ya kutoijali na kufanyika maamuzi ya kesi ndogo bila kuzingatia pingamizi lililokuwepo. Lakini ata baada ya kufanya uamuzi wa kesi ndogo alilipotezea na kuendelea na Mambo mengine tu. Baada ya maamuzi ikabidi akina kibatala wakumbushie Tena.

Ndio nikajua kumbe sio inshu siliasi. Au sio kitu kikubwa au kwasababu kimetoka kwa utetezi.

Kwa alivyokipotezea Jaji Basi Tena ata leo Akina kibatala wasitegemee jipya, linaenda kutupiliwa mbali.

Hii kesi NI fedhea kubwa kwa kibatala na Jopo lake. Aiwezekani kila pingamizi linatupiliwa mbali. Maana yake hawezi kujenga hoja au hajui wanachokifanya. Akina Kidando wanaonekana wanauwezo mkubwa zaidi yao.

Mi nazani na pingamizi Hilo likifeli Basi kibatala ajitoe tu kwenye hii kesi haiwezekani kung'ang'ania likitu lisilo na tija na linaloleta hisia za kuhoji uwezo wako Kama Mwanasheria.

Jaji wa ccm hatutegemei uamuzi tofauti ndio maana ametoa amri shahidi awepo kizimbani aendelee kutoa ushahidi wake. Uamuzi anao tayari amezuga kuahirisha tu.
 
Kesi ,kesho,keshokutwa tar hii na hii hawa watu wameona mahakama ni sehemu ya kupractise sheria wakati wapo kwenye same category for years.
Ni upuuzi mwingi sana mnakaa mnabishana ujinga tu hapo .Mbowe ana kosa mfungeni,hana kosa achaneni nae aingie mtaani ingawa nae ni janga.
Huyu jamaa kwasasa kapoteza nuru na Amani ukimuona tu ingawa anacheka mda wote.
Sijui huko mbele ila hapako vizuri

Ujinga kipaji; kujua kama ana kosa au hana kosa ndo inaleta mabishano
 
Ni mjinga tu anayeweza kubishana na mtu kama wewe; judge mwenyewe anamsifia, na mambo yanamchukua judge siku 2 kuweza kutafutia ufumbuzi; keyboard warrior asiye hata na verification anadharau!
Baki hapo,hata computer umeanza kutumia juzi.
Na usiwe unaniquote kama una akili za kipumbavu.
 
Nilishangaa sana kuwa Jaji kasahau ishu aliyofunga nayo Ijumaa na Jumatatu alitaka kuanza mambo mengine siamini kabisa kama alijisahau ni mipango mipango tuu ya mjini...ila mbaya sana kwa kweli
 
Nilishangaa sana kuwa Jaji kasahau ishu aliyofunga nayo Ijumaa na Jumatatu alitaka kuanza mambo mengine siamini kabisa kama alijisahau ni mipango mipango tuu ya mjini...ila mbaya sana kwa kweli
Ni aibu sana kwa mhimili wa mahakama kuwa na majaji wa aina ya Tiganga. Hakuna anayeweza kuamini kwa mtu wa level ya Judge kusahau hoja aliyofunga nayo session na akiwa ameahidi kutolea uamuzi Jumatatu inayofuata. Ni hoja ambayo tunaiita ni "critical" kwamba bila kutatuliwa hiyo, huwezi ku move forward.

Critical activities zinatakiwa kufanyika kwanza ndipo utakua na uwezo wa kufanya activities zingine. Critical activities huwa zinaumiza vichwa kwa sababu zimebeba progress ya projects. Sasa inakuwaje Jaji "akaonesha" kutokumbuka hii activity?? Mbaya zaidi hata baada ya kuambiwa na wakili wa upande wa utetezi, bado alihitaji kukumbushwa zaidi jinsi walivyoishia kwenye session ya mwisho Ijumaa iliyopita.

Huyu anaidhalilisha "legal fraternity" na hasa jamii ya "learned brothers and sisters"
 
Na hii ishu ya diary/notebook, kalamu na simu kuonekana kizimbani vikiwa na shahidi ndiyo sasa inaonekana kuwa ni serious case kuliko hata objection iliyokwisha kutolewa uamuzi ile jana...

Na kwa namna hoja zilivyojengwa na mawakili wa utetezi, nashawishika kuamini kuwa, Jaji Joachim Taganga hana namna ya kuwabeba "washikaji" wake, jamhuri upande wa mashitaka...

Hii ndiyo inayompa taabu kutoa maamuzi. Huyu anaweza kuishia kujitoa kwenye kesi hii...
Kimsingi maamuzi ya Note book yalitakiwa yaanze kabla ya kesi ndogo. Kwasababu yangeweza kuathili hukumu ya kesi ndogo. Kulukwa kutolea maamuzi kunaonesha note book ilishattolewa maamuzi tayari.
 
Pamoja na kuwa inshu ya shaidi kuingia na note book Kizimbani ijumaa wiki iliyopita Jaji alihaidi kuwa mahakama itaifanyia maamuzi Jumatatu hii. Yani ataanzia na objection ya kina kibatala.

Jumatatu mahakama haikukumbuka ata si kuianzia tu maana ndipo walipoishia. Pia nikiamini pingamizi Hilo lingeshugulikiwa kabla ya kufanya maamuzi ya kesi ndogo kwani ushaidi wa kwenye note book ulitumika. Lakini ata baada ya kutoijali na kufanyika maamuzi ya kesi ndogo bila kuzingatia pingamizi lililokuwepo. Lakini ata baada ya kufanya uamuzi wa kesi ndogo alilipotezea na kuendelea na Mambo mengine tu. Baada ya maamuzi ikabidi akina kibatala wakumbushie Tena.

Ndio nikajua kumbe sio inshu siliasi. Au sio kitu kikubwa au kwasababu kimetoka kwa utetezi.

Kwa alivyokipotezea Jaji Basi Tena ata leo Akina kibatala wasitegemee jipya, linaenda kutupiliwa mbali.

Hii kesi NI fedhea kubwa kwa kibatala na Jopo lake. Aiwezekani kila pingamizi linatupiliwa mbali. Maana yake hawezi kujenga hoja au hajui wanachokifanya. Akina Kidando wanaonekana wanauwezo mkubwa zaidi yao.

Mi nazani na pingamizi Hilo likifeli Basi kibatala ajitoe tu kwenye hii kesi haiwezekani kung'ang'ania likitu lisilo na tija na linaloleta hisia za kuhoji uwezo wako Kama Mwanasheria.
Hawa wanafaa kuitwa mawakili wa Pingamizi. Hii kesi itachukua siku nyingi kwasababu za hizi Pingamizi.
Wakili wa Mbowe wangeacha hawa mashahidi watoe ushahidi wao na kama udhaifu utawaonyeshwa wakati wao wanaweza kutumia huu udhaifu kwa kujenga hoja
 
Pamoja na kuwa inshu ya shaidi kuingia na note book Kizimbani ijumaa wiki iliyopita Jaji alihaidi kuwa mahakama itaifanyia maamuzi Jumatatu hii. Yani ataanzia na objection ya kina kibatala.

Jumatatu mahakama haikukumbuka ata si kuianzia tu maana ndipo walipoishia. Pia nikiamini pingamizi Hilo lingeshugulikiwa kabla ya kufanya maamuzi ya kesi ndogo kwani ushaidi wa kwenye note book ulitumika. Lakini ata baada ya kutoijali na kufanyika maamuzi ya kesi ndogo bila kuzingatia pingamizi lililokuwepo. Lakini ata baada ya kufanya uamuzi wa kesi ndogo alilipotezea na kuendelea na Mambo mengine tu. Baada ya maamuzi ikabidi akina kibatala wakumbushie Tena.

Ndio nikajua kumbe sio inshu siliasi. Au sio kitu kikubwa au kwasababu kimetoka kwa utetezi.

Kwa alivyokipotezea Jaji Basi Tena ata leo Akina kibatala wasitegemee jipya, linaenda kutupiliwa mbali.

Hii kesi NI fedhea kubwa kwa kibatala na Jopo lake. Aiwezekani kila pingamizi linatupiliwa mbali. Maana yake hawezi kujenga hoja au hajui wanachokifanya. Akina Kidando wanaonekana wanauwezo mkubwa zaidi yao.

Mi nazani na pingamizi Hilo likifeli Basi kibatala ajitoe tu kwenye hii kesi haiwezekani kung'ang'ania likitu lisilo na tija na linaloleta hisia za kuhoji uwezo wako Kama Mwanasheria.
Sidhani kama kuna kitu kinaitwa issue ndogo kwa linapokuja suala la kimahakama. Iwe ndogo au kubwa Jaji hapaswi kuipuuza Bali kutolea maamuzi, bila kusahau maamuzi ni pamoja na hoja kukubaliwa au kutupwa. Kina Kibatala wa nashindwa kwa sababu hii ni kesi ya kimkakati siyo kukosa uwezo.
 
Huyo Jaji kina Kibatala wata mu outsmart..asicheze na mawakili wa kujitegemea..awe makini maana hii kesi uzuri wake ipo live...well documented.
 
Back
Top Bottom